Mr Beneficial kwenye stage. Final Edition| CHEKA TU.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.พ. 2019
  • ตลก

ความคิดเห็น • 544

  • @doreenswai7805
    @doreenswai7805 3 ปีที่แล้ว +6

    Kama unamkubali huyu jamaa anavyo bonga piga like apa

  • @nanagreco814
    @nanagreco814 4 ปีที่แล้ว +23

    Huyu mtoto anautumishi ndani yake,,, mweny macho ya rohoni anaelewa ninachoongea,,,, ipo siku atakuja kuwa mtumishi mkubwa,,, Mungu akutunze BRIAN

  • @sophylaurian8186
    @sophylaurian8186 5 ปีที่แล้ว +164

    Watu hucheka sana lakinia mwenzenu hapo kasha hubiria mtu kuhusu habari njema ya Yesu hapo nimtu kujiongeza

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 4 ปีที่แล้ว +7

    Nimekupenda unavomtanguliza Mungu kwanza utafika mbali jitaidi

  • @bilioneatilionea7727
    @bilioneatilionea7727 5 ปีที่แล้ว +89

    Mimi nimvivu kucoment nimekukubali big up much

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 4 ปีที่แล้ว +7

    Umehubir mr beneficial kweli Mungu akubariki

  • @deogratiaselias3294
    @deogratiaselias3294 4 ปีที่แล้ว +6

    Jamaaa unampenda mungu thankyuu so much ndio maana unafanikiwa

  • @cathbertsakaya5977
    @cathbertsakaya5977 5 ปีที่แล้ว +55

    malaika wanaazimana external 😂😂😂😂😂....
    ...nakukubali sana unavyomtanguliza mungu..
    ....@Free Tunaishi

  • @nickrocker_tz5282
    @nickrocker_tz5282 5 ปีที่แล้ว +67

    ma like ya malaika wanoazimana external kwa hapa fasi

  • @graychuma2708
    @graychuma2708 5 ปีที่แล้ว +21

    Wana mambo ya kiwaki 😂😂😂😂😂😂😂😂kifo cha kokorochi god bless you bro stay here

  • @maryangela107
    @maryangela107 5 ปีที่แล้ว +154

    aise kaka napenda unavyomtangulizaga mungu jamani ubarikiwe Sana beni

  • @mrjohn4446
    @mrjohn4446 5 ปีที่แล้ว +24

    These is using comedy to preach word of God, very good

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 5 ปีที่แล้ว +30

    Ben wewe Nouma sana yani mungu kwanza ubarikiwe sana

  • @anoldnelson6109
    @anoldnelson6109 5 ปีที่แล้ว +4

    Chuga noma sana kama una wakubali kongo like apa

  • @mariammwanzalila8400
    @mariammwanzalila8400 4 ปีที่แล้ว +13

    Nilikuwa nimelala bila kusali duuh nimeamka kusali 😭

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka4358 5 ปีที่แล้ว +126

    Chuga moja kama unamuelewa gonga like

  • @gladynaasi2390
    @gladynaasi2390 5 ปีที่แล้ว +56

    Eti tunawachosha malaika hahhahaha.... Bryan we kiboko ya Cheka tu😂😂😂

  • @kilazajr3720
    @kilazajr3720 5 ปีที่แล้ว +54

    halafu huyu mshikaji anafanana gnako.

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 5 ปีที่แล้ว +14

    Uwiiiii saf sana asee niliisubiri sana hii yafunga mwaka mpo vizur broo nakubaliii

  • @neemamsabaha1112
    @neemamsabaha1112 5 ปีที่แล้ว +22

    💝💝 nikikupataa milele nitafrahii nmependa instrumental 😍😘

  • @gabrieldaniel5328
    @gabrieldaniel5328 5 ปีที่แล้ว +10

    kaz nzur mjomba ila...elew kuwa kit kinamuda wake....mafanikio unayoyapat Leo fany kama haitotokea tena.....nadhan utafanyia jambo la maana.....napenda kazi yako ...pia napenda ufanikiwe kupitia kaz ako kama wengne walivofanikiwa...

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 4 ปีที่แล้ว +5

    Ufunuo huo hakika blessed umeifanya kazi yako kwa sanaa ujumbe umefikaaa

  • @neemarichard3474
    @neemarichard3474 5 ปีที่แล้ว +88

    Wakurya wenzang naomba like hapa

  • @nahyambiduka8580
    @nahyambiduka8580 ปีที่แล้ว +4

    2022 September still his king of stand up comedy....

  • @merryeduward3028
    @merryeduward3028 5 ปีที่แล้ว +3

    Aiseee wew kaka umetisha mkono wabwana ni mkuu sana aisee umenichekesha ww

  • @damianmosoka8254
    @damianmosoka8254 5 ปีที่แล้ว +21

    Dah sema mmechelewa kuipost

  • @rastylerepublik
    @rastylerepublik 4 ปีที่แล้ว +6

    Wenye dhambi ndogo ndogo watakua wakiota Moto😂😂👊👊🇰🇪

  • @AlexMakanta-zn3zc
    @AlexMakanta-zn3zc 10 วันที่ผ่านมา

    Jamani huyu jamaa alipotelea wapi? Naangalia Leo tarehe 18/06/2024

  • @jeydanjapheth7701
    @jeydanjapheth7701 5 ปีที่แล้ว +23

    God ana fight tutoboe heaven #hahahaaaaaa

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 5 ปีที่แล้ว +12

    yaaani narudia kila siku ,,,,Mr Beneficial plz mbavu zangu

  • @shaidashivan3071
    @shaidashivan3071 5 ปีที่แล้ว +185

    Kama unapakubali matejoo ngonga like

    • @shizzohwaka8868
      @shizzohwaka8868 5 ปีที่แล้ว

      u.s.o United street of ol matejo Bofya Kwa TH-cam channel yangu kuangalia VIDEO yangu mpya wakashina ft Mon genius Chalii ya matejooo Wakashina

    • @bakarybeka4788
      @bakarybeka4788 5 ปีที่แล้ว

      Shaida Shivan q

    • @malynarda2682
      @malynarda2682 5 ปีที่แล้ว

      The best guys

    • @kashwaziri6463
      @kashwaziri6463 5 ปีที่แล้ว

      Shaida Shivan cc

    • @peterreward9151
      @peterreward9151 5 ปีที่แล้ว

      Shaida Shivan barna

  • @damianmosoka8254
    @damianmosoka8254 5 ปีที่แล้ว +28

    Keep it up Mr beneficial

  • @neemaneema5215
    @neemaneema5215 5 ปีที่แล้ว +5

    Gabu gabu ganu jamani uwiiii

  • @kelvinnassary6165
    @kelvinnassary6165 2 ปีที่แล้ว +3

    2022 on February am still interested in this comedy

  • @memurutisayanga8308
    @memurutisayanga8308 5 ปีที่แล้ว +20

    Nammi nimeuona mkono wa Bwana,,,,,, uko juuuuu xana brooo

  • @Iamraychris
    @Iamraychris 5 ปีที่แล้ว +4

    Mavazi yake yameninasa sana bro wewe chizi wakueneya kama mkali amunautofauti wowote kwau chizi

  • @tripple5
    @tripple5 5 ปีที่แล้ว +23

    wale tutakaosema turudishie apoo nyumaaa tupooo umuuu 😂😂😂😂😂😂

  • @daudfyedrack6144
    @daudfyedrack6144 5 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubaliki

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 5 ปีที่แล้ว +39

    hahahaha malaika wanaazimana external

  • @benjaminiwilliam2648
    @benjaminiwilliam2648 5 ปีที่แล้ว +4

    Mr Benefial upo vizur komaaaaa kuendelezea kipaji

  • @vailethmtemekele1347
    @vailethmtemekele1347 3 ปีที่แล้ว

    Duuuh,uko vzr kaka,unshubiri injiri kwa njia tofauti Sanaa,kiukweli nimekuelewa,Mungu akubariki

  • @dwhitetz4213
    @dwhitetz4213 5 ปีที่แล้ว +29

    angalia shalo alivyo fanya usiku kuamkia leo

  • @elizabethbuhatwa987
    @elizabethbuhatwa987 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana head boy wetu duuh nimefurahi themi moja

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 2 ปีที่แล้ว +7

    Haki this man is preaching

  • @mikaelmashimba4374
    @mikaelmashimba4374 4 ปีที่แล้ว

    Mr Ben punguza kidogo uko vizur ila kwa kutumia maandiko na kuzungumzia habar za Mungu katika vichekesho nikushauri uache najua unaelewa nini namaanisha mengine sio lazima niandike hapa

  • @stellahyohanna6038
    @stellahyohanna6038 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe charrrry kutukumbusha god 😍 bless

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 5 ปีที่แล้ว +30

    Mbeba camera lazima ujue kuchezesha camera kuchukua audience na mshereheshaji sasa nusu saa unamwangalia tu mtu mmoja

  • @katebrown4209
    @katebrown4209 5 ปีที่แล้ว +2

    Unazid kukua chalii ya r soon unaenda to the world

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 7 หลายเดือนก่อน

    24 .11.2023 bado nakufwatiliaa chaliiii yangu😅😅

  • @sweetestgospelmelodies5723
    @sweetestgospelmelodies5723 5 ปีที่แล้ว +50

    KAMA umesikia malaika wanaazimaana ma external ni masikio yako😂😂😂

  • @pastor_emanuel_mmbaga
    @pastor_emanuel_mmbaga 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anajuaa

  • @chibaleh.vicent4705
    @chibaleh.vicent4705 5 ปีที่แล้ว +27

    May God Bless You Brother

  • @ericstephenm.844
    @ericstephenm.844 5 ปีที่แล้ว +9

    Good job cheka tu.
    You are the Churchill of Tz.
    Your shows are 🔥🔥🔥.
    Pia it's very good mmefanyia kazi video colour!!!👏👏👏
    Keep going!!!

  • @henrykimaro6591
    @henrykimaro6591 5 ปีที่แล้ว +1

    Daaah unatisha sana mkaliwadee🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @philemonsamwel7761
    @philemonsamwel7761 2 ปีที่แล้ว +1

    Alikuwa Ana roho mbaya NYOKA, enzi za uhai wake nyuma NYOKA by Chindo Man 😂😂😂😂

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 5 ปีที่แล้ว +14

    Perfect sana

  • @maswinyabichemo7760
    @maswinyabichemo7760 5 ปีที่แล้ว +9

    Mura dhambi ni dhambi mura embu ingia huku😂😂😂😂😂😂

  • @dazmeddvevo2375
    @dazmeddvevo2375 5 ปีที่แล้ว +41

    Sisi hao chalii ya chuganian fas ya hapo Kat😂😂😂😁😁😁😂😂Hamna kaz hapo 😁😁😂😂😂😂hutaki au 😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😈😈😈😈😈😈😡😡😡😡😡😡😡😡😡

  • @eliaburuhaza4735
    @eliaburuhaza4735 5 ปีที่แล้ว +3

    Mungu kwanza,, nakubali sana broo

  • @marysixmund5713
    @marysixmund5713 5 ปีที่แล้ว +23

    wale tutakao kuwa tunaota moto tujuane tuyajenge tutaenda na mahindi yet ya kuchoma au tutayakuta mbele hahahaha

  • @RemmyLyimo
    @RemmyLyimo 10 หลายเดือนก่อน

    Ni yechu yechu dingiii haikatox💯

  • @maromjay6184
    @maromjay6184 5 ปีที่แล้ว +9

    uko vizuri brother beneficial

  • @romwaldjumanne2066
    @romwaldjumanne2066 5 ปีที่แล้ว +1

    Sanaaaaaaaaaa Nakubal haikatai kabisa

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 ปีที่แล้ว

    kila mtu amezaliwa na malaika wake... SI NINAWAULIZA!!! genius hadi leo

  • @judithsobore3778
    @judithsobore3778 3 ปีที่แล้ว +1

    Uko poa sana brother bigup

  • @agonza1949
    @agonza1949 4 ปีที่แล้ว +2

    Jmn jmn waooooooooooh i reaaaal lov your wooooork beneficial

  • @bellamygong
    @bellamygong 5 ปีที่แล้ว +9

    Nataka kulijua jina la hii nyimbo aloingia nayo TAFADHALI 🤗🤗🤗🤗

  • @hellaindavid8405
    @hellaindavid8405 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahahahaha nakukubali sana dingiiiii

  • @mligombuma2287
    @mligombuma2287 5 ปีที่แล้ว +6

    Papaa mafido unamtambua lakiniii

  • @sirmwita3351
    @sirmwita3351 5 ปีที่แล้ว +3

    Hii ni show yangu, nafurahi sana uwepo. Marekebisho ni madogo tu, kwanza muwe mnawaisha kuipost, pili mfanye promotion za kutosha, mfike na mikoani, then camera man ajitahidi kuonesha na audience. But keep it up

  • @HoseaObeid-wo7kg
    @HoseaObeid-wo7kg หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe longlife

  • @desultansaid3647
    @desultansaid3647 5 ปีที่แล้ว +10

    Yechu yechu ni fire

  • @yusuphmpetu1795
    @yusuphmpetu1795 5 ปีที่แล้ว +4

    MB zimetumika halali

  • @stanslauspeter314
    @stanslauspeter314 5 ปีที่แล้ว +17

    Eti walele wenyedhambi ndogondgo watakuwa wanaota moto

  • @malaikamalaika8233
    @malaikamalaika8233 5 ปีที่แล้ว +2

    nakukubali sana Arachuga lini

  • @jacksonline2831
    @jacksonline2831 3 ปีที่แล้ว

    Hivi hii cheka tu uko wap nihudhurie hata siku moja jaman..

  • @elinaikeregnald9722
    @elinaikeregnald9722 5 ปีที่แล้ว +3

    U kill it man....yechu yechuuuuu

  • @neemasekwao5243
    @neemasekwao5243 5 ปีที่แล้ว +2

    Nakubari sana 100℅

  • @tiantopherinnocent
    @tiantopherinnocent 5 ปีที่แล้ว +25

    #kumbuka maneno ya #papaa_mafido_Tz

  • @blackjbeauty547
    @blackjbeauty547 5 ปีที่แล้ว +3

    Haikatai mpaka kwa God

  • @fidelspamba9353
    @fidelspamba9353 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ambaliki beneficial

  • @mwajumasaid4262
    @mwajumasaid4262 5 ปีที่แล้ว +11

    😂😂😂umetisha

  • @reginakennedy3498
    @reginakennedy3498 4 ปีที่แล้ว

    Jaman huyu chunga nakupenda sana. Unajua kunifurahisha

  • @rehemadaniel6382
    @rehemadaniel6382 5 ปีที่แล้ว +3

    Nimecheka mbavu zinauma

  • @robertedfin9830
    @robertedfin9830 5 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaaa....nakukubar xan mr

  • @alicekephas5461
    @alicekephas5461 5 ปีที่แล้ว +3

    He is talent👌

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa utaniuaaaaaaaa!!!!!!!

  • @elizabethisenga5831
    @elizabethisenga5831 5 ปีที่แล้ว +4

    noma chalii

  • @unknownsshayo1527
    @unknownsshayo1527 5 ปีที่แล้ว +2

    kweliii hyooo ni mafekechooo

  • @elizabethminja5006
    @elizabethminja5006 5 ปีที่แล้ว +5

    mim nitaota moto😀😀😀😀

  • @kaizersimangwa4719
    @kaizersimangwa4719 5 ปีที่แล้ว +2

    Hahaha kali sana mwana

  • @jamalimalinzi2752
    @jamalimalinzi2752 3 ปีที่แล้ว

    Asante tunacheka ili tuongeze siku za kuishi

  • @danielgodson4694
    @danielgodson4694 5 ปีที่แล้ว +1

    Ujuu jamaa noma sana.....

  • @lovelymonner7804
    @lovelymonner7804 5 ปีที่แล้ว +8

    nmependa ulivyoondoka chali

  • @patrickmtuymtuy946
    @patrickmtuymtuy946 5 ปีที่แล้ว +1

    upo vzr mr beneficial

  • @davidngowi1534
    @davidngowi1534 2 ปีที่แล้ว

    Tunataka huyu jamaa aje tena cheka tu atoke huko Usa

  • @samalocye7725
    @samalocye7725 5 ปีที่แล้ว

    Umetisha kinoma mzee baba

  • @barakamnkunda2130
    @barakamnkunda2130 5 ปีที่แล้ว +12

    Chali R respect sana

  • @evmoseschungu4749
    @evmoseschungu4749 5 ปีที่แล้ว +2

    Napenda hili jamaa

  • @lujamaduhu4655
    @lujamaduhu4655 4 ปีที่แล้ว

    Nimependaa hy love u