Tatizo la watanzania ni kwamba tunakubali kudanganywa na wachache, walitembea mikoani kuwa hakikisha wananchi kuwa mkataba ushawekwa tena miaka mia. Lazima tuwe makini na wanasiasa uchwara
Malalamiko yetu yasaidia kwa kiasi kupunguza miaka iliokuwa haiweleweki mpaka sasa mika 30, Naomba kwenye mikatayoye mlioweka iwe wazi na sisi wananchi tuelimishwe mlichobadilisha na kile cha awali!!!!??
hivi kuongea namdomo nakuongea na document kipi kibo kwenye shelia maezo yako kidog nimazuli ira nimaerezo hewa mana mkataba ulienda bungeni na hauja wahi kubadilishwa sasa wew haya maezo yako yameandikwa wap kwamba DP atahudumia gate tatu nasio zote au mmekosa pakutokea mkitaka rudisheni mkataba bungeni ndio mkatoe hivyo vipengere hapo itakua kweli
Hizo sababu niza hovyo kabsa nchi ya tanzania haijafikia hatua ya kushindwa kujenga hizo gati, nakataa ila kwa7bu mpango wenu ndo huo mnatoa sbabu ambazo haziingii akilini mwetu, hii laana itaawarudia,
Ama kweri wajinga tanzania ni wengi sana yaani serikari inashindwa kupokea pesa za bandari mpaka aletwe mwarabu ndio ataweza kitupokelea pesa za bandari aisee tumekwisha hawa viongozi wa kiisram ndio wanaoliangamiza taifa
Hongera Mh.Rais kusikiliza maoni ya WA Tanzania.
Kazi nzuri sana
Hongera raisi wetu
Maelezo haya bado hayabadilishi vifungu vya IGA
Wengi wetu hawajui kinachoendelea ni watumia smartphone kuandika chochote
Mnamwangusha mama mmesoma kuendesha Bandari mmeshindwa wengia wengine sio DP !!
Usalama Wetu Jeshi linalinda mpaka Leo tunauza Bandari Dar es Salaam!!
Ni kweli viongozi wa TEC wameridhika na mkataba huu?
Ccm wameanza kampeni 2025 watanzania wazalendo tulinde Rasilimali zetu.
yani kijana mzima unakirikushindwa kuendesha bandari, hii ni atari sana.
Duh nn hiki
Hisa ngapi kuingia mkataba huo ?kesi itafanyikia wapi kama Serikali itajiondoa Mahakama Kuu inje ya Nchi !?
CCM. Mmechoka Sasa ni mwisho wenu mwaka kesho tumechoka tunahitaji katiba mpya Tume Huru CCM mtaleta Vita Tusifike huko
Safi sana
Hiyo ni uongo mtupu, mnauza nchi!!
😢
Tatizo la watanzania ni kwamba tunakubali kudanganywa na wachache, walitembea mikoani kuwa hakikisha wananchi kuwa mkataba ushawekwa tena miaka mia. Lazima tuwe makini na wanasiasa uchwara
Mbona mh amemuangalia hivyo huyo wa tpa alipo sema mkataba ni miaka 30
Maan uwamuzi huu umechelewa mama
Hata waliopo apo wanaona aibuuongo wa wazi
Hakuna Cha tukio kubwa wala Nini hatupangwigiwi 2025 kazi mnayo
Kube wamehongwa na warabu hawa
Malalamiko yetu yasaidia kwa kiasi kupunguza miaka iliokuwa haiweleweki mpaka sasa mika 30, Naomba kwenye mikatayoye mlioweka iwe wazi na sisi wananchi tuelimishwe mlichobadilisha na kile cha awali!!!!??
😢😢😢😢😢 Pole sana
😂😂
Yani watu wamesema Hadi wengine wamefungwa
Nani kafungwa ila kunawatu siwasikiii nipe taatifa
hivi kuongea namdomo nakuongea na document kipi kibo kwenye shelia maezo yako kidog nimazuli ira nimaerezo hewa mana mkataba ulienda bungeni na hauja wahi kubadilishwa sasa wew haya maezo yako yameandikwa wap kwamba DP atahudumia gate tatu nasio zote au mmekosa pakutokea mkitaka rudisheni mkataba bungeni ndio mkatoe hivyo vipengere hapo itakua kweli
Inamaana serikali iliyoko madarakani imeshindwa kusimamia mpaka inawapa warabu hii CCM haitufai kuweko Tanzania .
Jisemee peke yako
Hizo sababu niza hovyo kabsa nchi ya tanzania haijafikia hatua ya kushindwa kujenga hizo gati, nakataa ila kwa7bu mpango wenu ndo huo mnatoa sbabu ambazo haziingii akilini mwetu, hii laana itaawarudia,
Nenda kaendeshe unaeweza
We ndio bwege kweli uchumi wa kisasa hata uingereza wapo DP world kazi ya serikali ni kukusanya kodi sio kufanya biashara.
Nyinyi CCM ni wajinga wakubwa sana
Hii imeenda, uthubutu ndy njia ya mafanikio ya maendeleo.umewakaanga wanafiki waliokuwa wakisema mkataba ni wa milele
wewe hujui2 mkaba ule ulienda bungeni huyu anatoa maerezo ya mdomo nawakati kule bungeni watu washapitisha teari ilitakiwa wazili wakatiba nashelia arudishe bungeni ukabadilishwe kilicho andikwa mwanzo ndio kinaenderea hapa anatuliza kelele zawajinga2 wasioerewa
Bado ni wa milele hicho ni kitambaa
Ama kweri wajinga tanzania ni wengi sana yaani serikari inashindwa kupokea pesa za bandari mpaka aletwe mwarabu ndio ataweza kitupokelea pesa za bandari aisee tumekwisha hawa viongozi wa kiisram ndio wanaoliangamiza taifa
Wanaongelea bandari wewe unaongelea udini, jinyonge basi
Kichaka kimeingia moto, itabidi mlipe kodi sasa