MTOTO WA KISUKUMA AMKOSHA RAIS SAMIA KWA KIPAJI CHAKE, APEWA KIBUNDA CHA BAHASHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 มิ.ย. 2023
- MTOTO WA KISUKUMA AMKOSHA RAIS SAMIA KWA KIPAJI CHAKE, APEWA KIBUNDA CHA BAHASHA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Haya ndo mambo ya kufundisha watoto sio kuwafundisha mambo ya ovyoovyo tuu big up mwanangu
Ongera sana mtoto ningekua na maisha mazur ningekuwezesha upo vzr sana
Hongera san mtot mung akutimiziye ndot zak Masha Allah❤❤
Congratulations keep it up good job 🎉❤❤❤
Nakushukuru sana Wasafi kwa kunasa kipindi hiki.pia waalimu wote mlioshiriki kunuandaa mtoto huyo.
Hongera sana Rais Mama Suluhu.Naona umemsahau mpishi wa hao watoto yaani Mwalimu
Sensacional, tô muito emocionado pelas crianças discursando na presença de sua EXCELÊNCIA presidente Samia suluhu
Nice🎉
❤❤❤❤❤❤
Hongera mkerewe🎉
Nimeipenda sana ubunifu mzuri sana
Nawapa hongera saana kw juhudi zao zote MashaAllah uuu.
ALLAH AWAONGOZE❤❤❤
Hongera Sana mtoto uko vizuri
Mtoto yupo vizuri sana na inawezekana ana mambo ya ziada ya kuendelezwa
Allah awabariki hao wtt na awazidishie kw kukariri kla jmboo.na mma samia suluhu hassan mungu akujaze kla LA kheri.
Nakupenda Sana Raisi wetu
Kuwa opendo wako Kwa jami
Wote bila kujali nafas Yao ya maisha
Naipenda tanzaniya mimi mungu jaliya congo yangu neema
Safi sana
Mama yangu you deserv that, love you dk samia
Mwenyezi mungu amjaalie
Safiii Sana👏👏👏
Sema huyo dogo asiyeongea mfupi kuliko wote (kulia) ni star xn😄
😂😂😂😊
Hongela sana kikana kwakipiji chao
Nimeipenda hiyo
Congratulations 🎉
Wallaahi nimivutiwa na alichokifanya mama yetu Rais wetu bi Samiyya ...❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Kabisa
Huyu mtoto amelipwa!!!!
😘😘🥰🥰🥰😍😍
Hiyo mtoto ni vizuri aendelezwe Ana Jambo la ziada
Moto ni mhaya
Ww unajua mafanikio au unaropok😮😮😮..sema kamekaririshwa maskin
Fanya kazi dear huwezi letewa kula kwako na hawezi maliza maendeleo Yote pekee
😂😂😂😂
Mimi mjinga eti nalia na sijui nalia nini watoto wapo vizuri sana hao
Inalia kw furaha madame wangu %
Jamani mngu awabariki hao wtt kipaji Chao kiendelee
Hii imeenda kbx
mtoto balaa sana
Siyo msukuma motor ni Mkerewe
Mama mwenyewe hachekiiiiiii
Upo vir😅
wasafi munadanganya huyu mutoto ni mkelewe halafu nyinyi munaandika musukuma 2:09
Ni wasukuma me na ona wasukum Wana kua hiv
dg janj up vzur
👏👏👏
Duh nomakweli
Tatizo lako wewe unaumwa u.t.i kila mwezi na bado umekomaa na mfumo wako wa kunywa maji kikombe 1 kwa siku, umechoma sindano, umemeza vidonge lkn kesho tena unayooo🤔🤔🤔🤔 umejitutumua umetumia dawa ya asili umepona/hujapona lakini hata ulaji wako ni wa kisasaa Chipsi/kuku wa kisasa, soda, juisi za kiwandani na hujali kabisaa chakula cha asili,, ndugu yangu jirekebisheee.
chunguza mfumo wako wa maisha na urekebishe mapungufu uliyonayo utakuja kunishukuruu, usipojirekebisha nimekaa pale nakusubiri uje utumie dawa ya Stopper,
Stopper ni dawa ya asili yenye kutibu hormone imbalance, UTI sugu, fangasi sugu za ukeni, kutokwa uchafu sehemu za siri, kuwashwa sehemu za siri, chango, Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa na wakati wa hedhi, kukosa ute wa mimba na kushindwa kushika ujauzito, kukosa hamu ya tendo, inasaidiaa pia kubana ukee na kuongeza joto Ukenii.
Stopper ndio suluhisho pekee la changamoto hizo, utaipata kwa 15,000 tuu, karibuu.
kujifunza zaidi tembelea page yetu ya instagram
instagram.com/jproducttz?igshid=ZGUzMzM3NWJiOQ==
Tunapatikana
Dar es salaam -Buza 0719021558
Tangu enziza za kenyatta , moi, kibaki, uhuru, hadi Leo ndio sirikali inatunyanyaza no no we are not happy kama jamii ya maa community.
Njaaa mbayaa Sanaa inakutia ujasiri😂😂😂😂 big up
Hahhhhaa mamaee
😂😂😂😂😂😂kwel
Matumizi mabaya ya muda,watoto wanakaririshwa kila kitu,ndiyo maana tunaambulia kupata viongozi wa hovyo hovyo ,hawa uwezo wa kiungozi,kutwa nzima kusifia na kupotosha.Mama katoa pesa kwa ajili ya ujenzi barabara.Aibu kwa Taifa.
Ata Mimi nimeumia kuona vipaji vya watoto
Hongera sana mjukuu wetu. Mungu aendelee kukutunza na kukuongoza Amina
Hizo Kaniki vipi jamani 😮😮
Kama ngoma za mizimu vile?
Wasukuma mnatubeza tu ila tunatisha👏👏👏👏
Hongera Sana mtoto
Sanaaa
Siyo. Msukuma Ni mkerewe
Mpaka machozi yamenitoka mtoto mashaallah ana kipaji cha kukariri
Ametisha. Sanaaaaaa
Nimeipenda
Hii imeenda kweli kwli
Akika
Haukuwa upole katika jambo ispokuwa hulipamba jambo hilo🎉
Syo mskuma hyo bna ni mtto wa u.k moja mskuma kweli awe jasili namna hiii🤣🤣🤣awe bna hongera katoto upo vzri
Wamemhalibu na wanamharibu mtoto.Anaongea vitu ambavyo havijui,U tafikiri wakoloni walivyokuwa wanataka babu zetu wasifie hadi vinyesi vya wakoloni
Umeona eee
Wakerewe au Wasukuma?
ukipewa uongozi utaweza au unajuwa kukosoa 2
Safi sana mtoto MUNGU akutimizie ndoto yako Na mdogo wako. Waoooo waooo
😂😂 toto mlipewa sh ngapii , msiniulize kama hainihusu
Oh yec nimeenda sana ....big up Mkerewe...bhwachatata
Vp wadudu kwani wao wanàsemaje😅😅😅😅
Daaa nimeliya mpaka kichwa kinauma
Watoto wadogo kuwacheza coma ni kuwaharibu Bora mashahiri tuache Mila potovu mtoto kuimba na kuvaa vinyago hatari kuharibi watt
Congratulations ❤❤
Safi mtoto kiboko
Lakini ajira hakuna hata kama kuna vyumba vya madarasa
Kwanini usukumani tunapenda uchafu kuwa eti ndo umaarufu ktkt ngoma!!!!???? Uchafu ni ujinga jananiii!!!!!!
Ameweza
Mna mpongeza alafu mkitoka nje mnasema vibay kwann msimwambie ukweli hali ngumu mtaan
Wewe piga kelele kwa upande wako watu wengine wanaporomosha majumba
Kataja sifa za JPM .Hawa watu wa mwanza .🤣🤣🤣🤣🤣.
Masha llah 🧘🧘🧘
🤣🤣
Faida ya kula samaki hyo
Halafu huyo sio mtoto wa kisukuma ni mkerewe sikia tu ata lafudhi ya matamsh yake
Sijaona hatalamana
Jaman kijana nimeipeda san hyo
Daah nimejikuta tu machozi yananitoka wallah 🤔😂😂
Kwakweli
Watoto wanawaza njaa.wote shida,mtu mzima unasifiwa na watoto waliokaririsuwa,na wewe unafurahi.CCM lao kubwa ni kusifiana.
Kwa hiyo umechukia
ulizana wewe hata kama amekarieishwa ikumbukwe hata kukariri nacho n kipajo
Hata kama wamekaririshwa lkn huoni uwakilishi mzuri ns kujiamini kwa huyu mtoto!
Sema tu una kachuki na kawivu labda!!
Mmmhhhhh
Sob re
Hao wanamatwi hizo kaniki vipi jamani
Promotion kibaaaaooooo, huku jahazi linasombwa na vimbunga kibao.
Sijawahi kuon watoto wa hao wanaojit viongoz wanakat viuno mbele yawat ujinga mkubwa san viongoz mtaendakulizwa naujingwenu hu
Ayat nyerere
jitaid muwe na fadhila
Ukerewe matwi gacharo
Ila wanawake du!hawajawahi kuwa na aibu hata kidogo🤔🤔🤔🤔 ni mwendo wa kukata mayenu🤣🤣🤣🤣
Ndo asili yetu wa Africa wewe wa ulaya huwezi kuelewa
UBATILI NA KUJILISHA UPEPO. TUBUNI NA KUIAMINI INJILI YA YESU KRISTO PEKEE KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMEKARIBIA
Jitambuww
Mbona machozi yananitoka!
Mtoto kasema ni mkerewe sio msukuma
Sio kaz za Rais Samia izo!! Acheni uongo na njia za kujitafutia umaarufu izo kazi za hayat Magufuri!! Hongera zake zimwendee na zimfikie popote alipo japo nayeye tulisema hafai katika utawala wake.
Ni wa ukeleweni sio usukumani😂 hongereni sana
Danlowad
Dogo ana kipaji cha kumeza yaani huyu ukitengeneza mlungula anauchana dk mbili keshakarrir
Kuwa uyaone
Hogela Sana edelea
Kanda yaziwa Kuna vipaji
Zuch
Ningekua na ww hapo mtto ninge kuzabia kibao elim Bure unajua tunapita mangapi wanstupa watto mbari huko ambako hata serikal haipo kurudisha pesa nyingi nafasi wanauza huyu nae umbwa nyie sijui majitu ya wapi nyie
Hivyo mlivyo mtakufa bila nguo
😂😂😂😂
Hata siwez Bora nikalime bustan tu
Dogo mkelewe huyo