@@issaskighanga3199 hhahahahha ila kiasi imenitoa machozi maisha yanatufanya tupitie mambo magumu sana hata ya hatari ili tu mkono uingie kinywani daah
Hii inaelmsha kua vle utaamn ushrikina ndvyo utakupeleka wenye Iman ndogo ndo uamn ushrkna kwel uchawi upo but hatupaswi kuacha kuamn msaada wa Mungu 🙏
Asante sana Kicheche, Napenda filamu zako za Kichawi na Miujiza Kali Kama vile LambaLamba,👊👊 Ni Mc Mk Bailando kutoka Kisumu City in Kenya 👉 Inshallah Aiseh..👆
Kama unajua kabisa kicheche ndo comedian mwenye views weng kwa muda mfupi EAST AFRICA GONGA LIKES NYING
Kama unampenda kicheche...weka likes zako apa..
likes unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba 😏
Nakubali mbwa wewe
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Baba wemkali kabisa
Hadi yaani
Kama ulifatilia kw live gonga like ata mtu kumi😂😂much love from kenya ❤❤❤❤
likes unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba 😏
Kwa mala ya Kwanza kicheche anatoa machozi tena akiwa serious duuuh😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Yanini nimecheka xna mbwa yule kajifanya serious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@issaskighanga3199 hhahahahha ila kiasi imenitoa machozi maisha yanatufanya tupitie mambo magumu sana hata ya hatari ili tu mkono uingie kinywani daah
@@sophishebby6274 hahhahha
Mmmh,,,,huyu mwamba anatry uwitch doctor
Mbona Kawimbo ni Kazuri Kicheche Anatoa Mizim na Majina Nauchawi
Wavyo Itikia Kawimbo Kazuri Sanaaa
Kicheche katoa chozi kwa mara ya kwanza,,,,,nipeni likes zangu jameni fan namba moja toka 🇰🇪 kenya
likes unazipeleka wapi kenge wewe?
peleka ushamba Kenya huko😏
Kamdudu ww
Uko smart mammy ❤❤❤❤
Mwamba kicheche haji kutokea mtundu kama kicheche huyu ni boss wa comes biggap sana kicheche.
Nakubali sana kicheche ni nomaaa
hahahahah mganga walioba
Hapo kwa kunyoa ndio utajua kabisa hii crew iko serious 🔥🔥🔥mashaallah 🎉
Najiuliza huyo mama alikubali vp kunyolewa kirahisi hvyo🤣🤣🤣
Wallh apo kumbe wako srius mzee wa wenyew kanyolewaa😂😂😢
@@rosellaabraham13 I like kicheche
@@rosellaabraham13 I like icheche
😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@rosellaabraham13
Kicheche 💖💖💖💖💖nagupenda sanaa kicheche nik murundi
Hii inaelmsha kua vle utaamn ushrikina ndvyo utakupeleka wenye Iman ndogo ndo uamn ushrkna kwel uchawi upo but hatupaswi kuacha kuamn msaada wa Mungu 🙏
Kalibu mganga njoo ufanye kazi yako dar ira nmecheka
Kumbe kicheche una sura nzuri ukitulia
Number 2 on trending duuuh kicheche wamoto
Mimi nampenda kicheche san kwel kama na wewe unapenda comedy zake nisaidie ku like ❤😂😂😂
Me piah napend like zak
❤❤❤Hii Kali kuliko zote..... Lambalamba pumbavu zako
Wenye tumeshika rythim ya wimbo Tia like😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 hatari ,mi Adi sai na imba tu
😂😂😂😂
Yeah
MBONA KAMA UWO UCHAWI ULIWUEKA MWENHEWE MAANA UJAKAWIYAA☯️🎒🎒
Wa Tanzania 🇹🇿 you’re the best fam🥰 love from Rwanda 🇷🇼❤️😁
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Kicheche ni kiboko yao
9o99o9ooooòooooiiiijuhhhjjjjkooii⁸⁸⁰ìo⁸ì⁸òò⁹ⁿp0000999998uooqqoooio11 9
Mganga wa rioba kicheche noma Sana twende nalo na likes hapo 👍👍
Kicheche ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ from USA
Nakuona mbali sana kicheche warioba afu wa kwetu kabisa hadi ndani
I love this lady...oomy!!!the way she brings her emotions wow,you ate on dope girl
Jamanii kicheche Ana weza anaye mu kubalii a like
Kama umeanza ucheka babula ya kuangalia tujuwane hapa
Nmecheka balaa
Hhah
Hahahahahahahhagagagagagagagagaga
a'm the one
Jama noma.
Kicheche ni moto wa kuotea mbali
kicheche siku moja utaja niua 😂😂😂😂 hivi ulitoroka ukafika wapi 😂😂😂pumbavu zako
Umbwa mm lambalamba
Nimetabasam Kumuona Kicheche na Kucheka Kwa Mbali na Wimbo Wake Mzuri
Daaaah ndugu yangu kicheche wahenga walisema ukisitajabu musa basi utayaona ya filauni hahahaha 🤣🤣🤣
Wangap 2meshika rythm ❤❤❤❤
i like how the crowd is responding, love from Kenya
😂😂Yes! The best
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
This comedy team I really salute them❤❤
Umbwa wewe wa congolais tuna kukubali sana bumbavuzako
Maskini bibi wa watu so poa kabisa 😂😂😂😂
ZUWENA WA BUZA KWA MPALANGE
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Tanzania first ♥️ I Love you more from Rwanda.
Jamani kwanza mimi nacheka kabla sijatazama 😂😂😂😂 anatowa bazimu anatowa uchawi
Much love from Kenya Moore ❤
ZUWENA WA BUZA KWA MPALANGE
Kicheche kalia for the first time 😹😹 Napenda
Iyi 😅ni kali sana mbwa we Kazana sana 😂❤❤ like 👍 apa 😊
Kitu ipo on trending namba 7❤❤❤❤❤ 🔥
@kicheche
Kicheche umenikumbusha mbali sana suala la lambalamba Ila walikuwa na balaaa
Kichecheee❤❤❤❤
From KANAIRO Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Watching from Kenya like u kicheche 😊😊 ronga kabisa
huyu dada nampenda tu kwasababu analia....
Kichehe unatisha sana mwanangu we fundi sana
Mganga Kicheche Walioba 😂
LAMBA LAMBA 😅
Mmmh kwelly hii Kali
Jitahid boy go on respect you👏👏
Vai and kicheche miamia nawakubal sana 🔥🔥🔥🔥
So kicheche can cry, pumbavu zako kicheche🤣🤣🤣
Dah jmn sawaaaa
😂😂😂😂😂😂 mganga kicheche anatowa uchawi anatowa majini 😂😂😂
Kicheche na kupenda sana naweye unapenda nani
Hakiyamungu mnatisha kiukweli❤❤❤❤
Aaaaa kicheche on fire dadi
😂😂kicheche utatuuwa😅😅
Kumnyoa mtu kipara sio Jambo dogo Tena mwanamke, kicheche you're the best
Kicheche Noma nimemukubali sana
Mchawi doko anakomexha waganga hahahahaha ❤️♥️❤️♥️😍🤩😘🥰🥳
duh , yani wamemnyoa mama wawatu kipara kiukwelikweli 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Hatar
😂😂😂🤣🤣nmecheka Mpka basi
Dah co poa😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
KichEchE Big Up 💪💪
nimecheka Kwa sauti Sana 😁😁kicheche unajua Kaka 💥💥💥
😂😂😂 nmeanza hvi na nkamaliza hvi😂😂 the best actor who always make my days 😅😅
Kicheche wee namakoti utakuja niuwa ,mlishoot jana mnaact leo hongera nyote😂😂❤
aiseeee kwa mara ya kwanza naona choz la kicheche😁😁😁😁
Siyo sir nimechka sana nakuomba siku moja nami niwe comedian
Mganga kicheche mbwa mm unanifulahisha sana😀😀😀😀😀😀😉
Nakukubali sanaa kicheche
Wewe kicheche utaniua mm am your biggest fan from kenya😊
❤❤❤❤❤ umeweza kicheche
😂😂!kicheche ananikumbusha Kanumba!kazi nzuri
Hyu vai anajua jaman
Dadaa anajua mnooo
Nampenda Sana Nan mwenzangu lakin navuko wp
Kicheche congratulations 🎉you are the best comedian in Tanzania 🇹🇿
Asante sana Kicheche, Napenda filamu zako za Kichawi na Miujiza Kali Kama vile LambaLamba,👊👊 Ni Mc Mk Bailando kutoka Kisumu City in Kenya 👉 Inshallah Aiseh..👆
Nakubali San
Uyu kicheche anaweza kuwa mwehu kweli huyu😁 apimwe akili
Weweeeee,mbwa lambalamba nakupenda🤣😂😂🤣😂from 254,hatukuachi kijana mpka ufe mbwa wewe
Watu wa Buja257🇧🇮ndabasavye tumenyane mumpe like twereke love Kicheche😆😆😆
Turahari
yaani mimi huyo dada ndo ndo nampendaga jmn naitaji like zetu kama mnamkubali
Ametisha sana mganga kicheechukua kia2 hicho zawadi kutoka kwa nicholaus lazaro
Kicheche noma nakukubali
Huyu bibi wa kicheche is the lady I like the most,the best in kicheches drama
😁😁Daaa kwel uyu kicheche noma
hogeleni sana kwa kazi nzuli
Kuona tu picha ya kicheche naanza kucheka,😂😂Umbwa Mimi,
Wakenya tujuane kwa likes.
👇👇
Kichechee unajua San kak
Jamaa anapanda kwa kwas Sana movie inaingia ONTREND Kama vile NYIMBO ata nyimbo zingine huwa haziingii Ontrend
Napenda kicheche anajiamin san
Wewe kicheche haha mpaka warioba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila kicheche jmn m nakupenda jmn
Nimecheka jamani khaaa alivokimbia
*Wakenya wamekumbatia Hii* 🇰🇪🇰🇪
Yan we bint unalia vizuri sana Safi sana
Pumbavu zako ukae trending namba moja
Congratulations 👏
🤣🤣🤣🤣🤣 kichecheeeee warioba mganga wa mchongo daaah!!! Kile kipala Cha yule Bibi kicheche alivomuonesha kioome hoi😂😂😂
Uyo demu anakipaji chakuigiza
Uko na content
Aaaaaa mbwa kicheche ni mwamba hatariiiiiii
Kicheche mganga wa mchongo mbwa wewe watakuua hao wachawi wakikushtukia 🤣🤣🤣🤣