YUKO WAPI MLINZI WA MAGUFULI?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- Wakati enzi za utawala wa Rais DK John Pombe Magufuli katika timu ya walinzi nyuma yake alisimama mtu mmoja makini sana, mtu ambaye mbali na kutoongea chochote kile lakini alipendwa na kujizolea umaarufu mkubwa nchini. Mtu huyu alisifika kwa umakini wake na sura ya kibantu iliyoonekana kuwa makini na kazi yake.
Ulale. Kwa amani magu
Kafulia mbona hakulinda kifo kisimchue
jamaa nilimpenda sn huyo alikuwa anajua kazi yake haswaaa
Pamoja san mkuu
aishi sn mwamba huyu!!
Karudi kwao
Good job
Siyo mlinzi ni mpambe
Natamani kumuona lakini siamini kama ataonekana tena
Yupo mbona,nimtu sipo sana hanamakuu na mtuu
Ufala surA inawatia kiwewe acheni ujinga ila kwakuwa mnatakaka views ok ila mnafanya ushambA