🛑

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 40

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mwamba Simba kweli wamemsajili namkubali sana msimaji wetu

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 7 วันที่ผ่านมา +1

    semaji letu CAF mungu akulinde kwakila jambo naakuondelee marazi

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 7 วันที่ผ่านมา +4

    MKIONA HAMPATE VYUER KWA HABARI ZA MATOPOLO MACHOGO FC MSITUUNGANISHE NA HUWO USHAMBA WAO MAFISI FC HAWO

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 7 วันที่ผ่านมา +2

    nyinyi utopolo mbona mnateseka tulieni kwani nyama zipo chini Simba nguvu mojaaa

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 7 วันที่ผ่านมา +2

    aaaaaa eti chama chama kwani Simba kumepita wachezaji wazuri wangapi mana unacho kiongea ukinyuhi embu acheni ushamba kwani sisi Simba ndio chuo chenu tukiwacha wachezaji nyinyi mnabeba alafu mnawaacha Simba nguvu mojaaaaaa

  • @daudJuma-or8pp
    @daudJuma-or8pp 6 วันที่ผ่านมา

    Kaaaaa jamn Iv Feisal anakuj simba kwel

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 7 วันที่ผ่านมา +1

    UPO SAHIHI SANA SEMAJI LA CAF

  • @DottoJohn-ku9fq
    @DottoJohn-ku9fq วันที่ผ่านมา

    Acheni utani Feisal simba

  • @MUNGUWEJOSEPH
    @MUNGUWEJOSEPH 7 วันที่ผ่านมา +3

    Bro safi

  • @Salami-bf6dm
    @Salami-bf6dm 3 วันที่ผ่านมา

    Munakngea saw na wanasimba wenzangu semeni ukweli

  • @fahadysaddy2024
    @fahadysaddy2024 7 วันที่ผ่านมา

    Ahmed ally dah huyu ndio msemajai wa kweli namkubali sana napia naamini huyu ni mnyama hasa ,pambana baba mafanikio yanakuja

  • @GervasDomnik
    @GervasDomnik 4 วันที่ผ่านมา

    Azizi kii tulia yanga hapana njaa

  • @kelvinjonas-ry6zz
    @kelvinjonas-ry6zz 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Dua san

  • @ChaidaAliAmisse
    @ChaidaAliAmisse 5 วันที่ผ่านมา

    Sisi mashabiki tunaumia mama atupati taarifa mzuri kiukweli media inapoteza quality kama fei toto na mayele awajasajiliwa sema Kweli
    Mimi nipo musimbiji mkoa WA Pemba (palma mpakani na mtwara) naumia sana

    • @ChaidaAliAmisse
      @ChaidaAliAmisse 5 วันที่ผ่านมา

      Maana atupati taarifa mzuri kiukweli media inapoteza quality kwa kuweka picha za wachezaji wasio sajiliwa sio powa...
      Boa noite família de simba❤❤❤❤❤

  • @GervasDomnik
    @GervasDomnik 4 วันที่ผ่านมา

    Chama kaweke oil penye ugumu

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 7 วันที่ผ่านมา

    Semaji tunaomba Kama Fei toto bado hela imekuwa ngumu bx tupitishe hata Harambee tuchangie ili tumlele unyamani ili waumie wale jamaa wanaotuletea ngumu

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 7 วันที่ผ่านมา

    Mwongo hapo juu yup ibwe anakanusha

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mayele????😮😮😮😮

  • @MshamAri-v7g
    @MshamAri-v7g 7 วันที่ผ่านมา

    Unyama mwingi msmu huuuu

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 7 วันที่ผ่านมา

    Chama amewauniza vichwa sana kama ndoto vile

  • @Mayungasimba-i9j
    @Mayungasimba-i9j 5 วันที่ผ่านมา

    Kwann mnandika tarifa za uwongo kwenye tv yenu, mnasema yuu ya feisali kwenda simba afu, mnauliza mambo ya law, kwann msiwe kama mirad ayo, uwo ushamba,

  • @user-rk6jf6zq6d
    @user-rk6jf6zq6d 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani Katika Swali la Kijinga na muuliza swali Bila Kupepesa Macho Namwita ni Mpumbaav Kauliza Eti Msemaji kwanini Toka Umejiunga na Simba Haijawahi Kuchukua Kombe lolote Zaidi ya Kombe la Mapinduzi Pumbaav Hilo Sio Jukumu la Msemaji Wa Timu Waulize Viongozi Makocha na Wachezaji Shenzi sana muuliza Swali

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Makol buana

  • @KhamisMahmud
    @KhamisMahmud 7 วันที่ผ่านมา

    we kamwandishi umetumwa

  • @AlayceLello
    @AlayceLello 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli😅😅

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa 7 วันที่ผ่านมา

    Hivi hakuna taasisi zinasosimia hizi taasisi fake? Unadanganya watu kwa kuweka heading tofauti na content ili iweje

  • @PaulPeterJoseph
    @PaulPeterJoseph 6 วันที่ผ่านมา

    Kwel

  • @MarryBrash
    @MarryBrash 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nyiee mikundu

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 7 วันที่ผ่านมา

    Broo unajua kuongea maswali ya mtego unapita nayoooooo

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y 7 วันที่ผ่านมา

    Na Kama atasusa lawi wenzie Wala

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 7 วันที่ผ่านมา

    Semaji lacuf nkupenda mtu wakazi

  • @daudJuma-or8pp
    @daudJuma-or8pp 6 วันที่ผ่านมา

    🇹🇿👍 4:51

  • @user-dd3nc9py2i
    @user-dd3nc9py2i 7 วันที่ผ่านมา

    Mnaboa nyie kichwa cha habal hakiendan na habari

  • @user-zv3jb5lk6l
    @user-zv3jb5lk6l 7 วันที่ผ่านมา

    utopoloooo😅

  • @selemwenda690
    @selemwenda690 7 วันที่ผ่านมา

    Pumbavu nyie wazili wa habali fungia hawa wezi wa mb za watu kichwa cha habali na kilichopo ni tofauti media za uchocholon futeni

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂ata ngao ya jamii ni wamechikua kwa figixu tu