ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Roho ya umaskini haikuzuii KUNENA kwa lugha, lakini itahakikisha kwenye eneo la fedha hausogei.
    Kilichomfanya huyu mtu atoke kwenye makaburi ni kwa sababu ya uwepo wa Yesu, Ulimuhamisha kutoka sehemu ya mauti aliyokaa muda mrefu.
    Kuna watu kwenye ulimwengu wa roho wamehamishwa na kuwekwa kwenye location(maeneo) ambapo wakiwa kwenye hayo maeneo chochote wanachokifanya KINAKUFA.
    Shetani ili afanye uharibifu kwako huhakikisha kwanza amekuweka kwenye eneo ambalo anapata access na wewe wakati wowote akihitaji, vilevile huhakikisha wale ambao ni msaada kwako anakutenga nao.Ndio maana kuna aina fulani ya watu kila wakija karibu na wewe ndani yako kunainuka tabia ambazo hata hujui zimetoka wapi..kiburi, hasira iliyopitiliza,majivuno n.k na kipindi watu hawa wakiondoka unarudi katika hali yako ya kawaida.Na watu wengi jambo hili limewatesa sana kwa sababu hawajui chanzo ni nini.
    Ukiwa kwenye eneo la namna hiyo kila atakaye kuja kwenye maisha yako ana tatizo kama lako,na ndio maana wewe na rafiki yako wote mnapitia changamoto zinazofanana.
    #PastorSunbella#RohoYa#Umasikini

ความคิดเห็น • 137

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso หลายเดือนก่อน +1

    Amen naomba uniombee naishi karibu na makaburi naomba msaada wako mtumishi wa MUNGU

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso หลายเดือนก่อน +1

    Amen naikataa.roho ya umaskini kwenye familia yangu roho ya kutofanikiwa kutojenga kutooa kutopata mtaji ofisi kko

  • @rehemabakari4150
    @rehemabakari4150 2 หลายเดือนก่อน +1

    Roho za umasikinii na ziachiee familia yangu kwa jina ls YESU KRISTO

  • @sumathedony8245
    @sumathedony8245 3 ปีที่แล้ว +25

    Mimi ni mwislam ila nakufatilia sana pastor

  • @SalivatoryRwechungura
    @SalivatoryRwechungura 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi Salvatory A Rwechungura na family yangu nakataa roho ya umaskini Yesu fungua bishara yangu amen 🙏🙏🙏

  • @floraahdrea1729
    @floraahdrea1729 2 ปีที่แล้ว +15

    Nakataa roho ya umaskini kwa jina la Yesu Amen.

  • @santinokinigu364
    @santinokinigu364 5 วันที่ผ่านมา +1

    Asante kwa mafundisho mazuri ya neno la mungu mtumishi

  • @silasmagesa6165
    @silasmagesa6165 4 หลายเดือนก่อน +2

    Katika Jina la Yesu Kristo mimi na uzao wangu ni uzao wa kitajiri nimepewa utajiri na Yesu na sitakuwa masikini kwa namna yeyote ktk jina la Yesu Kristo amina

  • @dadprince1490
    @dadprince1490 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nimekataa roho ya umaskini kwa jina la yesu aliye hai

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 ปีที่แล้ว +2

    Yan somo hili ndio maisha ninayoyapitia kila nacho kifanya hakifiki mwisho
    Kiuchumi na maisha
    Mungu ajizihishe ndan ya maisha yangu

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 ปีที่แล้ว

      Naogopa Mimi naogopa niniii ndugu yangu Mungu atusaidie sana

    • @antybakary953
      @antybakary953 7 หลายเดือนก่อน

      hali inatisha sanaa 😢😢😢

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 2 หลายเดือนก่อน

    Amen naikataa roho ya umaskini kwa mamlaka ya jina la yesu

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso หลายเดือนก่อน

    Amen naikataa roho ya umaskini kwenye familia yangu

  • @marthamaingi4163
    @marthamaingi4163 2 หลายเดือนก่อน

    Nimeteseka sana na roho ya umasikini. Mungu anihurumie.

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso หลายเดือนก่อน

    Amen nimekuwa nikipitia mapito magumu sana nasali sana natoa sana sadaka kuchangia injili lakini sioni mafanikio mpaka nimefikia kukataa tamas

  • @VyetteBahati
    @VyetteBahati 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe ninabi wamungu waukweli kabisa mungu azidi kukupa maisha marefu

  • @JosephineJoseph-d7s
    @JosephineJoseph-d7s 2 หลายเดือนก่อน

    Kuanzia Sasa ninaikataa roho ya umasikini katika familia yangu ,Kwa jina la yesu na Kwa damu ya yesu

  • @sharonshironte9790
    @sharonshironte9790 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa Familia yangu, tumeishi kwa nyumba zilizoachwa na wenyewe, Sai miaka 29 na bado hatujapata shamba letu ama mahali PA kuita nyumbani, 😢😢Sai niko Saudi Arabia miaka miwili naelekea ya Tatu lakini ukiniuliza nimefanya nini ntashindwa kujibu maana hakuna lolote na sio ATI sipewi pesa napewa mshahara, nikipata tu hivi, mtu akiniomba pesa Nampa na maybe wakati huo nilikua nimepanga nafanya hii na hii😢sijui shida iko wapi, nikipata mpenzi namtumia pesa na mwishowe ananiacha aki nimeshindwa ntajitoa aje kwa hii situation, nimeomba namlilia mungu lakini hakuna mabadiliko, 😭😭

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 3 หลายเดือนก่อน

      Pole. Mtafute mchungaji aku guide maombi ya kufanya.
      Wewe unahitaji maombi ya hatua kwa hatua.

    • @benedictwanjala2012
      @benedictwanjala2012 2 หลายเดือนก่อน

      Nitafute TikTok tuweze kusaidiana nawe kwa maombi....pope Benedict jina langu,,au ukifiatilia mahubiri ya huyu muhubiri kwa kweli utaona ushindi

  • @RachelSimkoko-z4h
    @RachelSimkoko-z4h ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana mtumishi MUNGU akubariki mno, naona kama unayazungumzia maisha yangu hapo yaani MUNGU anisaidie

  • @breakingnewstz8396
    @breakingnewstz8396 ปีที่แล้ว +1

    Roho ya umaskini niache Mimi na familia yangu kwa Damu ya Yesu na kwa Jina la Yesu

  • @jacksonsimon4453
    @jacksonsimon4453 3 ปีที่แล้ว +5

    Mtumishi wa Mungu napenda sana mahubiri yako Mungu akubariki

  • @justingeorge2451
    @justingeorge2451 ปีที่แล้ว

    roho ya Umaskini iachie familia yangu katika jina la YESU KRISTO WANAZARETI ALIYE HAI

  • @silvatondayizeyendayizeye7874
    @silvatondayizeyendayizeye7874 2 ปีที่แล้ว +1

    Nawafuata 100%nikiwa Burundi Mubalikiwe sana pasta Sanbella nimesaidiwa sana

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, napenda sana masomo yako,mimi heaven nachukia sana umasikini,kwetu ni mimi peke yangu nimesoma,na MUNGU akanisaidia nikapata kazi,nikamshukuru MUNGU nitawasomesha wadogo zangu,lakini sasa huku kazini nimekua wa madeni,naweza hesabu laki 3,naweka juu ya meza ofisini kufumba na kufumbua sizioni, ntatafuta hadi kwenye viatu sizipati, nimekua mtumwa wa madeni na mimi ni cashier.

  • @simonnjiuka1209
    @simonnjiuka1209 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa Sana,

  • @jefwakalama4336
    @jefwakalama4336 5 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri, Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya

  • @baenimuhimafabrice
    @baenimuhimafabrice 7 หลายเดือนก่อน

    Nakataa roho za umaskini katika maisha yangu kuanzia sasa ivi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja kila kilisho shikilia hata uchumi wangu na kazi yangu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja Amen Amen Amen Amen

  • @BenitaAli-o8x
    @BenitaAli-o8x 7 หลายเดือนก่อน

    Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.

  • @MamaDFashion-e7t
    @MamaDFashion-e7t หลายเดือนก่อน

    Asante kwa kunifungua

  • @miriammuller2845
    @miriammuller2845 2 ปีที่แล้ว

    Muchungaji, ubarikiwe Sana, hili Somo limeniguza, naomba uniweke kwa maombi, ili Roho ya umasikini iniondokehe, na nipate location mpya nimeishi miaka mingi sana hapa , sioni nyuma Wala nyuma Mungu anifungulie kupitia kwa maombi yako na nitakushukuru,Amen

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭roho ya umaskini na mapooza hebu achilia familia yangu katika jina la yesu kristo wa nazareth aliye hai 😊

  • @Attitude_gurl-t5l
    @Attitude_gurl-t5l 5 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi wa mungu.Umenifungua macho,napitia hayo naomba mungu anikomboe

  • @Tikrit66Tik
    @Tikrit66Tik 4 หลายเดือนก่อน

    Ninakataa roho ya umaskini kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏

  • @catherinekawira6283
    @catherinekawira6283 3 หลายเดือนก่อน

    Nakataa roho ya umaskini kwa jina la yesu kristu.

  • @AlpaxardChirato
    @AlpaxardChirato 11 หลายเดือนก่อน

    Eewee Roho ya umasikini skiaaa mimi na familia yangu kuanzia leoo Sasa ivi ni matajri Tena wakubwa wala syo masikini Tena katka Jina LA YESU KRISTO alie Hai eee MUNGU sikiaa maombi yangu na dua zangu nautoaa mwili na moyo wangu kuwa dhabihu Hai kwako nitumiee vile upendavyo ktka Jina LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU AMENI

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 3 ปีที่แล้ว +5

    your teachings bless me alot Mungu akupe kibali uje na Mbeya

  • @dottoanselmo8420
    @dottoanselmo8420 3 ปีที่แล้ว +3

    Mafundisho yako ni mazuri mtumishi wa mungu na yanagusa Sana maisha yetu.Nataman sku moja nipate mda wa kufika kanisani kwako kujifunza na kupata maombi namuomba mungu ajalie Hilo litimie.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb ปีที่แล้ว

    Baba naomba niombee mungu aniwezeshe kujenga nyumba hivi nina miaka hamsina tatu naishi kwenye nyumba ya kupanga We mungu nisaidie niondolee riho ya umaskini

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +1

    Daddy 😪❣️Una nibariki sana😪😪Ahsante YESU WANGU

  • @edgarmawalla3739
    @edgarmawalla3739 2 หลายเดือนก่อน

    nimebarikiwa na ibada hii imenivusha mahali kwa hii elimu Mchungaji ubarikiwe

  • @francisshekifu8020
    @francisshekifu8020 2 ปีที่แล้ว

    Jina la bw. Yesu lihimidiwe! Ni mfuatiliaji makini wa mafundisho yako! Mungu akubariki.

  • @mildredwekesa5844
    @mildredwekesa5844 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana mtumishi kwa somo ,amen nmepata somo kabisa

  • @PhilemonVictor-o7b
    @PhilemonVictor-o7b ปีที่แล้ว

    Ee mungu wangu isimamie famiria yangu itoke kwenye umasikin

  • @LeahKidenya
    @LeahKidenya 5 หลายเดือนก่อน

    Amina sana mtumishi nakuelewa

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 3 ปีที่แล้ว +4

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @josephlazaro5406
    @josephlazaro5406 2 ปีที่แล้ว

    Mafundisho mazuri sana mtumishi na ni kweli ww ni mwalimu kweli kweli maana mwalimu sahihi lazima afundishe Kwa mafundisho yenye uhai ndani yake

  • @BizimanaInnocent-gv4kz
    @BizimanaInnocent-gv4kz 9 หลายเดือนก่อน

    Heee yesu unirehemu, kweli mkono wakuume umefunguliwa ila wa koshoto umefungwa

  • @victorishunga2893
    @victorishunga2893 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa napokea kitu kipya kunamahali ananivusha

  • @Fikra-online
    @Fikra-online 21 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢pastor Nataman unisaidie hilo mama Angu Ni mtumishi Anasaidia watu mapepo yanatoka ila bado kuusu uchumii sijui imeekaaje hapoo😢

  • @agnethahaule508
    @agnethahaule508 2 ปีที่แล้ว +1

    Pasto mafundisho yanagusa maisha yangu kabisa

  • @suzaynalusambo7083
    @suzaynalusambo7083 2 ปีที่แล้ว

    amen mtumish...mungu aniondolee roho ya umaskin kwa jina yesu

  • @meriajshxx3223
    @meriajshxx3223 2 ปีที่แล้ว +1

    AMENI na roho ya umaskini initoke katika jina la YESU

  • @amosnzumbi-mu6vv
    @amosnzumbi-mu6vv ปีที่แล้ว

    Nakumbali Sanaa zaidi ya sanaaaa!!!!!!mtumishi

  • @oliversebastian3808
    @oliversebastian3808 2 ปีที่แล้ว

    Roho ya umauti unitoke ndani ya kwa jina la Yesu

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 ปีที่แล้ว

    Asante Mungu

  • @calorinemwoga2638
    @calorinemwoga2638 2 ปีที่แล้ว

    Asante nashukuru Kwa mafundisho yako pastor sanbela

  • @emmymtambo5974
    @emmymtambo5974 11 หลายเดือนก่อน

    Yesu fanya jambo

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen

  • @zachariashurura7226
    @zachariashurura7226 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa vizuri sana mtumishi , ila Kuna jambo la kufanya hapa....ì

  • @benignanindi7492
    @benignanindi7492 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen Yesu niponye

  • @RizikiKarisa-u7m
    @RizikiKarisa-u7m 7 หลายเดือนก่อน

    Be bless pastor

  • @MagdalenaMsoma-us8qv
    @MagdalenaMsoma-us8qv 9 หลายเดือนก่อน

    Ameen Pastor

  • @EmaOliva
    @EmaOliva ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @moseschungu4002
    @moseschungu4002 3 ปีที่แล้ว +1

    nimepend mafundisho yak nataman nije kanisan kwak sik moj kyando mwenzang

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว

    Hallelujah hallelujah

  • @NicholausMtawa
    @NicholausMtawa ปีที่แล้ว +1

    Be blessed Kyando

  • @jacintasyombua7512
    @jacintasyombua7512 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen Amen barikiwa sana man of God 🙏🙏

  • @malangoyaushindideliveranc969
    @malangoyaushindideliveranc969 2 ปีที่แล้ว

    AMINA mtumishi wa mungu

  • @juliuskaliunga2879
    @juliuskaliunga2879 ปีที่แล้ว

    Nikweli man of God

  • @shemmunene4675
    @shemmunene4675 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen 🙏🙏

    • @angelambondelo2836
      @angelambondelo2836 ปีที่แล้ว

      Nakataa umaskini mim na family yangu natoka kwa jina la yeau

  • @rahelyusufu3661
    @rahelyusufu3661 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndio mchungaji nakuelewa sana nipo simiyu naitwa Rachal

  • @victoriasezi2469
    @victoriasezi2469 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🙏🙏

  • @peteroyando1627
    @peteroyando1627 3 ปีที่แล้ว +1

    Iam being blessed.

  • @daviddulle8291
    @daviddulle8291 ปีที่แล้ว

    Nakataa roho ya umaskini maishan mwanguu

  • @lavendanekesa5404
    @lavendanekesa5404 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen mchungaji😭🙏🏾

  • @edgerperes5950
    @edgerperes5950 2 ปีที่แล้ว

    Hasee mafundisho mazuri Sana haya

  • @oliversebastian3808
    @oliversebastian3808 2 ปีที่แล้ว

    Amen Amen

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 2 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen Pastol ,ujumbe unabarikiii sanaa

  • @PhilemonVictor-o7b
    @PhilemonVictor-o7b ปีที่แล้ว

    Nakataa rohoya umasikin

  • @gemakaremela489
    @gemakaremela489 2 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Mtumishi.

  • @silvatondayizeyendayizeye7874
    @silvatondayizeyendayizeye7874 2 ปีที่แล้ว

    Nakata logo ya umasikini katika jina la Yesu

  • @hugoncosmasmallya4661
    @hugoncosmasmallya4661 3 ปีที่แล้ว

    Hugoni kutoka tanga... Barikiwa Mtumishi

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 3 ปีที่แล้ว

    pastor karibu sana na Mbeya pia

  • @jeniphambinda2888
    @jeniphambinda2888 3 ปีที่แล้ว

    Amina Mungu atusaidie Sana.

  • @FurahaNgatena
    @FurahaNgatena 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asifiwe yesu mm Huwa sipati kazi nikipata napata za ndani lkni hizo za ndan pia siwezi kudumu zako mwanzoni au baada ya mda Fulani nitapendwa sana ila akiweka Nia ya kunisaidia ataanza kupigwa kiuchumi gafla anaanza kunichukia 😢nikijiajiri sifanikiwi nikikaa kwenye biashara ya mtu hata wale wateja wake wanamuhama pastor I really need help

    • @veronicamahenge7256
      @veronicamahenge7256 3 หลายเดือนก่อน

      Una roho ya kukataliwa

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 2 หลายเดือนก่อน

      Weka namba yako hapa nitaiona ntakuombea kwa MUNGU wangu atakutoa kwenye ilo jambo amini na nitakupigià Mimi comment yako imeniuzunisha sana

  • @veronicaromwald8311
    @veronicaromwald8311 2 ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa441 2 ปีที่แล้ว

    Ni kweli mtumishi

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 2 ปีที่แล้ว

    Roho ya umaskini initoke in Jesus Name

  • @victorvicent6036
    @victorvicent6036 2 ปีที่แล้ว

    God bless you pastor

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 ปีที่แล้ว +1

    Wadada wa Tanzanian wanapendeza mno. Nywele zimeshukwa poa na wako smart. Mumebarikiwa

  • @husnakibwana1859
    @husnakibwana1859 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏😭

  • @mwaumark4
    @mwaumark4 3 ปีที่แล้ว +20

    kama ukoo wetu hakuna mtu hata mmoja aliwahi fanikiwa...kama vile Mungu aishivyo nimekataa kuwa muhathiriwa kwa Jina La Yesu aliye hai

  • @venanceolomi7858
    @venanceolomi7858 3 ปีที่แล้ว

    Najifunza Sana hakika napata nguvu

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 3 ปีที่แล้ว

    Be blessed man of God

  • @benjaminmutuku-vq2ur
    @benjaminmutuku-vq2ur ปีที่แล้ว

    So touching

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 4 หลายเดือนก่อน +2

    Roho ya umaskini inatesa wachungaji

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว

    🙌

  • @frankmshana1331
    @frankmshana1331 3 ปีที่แล้ว +1

    GOD BLESS YOU TEACHERS

  • @petermwawa5769
    @petermwawa5769 2 ปีที่แล้ว +1

    WAKATI SAHIHI KABISA NILIKUWA NAJIULIZA SANA MAISHA YANGU YATAKUWAJE

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen mtumishi wa mungu.