DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 9

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 3 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 4 วันที่ผ่านมา

    Wow beautiful 😻

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 3 วันที่ผ่านมา +7

    Gnga LIKE kwa Hayati JPM

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 3 วันที่ผ่านมา +2

    Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 3 วันที่ผ่านมา

    Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 วันที่ผ่านมา

    Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 วันที่ผ่านมา

    Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji

  • @ZeProDJay
    @ZeProDJay 3 วันที่ผ่านมา

    Hili daraja halijaishaga tu duuh

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 2 วันที่ผ่านมา

      Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.