RAIS SAMIA Kuhusu WALIOTOA MAONI MKATABA wa BANDARI - "HAKUNA ALIYEPUUZWA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2023
- RAIS SAMIA Kuhusu WALIOTOA MAONI MKATABA wa BANDARI - "HAKUNA ALIYEPUUZWA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
MWENYEZI MUNGU akulinde mama, uko na Busara na hekima tele kwakweli👏👏👏
Mama huwa ana kiswahili kizuri sana...I wish I could master the language like how mama does!
Hapo sawa kama hajapuuza❤❤❤
Mama tunacho hitaji maendeo kinacho takiwa fumba macho ziba masikio kaza Buti kaz iendelee
Mh Rais tunakuamini endelea kuchapa kazi Watanzania tupo nyuma yako
Kweli sikio la kufa halisikii dawa
NYINYI MBWA MNATUONA NYANI 😢TUMEKATAA
Bora hukò kwenù mnpata aslimia 60 ya Mapato sis zanzibar tumewap Bandar tunapewa alisomia 30
Let's pray the Lord
Piga kazi mh Rais ,tunakuombea sana mh Rais uwekezaji ni jambo muhimu sana, lazima watanzania tuifuate dunia na sio kuikwepa,
Wangewapa tanesco Kutwa Giza . Ndo wanasumbua wananchi wanozesha matunda na vyakula kwenye filiji. . Bandari tungempa MO dejw. .
Ila watuu eti miaka 100,,uliiona wapii,,mama Samia ndio rais Bora kuwahi kutokea tz
Hongera sana Madam President, I told all people about this. You are a Leader
Unazunguka saana nenda kwenye point 👉 mshauza hamjauza?
Katiba mpya tume huru ni haki yetu
TUMEKATAAA ILA MNALAZIMISHA BASI FANYENI
Mama piga kazi hawa wenzetu ndivyo huwa walivyo hawa jawah kuyaona mazir wayasemee bal macho yao hua yanaona babaya pekeake
Kwenye kura ndio mtajua wantanzania walimaanisha nn
Amkeni akuna elimu ya bure😂😂
Mungu yupo mlangoni mwa midomo yetu ndiyo maana tumeongea pia mizimu ya mababu zetu...