RAIS MWINYI NA BABA YAKE (MSTAAFU MWINYI) WAMZIKA HASSAN MWINYI, MTOTO WA MAREHEMU AONGEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024
- RAIS MWINYI NA BABA YAKE (MSTAAFU MWINYI) WAMZIKA HASSAN MWINYI, MTOTO WA MAREHEMU AONGEA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك
Amiin amiin amiin
Allah amlaze malazi mazuri amin yarabiiiiiii ndungu yetu Hassan. Kila nafsi itaionjamauti. Allah akupeni Subra wafiwa nyote .familia.
Poleni na msiba familia Ila najifunza makubwa khs rais mtaafu na rais wa Zanzibar jaman tusomeshe watoto
Mungu amlaze mahali pema peponi amin
Inna lilahy waina ilehy rajioun
Mungu ailaze mahali pema peponi sheikh wetu
INNANLLIH WAAINNA ILLAHI RAJIUUN
INNALILLAH WAINNA ILLAHIRAJIUUN
Innalillah wainna ilaih rajiun
Mungu amlaze mahal pema xo twarejea
Innalillahy wa innaillahy rajiun 😢
Mungu amlaze mahali pema peponi
Mungu ailaze mahali pemapeponi
Pole Sana wanafamilia
Innaa lillah wainnaa ilaih rajiun.
Inalilah waina ilaihi rajiun Allah ampe kauli thabit
Innalillah waina illah rajoun
Poleni Wamwinyi😭😭😭
Ina lilahi WAINA ILAIHI rajiun
Innalillah wainailah rajiun Allah amsameh makosa yake na ampe kauli thabit Amiin
Daaaah Ebu jalibu kuandika vzl caption zieleweke jmn Aiseeee Adi mtu uelewi
Apumzike kwa Amani
Polen saan kwa msiba familia ya mwinyi
Mathayo 22:13b ".....ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.14 Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.*MUNGU ATUPE NEEMA TUWE MIONGONI MWA HAO WATEULE WACHACHE KWA JINA KUU LA YESU!!!*
Hakuna kusalimika km utaendelea kumshirikisha Allah/Mwenyeezi Mungu.
Huyo yesu naye, mmerogwa na wazungu nyie, ati yesu. Ushamba tu.
Polen saana ila cjajua ni yupo huyo mtt wa mzee mwinyi ni ypi?wa nyumba ya saateni au?
Inna lillah wainna illaih raj uun
Poleni familia yeny busara ccm
Familia ya dhulma namichongo kwaraia,kufifisha ukweli,
@@josephmakutano7067 ALLAH anatosha kua shahidi
@@Awatee anasumbuka na chuki binafsi huyooo
@@josephmakutano7067 chuki na hasad vinakusumbua mwombe Sana mungu akutoe huko
@@ramaspain5024 Mtihan ALLAH atuhifadhi
Polen jamani kila kitu twamuachia mung
Hayo majina yenu vipi mbona hatuelewi ipo siku mmoja wao hatajiapisha kama rais
Alla ampe nuru na kumsamehe makosa yake,sema majina yenu yanachanganya yamejirudia mno
Huyo ni Hassan Mwinyi kaka yake Hussein Mwinyi
Tumewachoka wamwinyi mwinyi ata atuelewi nimwinyi yupiuyo
We kweli ni mautundu mmewachoka wamwinyimwinyi😂😂😂 Huyo ni mtoto wa mstaafu Al Hasan Mwinyi ni kaka wa Rais Mwinyi wa Zanzibar.
Nyinyi na chuki zenu mtaishia maskini wenzenu wanakula Maisha. Halafu wewe hata ukiwatukana haisaidii chochote wao washawini Maisha nyie mnakuna makalio yenu tu na kufukuza nzii usoni kwenu.
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa awamu ya pili Tanzania Bara Ally Hassan Mwinyi ni pacha wake Rais wa Zanzibar Husein Mwinyi Hassan mkubwa kisha Husein mdogo ushaelewa kwao Mkuranga Pwani ndy chimbuko lao lilipotokea
Marehemu alikuwa mtoto wa Raisi wa awamu ya pili ya Tanzania, anaitwa Hassani Mwinyi. Na alikuwa kaka wa kuzaliwa wa Raisi wa sasa wa Zanzibar, Husein Mwinyi.
@@abi-onlinetv4181 we nae ka chizi umevurugwa na maisha nn, mwenzio kauliza vingine unajibu vingine....!!!
Ni rais wa pili wa Tz au
Huna lolote unakula dhulma tu nahao mamwinyi wezako
Hata huyu kijana anabusala sana
MKO SERIKALI KWA NJIA ZA DHULMA , TENDENI HAKI WACHENI KUWATESA WAZANZIBARI, IKIFIKA SIKU MTARUDI KWENU MKURANGA.
Mbaguz utakuwa
🙏
Unauhakika kama tunateswa
Innalillah wainnaileihy rajiuun
Innalillah wainna illaih rajioun