Mungu atusaidie tutegemee maandiko ktk biblia na sio media, kama mfalme wa shamu alikuja tena mwezi wa kwanza baada ya kushindwa mwaka jana Asante Apostle
MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU unaponya mioyo ya wengi Sana ,hakika wewe ni mtu tunapaswa kujivunia na kukuombea Sana ktk kipindi hiki Cha siku za mwisho.....wewe ni hazina 🙏🙏🙏🙏MUNGU akutunze....
Ahsante Mtumishi wa Mungu. Ukweli ndio huo, tuache unafiki, ugonjwa wa korona upo nasi tuendelee kutumia silaha tulizonazo kama mwanzo pamoja na kuzidi kumwomba Mungu Muweza yote. Kwa jina la Yesu Kristo tutashinda
Asante mtumishi. Injili ya kweli lazima ihubiriwe. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huduma hii na tunamshukuru Mungu na sisi wa mbali inatufikia. Mbarikiwe sana. Limekuwa neno langu siku ya leo
Mtumishi Apostle Mtalemwa Mwenyez Mungu akupe Neema ya ushindi katika utumishi wako ubarikiwe sana mafundisho yako yananibariki na kunifundisha sana naamin ujumbe uwako umewafikia wengi na umewagusa
A right sermon in a right time, the same way we defeated the first wave, we shall defeat whatsoever number of corona wave in the SAME and POWERFUL name of JESUS, Ameen!! God Bless you more Man of God.
Shalom shalom mtumishi haya mafundisho ndiyo tuna yatafuta wengine hatujui mpangilio wa Bible unakuta unafatilia maombi yako ya kukimbiza mapepo Kisha unabakia ujui kujipangilia ni neno gani la kusoma ili tatizo likiisha lisiludi au asiwe anakukalibia kwasababu pepo akukalibii kama ukiwa na neno la mungu kila siku na Imani ukiwa nayo pia tumishi
Jamani huwa nabarikiwa tu na masomo yako cjawahi kujuta Mana huwa napata nguvu mpyaaaaa kila ninaposkia,,,,,,,,MUNGU akubariki Sana mtumishi uzidi kuinuliwa na kufunuliwa zaidi
Mbona tumefundishwa kwa wakati ule waliomwabudu mungu waliwaita Wana wa mungu na wake uzao wa kaini (wapagani)wakaoleana ndipo ghadhabu ya mungu ikawaka halafu Wana wamungu ni wale ambao ktk uumbaji Bwana akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu hao ndio Wana wa mungu yaani wanadamu malaika siyo Wana wa mungu huwezi kuniambia malaika ni Wana wamungu malaika hajawekewa mbegu za kuzaa watu hiyo ni wanadamu tu ndio walioambiwa wakazaane na kuongezrka kutosha malaika hawezi kuzaa!!!!
Wanefili wanafili Nuhu alitengeneza SAFINA kama Mungu alivyomwagiza, na kweli waliangamizwa na Mungu,.shida ni pale hatujui historia ikoje,.kanisa la Mungu likisimama kama Joshua na Kalebu walivyojipanga wakiwa na Mungu mwenyewe basi waiingia nchi ya Ahadi. EEEH Mungu nisaidie nisonge mbele..
Pastor nilianza kukuelewa sana tangu kwenye ule wimbo wa Muzina nakupenda sana Mungu akuinue zaidi na zaidi
Amen mtume wa yesu nambarikiwa na maumbiri yako,,,, i'm watching from saudia i'm blessed🙏🙏🙏
Napenda sana Mafundisho ya huyu Pastor. I always listen to your teachings 🙏🙏
я
pro tip : watch series at Flixzone. Been using it for watching loads of movies these days.
@Ahmad Ronald Yup, been using flixzone for years myself =)
@Ahmad Ronald yea, I've been using flixzone for since december myself :)
@Ahmad Ronald Yup, I have been watching on Flixzone for years myself =)
Mtumishi wa Mungu wanibariki Sana. Nakuru_Kenya
Ubarikiwe sana Apostle,mahubiri haya nizaidi ya mwaka nimeyafuatilia leo,kweli yamenivusha ninako pita, Haleluuuuya 💪🙏
Amen amen mutumishi Mungu akuzidishiye
Mungu atusaidie tutegemee maandiko ktk biblia na sio media, kama mfalme wa shamu alikuja tena mwezi wa kwanza baada ya kushindwa mwaka jana
Asante Apostle
Na Ahimidiwe Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wake Apostle Mtalemwa.
AMEN..huu ujumbe umenibariki
Asante sana Mtumishi wa MUNGU umenifundisha jambo sana hakika sitajisahau tena, Barikiwa sana Chief.
Apostle ni mtu wa wap
Waoooooh. What a powerful teachings? Asante mtumishi wa Mungu. Nimekuelewa sanaaaa. Hili somo ni applicable sector zote za maisha. Asante mlezi wetu
MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU unaponya mioyo ya wengi Sana ,hakika wewe ni mtu tunapaswa kujivunia na kukuombea Sana ktk kipindi hiki Cha siku za mwisho.....wewe ni hazina 🙏🙏🙏🙏MUNGU akutunze....
Sure Ameen
Ameeen barikiwe sana mtumishi
Ahsante Mtumishi wa Mungu. Ukweli ndio huo, tuache unafiki, ugonjwa wa korona upo nasi tuendelee kutumia silaha tulizonazo kama mwanzo pamoja na kuzidi kumwomba Mungu Muweza yote. Kwa jina la Yesu Kristo tutashinda
Asante sana Apostle nina barikiwa na neno lako nikiwa nchini Brazil
Thanx. Coz of the revelation man of God.Nkr city Kenya
Asante mtumishi. Injili ya kweli lazima ihubiriwe. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huduma hii na tunamshukuru Mungu na sisi wa mbali inatufikia.
Mbarikiwe sana. Limekuwa neno langu siku ya leo
Mwanangu atapona kwa Jina la Yesu
Mtumishi Apostle Mtalemwa Mwenyez Mungu akupe Neema ya ushindi katika utumishi wako ubarikiwe sana mafundisho yako yananibariki na kunifundisha sana naamin ujumbe uwako umewafikia wengi na umewagusa
Amen Apostle Mtalemwa
Mtumishi nimesoma ujumbe wako nakuuelewa lakin nataman kukutana na wewe nijue zaidi sijui unanisaidiaje kwa hili maana Naona moyon sijakaa swa
Naweza kukupataje kesho nikuone maan ujumbe wako nimeusoma lkn bado ninayo ya kukuliza uweze kunisaidia Mtumishi naomba msaada wako
A right sermon in a right time, the same way we defeated the first wave, we shall defeat whatsoever number of corona wave in the SAME and POWERFUL name of JESUS, Ameen!!
God Bless you more Man of God.
asante mtumishi nabarikiwa nkiwa apa🇰🇪
Ninabarkiwa sanaàa namafundisho yako lkn naomba namm uniombee mtumishi Niko nachangamoto nying bwanaaa akuinue sana mtumishi
Barikiwa mtumishi kweli IPO tuombe Mungu Sana tuchukue tahathari pia
Thank you Chife apostle mtalemwa, sema baba that is true
Shalom shalom mtumishi haya mafundisho ndiyo tuna yatafuta wengine hatujui mpangilio wa Bible unakuta unafatilia maombi yako ya kukimbiza mapepo Kisha unabakia ujui kujipangilia ni neno gani la kusoma ili tatizo likiisha lisiludi au asiwe anakukalibia kwasababu pepo akukalibii kama ukiwa na neno la mungu kila siku na Imani ukiwa nayo pia tumishi
Powerful teaching thanks may God bless you 🔥🔥🔥🔥
Be blessed man of God
Eye opener. Be blessed man of great God. Am watching from Kenya.
Nimejazwa na mafundisho yako Mungu akuinue
Shalom shalom chief Apostle 10G
Hakika nimekukubari mtumishi was Mungu, karne hii inatakiwa iwe na mashujaa kama wewe. Barikiwa.
Amina
Umenifanya nijue mengi juu ya Maisha yangu na napona na nitaendelea kupona .barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
815
Mungu akuongezee miaka ya kuishi mtumishi wa bwana
Very powerful teachings
Bravo! Pastor
Ameni
Powerful teaching, Asante mtumishi
Powerful teaching Apostle
Asante kwa mafundisho
Am blessed so much pst be blessed.
.
Hallelujah 🙏 upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu
Very encouraging and GOD BLESS you Apostle.
Nashukuru sana Mtumishi 🙏 unacho hubiri ni sahihi kabisa leo umenifumbua macho nimejifunza uhalisia wa maisha Asante sana 🙏🙏🙏
Bwana Yesu Asifiwe
Naamini kupokea in Jesus mighty name above every name 💞
one ofe postler that never listen before, 💪💪
ALUTA CONTINUE TUNAENDELEA KUPAMBANA🔥🔥🔥
I like the Apostle so much God bless your ministry 🙏🙏
Powerful teaching God bless you Chief Apostle
Powerful teachings pastor
Thank you so much apostle Mtalemwa God bless you so much my apostle
Soooo 💥 powerful 🙏🙏it is done
Jamani huwa nabarikiwa tu na masomo yako cjawahi kujuta Mana huwa napata nguvu mpyaaaaa kila ninaposkia,,,,,,,,MUNGU akubariki Sana mtumishi uzidi kuinuliwa na kufunuliwa zaidi
Huyu mtumishi nampenda Mungu azidi kumuweka hakika akifundisha Neno namuelewa
It's true man of God if u relax they come again thanks for gud mission
YATOSHA 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Bless you Apostle
Amina 2tasimama tena kwa jina la yesu
Amena. Mungu akubariki sana
Glory to God🙌🔥🙌Blessed Man of God the WORD PREACHED, HEAL RESTORE MY SOUL🤲🔥🤲🔥🙏🙏🙏
Mungu akubariki umenena ukweli umetwambia
Asante mtumishi ni mafundisho ya leo imenibariki🙏🙏
Msumari wa inchi nane unaumaaa lakini tumepona,meseji sent,hata Roho mtakatifu kafurahi
Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ya kweli
My.pastor
Ubarikiwe Sana mtumishi karibu na kwetu Mbeya jmn
I hear you APOSTLE....let's fight again ... Mungu wetu atatusaidia
@@pastorseanpinder1928 kwendraaa
Barikiwa mtumishi
Hongera mtelemwa uko imara Sana maake watumishi wengi watia hofu waumini wao badala ya kuwapa moyo wa kua na Imani kamili
Amen in the mighty name of Jesus Christ Amen Hallelujah Glory be to God
Thanks very much postor i understand you.🖒
Mungu akuzidishie hekima na maharifa
Amina nimepata neno sitasahau kamwe kwa nn yanajirudia tu mambo
Amina nimebarikiwa
Dar mungu ana vyombo nimeamini be bresed
Ubarikiwe mtumishi.
Asante Mtumishi kwa somo umenifungua
Mungu azidi kukutumia na kukutunza, sema tufundishe tupone
Pasta, ukweli napenda sana mafundisho maana yamebase kwenye biblia
Nashukuru kwa kunifundisha kuwa shetani anarudi sintazembea kuomba
Wape wape hao hawajavaa barakoa wanafiki hao.Nakupenda mtumishi msema kweli.
mungu ndio muweza yayote sisi tutaendelea kumuomba hatuepushe tena ktk ugonjwa huu
From nchi yambali tunakupata sana
Hallo, WA misri wako, Kuna wale wamenibariki na mavafi na pesa, wapo
Amen kweli
More grace
Mtumishi shalom
Halleluya I learnt something even though am at school.
Sema.sema.sema.una.neema.ya.ajabu.yaa.eti.midhambi.inaendelea.matatizo.yakome.tanzania kama dhambi.inaendelea.basi.na.matatizo.yapo.yanaendelea
Mbona tumefundishwa kwa wakati ule waliomwabudu mungu waliwaita Wana wa mungu na wake uzao wa kaini (wapagani)wakaoleana ndipo ghadhabu ya mungu ikawaka halafu Wana wamungu ni wale ambao ktk uumbaji Bwana akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu hao ndio Wana wa mungu yaani wanadamu malaika siyo Wana wa mungu huwezi kuniambia malaika ni Wana wamungu malaika hajawekewa mbegu za kuzaa watu hiyo ni wanadamu tu ndio walioambiwa wakazaane na kuongezrka kutosha malaika hawezi kuzaa!!!!
Nimekukubari mtumishi
Wanefili wanafili Nuhu alitengeneza SAFINA kama Mungu alivyomwagiza, na kweli waliangamizwa na Mungu,.shida ni pale hatujui historia ikoje,.kanisa la Mungu likisimama kama Joshua na Kalebu walivyojipanga wakiwa na Mungu mwenyewe basi waiingia nchi ya Ahadi. EEEH Mungu nisaidie nisonge mbele..
Amen man of God
Nimejifunza kitu mtumishi wa Mungu
Mimi ni amina mu Kenya 🙏🙏🙏🙏
It is done.
Mtumishi uje na bukoba jamani
Neno la MUNGU ni upanga ukatao kuwili
Kweli kabisa wengi hatutazami neno tunaangalia media upo sahihi barikiwa
Naomba kujua huyu mtumishi anapatikana wapi??? Kwa karne hii tunahitaji watumishi kama hawa
Yupo dar ,makongo juu
God bless you
Imani inanguvu kuliko tatizo ulilonalo au mabalaa ya uko
Imani inanguvu kuliko kitu chochote Mungu atusaidie tusiwevinyonga ktk lmani na matendo(Neno la Mungu na kulielewa)
Amen amen
Hallelujah hallelujah hallelujah
Ninacho mpenda huyu baba ni mkali ktk mafundisho yake
Nimejifunza. Namtukuza MUNGU
🙏🙏🙏Amen
Eeh ni mungu tu nimefika apa namimi niskie