Prof Hamo huwa "hafanyi makosa" apatapo jukwaa. Namkubali kama ninavyowakubali pia Kapteni Otoyo, Adhis Jojo, Mammito na MCA! Asanteni kwa kumleta Bongo!
Na hii ikawe funzo Kwa stand up comedians wote wa TZ, comedy unatunga, Unaandika kama unavyotunga nyimbo pia kuna mda una freestyle ,comedians wa Kenya wako way far from ours ni kitu cha kujifunza kutoka kwao stand up comedy Sio kupanda stejin na kutuhadithia memes
Kenya mpo vzr nakubali Nadhani comedian wetu wanajifunza and soon watakuwa vzr zaidi ya walipo Sasa . Thanks ndugu zetu Wakenya kwa kushirikiana nasi kukuza Cheka tu
Mpaka leo hamjui kuconnect sauti inayotoka kwenye mixer na video ili muwe na good sound jamani. Mbona nyie wakubwa tayari jifunzeni video za churchill na sound zake
We know what makes us laugh. Na Tanzania hatuhitaji kuchekeshwa ili tucheke maana hata tusipochekeshwa tuna Furaha. Kwa hiyo Kenya you need a lot of energy to make someone laugh in Tanzania you need only a person to laugh... Labda mje tukufundisheni what it means to make someone laugh. But anyway we will take that as a compliment 😊😊
Hongera kwa kumleta hamo,ntakuja cheka tu sababu ya kuwepo watu kama hawa wanajuwa kuchekesha ukienda lazma ucheke,nasubiri PR kuria,mamito,MCA,Teacher wanjiku,teacher mpamire,Jessy na kansiime,tz jifunzen kwa hawa kiukwel wanajuwa
Coy hongera sana unapush sana stand up comedy Ila fanyieni maboresho zaidi katika sound engineering, na maiki za kushika zinachosha sana mpaka mchekeshaji kumalizia segment
Mshikaji aliyevaa kanzu hapo mbele 11'45'' yupo wrong place kabisa - una muda wa kuchat kwenye simu wakati Prof Hamo yupo on the stage na hatujui atarudi tena lini Bongo kuchekesha ! Daaaamn
Hizi microphone sio nzuri nyie cheka tuu... Nmetoka kusikiliza Churchill ya prof harmo na saiv naskiza hii ya cheka tuu ni mbingu na ardhi... Embu jirekebisheni
Tz hamuezi barikiwa na vyote mziki mzuri lkn ikija kw ucheshi kenya ndio kusema Kenya sihami jamani i love my country🇰🇪
Eeeh tucheke tuongeze siku miziki tunaeka lullaby 🇰🇪🇰🇪
Skia hawa😂
Hata Mimi nimecheka😅😅😅@@daimonjohn6042
Kenya kwa comedy noma tz bado sanaaaaa
Prof Hamo huwa "hafanyi makosa" apatapo jukwaa. Namkubali kama ninavyowakubali pia Kapteni Otoyo, Adhis Jojo, Mammito na MCA! Asanteni kwa kumleta Bongo!
Uko na huku mura?
Huyu jamaa ni mchekeshaji kweli kweli. Kenyans kwa comedy wako juu sana tz tuna kubali🇹🇿
SIO KUPENDA KWETU WAKENYA, NI TALANTA
Jamaa anajua Sana, east Africa tunaishi kwa upendo, Kenya Ni ndugu zetu
Mchekeshaji wangu bora kabisa wa muda wote wa Afrika Mashariki wa komedi ya jukwaani
😂😂😂😂 the guy is naturally funny, alichekesha hadi Jemutai😂😂😂
Professor hamo! Noma Sana huyu mtu! Ghafla amenikumbusha Churchill show! Nimeimiss mbaya!
Chukuen sound moja kwa moja kutoka kwenye mixer, sio ya kwenye camera , This thing will will be superb 🔥🔥🔥🔥
Word
Coy, chukua huyu jamaa ndani ya timu yako.
Kenyan wanaenjoy sana kua na uyu jamaa anajuaa saana
Kila mtu ni mcheshi 254 alafu Tz ata mtoto mdogo anaweza imba❤️❤️
Na hii ikawe funzo Kwa stand up comedians wote wa TZ, comedy unatunga, Unaandika kama unavyotunga nyimbo pia kuna mda una freestyle ,comedians wa Kenya wako way far from ours ni kitu cha kujifunza kutoka kwao stand up comedy Sio kupanda stejin na kutuhadithia memes
Qabiisa
Tutafka tu lkn
Kufika ningumu maana hata huyo koi hajifunzi
Kenya mpo vzr nakubali
Nadhani comedian wetu wanajifunza and soon watakuwa vzr zaidi ya walipo Sasa .
Thanks ndugu zetu Wakenya kwa kushirikiana nasi kukuza Cheka tu
Daaaah!!! Huyu Jamaa ni noma aiseeee😅😅🤣🤣🤣🤣😂
Proff. Hamo uko juu sana.❤❤❤❤❤
Accent ya wakenya tu comedy tosha
Oya koy mzungu mleteni MC TRICKY 😂
Watanzania hawawezi kumuelewa tricky.. ni tricky Sana. 😅
wapi likes za wakenya ??
let's
Comedian wa Kenya wote ni wanajua vibaya jamani daah
Thank you prof. Hamo for teaching them how comedy iz den keep learning from hamo cheka tu
😂😂😂Kali sana, a boy from 254 watching this from Qatar Doha Mlete na Terence Creative na Nasra tucheke zaidi
Mchekeshaji nnaemkubali kwasana kenya
Prof..kiboko yao wote..hongera sana brother Coy kwa kutuletea hawa jamaa..
Sauti iko chini sana
Boresheni tunasikia vicheko zaidi ya mchekeshaji
Mpaka leo hamjui kuconnect sauti inayotoka kwenye mixer na video ili muwe na good sound jamani. Mbona nyie wakubwa tayari jifunzeni video za churchill na sound zake
Prof Harmo we love you, Tanzanian tunakupenda sana
Nampenda sana professor. Mlifnya vema kumu invite
30 min straight. Hats off Professor
Good job Prof Hamo.kazi safi sana
Asanteni sana. Naomba mumlete MCA TRICKY pia
This Guy is a LEGEND,...Hands Up Professor
Q
I agree Kenya for comedy Tanzania for music 😂😂😂🇹🇿
Wapi wachagaa😁
So good
Tanzanian comedian kipo cha kujifunza
From Kenya 🔥🔥🔥
Kenya comedians are the lessons for Tanzanian comedians .. keep learning from them Cheka tu.
Only Proffesor
Tunaomba uweze kuhudhulia show moja wapi uone kwa karibu uwezo wao kwa sasa.
Hahaha nothing unachowe,a ni kuponda tu
@@deboraezekiel784 🙏🙏🙏
We know what makes us laugh. Na Tanzania hatuhitaji kuchekeshwa ili tucheke maana hata tusipochekeshwa tuna Furaha. Kwa hiyo Kenya you need a lot of energy to make someone laugh in Tanzania you need only a person to laugh... Labda mje tukufundisheni what it means to make someone laugh. But anyway we will take that as a compliment 😊😊
Tuna la kujifunza Tz stand-up comedianz
Kenya comedy 🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakupenda tu bure AMO!!!
One of the best comedian.
I like it, ila fanyien kazi iyo sound . Make it more viable and superb
Kweli kiongozi
Nimependa umahiri wako kwenye kiswahili. Umejitahidi sana kuendana na hadhira yako.
Waa, sasa hadhira ndio nini
Kenyan legend. Even if he's seriously speaking (comedy and jokes aside), I'll always laugh 😅
Amo hapa uliweza. Iko fine thank you
Hongera kwa kumleta hamo,ntakuja cheka tu sababu ya kuwepo watu kama hawa wanajuwa kuchekesha ukienda lazma ucheke,nasubiri PR kuria,mamito,MCA,Teacher wanjiku,teacher mpamire,Jessy na kansiime,tz jifunzen kwa hawa kiukwel wanajuwa
Coy hongera sana unapush sana stand up comedy Ila fanyieni maboresho zaidi katika sound engineering, na maiki za kushika zinachosha sana mpaka mchekeshaji kumalizia segment
Ahsante sana na tunalifanyia kazi karibu kwenye show hii uone maboresho live.
Mshikaji aliyevaa kanzu hapo mbele 11'45'' yupo wrong place kabisa - una muda wa kuchat kwenye simu wakati Prof Hamo yupo on the stage na hatujui atarudi tena lini Bongo kuchekesha ! Daaaamn
Cku moja mualikeni teacher wanjiku nampenda sana.
Respect madevu I believe you
The best of I have seen Hamo perform i a while
Kenya for comedy Tanzania for music.
Very true 🙌🙌🇰🇪🇰🇪❤
Kweli Kenya mpo vizuri,,, Prof hamo na kena
I approve this
Kwenye standup comedy wakenya shikamoo
hawa ni kiboko wakenya noma
Hongereni
30 min on stage. Great work prof
Hamo wetu.umeweza🥰😍😍😍
Aisee professor hamo ni noma
Chekatuu mnafeli kwenye sound engineering sound quality ni mbovu
Most talented.......
Huyo mwenye kanzu hapo vip ana shida kubwa kuliko talanta yako🤣🤣kauzu sana
Soun mbovu aisee,😀ila Prof Hamo anajua hadi anakera kabisa🔥🔥
Fundi mitambo bado hajaweza kukadiria sauti
Jamaa ni mkali sana 😂😂😂
Hamo kama hamo
Daah nimecheka yote🤣🤣🤣🤣
Ww jamaaa ninoma cna 😂😂😂😂😂👐👐👐👐
Hawa watu tajiri ujifanya sana sasa uyo baba amekaa mbele ata haoni kitu funny
shida kubwa kuliko talanta
You never dissapoint prof hamo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥❤️❤️
Huyu jamaa kichwa yaan matukio anakutana nayo hapo hapo na anayatengezea move.
Creativity yani Ubunifu
Hizi microphone sio nzuri nyie cheka tuu... Nmetoka kusikiliza Churchill ya prof harmo na saiv naskiza hii ya cheka tuu ni mbingu na ardhi... Embu jirekebisheni
Sound engineer umetulet down but Cheka Tu are coming i see very soon you are going to conquer Churchill
Huyu noma professor
You did well bro
🤣😂harmo bana....but this video has a poor sounds.Kindly work on that...am happy to see my fellow Kenyans doing well out side Kenya 👍👏👏
Hongera Prof kwa Kazi nzuri
I love Proff. Ever creative
Bado Jemutai...jibambe
Our Kenyan Professor wapi chemu
Prof. Hamo Kumbe wee Mkali ivi, 🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂🖐🤣🤣🤣🤣🤣
Proff you are a living legend bro......... Uko juu tu sana
Kenya we're the best
Mtakalishwa na kina leornard na eliud
Hahahàahaahaaha huyu kweli professor 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisaaa
Hamo makes me laugh more when away from home, meaning, kuna a lot of unexploited content nje, keep it up Bro.
we jidanganye
this man is very talented
representing Kenya to the fullest. MUCH RESPECT PROFFESSOR .
Sauti ni shida haisikiki vizur fanyien kazi hlo
I love this guy
Kumchekesha mtanzania ni kazi nyingine isee
💥💥💥💥💥big up to profesa
Kama umemjua aliepeana mkono na prof hamo ni denzel trainer wa alikiba gonga like
My favorite comedian i appreciate in East African nakuelewanga sana hamo
Huyo anae chat na kamzi itskuwa ni kiziwi au habari xa yesu zimememeenguza
Please Coy....huyu jamaa ukimleta tarehe 29 nitalipia mara mbili ya kiingilio
Kenya to the world
Safi sana. Amepiga msuli kujifunza kuhusu Tanzania na utamaduni ndo akafanya jokes.
Sound Bwana Coy..inakuja inakataa
Prof. Hamo anajua sana aiseee...!!!
yule jamaa wa kanzu nyeupe hajawahi kufurahi maishani😹😹
The only professor I know 😇😇
Prof umerogwa
I lov this man