Mungu akubalik Sana Sana mtumishi wa mungu ushuda uioutoa namimi nimeacha na mme alinifukuza kwaujja kumbe anataka kuoa naona uniombee mungu alejeshe ndoa yangu
Baba hujaongea uongo Nina ndg yangu nae aliolewa akawa anaish na mtoto wa dada ake cha ajabu mume alikuj kumuoa mtoto wa dada ake mwanamke akafukuzwa walikua wanaishi mwenge now yupo kibaha Mungu ni mwema kajijenga mwenyw mume alishafilisik amekua mnywaji wa kufa mtu
Halleluya Mungu hamtupi mwenye haki hata siku moja na halafu Chozi la mwanamke huwa halipotei bure!
Dr. Kimaro huu ushuhuda unafanana kabisa na mama mmoja yupo IRINGA, Mungu akubariki Mch. Kimaro kwa mafundisho haya.
Mung wa mbinguni akubaliki Sana Muchungaji umenivusha Sana na nazidi kuimalika kupitia shuhuda zako🙏🙏🙏
Mungu akubalik Sana Sana mtumishi wa mungu ushuda uioutoa namimi nimeacha na mme alinifukuza kwaujja kumbe anataka kuoa naona uniombee mungu alejeshe ndoa yangu
Daaah tupo Weng, Mungu Atusaidie kwakwel
Barikiwa sana Mchungaji kimaro,natamani uje utupe mafundisho Temeke
Mungu ni mwema jaman, watu wabaya sana
Mungu ni mwema sana🎉🎉🎉
God 🙏 bless you pastor 🙏❣️🙏 thanks so much
Amina baba 🎉🎉
Barikiwa sana mchungaji kimaro
Ubarikiwe baba...ushuhuda unaniumiza hakika 😭🙏
Mungu ni mwema sana 😭🙏
Hakika mwenye haki ajawi achwa na Mungu utukuzwe Mungu wa mbinguni nazidi kukutumainia daima
Mungu apewe sifa
Amina
Ubarikiwe Mchungaji Ekiona Kimaro
Mch Mungu akubariki sana
Be blessed 🎉
Amen Amen 🙏
Unaemsaidia ndiye anaekuumiza zaidi imenitokea mimi
Barikiwa Sana
Mungu hamuachi alie wa kwake
🙏🙏🙏
Asante
Amen Amen
Amen
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
God bless you🙏🙏🙏
Mbona wanaume huwa awajui wanatakaga nin ata 😊anyway this men of today 😢
Nimebakiwa sana
🙌
God is real
Baba hujaongea uongo Nina ndg yangu nae aliolewa akawa anaish na mtoto wa dada ake cha ajabu mume alikuj kumuoa mtoto wa dada ake mwanamke akafukuzwa walikua wanaishi mwenge now yupo kibaha Mungu ni mwema kajijenga mwenyw mume alishafilisik amekua mnywaji wa kufa mtu
Ameen SEMA baba tupon
Pipi❤😃😃
Mafundishwa yako yananibariki sana Mungu akubariki sana
Mungu akikupenda,hawez kukuacha😅
Kiukweli hamna rangi kingeacha ona.
Hakika mchungaji mungu akubariki baba
Mchungaji
Malipo ni hapahapa duniani😮
Ni mwalimu mzuri wa maisha, ila hafundishi maandiko matakatifu.
ila waja bhana, huoni anafundisha watu kuacha roho mbaya au unatakaje ahubiri kupitia vifungu mwanzo mwisho 💃🏽 huoni kama ndio maisha halisi
MSITARI UNAOHUSU MTU KUNYANG'ANYWA MME NA NDG TUONYESHE WEWE ULIPO! LAKINI SI NDIYO UKWELI? AU NI WEWE ULIPORA JAPO MCHUMBA WA RAFIKI YAKO
?
FUATILIA MASOMO YAKE MENGI UKIKOSA MAANDIKO NJOO HAPA. HUU NI USHUHUDA TU.
@@eledinankana9598 watu wengine ni wa ajabu sana,anataka afundishaje
Apataye mke amepata kitu chema.Somo liko hapo
Sio Kila mke ni kitu chema!
@@dodwiedwin3944 sijasema mimi ila Jehova ,tena sio chema tu,na kibali juu.Mithali 18:22
Huyu mhubiri anichekecha sana😅
Hakika MUNGU ni Mkuu kuliko kitu chochote, MUNGU anajua kujibu kwa uzuri siku zote
Nimeamini shuhuda ya antibayotiki inatibu mengi