Ujue me nashangaa sana serikali yetu Kila mwenye kitengo anamganga wake anaogopa kurogwa ila haamini uchawi yaani nchi haiamini uchawi ila viongozi wa serikali wanawaganga wao aseee
Uchawi hauwezi kukomeshwa na kamchape, kamchape na wachawi nikitukimoja, nisawa na nyani na ngedele, Ushauri wangu wananchi wa sunuka wapelekewe watumishi WA MUNGU wahubiri Injili hapo siku 7 ndiyo Dawa ya kukomesha Uchawi Bayii
Uchawi Upo Niliwai Kuona Mtu Kalukiwa Na Paka Kamkwaluza Kodogo2 Mtu Ajachukua Muda Kifo Kama Kalala Vile Uchawi Upo Mtume Muhamadi Na Yesu Wote Wanajua Uwepo Wa Uchawi Uchawi Upo Dawa Moja2 Waganga Na Wachawi Wapambane Anayeshinda Apewe Kibali Na Serikali Hata Akiwa Mchawi Apewe Kibali Na Waganga Wafutiwe Vibali Ikiwa Wachawi Watakua Na Nguvu
Hapo hakuna uchawi. Kama wapi hebu Zima kipasa sauti/ mike au sitima ndo tuwatambue. We pray for you people of Kigoma. May u know the true and only savoir Jesus.
ILI KUKOMESHA UCHAWI NI KUOKOKA NA KUMWAMINI YESU NGUVU ZA UCHAWI ZITAKOMA, UKIMCHUKUA MCHAWI MKUBWA UTATULIZA TU ILA WOTE HAO NI WACHAWI, TOFAUTI YA MAKABILA YA KICHAWI TU. OKOKENI OKOKENI
Hakuna tofauti ya mchawi na mganga hiyo ni sekta moja dawa yenu ni kuokoka tu. Yesu alikuja kwajili ya hayo. Selikali haiamini uchawi wala uganga. Matapeli. Huo ni uchonganishi mkubwa. 12:18
Tatizo serekali ahiwezi ikakubaliana nahilo kwasababu wanaohilinda serekali nihaohao wachawi kwanza kabla yakuja huyo mkuu wa wilaya amepitia kwao ili wamtengeneze unasema yakwamba amlitambui nikweli nilazima usemehivo kwasababu nyie ndio wachawi wakwanza imeona likiendelea litawafikia nanyie bora mlikataze.
Kama sijakosea Kuna mwaka mkuu wa nchi aliruhusu lambalamba kukamata hiyo mizigo kutoka kwa wachawi nime miss yule raisi angekuwepo mabo yangekuwa sawa
Kiboko ya uchawi ni Yesu tu mim naamin watumish Wa Mungu wapo huko Mpeni Yesu Maisha Yenu hao waganga na hao wachawi jambo lao nimoja ucku wanakutana kuwaloga vizur
Naomba niwaulize ngugu zangu hivi mchawi anaweza kutoa mchawi? poleni sana MUNGU pekee ndie anaweza kutoa nakukomesha uchawi kabisa hiyo ndio dawa pekee ya uchawi. Mpole bhatama.
Hata kala tumeenda pale kasante jpili watu wanatoka kwenye misa wanapitq kwenye mkutano wetu wananguka mapepo kijiji kizima hekaheka waulize kala rambaramba ni matapeli wenye viini macho tu
Polisi Acheni Kubabaisha Watu Uchawi Upo Sema Waganga Waanze Na Mkuu Wa Wilaya Asiwepo Serikalini Wenda Ndio Mwanga Mwenywe Wa Wilaya Kwanini Azuie Mila Za Kaline Na Kaline
Tatizo kubwa ni ukosefu wa elimu katika wilaya ya Uvinza.Watoto wengi hawapati elimu ya shule ya Msingi na sekondari.Shule za Msingi na sekondari ni chache sana ukilinganisha na idadi ya watoto.Kwa mfano, kata moja yenye vijiji 7 vikubwa ina sekondari moja tu. Napendekeza njia hizi ili kuondoa au kupunguza ushirikina na uchawi wilayani Uvinza na Kigoma kwa ujumla:1. Kujengwa shule za Msingi na sekondari nyingi 2. Kuhamasisha watoto kusoma shule za Msingi na sekondari 3.Viongozi wa Dini kuhubiri na kukemea sana Imani za ushirikina na uchawi.4.serikali ya wilaya kufanya vikao na wazee mbalimbali katika kata katika kupinga Imani za ushirikina na uchawi.
😂😂sasa mchawi anaweza kumtoa mchawi mwenzie? wamekuja kuwaokoa wachawi wezao tu. Mtakeni MUNGU na nguvu zake wachawi na nyie mnahitaji msaada wa MUNGU na awasaidie ktk jina la YESU
Ujue me nashangaa sana serikali yetu Kila mwenye kitengo anamganga wake anaogopa kurogwa ila haamini uchawi yaani nchi haiamini uchawi ila viongozi wa serikali wanawaganga wao aseee
Uchwi upoo serekali inaamini uchawi sema inavunga tuuu nawenyewe wachawiii
Umeongea point sana
😂😂😂😂 inashangaza sana
Ni swala la mtu bonfi
Acheni ushirikina mrudieni mungu ALLAH ndio kila kitu.
Duh kazi kweli huko ni Bora wachapwe wachawi wanaharibu nguvu kazi ya taifa letu.
Aseee kweli mungu awajalie wamuombe mungu imani hiyo ni mbaya.itafarakinisha wananchi .
Oya we mwangaaaa nn
Uchawi hauwezi kukomeshwa na kamchape, kamchape na wachawi nikitukimoja, nisawa na nyani na ngedele,
Ushauri wangu wananchi wa sunuka wapelekewe watumishi WA MUNGU wahubiri Injili hapo siku 7 ndiyo Dawa ya kukomesha Uchawi
Bayii
Dawa ya mchawi sio mchawi.
Wote wa moja hao.
Turudini kwa mungu
Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassalm iatufundisha kinga za wachawi. Ni kujifunza
Hao wanao shangilia na wachawi wapo apo apo😂
😂
😢
Uchawi Upo Niliwai Kuona Mtu Kalukiwa Na Paka Kamkwaluza Kodogo2 Mtu Ajachukua Muda Kifo Kama Kalala Vile Uchawi Upo Mtume Muhamadi Na Yesu Wote Wanajua Uwepo Wa Uchawi Uchawi Upo Dawa Moja2 Waganga Na Wachawi Wapambane Anayeshinda Apewe Kibali Na Serikali Hata Akiwa Mchawi Apewe Kibali Na Waganga Wafutiwe Vibali Ikiwa Wachawi Watakua Na Nguvu
Inabidi serekari ikubari wGanga wasafishe
Hahaha mpango wauzazi ndio chanzo
Waafrika hatuna akili wangekuja wazungu mungekubali nania ambaye haujui uchawi
Ahaa kigoma nomaa nilikuwa nampango wakuoa uko lakini stkiii uchawii
Mh! Bora hta nlikimbilia mjin mapema🤗
wachawi nao wafe.............ili sisi nasi tuweze kuendelea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Apa congp drc mjini uvira,baraka, fizi yote ilishawahi kufanyika lakini wakuhisha .
Hapo hakuna uchawi. Kama wapi hebu Zima kipasa sauti/ mike au sitima ndo tuwatambue.
We pray for you people of Kigoma. May u know the true and only savoir Jesus.
Wana Kira a wenyewe haa mwaiposa kazi imefika kweri kigoma wanakurana
Mungu awahurumie wote mnao andamana mludieni Mungu na sio waganga
Subhana Allah
Wachawi wengi wana toka kongo nauchawi wao ndomaàna wachawi hawa ishi kigoma
Mrudieni mungu na mungu atawakomboa na kuwapumuzisha na mizigo hiyo mizito
Kwan Mungu haioni
Badala mlete watumish WA mungu nnaleta washirik wenzao
Jamani SI mnge mwita mtumishi WA mungu mwamposa WA chawi waokoke
Akikanyaga tu hiyo ardhi anakufa yeye
Dar kuna wachawi wangap mwamposa hawajawashika . Mwamposa anawafanya vipofu waone mbona shule za vipofu zinaongezeka mzee tumia akili
Aisee watanzania wamejawa na imani mbaya sana
Achen wachape jmn tumechoka kufungiwa liziki nawachawi tumechoka kurogwa hao wanao kata wakinakamchape hawajarogwa ndomaana mnasema😏sublin mrogwe ndo mtawakumbuka wakina kamchape😁😁wengine ndugu zao wachawi wanakata aibu ndomaana wanapinga maswara yakuchap😂😂mbuz nyinyi wakiangaz😂
Hongera Baba WA taifa
Hapo safi safisha uchafu
Tanzania BDO sana sijui kama tutafuka salama, police mnasimamia Hilo zoezi kweli, serikali siahamini uchawi imekuwaje waungwana?
Naipenda kigoma yangu
Usiache mwanamke mchaw ahish neno last mungo linasema😂
Dada anaongea huyo nakumbuka nilisoma naye sunuka sec.
Hao wachawi waende vitani yukreni
Na mimi ntakuja kutoa we ngoja
We unajua tu ila sema unasimamia sheria
Uchawi upo ila hao waganga walikosea kupita nyumba Hadi nyumba hao wachawi niwakutegatu sehemu ukawatia Aibu
Ni kweli wanatutesa Sana na znz waje 8:53
ILI KUKOMESHA UCHAWI NI KUOKOKA NA KUMWAMINI YESU NGUVU ZA UCHAWI ZITAKOMA, UKIMCHUKUA MCHAWI MKUBWA UTATULIZA TU ILA WOTE HAO NI WACHAWI, TOFAUTI YA MAKABILA YA KICHAWI TU. OKOKENI OKOKENI
Waje na huku tumechoka mtu kuugua kichwa na kufariki
Ni wapi huko kwenu
Mambo... poa
Kwa kweli, Mungu amsaidie jamani.
Serikali yetu iamini tu kama uchawi upo
Mtumaini Mungu aliye hai,, ndiye mokozi wet na ni mweza wa vyote acheni kuamin Imani za kishirikina.. MUNGU YUPO
Mashujaa oyeeeeee 😂😂
Hawa wapo karne ya ngapi ninyi huo ni umasini tu unawasumbua mpe Yesu maisha yenu muone wataroga nina
Likikujumba ndio utajua mbichi au mbivh
Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake ufalme wake utakiwa umefitinika.
Hakuna tofauti ya mchawi na mganga hiyo ni sekta moja dawa yenu ni kuokoka tu. Yesu alikuja kwajili ya hayo. Selikali haiamini uchawi wala uganga. Matapeli. Huo ni uchonganishi mkubwa. 12:18
Kama yesu alikuja kwa ajili ya hayo mbona Bado yapo mzee
Hao waganga nataka wafike kwetu mwanza watu wa mwanza nao wameshindikana kwa mambo ya uchawi
Mmm uchawi safali hii
Usiombe yakupate yaliyowapata watu wako
Tatizo serekali ahiwezi ikakubaliana nahilo kwasababu wanaohilinda serekali nihaohao wachawi kwanza kabla yakuja huyo mkuu wa wilaya amepitia kwao ili wamtengeneze unasema yakwamba amlitambui nikweli nilazima usemehivo kwasababu nyie ndio wachawi wakwanza imeona likiendelea litawafikia nanyie bora mlikataze.
Et selekali haiamini uchawi wakati hata wao niwashirikina baazi yao wanashinda kwa wanganga
Nimetaman kijijin kwetu tatizo ni hilo tu uchawi.mimi ni nimezaliwa hapo niesomea hapo
Juzi tumerudi kutoka kin'gombe rukwa hukohuko kijiji kizima kilitaharuki mhangaika na kamchape ndo wachawi haohao chukua namba tunakuja tupo dar
Je? Mmewezaje kuwasaidia wanaofanyiwa huo uchawi ? Hatakama serikali haiamini uchawi mnawasaidiaje hao wanaologwa
Ni kweli ata znz yapo na huku waje
Hao waganga tunaomba wafike kwetu jamn mkoa wakilimanjaro wilaya yamwanga vijana hatuendelei makopera kama yote
Hawana ukweli matapeli tu
Hatari 🔥
Kama sijakosea Kuna mwaka mkuu wa nchi aliruhusu lambalamba kukamata hiyo mizigo kutoka kwa wachawi nime miss yule raisi angekuwepo mabo yangekuwa sawa
Kiboko ya uchawi ni Yesu tu mim naamin watumish Wa Mungu wapo huko Mpeni Yesu Maisha Yenu hao waganga na hao wachawi jambo lao nimoja ucku wanakutana kuwaloga vizur
Sasa Hawa wanasumbuka bure mchawi na mganga nihaohao yesu pekeyake ndiemganga yesu nimwanga uangazao
En YESU Ndie kimbilio Leto ,Maana Imeandikwa Akuna uganga Juu ya Israel Wala Hakuna Uchawi Juu ya Israel.
Acha watumbuliwe wachawi wapo hata biblia inakubali uchawi upo baraki na balam
nyinyi mnazuia ujingaa kama hayo mambo yangeyakuteni nyie
Naomba niwaulize ngugu zangu hivi mchawi anaweza kutoa mchawi? poleni sana MUNGU pekee ndie anaweza kutoa nakukomesha uchawi kabisa hiyo ndio dawa pekee ya uchawi. Mpole bhatama.
Kigoma Bado tukonyuma sanna ushirikina time endekeza niwapi ambapo watuhawafi
Wachapwe
Mnaokataa uchawi wakati wa sungusungu mlikuwa bado wadogo? Wachawi walikuwa wanachapwa hadi wanafata matunguli yao halafu nyie mnasema uchawi haupo?
Safi sana Mkuu wa wilaya kwa msimamo thabiti usiyoyumba!
Wee utakuwa mchawii
Jamani naombanije nitoe msada na mm
Wachawi wahame acha msako uenderee ttz naviongozi wawilaya mnaogopa kulogwa ndomaana mme onakama hiyo opreshni nitatz jeee wakisidi kuuwawa wananchi kishirikina nawananchi wakagoma kua wanazika mtafanyaje maana wamechoka kuzika migomba nawewe unae wakingia kifua wachawi endapo wamekufa wananchi wote utamwongoza nani
Hata kala tumeenda pale kasante jpili watu wanatoka kwenye misa wanapitq kwenye mkutano wetu wananguka mapepo kijiji kizima hekaheka waulize kala rambaramba ni matapeli wenye viini macho tu
Naipenda Kigoma yangu
Oy kajorogong
@@NASSORRAMADHANI niaje man
Polisi Acheni Kubabaisha Watu Uchawi Upo Sema Waganga Waanze Na Mkuu Wa Wilaya Asiwepo Serikalini Wenda Ndio Mwanga Mwenywe Wa Wilaya Kwanini Azuie Mila Za Kaline Na Kaline
😂😂😂 dope
Na ukiona mtu anatetea mchawi ujue kundi moja
Watu wanatolewa wameshaharibika unawaona kabisa, harafu unasema ushirikina. Hiyo ni sayansi acheni ujinga
Selikali bwana
Njia kuu ya kushindana nanguvu za giza na uchawi ni jina la YESU Bwana wa majeshi MUNGU kabila la simba wa Yuda
Je shetani aweza kumtoa shetani???Soma Marko.Mtu asiwadanganye
Huyo mkuu wa wilaya ni wa kutom... kwanza ataaminitu kwamba uchawi upo.
mrogeni na huyu mama wachawi oyeeee anzeni na huyu mama nawapenda sana wachawi
We noma wachawi oyeeeeeee
Inatakiwa wachapwe hawo ndiyo wanafanya mambo yasiende
Kwani hao viongozi hawatoki miongoni mwa hawa wananchi hawajui uchawi wa ache ujinga
Kwaiyo wewe unapenda kufatu
Waha ni kiboko
MKUU WA WILAYA ANAONEKANA NI MCHAWI MKUBWA ANAOGOPA KUUMBUKA
Mungu atuhurumie
Tatizo kubwa ni ukosefu wa elimu katika wilaya ya Uvinza.Watoto wengi hawapati elimu ya shule ya Msingi na sekondari.Shule za Msingi na sekondari ni chache sana ukilinganisha na idadi ya watoto.Kwa mfano, kata moja yenye vijiji 7 vikubwa ina sekondari moja tu. Napendekeza njia hizi ili kuondoa au kupunguza ushirikina na uchawi wilayani Uvinza na Kigoma kwa ujumla:1. Kujengwa shule za Msingi na sekondari nyingi 2. Kuhamasisha watoto kusoma shule za Msingi na sekondari 3.Viongozi wa Dini kuhubiri na kukemea sana Imani za ushirikina na uchawi.4.serikali ya wilaya kufanya vikao na wazee mbalimbali katika kata katika kupinga Imani za ushirikina na uchawi.
Uko sahih kabsa.....!! 🙌
Mwampoza akienda huku atarudi hata benk mzigo umehama
Wachawi mligeni mkuu was wilaya ajue uchawi upo
😂😂sasa mchawi anaweza kumtoa mchawi mwenzie? wamekuja kuwaokoa wachawi wezao tu. Mtakeni MUNGU na nguvu zake wachawi na nyie mnahitaji msaada wa MUNGU na awasaidie ktk jina la YESU
Mienamini,kua uchawi,upo.wanaichiwacheniwafanyekaziyawo.umumeogopakuwanadaniyaviyogazikupatikanawachaw?
Yan watanzania du
Sunuka papaya kweli
Jamani!!!.
Hawa hawataki Mungu wanataka shetani
Dawa ni kuokoka tu siyo waganga Yesu yupo hai ndugu zangu
Watu Wanakesha Kwa Waganga Kukatwa Chale Kisa Uchawi
Hauwezi kuzuia giga kwa Giza Bali Bali utaishinda kwa Nuru mwamposa yupo kigoma nendeni kawakamate waganga na wachawi
Anaogopa kufa, wew unasema yu kwa kuwa hayajawahi kukukuta. Me nilitoroka nyumbani, vijana wenzangu wote wameshafariki
Achane kutetea ushirikna hao askar wanakupendeni
Hayo mambo mjini hayapo , Kwa Nini?
Ukiingia kwenye imani hizi ni msiba mkubwa utauza mpaka katambili za chooni kumpa mganga
Fika ndiyo utaona kama ni imani
Sio imani haya mambo yapo kaka mshukuru MUNGU 1.hayajakukuta .2.Upo mjini
@@user-ym5ko9ov2o hayo msatapeli tulishawafatilia vizuri.wakipita sehemu wanaacha fitna kubwa sana
Kwani mjini uchawi haupo?