ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Roho ya umaskini haikuzuii KUNENA kwa lugha, lakini itahakikisha kwenye eneo la fedha hausogei.
Kilichomfanya huyu mtu atoke kwenye makaburi ni kwa sababu ya uwepo wa Yesu, Ulimuhamisha kutoka sehemu ya mauti aliyokaa muda mrefu.
Kuna watu kwenye ulimwengu wa roho wamehamishwa na kuwekwa kwenye location(maeneo) ambapo wakiwa kwenye hayo maeneo chochote wanachokifanya KINAKUFA.
Shetani ili afanye uharibifu kwako huhakikisha kwanza amekuweka kwenye eneo ambalo anapata access na wewe wakati wowote akihitaji, vilevile huhakikisha wale ambao ni msaada kwako anakutenga nao.Ndio maana kuna aina fulani ya watu kila wakija karibu na wewe ndani yako kunainuka tabia ambazo hata hujui zimetoka wapi..kiburi, hasira iliyopitiliza,majivuno n.k na kipindi watu hawa wakiondoka unarudi katika hali yako ya kawaida.Na watu wengi jambo hili limewatesa sana kwa sababu hawajui chanzo ni nini.
Ukiwa kwenye eneo la namna hiyo kila atakaye kuja kwenye maisha yako ana tatizo kama lako,na ndio maana wewe na rafiki yako wote mnapitia changamoto zinazofanana.
#PastorSunbella#RohoYa#Umasikini
Mimi ni mwislam ila nakufatilia sana pastor
Karibu Yesu anaweza na wala habagui mkiri tu na umwamini
Barikiwa Sana Yesu anakupenda sana
kama ukoo wetu hakuna mtu hata mmoja aliwahi fanikiwa...kama vile Mungu aishivyo nimekataa kuwa muhathiriwa kwa Jina La Yesu aliye hai
Sioni nyuma Wala mbele
Nakataa roho ya umaskini kwa jina la Yesu Amen.
Nimekataa roho ya umaskini kwa jina la yesu aliye hai
Mtumishi wa Mungu napenda sana mahubiri yako Mungu akubariki
Mafundisho yako ni mazuri mtumishi wa mungu na yanagusa Sana maisha yetu.Nataman sku moja nipate mda wa kufika kanisani kwako kujifunza na kupata maombi namuomba mungu ajalie Hilo litimie.
MUNGU akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri, Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya
Asifiwe yesu mm Huwa sipati kazi nikipata napata za ndani lkni hizo za ndan pia siwezi kudumu zako mwanzoni au baada ya mda Fulani nitapendwa sana ila akiweka Nia ya kunisaidia ataanza kupigwa kiuchumi gafla anaanza kunichukia 😢nikijiajiri sifanikiwi nikikaa kwenye biashara ya mtu hata wale wateja wake wanamuhama pastor I really need help
Asante mtumishi wa mungu.Umenifungua macho,napitia hayo naomba mungu anikomboe
Katika Jina la Yesu Kristo mimi na uzao wangu ni uzao wa kitajiri nimepewa utajiri na Yesu na sitakuwa masikini kwa namna yeyote ktk jina la Yesu Kristo amina
Asante sana mtumishi kwa somo ,amen nmepata somo kabisa
Amen mtumishi barikiwa sana
Yan somo hili ndio maisha ninayoyapitia kila nacho kifanya hakifiki mwisho
Kiuchumi na maisha
Mungu ajizihishe ndan ya maisha yangu
Naogopa Mimi naogopa niniii ndugu yangu Mungu atusaidie sana
hali inatisha sanaa 😢😢😢
Ninakataa roho ya umaskini kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏
Daddy 😪❣️Una nibariki sana😪😪Ahsante YESU WANGU
your teachings bless me alot Mungu akupe kibali uje na Mbeya
Amina
Roho ya umaskini inatesa wachungaji
Naomba location ya kanisa lenu
Naomba namba za huyu mtumishi...
Kanisan ni wapi na ratiba za ibada zikoje
Dah 😪😪Mungu Tusaidie hakikaa
Amen
Amina sana mtumishi nakuelewa
Eewee Roho ya umasikini skiaaa mimi na familia yangu kuanzia leoo Sasa ivi ni matajri Tena wakubwa wala syo masikini Tena katka Jina LA YESU KRISTO alie Hai eee MUNGU sikiaa maombi yangu na dua zangu nautoaa mwili na moyo wangu kuwa dhabihu Hai kwako nitumiee vile upendavyo ktka Jina LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU AMENI
Je mwalimu na pastor unaposoma,ufunuo:2:8:11,unajifunza nini?mafunzo mengine aitusaidii kitu
AMENI na roho ya umaskini initoke katika jina la YESU
roho ya Umaskini iachie familia yangu katika jina la YESU KRISTO WANAZARETI ALIYE HAI
Amen Amen barikiwa sana man of God 🙏🙏
Kanisa liko wapi?
Sijakata tamaa ila nimechoka sijui nn nifanyie YESU nisaidie wewe pekee unanijua nakujua maitaji yangu vyema sistaili ila nisaidie mwanao
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, napenda sana masomo yako,mimi heaven nachukia sana umasikini,kwetu ni mimi peke yangu nimesoma,na MUNGU akanisaidia nikapata kazi,nikamshukuru MUNGU nitawasomesha wadogo zangu,lakini sasa huku kazini nimekua wa madeni,naweza hesabu laki 3,naweka juu ya meza ofisini kufumba na kufumbua sizioni, ntatafuta hadi kwenye viatu sizipati, nimekua mtumwa wa madeni na mimi ni cashier.
Nakataa roho za umaskini katika maisha yangu kuanzia sasa ivi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja kila kilisho shikilia hata uchumi wangu na kazi yangu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja Amen Amen Amen Amen
Muchungaji, ubarikiwe Sana, hili Somo limeniguza, naomba uniweke kwa maombi, ili Roho ya umasikini iniondokehe, na nipate location mpya nimeishi miaka mingi sana hapa , sioni nyuma Wala nyuma Mungu anifungulie kupitia kwa maombi yako na nitakushukuru,Amen
Be bless pastor
Barikiwa napokea kitu kipya kunamahali ananivusha
Amen
Nimekuelewa sana mtumishi MUNGU akubariki mno, naona kama unayazungumzia maisha yangu hapo yaani MUNGU anisaidie
Baba naomba niombee mungu aniwezeshe kujenga nyumba hivi nina miaka hamsina tatu naishi kwenye nyumba ya kupanga We mungu nisaidie niondolee riho ya umaskini
Mafundisho mazuri sana mtumishi na ni kweli ww ni mwalimu kweli kweli maana mwalimu sahihi lazima afundishe Kwa mafundisho yenye uhai ndani yake
Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.
😭😭😭😭roho ya umaskini na mapooza hebu achilia familia yangu katika jina la yesu kristo wa nazareth aliye hai 😊
Pasta naomba uniombee familia yetu tuweze kuolewa na kuowa tufike madhabahuni.
Jina la bw. Yesu lihimidiwe! Ni mfuatiliaji makini wa mafundisho yako! Mungu akubariki.
Heee yesu unirehemu, kweli mkono wakuume umefunguliwa ila wa koshoto umefungwa
Huo mfano wa Mtumishi ambaye anafuatiliwa na roho ya umaskini umenitafakarisha sana 12:50
Nakuelewa vizuri sana mtumishi , ila Kuna jambo la kufanya hapa....ì
Nawafuata 100%nikiwa Burundi Mubalikiwe sana pasta Sanbella nimesaidiwa sana
Be blessed Kyando
Pastor nina kaka yangu amefungwa na roho hiyo kabisa naomba musaada plz
Roho ya umaskini niache Mimi na familia yangu kwa Damu ya Yesu na kwa Jina la Yesu
Amen amen amen
Iam being blessed.
Amen Amen 🙏🙏
Nakataa umaskini mim na family yangu natoka kwa jina la yeau
Asante nashukuru Kwa mafundisho yako pastor sanbela
WAKATI SAHIHI KABISA NILIKUWA NAJIULIZA SANA MAISHA YANGU YATAKUWAJE
Amen mtumishi wa mungu.
nimepend mafundisho yak nataman nije kanisan kwak sik moj kyando mwenzang
amen mtumish...mungu aniondolee roho ya umaskin kwa jina yesu
Ukisikiliza kwa makini machozi 😭 lazima yakutoke 😭
Ee mungu wangu isimamie famiria yangu itoke kwenye umasikin
Amen mchungaji😭🙏🏾
Ndio mchungaji nakuelewa sana nipo simiyu naitwa Rachal
Roho ya umauti unitoke ndani ya kwa jina la Yesu
Hugoni kutoka tanga... Barikiwa Mtumishi
Nakataa roho ya umaskini maishan mwanguu
Nakumbali Sanaa zaidi ya sanaaaa!!!!!!mtumishi
Nakata logo ya umasikini katika jina la Yesu
Amen 🙏😭
Amen and Amen Pastol ,ujumbe unabarikiii sanaa
Kyando nahitaji mawasiliano yako
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Pasto mafundisho yanagusa maisha yangu kabisa
Hasee mafundisho mazuri Sana haya
Nakataa rohoya umasikin
Nikweli man of God
Hallelujah hallelujah
Ameeen Yesu niponye
Roho ya umaskini initoke in Jesus Name
AMINA mtumishi wa mungu
Yesu fanya jambo
Amen
Ubarikiwe Mtumishi.
Naomba kujua kanisani kwake naomba mtu yeyote anielekeze plz
Kanisa lipo sinza mori mkabala na ofisini za Tamwa au karibu na bar ya lachaz, tumia namba hii kwa kutuma ujumbe whatsup kwa msaada zaidi 0657173322
@@pastorsunbellakyando Nashukuru sana sana
Najifunza Sana hakika napata nguvu
Asante Mungu
Ameen Pastor
Amen 🙏🙏🙏
pastor karibu sana na Mbeya pia
God bless you pastor
Amina Mungu atusaidie Sana.
Amen Amen
🙌
Ni kweli mtumishi
❣️
🙏🙏🙏
Amina
🙏🙏
Amen
Ameen
So touching
Amen