UTACHEKA! RC CHALAMILA ALIVYOCHEZA SINGELI MBELE ya RAIS SAMIA, DULLA MAKABILA AKIPAFOMU KAGERA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2022
- UTACHEKA! RC CHALAMILA ALIVYOCHEZA SINGELI MBELE ya RAIS SAMIA, DULLA MAKABILA AKIPAFOMU KAGERA..
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanaia Mhe. Samia Suluhu Hassan amekishiriki Hafla ya Makabidhiano na Uzinduzi wa Chuo Cha Ufundi Stadi na Huduma Cha Mkoa wa Kagera katika Chuo Cha Veta - Burugo Mkoani Kagera Oktoba 13, 2022..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - บันเทิง
Rais hii nyimbo anaijua toka wakati wa Magu ni mzuri hii nyimbo inaelimisha sana aina ubaya wowote.Kama wayao ni kweli watu wa dini sana sio uongo.👍👍👍❤❤
Dah majembe ya RIP MAGUFULI ndo muhimu safi kabisa
Sema nn Dula umekomaa kwenye Pafomanc nice
Yuko poa sana
Muziki wa siku hizi bwana, hovyo!
Mziki mtamu sana huu sana
Afadhali wewe umeona,,,
Wahaya wapi na wapi na Singelii
Inapendeza ndugu yngu
Safi sana
Dulla Kamtaja Majaliwa hadi Mshehereshaji akaaamua kukata fitina ina maana Dulla alisahau kuwa Boss yupo
Hapo washabiki wa mpira ni Majaliwa na Chalamila sasa kosa la kutokumtaja Samia liko wapi?
Yanga nimsmba 😅🎉
Kwakweli wimbo na tukuo vitu viwili tofauti hii shida kwakweli
King
Unajua sana
King makabila
😄😄😄 chalamilaa
Nimesubili ataje sifa ya muhaya mbna hajaitaja jmn eeeeh
Pamoja nahayo tumependezewa na ujio mkuubwa mkoani kwetu Kagera
2:19
Akili Hana
Kweli nyimbo hiyo ya simba mh
D 5:39
Uzuri serekali ya Tanzania Haina dini
Umezingua sana dulla wenzio huwa wanaedit nyimbo huko mwisho mchezaji uliemyaji cjui kapu"ungetaja kivingine mara kachomoa huyo ni rais hapo wamekaa viongozi weww ni mwanamzk umeahindwaje kutumia akili zako cjakukubali wala nn umezingua sana
Kachomoa😂😂😂😆
Utafikiri wewe ndio samia sasa akati mama hana tatizo
Tulia ww,,kwan rais ndo hajui maana ya kuchomeka na kuchomoa
Kazingua sana unampa sifa nyingi chalamila na waziri Mkuu?. Umemkosea sana RAIS WETU.
.
Mbona mama hajamfagiria
Hongeraaa Chalamila !!!una uhakika na unachokisema
Yuko poa sana
Sitaki kuoa hahaha
nchi ngumu mnoo hii
Nimecheka
naona mkuu wa mkoa CHALAMILA uwanja haumtoshi pamekuwa padogo 🤣🤣🤣💪🇹🇿🇦🇪
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇪🇭
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇹🇿
Dulla nakifurahisha
Mimi nasubiri rais wangu kibondo
Hapo umewapata sn
Dah hizo Kodi Zetu zinatumika vibaya
🤣🤣🤣🤣
Yaaani hahahaha
mzaramo atakodishwa kwenda kusutana!!!
Huyo wamemuokata wapi mbona hana stara mbele za viongozi wakubwa 🙆🙌
Hana akili
😂😂😂matumbo basi
Chalamila lazima acheze ajira tamu