WAGANGA 10 WA JADI WATUA KIGOMA KUPAMBANA NA UCHAWI SUGU

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 185

  • @user-uq4ju9ou7x
    @user-uq4ju9ou7x ปีที่แล้ว +12

    Ujue me nashangaa sana serikali yetu Kila mwenye kitengo anamganga wake anaogopa kurogwa ila haamini uchawi yaani nchi haiamini uchawi ila viongozi wa serikali wanawaganga wao aseee

    • @zuhurankoma6099
      @zuhurankoma6099 11 หลายเดือนก่อน +1

      Uchwi upoo serekali inaamini uchawi sema inavunga tuuu nawenyewe wachawiii

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 9 หลายเดือนก่อน +1

      Umeongea point sana

    • @michaelmaja-1699
      @michaelmaja-1699 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 inashangaza sana

    • @zainabuyassini3095
      @zainabuyassini3095 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ni swala la mtu bonfi

  • @OmarKibwana-dx6gu
    @OmarKibwana-dx6gu 5 หลายเดือนก่อน +2

    Acheni ushirikina mrudieni mungu ALLAH ndio kila kitu.

  • @josephnchunga4229
    @josephnchunga4229 9 หลายเดือนก่อน +5

    Duh kazi kweli huko ni Bora wachapwe wachawi wanaharibu nguvu kazi ya taifa letu.

  • @KenethNdingo-tm2gc
    @KenethNdingo-tm2gc 10 หลายเดือนก่อน +5

    Aseee kweli mungu awajalie wamuombe mungu imani hiyo ni mbaya.itafarakinisha wananchi .

    • @CharlesMapua
      @CharlesMapua 6 หลายเดือนก่อน

      Oya we mwangaaaa nn

  • @user-jv4gm5qd8h
    @user-jv4gm5qd8h 5 หลายเดือนก่อน

    Uchawi hauwezi kukomeshwa na kamchape, kamchape na wachawi nikitukimoja, nisawa na nyani na ngedele,
    Ushauri wangu wananchi wa sunuka wapelekewe watumishi WA MUNGU wahubiri Injili hapo siku 7 ndiyo Dawa ya kukomesha Uchawi
    Bayii

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 4 หลายเดือนก่อน

    Dawa ya mchawi sio mchawi.
    Wote wa moja hao.
    Turudini kwa mungu
    Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassalm iatufundisha kinga za wachawi. Ni kujifunza

  • @ShabaniKakongo-gy4eb
    @ShabaniKakongo-gy4eb 9 หลายเดือนก่อน +7

    Hao wanao shangilia na wachawi wapo apo apo😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 9 หลายเดือนก่อน +1

    Uchawi Upo Niliwai Kuona Mtu Kalukiwa Na Paka Kamkwaluza Kodogo2 Mtu Ajachukua Muda Kifo Kama Kalala Vile Uchawi Upo Mtume Muhamadi Na Yesu Wote Wanajua Uwepo Wa Uchawi Uchawi Upo Dawa Moja2 Waganga Na Wachawi Wapambane Anayeshinda Apewe Kibali Na Serikali Hata Akiwa Mchawi Apewe Kibali Na Waganga Wafutiwe Vibali Ikiwa Wachawi Watakua Na Nguvu

  • @JAFFARINANGUJA
    @JAFFARINANGUJA 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inabidi serekari ikubari wGanga wasafishe

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha mpango wauzazi ndio chanzo

  • @molengoodlever5561
    @molengoodlever5561 10 หลายเดือนก่อน +3

    Waafrika hatuna akili wangekuja wazungu mungekubali nania ambaye haujui uchawi

  • @PeterYeremia
    @PeterYeremia 6 หลายเดือนก่อน

    Ahaa kigoma nomaa nilikuwa nampango wakuoa uko lakini stkiii uchawii

  • @saidissa4741
    @saidissa4741 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mh! Bora hta nlikimbilia mjin mapema🤗

  • @Flexboy200
    @Flexboy200 9 หลายเดือนก่อน +3

    wachawi nao wafe.............ili sisi nasi tuweze kuendelea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mahugoramazanibenoit1843
    @mahugoramazanibenoit1843 6 หลายเดือนก่อน

    Apa congp drc mjini uvira,baraka, fizi yote ilishawahi kufanyika lakini wakuhisha .

  • @nelliejerotiich551
    @nelliejerotiich551 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo hakuna uchawi. Kama wapi hebu Zima kipasa sauti/ mike au sitima ndo tuwatambue.
    We pray for you people of Kigoma. May u know the true and only savoir Jesus.

  • @siliviamaneno2905
    @siliviamaneno2905 6 หลายเดือนก่อน

    Wana Kira a wenyewe haa mwaiposa kazi imefika kweri kigoma wanakurana

  • @yesesimoni
    @yesesimoni 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu awahurumie wote mnao andamana mludieni Mungu na sio waganga

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 8 หลายเดือนก่อน +2

    Subhana Allah

  • @mrizzo-qy6gc
    @mrizzo-qy6gc 2 หลายเดือนก่อน

    Wachawi wengi wana toka kongo nauchawi wao ndomaàna wachawi hawa ishi kigoma

  • @FortinatusWangubo-dt3sd
    @FortinatusWangubo-dt3sd 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mrudieni mungu na mungu atawakomboa na kuwapumuzisha na mizigo hiyo mizito

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu 5 หลายเดือนก่อน

    Badala mlete watumish WA mungu nnaleta washirik wenzao

  • @user-ze5yc9fl2z
    @user-ze5yc9fl2z 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani SI mnge mwita mtumishi WA mungu mwamposa WA chawi waokoke

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 8 หลายเดือนก่อน

      Akikanyaga tu hiyo ardhi anakufa yeye

    • @shabaniramadhani8891
      @shabaniramadhani8891 2 หลายเดือนก่อน

      Dar kuna wachawi wangap mwamposa hawajawashika . Mwamposa anawafanya vipofu waone mbona shule za vipofu zinaongezeka mzee tumia akili

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 9 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee watanzania wamejawa na imani mbaya sana

  • @user-gu7mh7cz7x
    @user-gu7mh7cz7x 6 หลายเดือนก่อน

    Achen wachape jmn tumechoka kufungiwa liziki nawachawi tumechoka kurogwa hao wanao kata wakinakamchape hawajarogwa ndomaana mnasema😏sublin mrogwe ndo mtawakumbuka wakina kamchape😁😁wengine ndugu zao wachawi wanakata aibu ndomaana wanapinga maswara yakuchap😂😂mbuz nyinyi wakiangaz😂

  • @user-ob8on5vj2s
    @user-ob8on5vj2s 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Baba WA taifa

  • @mohamedaidani6477
    @mohamedaidani6477 7 หลายเดือนก่อน

    Hapo safi safisha uchafu

  • @alistidesrugazia4680
    @alistidesrugazia4680 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania BDO sana sijui kama tutafuka salama, police mnasimamia Hilo zoezi kweli, serikali siahamini uchawi imekuwaje waungwana?

  • @PiiiNickson-wi1ld
    @PiiiNickson-wi1ld ปีที่แล้ว +3

    Naipenda kigoma yangu

  • @EphataPallangyo
    @EphataPallangyo 6 หลายเดือนก่อน

    Usiache mwanamke mchaw ahish neno last mungo linasema😂

  • @MobigoMobigo-io5re
    @MobigoMobigo-io5re 28 วันที่ผ่านมา

    Dada anaongea huyo nakumbuka nilisoma naye sunuka sec.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 6 หลายเดือนก่อน

    Hao wachawi waende vitani yukreni

  • @officialmrangi5517
    @officialmrangi5517 6 หลายเดือนก่อน

    Na mimi ntakuja kutoa we ngoja

  • @OnesmoDenis
    @OnesmoDenis 2 หลายเดือนก่อน

    We unajua tu ila sema unasimamia sheria

  • @MohdMwigongo
    @MohdMwigongo 7 หลายเดือนก่อน

    Uchawi upo ila hao waganga walikosea kupita nyumba Hadi nyumba hao wachawi niwakutegatu sehemu ukawatia Aibu

  • @user-ny7yi6dq2p
    @user-ny7yi6dq2p 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli wanatutesa Sana na znz waje 8:53

  • @Pastorsteverotali
    @Pastorsteverotali 9 หลายเดือนก่อน +1

    ILI KUKOMESHA UCHAWI NI KUOKOKA NA KUMWAMINI YESU NGUVU ZA UCHAWI ZITAKOMA, UKIMCHUKUA MCHAWI MKUBWA UTATULIZA TU ILA WOTE HAO NI WACHAWI, TOFAUTI YA MAKABILA YA KICHAWI TU. OKOKENI OKOKENI

  • @user-vz8if8nd6m
    @user-vz8if8nd6m ปีที่แล้ว +4

    Waje na huku tumechoka mtu kuugua kichwa na kufariki

  • @davisjavan2892
    @davisjavan2892 5 หลายเดือนก่อน

    Mambo... poa

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli, Mungu amsaidie jamani.

  • @FRANKGOLIATH
    @FRANKGOLIATH 6 หลายเดือนก่อน

    Serikali yetu iamini tu kama uchawi upo

  • @fredrickyakobo
    @fredrickyakobo 10 หลายเดือนก่อน

    Mtumaini Mungu aliye hai,, ndiye mokozi wet na ni mweza wa vyote acheni kuamin Imani za kishirikina.. MUNGU YUPO

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 8 หลายเดือนก่อน

    Mashujaa oyeeeeee 😂😂

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa wapo karne ya ngapi ninyi huo ni umasini tu unawasumbua mpe Yesu maisha yenu muone wataroga nina

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 4 หลายเดือนก่อน

    Likikujumba ndio utajua mbichi au mbivh

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd 7 หลายเดือนก่อน

    Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake ufalme wake utakiwa umefitinika.

  • @user-mk9mq7us5y
    @user-mk9mq7us5y 5 หลายเดือนก่อน

    Hakuna tofauti ya mchawi na mganga hiyo ni sekta moja dawa yenu ni kuokoka tu. Yesu alikuja kwajili ya hayo. Selikali haiamini uchawi wala uganga. Matapeli. Huo ni uchonganishi mkubwa. 12:18

    • @shabaniramadhani8891
      @shabaniramadhani8891 2 หลายเดือนก่อน

      Kama yesu alikuja kwa ajili ya hayo mbona Bado yapo mzee

  • @HappynesJames
    @HappynesJames 6 หลายเดือนก่อน

    Hao waganga nataka wafike kwetu mwanza watu wa mwanza nao wameshindikana kwa mambo ya uchawi

  • @user-xo9nu9qr4q
    @user-xo9nu9qr4q 8 หลายเดือนก่อน

    Mmm uchawi safali hii

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 9 หลายเดือนก่อน +2

    Usiombe yakupate yaliyowapata watu wako

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 6 หลายเดือนก่อน

    Tatizo serekali ahiwezi ikakubaliana nahilo kwasababu wanaohilinda serekali nihaohao wachawi kwanza kabla yakuja huyo mkuu wa wilaya amepitia kwao ili wamtengeneze unasema yakwamba amlitambui nikweli nilazima usemehivo kwasababu nyie ndio wachawi wakwanza imeona likiendelea litawafikia nanyie bora mlikataze.

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 3 หลายเดือนก่อน

    Et selekali haiamini uchawi wakati hata wao niwashirikina baazi yao wanashinda kwa wanganga

  • @user-ph9od1ug1g
    @user-ph9od1ug1g 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimetaman kijijin kwetu tatizo ni hilo tu uchawi.mimi ni nimezaliwa hapo niesomea hapo

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 9 หลายเดือนก่อน

    Juzi tumerudi kutoka kin'gombe rukwa hukohuko kijiji kizima kilitaharuki mhangaika na kamchape ndo wachawi haohao chukua namba tunakuja tupo dar

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 10 หลายเดือนก่อน +1

    Je? Mmewezaje kuwasaidia wanaofanyiwa huo uchawi ? Hatakama serikali haiamini uchawi mnawasaidiaje hao wanaologwa

  • @user-ny7yi6dq2p
    @user-ny7yi6dq2p 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli ata znz yapo na huku waje

  • @RUKAIYAHEMEDI-sf5oo
    @RUKAIYAHEMEDI-sf5oo 9 หลายเดือนก่อน

    Hao waganga tunaomba wafike kwetu jamn mkoa wakilimanjaro wilaya yamwanga vijana hatuendelei makopera kama yote

  • @user-ob8on5vj2s
    @user-ob8on5vj2s 5 หลายเดือนก่อน

    Hawana ukweli matapeli tu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 8 หลายเดือนก่อน

    Hatari 🔥

  • @lazarousmk-ck6pz
    @lazarousmk-ck6pz 7 หลายเดือนก่อน

    Kama sijakosea Kuna mwaka mkuu wa nchi aliruhusu lambalamba kukamata hiyo mizigo kutoka kwa wachawi nime miss yule raisi angekuwepo mabo yangekuwa sawa

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 9 หลายเดือนก่อน

    Kiboko ya uchawi ni Yesu tu mim naamin watumish Wa Mungu wapo huko Mpeni Yesu Maisha Yenu hao waganga na hao wachawi jambo lao nimoja ucku wanakutana kuwaloga vizur

    • @Simonirafael-wt4lc
      @Simonirafael-wt4lc 9 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa Hawa wanasumbuka bure mchawi na mganga nihaohao yesu pekeyake ndiemganga yesu nimwanga uangazao

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 8 หลายเดือนก่อน +1

      En YESU Ndie kimbilio Leto ,Maana Imeandikwa Akuna uganga Juu ya Israel Wala Hakuna Uchawi Juu ya Israel.

  • @sabatosabibi8791
    @sabatosabibi8791 ปีที่แล้ว +2

    Acha watumbuliwe wachawi wapo hata biblia inakubali uchawi upo baraki na balam

  • @Zepequeno-ln1ot
    @Zepequeno-ln1ot 7 หลายเดือนก่อน

    nyinyi mnazuia ujingaa kama hayo mambo yangeyakuteni nyie

  • @samoramussa5336
    @samoramussa5336 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba niwaulize ngugu zangu hivi mchawi anaweza kutoa mchawi? poleni sana MUNGU pekee ndie anaweza kutoa nakukomesha uchawi kabisa hiyo ndio dawa pekee ya uchawi. Mpole bhatama.

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 7 หลายเดือนก่อน

    Kigoma Bado tukonyuma sanna ushirikina time endekeza niwapi ambapo watuhawafi

  • @user-ok5cv2ux2z
    @user-ok5cv2ux2z 7 หลายเดือนก่อน

    Wachapwe

  • @abeliantony7085
    @abeliantony7085 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mnaokataa uchawi wakati wa sungusungu mlikuwa bado wadogo? Wachawi walikuwa wanachapwa hadi wanafata matunguli yao halafu nyie mnasema uchawi haupo?

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 9 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Mkuu wa wilaya kwa msimamo thabiti usiyoyumba!

  • @user-ej5xy8kb2t
    @user-ej5xy8kb2t 9 หลายเดือนก่อน

    Jamani naombanije nitoe msada na mm

  • @imaniabubakari6351
    @imaniabubakari6351 8 หลายเดือนก่อน

    Wachawi wahame acha msako uenderee ttz naviongozi wawilaya mnaogopa kulogwa ndomaana mme onakama hiyo opreshni nitatz jeee wakisidi kuuwawa wananchi kishirikina nawananchi wakagoma kua wanazika mtafanyaje maana wamechoka kuzika migomba nawewe unae wakingia kifua wachawi endapo wamekufa wananchi wote utamwongoza nani

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 9 หลายเดือนก่อน

    Hata kala tumeenda pale kasante jpili watu wanatoka kwenye misa wanapitq kwenye mkutano wetu wananguka mapepo kijiji kizima hekaheka waulize kala rambaramba ni matapeli wenye viini macho tu

  • @kajorogang
    @kajorogang 9 หลายเดือนก่อน +2

    Naipenda Kigoma yangu

    • @NASSORRAMADHANI
      @NASSORRAMADHANI 16 วันที่ผ่านมา +1

      Oy kajorogong

    • @kajorogang
      @kajorogang 6 วันที่ผ่านมา +1

      @@NASSORRAMADHANI niaje man

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 9 หลายเดือนก่อน +1

    Polisi Acheni Kubabaisha Watu Uchawi Upo Sema Waganga Waanze Na Mkuu Wa Wilaya Asiwepo Serikalini Wenda Ndio Mwanga Mwenywe Wa Wilaya Kwanini Azuie Mila Za Kaline Na Kaline

    • @SA-xj8hc
      @SA-xj8hc 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 dope

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 9 หลายเดือนก่อน

      Na ukiona mtu anatetea mchawi ujue kundi moja

  • @bolingodominic
    @bolingodominic 10 หลายเดือนก่อน

    Watu wanatolewa wameshaharibika unawaona kabisa, harafu unasema ushirikina. Hiyo ni sayansi acheni ujinga

  • @khajisokoni3790
    @khajisokoni3790 5 หลายเดือนก่อน

    Selikali bwana

  • @user-pe2vl2sv9y
    @user-pe2vl2sv9y 9 หลายเดือนก่อน

    Njia kuu ya kushindana nanguvu za giza na uchawi ni jina la YESU Bwana wa majeshi MUNGU kabila la simba wa Yuda

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861 5 หลายเดือนก่อน

    Je shetani aweza kumtoa shetani???Soma Marko.Mtu asiwadanganye

  • @michaelmaja-1699
    @michaelmaja-1699 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo mkuu wa wilaya ni wa kutom... kwanza ataaminitu kwamba uchawi upo.

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe8881 10 หลายเดือนก่อน

    mrogeni na huyu mama wachawi oyeeee anzeni na huyu mama nawapenda sana wachawi

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 9 หลายเดือนก่อน

      We noma wachawi oyeeeeeee

  • @user-rh7lv6hp4k
    @user-rh7lv6hp4k 6 หลายเดือนก่อน

    Inatakiwa wachapwe hawo ndiyo wanafanya mambo yasiende

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 10 หลายเดือนก่อน

    Kwani hao viongozi hawatoki miongoni mwa hawa wananchi hawajui uchawi wa ache ujinga

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh 6 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo wewe unapenda kufatu

  • @user-dh8zf3ky3v
    @user-dh8zf3ky3v 8 หลายเดือนก่อน

    Waha ni kiboko

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 7 หลายเดือนก่อน

    MKUU WA WILAYA ANAONEKANA NI MCHAWI MKUBWA ANAOGOPA KUUMBUKA

  • @user-qk6xi8fb9d
    @user-qk6xi8fb9d 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu atuhurumie

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka4884 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo kubwa ni ukosefu wa elimu katika wilaya ya Uvinza.Watoto wengi hawapati elimu ya shule ya Msingi na sekondari.Shule za Msingi na sekondari ni chache sana ukilinganisha na idadi ya watoto.Kwa mfano, kata moja yenye vijiji 7 vikubwa ina sekondari moja tu. Napendekeza njia hizi ili kuondoa au kupunguza ushirikina na uchawi wilayani Uvinza na Kigoma kwa ujumla:1. Kujengwa shule za Msingi na sekondari nyingi 2. Kuhamasisha watoto kusoma shule za Msingi na sekondari 3.Viongozi wa Dini kuhubiri na kukemea sana Imani za ushirikina na uchawi.4.serikali ya wilaya kufanya vikao na wazee mbalimbali katika kata katika kupinga Imani za ushirikina na uchawi.

  • @jestonelazaro6543
    @jestonelazaro6543 10 หลายเดือนก่อน

    Mwampoza akienda huku atarudi hata benk mzigo umehama

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 9 หลายเดือนก่อน

    Wachawi mligeni mkuu was wilaya ajue uchawi upo

  • @user-ip6iy6pm3n
    @user-ip6iy6pm3n 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂sasa mchawi anaweza kumtoa mchawi mwenzie? wamekuja kuwaokoa wachawi wezao tu. Mtakeni MUNGU na nguvu zake wachawi na nyie mnahitaji msaada wa MUNGU na awasaidie ktk jina la YESU

  • @karimabdall5322
    @karimabdall5322 7 หลายเดือนก่อน

    Mienamini,kua uchawi,upo.wanaichiwacheniwafanyekaziyawo.umumeogopakuwanadaniyaviyogazikupatikanawachaw?

  • @RichardJailo-pp7kj
    @RichardJailo-pp7kj 10 หลายเดือนก่อน

    Yan watanzania du

  • @fitinabwashi8487
    @fitinabwashi8487 7 หลายเดือนก่อน

    Sunuka papaya kweli

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 8 หลายเดือนก่อน

    Jamani!!!.

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa hawataki Mungu wanataka shetani

  • @user-ph8fp3oo7g
    @user-ph8fp3oo7g 7 หลายเดือนก่อน

    Dawa ni kuokoka tu siyo waganga Yesu yupo hai ndugu zangu

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 9 หลายเดือนก่อน

    Watu Wanakesha Kwa Waganga Kukatwa Chale Kisa Uchawi

  • @barakaalfonce
    @barakaalfonce 9 หลายเดือนก่อน

    Hauwezi kuzuia giga kwa Giza Bali Bali utaishinda kwa Nuru mwamposa yupo kigoma nendeni kawakamate waganga na wachawi

    • @kajorogang
      @kajorogang 9 หลายเดือนก่อน +1

      Anaogopa kufa, wew unasema yu kwa kuwa hayajawahi kukukuta. Me nilitoroka nyumbani, vijana wenzangu wote wameshafariki

  • @manyotamussa1328
    @manyotamussa1328 10 หลายเดือนก่อน

    Achane kutetea ushirikna hao askar wanakupendeni

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd 7 หลายเดือนก่อน

    Hayo mambo mjini hayapo , Kwa Nini?

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour4930 10 หลายเดือนก่อน +5

    Ukiingia kwenye imani hizi ni msiba mkubwa utauza mpaka katambili za chooni kumpa mganga

    • @user-ym5ko9ov2o
      @user-ym5ko9ov2o 9 หลายเดือนก่อน

      Fika ndiyo utaona kama ni imani

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 8 หลายเดือนก่อน

      Sio imani haya mambo yapo kaka mshukuru MUNGU 1.hayajakukuta .2.Upo mjini

    • @mohammedamour4930
      @mohammedamour4930 8 หลายเดือนก่อน

      @@user-ym5ko9ov2o hayo msatapeli tulishawafatilia vizuri.wakipita sehemu wanaacha fitna kubwa sana

    • @fastonsambo-du4rd
      @fastonsambo-du4rd 7 หลายเดือนก่อน

      Kwani mjini uchawi haupo?