Mtmsh naomba unishaidia na maombi MUNGU arengesha watoto wangu walichukuliwa na watu wa kwao baada ya baba yao kufa na ni wadogo wako na miak 4na2 mm niko mombasa nawao wako kisii naomba mungu arejesha
Mtumishi wa Mungu ameomba kwa ajili yako, na sisi kama kanisa pia tunasimama na kuomba kwa ajili yako. Na nikutie moyo sio bahati mbaya umesikiliza ujumbe huu, huu ni ujumbe wa Mungu kwako! Kama mtumishi wa Mungu alivyofundisha, hata Daudi alipokonywa familia yake, lakini Mungu alimrudishia. Kama mtumishi wa Mungu alivyotamka na kuomba! Watoto wako watarejeshwa, watarudishwa! Watoto rudisha!
@@justinenjau6670 Amen asant kwa kunitia moyo niko na imani kua MUNGU aliyeleta ujumbe huu alikua na kushundi katika maisha yangu MUNGU awabariki na azidi kuwatmia
👆👆O lord everyone on this COMMENT has a prayer request .then o lord remember us as you remembered Joseph who came directly from being prisoner and the same day prime minister in JESUS NAME we PRAY
Kama ninavyo andika kwa imani chini ya maelekezo ya my spiritual daddy I command all empire of evils into my life to dissappear, ninawamaliza mkono wa Bwana ukiwafwatiaaa pigaaaaa pigaaaaa pigaaaaa wanaachiaa yeyeye in the name of Jesus... connect with me in Jesus name
Barikiwa sana mutumishi wa mungu Kwa kweli kabiza mungu anakutumiya umekuwa baraka kwaku hallelujah hallelujah ❤❤
Amen Apostle 🙏
Amen
Nimerudia
Amina ubarikiwee sana unatufungua sana Fungueni watu.watu wapo makanisani bado wanalia saidieni taifa la mungu
Asante sana Apostole Mtalemwa Kwa maombi Yako
Sooo POWERFUL
Amen amen and amen.barikiwa Sana baba .ataachia kila kitu changu
Amen Apostle, Asante Kwa somo zuri na maombizi 🔥, Napokea 🙌
Kwa Jina la Yesu watarudisha mara saba, Ameeen Ameen ubarikiwe Sana Apostle
Ameen Kwa jina la YESU ninapinga Kila kazi za shetani katika maisha yangu
Mungu akupe maisha marefu apostle umejua baraka Sana kwangu.mafundisho mazuri Sana sana
Wapigwe Kwa Jina la Yesu
Kwa jina la Yesu leo kila kitu kilichochukuliwa kwenye maisha yangu kinarejeshwa.Pesa zangu zinarejeshwa.ndoa
Nitapandishwa JUU in Jesus' name. AMEN.
Kila kilichoibiwa Na shetani kinarudi Kwa Jina la Yesu 🙏🙏🙏
Ameeen ameeen anda meeen ubarikiwe sana dady 🙏🙏🙏
Mtmsh naomba unishaidia na maombi MUNGU arengesha watoto wangu walichukuliwa na watu wa kwao baada ya baba yao kufa na ni wadogo wako na miak 4na2 mm niko mombasa nawao wako kisii naomba mungu arejesha
Mtumishi wa Mungu ameomba kwa ajili yako, na sisi kama kanisa pia tunasimama na kuomba kwa ajili yako. Na nikutie moyo sio bahati mbaya umesikiliza ujumbe huu, huu ni ujumbe wa Mungu kwako! Kama mtumishi wa Mungu alivyofundisha, hata Daudi alipokonywa familia yake, lakini Mungu alimrudishia. Kama mtumishi wa Mungu alivyotamka na kuomba! Watoto wako watarejeshwa, watarudishwa! Watoto rudisha!
@@justinenjau6670 Amen asant kwa kunitia moyo niko na imani kua MUNGU aliyeleta ujumbe huu alikua na kushundi katika maisha yangu MUNGU awabariki na azidi kuwatmia
@@happpyfuraha amen, mtumishi wa Mungu Apostle Mtalemwa pamoja na sisi kama kanisa tunasimama na kuomba kwa ajili yako. Amen
@@justinenjau6670 Amen mungu awabariki kwa kunibebea mzingo naomba no ya mtu mmoja wa kanisani hata kama ni ww
Ameeeeeen ameeeeeen ❤❤
Omukama asimwe
Ameni
Marvelous
👆👆O lord everyone on this COMMENT has a prayer request .then o lord remember us as you remembered Joseph who came directly from being prisoner and the same day prime minister in JESUS NAME we PRAY
Kama ninavyo andika kwa imani chini ya maelekezo ya my spiritual daddy I command all empire of evils into my life to dissappear, ninawamaliza mkono wa Bwana ukiwafwatiaaa pigaaaaa pigaaaaa pigaaaaa wanaachiaa yeyeye in the name of Jesus... connect with me in Jesus name
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mungu yuko pamoja nasi akuna kumuogopa adui
MUNGU nirudishia nyoto yangu ili chukuliwa na hadui zangu
KWA Jina la Yesu KILA kilichochukuliwa kwenye maisha yangu kinareheshwa KWA Jina la Yesu
Adui yetu mkuu ni shetani
Amen narudishiwa vilivyoibiwa kwa Jina la yesu
Warudishe vitu vyangu vyote KWA Jina la Yesu
Jamani nataka nije kanisni kwako nakujaje me nakaa kigamboni
Rudisha Afya,uchumi, hadhi yangu, Rudisha na vya ndugu zangu rafiki zangu wote walio iba warudisheeeeee , in Jesus name.
Groly to God
Napokea
Amen