🤣 UTACHEKA UVUNJE MBAVU | BALAA LA WASHIRIKI WA CHEKA TU WALIOPATIKANA KATIKA MIKOA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Wasafi mnadharaulisha dini yetu.Ww mchungaji gani Msanja unafurahia jina la Yesu kudharirishwa. Mungu atusamehe makosa yetu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaah m nmeckia eti shoko halisuki 5:44 hapa jamaaaa kajiongezeaa kipaji cha kunichekesha bila yeye mwwnyewee kujuaaaaa
😸🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@leonardbutindi1775 noma sana kaka
Yaani kwanzia no2 mpk wa mwisho hamn kitu kbxaa..all in all yule wa kwanza ndo kaua
Huwezi taja Jina la YESU kwaajili ya vichekesho vinavyo leta zalau kwa YESU
Mbaya sana
Hawajuw tu huko ni kumdhihaki
Hii ni ibada ya kukufuru
Hv hamna vya kuchekesha mpaka mumtaje Yesu,ni kujitafutia laana tu.hatupendi na hatufurahii
Kama hampendi mnafwatilia vya nini
Saidi nimecheka mpka nimelia😃😃🇰🇪
Heheheeee th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Hata mim nmecheka sana, na nimeparudia rudia sana daaaaaaa!
Thanx
Mnazalaulisha imani yetu kwakuifanyia mizaha na vichekesho ..waandalizi mnapaswa kuweka mipaka sio kila kitu ni chakuchekeshea tuu
Kweli kabisa
Hata mm sijafurahishwa kabsa halafu masanja anayejiita pastor anachekelea tu hap
Roho ya Makufuru inatenda kazi
Wanacheze iman
Mnazingua sana acheni matani na yesu unajua ww ni Mtu mzima unapumua kwa ajili ya mungu afu unamzungumzia yesu kwenye utani wenu
Kwan kuchekesha hadi atajwe Yesu!!. Sijapenda hapo mmekosa content
Kwani Yesu katukanwa???? Jina la Yesu mnaliheshimu nyinyi kwa wazungu kuna hadi mashoga wanaitwa Yesu
Haaaaaaaa
@@BigZhumbe ushasema nchi za wazungu lakin sio sisi wao ni wao
@@carlixtz4594 Na dini si ni yao mbona mnaishobokea 🤣🤣🤣 kwani Yesu ni msukuma
@@BigZhumbe Kila mtu na iman yake. pia najua wapo wanoitwa yesu mi sizungumzii ma yesu hao mi nazungumzia YESU wanaemuweka kwny jokes zao. Alaf ni wao sijakuzungumzia ww
Komedi ni kitu kizur Ila naomba nionye kitu TUSIMFANYIE MUNGU MZAHA ATA KIDOGO naomba mfikishe iliii
Wamuheshimu mungu
Punguzeni kutumia biblia kujok mnapoteza mvuto wa s.comed
Acheni dhihaka na imani za watu, it's total stupidity
Heheeee th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Total stupid, sijawahi kuona wakitumia kitabu cha waarabu kile
Mmmmmmmh
@@markleonardo8634 kuwa na heshima broo yale ni maneno ya Allah sio kitab cha waarabu
@@markleonardo8634 pumbavu wee umeona wapi maneno ya haki yakachezewa ndio muone sasa hiyo mnayoiita dini inavyozalilishwa
Yan mumetumia adi majina ya mitume kuchekesha lkn wote ni pumba tu amjuh chochote ila mwaisaa hela hiz zitatuua tutafute hel mwaisa hat kwa kuforce
Umetisha. Mwisaaa
Af uy dogo mwingne katokea startv anajua kujiongeza big up kwake kachangamkia fursa
Wasitumie sana dini ( Yesu na MUNGU) wasitanie jina la Mungu
Hata mm sifurahii kabisa
Nimungu wawapi huyo yesu
Yesu sio mungu
Ivi mungu anyone kana?anakula?anapanda mtumbwi?anavaa kanzu?
@@yusufuheri6524Babako au kasome bibilia
Leonard, MC Eliod na Azaboi mmetisha sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️. Ile nyie mnaotumia jina la Yesu mnakosea sana Yesu hachezewi
Shkrn sana, ubarikiwe
Tena sana sijui hawajui dhamani yake
@@ceciliaombela7159 mimi nimekosa lakusema 🤔🤔🤔🤔
Jina la Yesu linatakiwa kuheshimiwa kila mahali......wangetakiw watumie mifano mingine sio kumkejeli Yesu....Haijafaa ila Mungu awasamehe maana hawajui watendalo
wabongo mmepigwa... Hamna comedians apa. Imbeni tu.. comedy tuachieni Wakenya
Kenya kuna comedian gan
LEONARDO & IZACK wa FELIAZA mmetixhaa saana
Ahsante sana😊
Lernard
Duu japokuwa sio mlokole ila Mungu achezewi kihivyo
Hey
Wanacheza na maandiko😔
Alaf bad enough hawayajui.
Yani wamefanya Bible kama kitabu cha story wanageuza maneno wanavyotaka wao hawana hata hofu na Mungu
Ombi langu kwa wananchi:ningependa tuigizeni kila kitu lkn maneno matakatifu ya kitabu cha dini yyte yasiruhusiwe.mnacheka kwa dharau kwa maneno ya Mungu jamani?mbona ckupenda hilo?
Pia mimi swala hilo limenikera kweli
Point
Aija kuwa kosa bado,
mnamjua masanja anajoke but watu wanagain na kuvutiwa uhalisia wa Mungu nb wawe na mipaka
Ahaha
Hivi mmekosa vichekesho Hadi mkomae na Yesu?
Why not Muhammad?
Mnafatiliwa na watu wengi wenye Imani tofauti...
Nielewe wewe Muhammad s a w sio wa dhihak hizo kbs😡
Waanza na mtume waone tutachowafanya
Muhammad muarabu wa kawaida
@@officialbntrasool5223unafananisha Muhammad na yesu.read the bible properly
MO town nakubari giii
Nouma bro th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Mkalimee tuu maisha yamekuwa mgumu kishenz,hapo mnachekesha nn hasara na nyiny 😄😄🤭
Muache kumtaja taja Yesu kwenye mambo yenu yasiyofaa
Point
Kweli matumizi ya dini kwenye comedy wanazingua
Umeona eeeh
Wanamtaja Yesu kma babu yao
Wanakosea sana,
Usilitaje Bure jina la Bwana MUNGU wako
Guy's hivi hao wanao joks kupitia mambo ya DINI huo ndi upumbavu kufanya joks na mambo ya dini
Me naitwa mo town sanya aka nembo ya mtaaa watu oyooooooooooooooo
Heheheee th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Mmekosa jocks nyie wacheni upuuzi kuchezea DINI bhana na nyie mwashangilia ujinga huo
Huyo mshiriki anabifu na yesu amaaa?waache kufanya comedy za dini jamani khaaa
Leonardo huy0 dogo ni 🔥🔥🔥
Hapo kwa Yesu mlikosea Sana wakubwa
Kitaa kina mishe kibao bro! 🔥🔥
Sijapenda kutumia jina la Yesu kwenye utoko wenu fyuuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂idea mbadala hahaha
jesus is a prophet but god is one and he is allah and he has no partner and he is not like anything
Hamna kitu wote kasoro wa kwanza na Eliud,,, kwani YESU aliwafanyia nn mbaya? Kuweni na uoga na heshima pia.
kwakweli maneno matakatifu sio vyema kabisa kutumika kwenye uchekeshaji wa namna hiyo wapendwa tumuogope mungu
Hapa wote hawachekeshi bado sana n moyo tu ndo tunawapa wapambane sana
Huko kwenye utani na dini au na mungu mnazingua sana halafu ni ujinga kabisa acheni hoyo tabia mara 1
Leonardo 🔥, Eliudi 🔥 ....
Uyo watatu mtanisaidia
Lakini Kuna baadhi ya watu wamekuja apo kwa platform as if Amna 10 M ivi au ni Mimi uelewa mdogo
Leonard namba 1
Mnakosea Kutumia Jina La Yesu Kwenye Commedy... Fikirieni mambo mengine ...Very sorry kwa hilo ila hapo mmechemsha
Leonardo Is The King
th-cam.com/video/T4hBOa2FRmQ/w-d-xo.html
Baba lev atasababisha uyo akose kujiami
Mshindi niyule aliyebuni vitu vyake hajawekamo mambo ya yesu
Hivi hawawezi kuchekesha bila kutaja jina la YESU 😭😭😭
So sad!!
Ni kama kumdhihaki Yesu hawajaona chakuchekesha hao
Kweli kabisa hata mie wananikera sana maana amri ya pili unasema usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajayebure jina lake
@@muasewamukadogo9729😊p
Sijapenda
Waislam wote ni watumwa wa waarabu ndio maanake wanamchukia yesu
Naona njili tu akuna kitu maandiko mnatumia kwa kuchekesha upuuzi tu
Dah ni kwel
muache kumtaja yesu chekeshen vingine sio lazima mmtaje yesu mnakufuru
Mnashinda gani na yesu lakini sijapenda
😂😂😂😂
Ushauri wangu , uongozi wa jukwaa la cheka tu utoe seminar kwa washiriki dhidi ya kutumia sana material ya dini, hii italeta matatizo baadae ikizingatiwa hii ni platform mama kwa sasa hivyo ikiacha hivi itazalisha ukakasi kwenye dini za watu. Otherwise KAZI NI NZURI SANA, keep entertaing guys, Africa Is watching .
kweli
Kutumia maneno ya dini number 2 na 3 mmezingua
Kwel
Yah
Ni kweli
😅😅😅😅😅
Nyote mnachekesha kutumia jina la yesu ... Yesu asifiwe...
Mnavuka mipaka sasa yesu kawa babu yenu mbn mtume Muhammad hamuwekagi kwenye utan
Mbwa nyinyi mbna mna mtaja muumba mbingu na nchi mnatumia Kama kiki tafuteni mambo yakuzungumzia mnakera
Ni kama wanasimuliana stories kabla ya kupanda stejini..washiriki kama watatu wote wamelalia upande wa hadithi za Yesu..
Ila huyu Leonard yupo vizuri sana
Wanakera wanapotumia jina la Yesu kufanya dhihaka.YESU NI MUNGU ACHENI KUTUMIA VIBAYA JINA LAKE
33:03 Eliud Bro, uko vyema sana
Neno linasema msiketi balazan pa wenye midhaha na nyinyi mnatumia jina la Yesu kwenye midhaha mkumbuke Mungu hadhihakiwi, na wewe unatumia vifungu vya maandiko kuweka maneno Yako, bible imekataza kuongeza au kupunguza neno lolote so tahadhari mambo ya dini yasihusishwe ktk Kaz zenu hayo tuyakute misikitini na makanisani
Vipo vitu vya kuwekea utani siyo utani wa kumuingizaBwana Yesu hii haijanibariki.mjilekebishe
Bwana muwe naadabu naimani za watu mnaniuzi amchekexhi uximamizi uwemakin
Leonard amefany ki2 Cha kipekee wote fun lakin uyu Ani anawez jamn
Wagechekesha tu Yesu wakaachana nae
Imagine
Kwani awa comedians wote no jina la YESU tu 🙄 Ya'll are not funny envolvin the LORD in this mess
Nilichogundua hawana aidia yeyote mpya zaidi ya kuisema dini ya kikristo tu
Mshiriki namba 3, kutoka dar es salaam, tunaomba uheshimu dini za watuuuuu!🙏🏻
Sijaona mchekeshaji
Kabsa yaan ....sijapenda hata tone!!!!😏😏😏....yaan anasema tu yesu ....yesu ...yesu daaah!!! Amekosea sna!!!
@@leylamark3193 nimehuzunika mimi😫😫😫😫
Sijapenda mlivyofanya kumtumia yesu kwenye vichekesho vyenu au nyinyi yesu mnamchukuliaje? Mbwa nyie
Mungu awahurumie na kuwarehemu bure kwa mtaja Yesu kijingajinga
Alaf story zenyewe hawazijui vzr,,,
Wamenikera
Mnafanya vizur lakini mnakosea kukufuru
😢😢😢
Cjapenda kufanya mzaha na Yesu...mheshimu mungu tafadhali haijalishi ni comedy wala nini....hilo hilo jina walichezea kuna mwingine analitegemea kuishi
Acheni kumtania MUNGU Hii ni ibada ya kukufuru ole WENU mketio kwenye Baraza la wenye mzaha
wewe hapo ni mwislam kila mara kumtaja Yesu na kumzihafu, kama umetumwa ndugu utapotea, kwa nini usimtaje mtume wako mhamadi na kumdhihaki hivyo??? muogope sana Mungu maana hukumu yako yaja.
uchekeshaji kwenye neno la MUNGU aliye hai????
be careful what comes from your mouth. hiyo ni najisi. omba toba........
Leonardo Hana mpinzani
😂😂Diamond platnumz hatimae âme mjibu harmonize ki djanja djanja jionee
Apa uta cheka 😂👀,,
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
th-cam.com/video/D5Cexy_UXxU/w-d-xo.html
Comedian wa kwanza ametishaa sanaa
Hata mm nmempenda sana huyo wa kwanza
Ushauli watu wajukwaa msiruhusu wachekeshaji kutumia mambo yadini nakuwataja mitume au manabii hilinikosa kiimani sikupenda hii
Huyu Said ajiangalie sana, anamtaniaje Yesu hivo??
Yaan hawawezi kufanya comedy zao bila kuhusisha maandiko ujinga mtupu😏
Kizazi Cha hovyo Hiki hakijui hata heshima kwa Mungu
Kina Senga na Pembe hawakumtania Mungu kiasi hiki lakini bado walichekesha
Ujinga ni kumtaja Yesu kimzaha
Dogo wa kwanza kabisa KWA stage ametisha sana
Nani marioo
Waislam comedian you're still joking with the name of Jesus Christ ila hipo siku mtashtukia yeye ndio atakaye kaa katika kiti cha enzi
Mnashangaza sana why ktk majiji tyuu ,vip kuhusu mikoa mingine
Wanapenda sana majiji
Yaan th-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/w-d-xo.html
Nyinyi wengine pambaneni na hali zenu
huwezi kusoma neno bila roho wa Mungu. kuelewa kwako sio maana ya maandiko....acha kupotosha umma... kesi unayo tayari Mangendo... kama umelipwa kufanya hayo jua yatakutokea puani .....
Kiongoz ili nweze kushiliki cheka tuu nafanyaje mm Zaid ya comedy ipo ktk damu yangu so nafanyaje
Unajua ingelikuwa Said anatumia jokes kwa mtume mhammad ungeona mashehe wangemea Mimi sijapenda mtu kutumia jina la yesu vibaya kwenye matani naenda kufungua kesi kuishitaki cheka tu kwa kosa la kuthahaki din ya kikrsto
Hajamtukana mungu wala yesu sema tunatafsiri vby yy anachokesema kumbuken movie ya yesu imechezwa na binadam kwahy hawa wanatumia misemo ilotumika mule elewi kitu jamn
Mshiriki wa kwanza kaua vibaya
Kweli na hajaingilia dini ya mtu
Acheni ujinga wa kuzungumza habari za Yesu wakati hamzielewi hata wanaowapigia makofi nao hawaelewi chochote. Acheni na hhabar za dini
Usilitaje jina la MUNGU wako bule
Naona mtume wa waislam hataniwi kabisa Sasa endeleen tukigeuza kibao msije kusema wakristo wakorofi.
Huyu wa mwisho amenihudhi,ati Mungu babu?nkt
Waaaaasaaaafiiiiiiiiii mmetiiiiiishaaaa
Sijafurahishwa hata kidogo kwa sababu ya kumuingizia utani yesu haifai...!!!
Kwani yesu c nimtu tu kama cc
Kama MUNGU aishivyo na jina lake liishivyo awalipe sawasawa na kazi yenu mnaom fanyia dhihaka kanisa la MUNGU tuji andae yale yesu Ali tabili Sasa tunaya ona kwa macho afu watu Hawa elewi kuwa kanisa Lina ingiliwa inua macho yako juu yesu ana ludi kaa tayari uspo tambua huta okoka matayo 24.9
Jamani sio kwamba hatupendi vichekesho vyenu ila kuzungumzia suala la kutaja yesu kwa vichekekesho sio vizuri
Fanyeni yote ila tu usimchanganye MUNGU usimchanganye YESU kwenye mambo yako ya mzaha, huo ni upumbavu na ujinga unaowasubua.
Mmeona Yesu ndo wakuwekwa kwny comedy zenu na mlaaniwe milele
kama kweli mnataka kudhihaki anzeni na MUhamadi na Allah ili tuone kama mko siliasi kwenye uchekesheni wenu.
stop all this....,.
Leonardo mwamba sana...anatisha kishenzi
Pawepo na drisha la wazi kuwapigia kura washiriki.
Gerald Sebastian.
Arusha,Tanzania
Mm sijapenda kbs awo vijana wa daslam walivyotumia maandiko kimzaha na jina la yesu kwenye mzaha wanakosea sana japo sina mamlaka yakuhumu ila hii aijakaa sawa sijaegemea upande wwte wa udini la kwangu mm wte awafai na awajui kuigizaa ama Mwasemaje wadau??? Thanks,, naleft😢
Mi Niko pamoja na alichokisema baba levo na hata Kama mtakua hamna hela mwambie afate milioni yake kumi na kiwanja kwangu baba levo hupindishagi maneno
Biaatam vom aminaiz
G
Masanja masanja kemea ujinga huo wewe ni mchungaji biblia ina sema usilitaje jina la mungu wako bure vp hao wajinga mungu so wa utan
Kila kitu kinasimamiwa Na mungu ila sio kutumia maandiko kuchekesha watu ....mshirika namba tatu jirekebishee