Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 115

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 3 ปีที่แล้ว +22

    Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Joel. Your the best one

    • @annamilanga6087
      @annamilanga6087 2 หลายเดือนก่อน

      Ameen nimejifunza kitu kikubwa mno leoo be blessed Joel

    • @NaomyDaudi
      @NaomyDaudi 11 วันที่ผ่านมา

      Asante sana kaka 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 4 ปีที่แล้ว +16

    Kaka Joel wewe ni my Best motivator speaker na huwa nawaambia watu....Seriously

    • @rebeccatimoth9734
      @rebeccatimoth9734 2 ปีที่แล้ว

      Kaka joel naomba ushauri na milioni tano nifanye biashara gani ambayo nikianza ina anza kuni ingizia hela

    • @aishaaisha6127
      @aishaaisha6127 ปีที่แล้ว

      @@rebeccatimoth9734 nikopeshe

  • @aash4145
    @aash4145 ปีที่แล้ว +2

    Nashukuru elim yangu ni ndogo sana lakin mashaalah nimejaaliwa ujuz wakuweza, kubadilisha maisha yangu, nanikawa tajir mkubwa

  • @yahayahamadi6338
    @yahayahamadi6338 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa kaka nawaza sana chakufanya katika maisha sasa nimeshakijua

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 4 ปีที่แล้ว +11

    Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko..

    • @dorisndossi4734
      @dorisndossi4734 3 ปีที่แล้ว +3

      Sio passion yake mwenzio kashasema

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo3420 4 ปีที่แล้ว +8

    Yaan ww Kaka Joel unaniinspire xn 🙏 unatufanya tuamke tuliopo ucngizini❤️

  • @MencyJoachim
    @MencyJoachim 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka joel Mungu akubarik sana kwan.unaona mbali katika future,mimi ni mwanafunzi wa chuo natamani sana kufanya biashara nikiwa nasoma naomba ushauri wako nifanye biashara gani itakayonisaidia

  • @user-oq4fv5ed7u
    @user-oq4fv5ed7u 14 วันที่ผ่านมา

    KUZALIWA kwako ni Neema aisey 🎉

  • @princessleonard6415
    @princessleonard6415 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaka Joel natamani sana kufanikiwa lakin sijui nianzie wapi. Natamaaaaaan sana jaman

  • @ruqayahaloraimi4007
    @ruqayahaloraimi4007 3 ปีที่แล้ว +2

    Hello Mr. Joel natumia hujambo. Mimi nilikuwa nataka Ushauri wako nimejaribu Mara nyingi kufanya biashara tofauti lakini sikufanikiwa na Sasa Nina biashara ambayo nataka kuianza ndio Nataka kujaribu.

  • @johnsonkiwia6577
    @johnsonkiwia6577 3 ปีที่แล้ว +2

    Kusema rahisi sana..hebu toa mifano kutoka kwenye biashara ulizo wahi anzisha

    • @lairumbelaizer4429
      @lairumbelaizer4429 3 ปีที่แล้ว +5

      Kwani kuna biashara kubwa zaidi ya hiyo anayofanya kutufundisha . Biashara siyo lazima uuze vitu .

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 5 หลายเดือนก่อน

      Anaujuz wa kuongea na watu wakamsikiliza na wakamuelewa tayar hapo ana ujuz na anaingiza pesa.. acha ujuaj na jifunze. lione kwanza

    • @hussenmzaganya1081
      @hussenmzaganya1081 4 หลายเดือนก่อน

      hiyo kuongea ni ujuzi, kama unaona rahisi ongea na wewe tucoment hapa

  • @jumaalexis6020
    @jumaalexis6020 3 ปีที่แล้ว +2

    Dhaaah nimekuelewa kinoma

  • @salimkhamisi6490
    @salimkhamisi6490 ปีที่แล้ว

    Nashkuru joel nmekuuliza swali hapo lakin naona nshapta jibu shukran bishara nzuri yenye kuendelea ni ile iyambatane na ujuzi wako

  • @jimmyally5974
    @jimmyally5974 ปีที่แล้ว

    Am so happy kusikia swala linaloitwa biashara lakin leo nimepata kitu kutokana ww brother Joel Give us medicine

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 ปีที่แล้ว

    Masha Allha mipia nawaza nn chakufanya kiniingizie kipato kama mama wanyumbani

  • @rithalaizer4665
    @rithalaizer4665 3 ปีที่แล้ว +3

    God bless you kaka nanauka👍

  • @kelvinbernard7980
    @kelvinbernard7980 2 ปีที่แล้ว

    Àsante mwalimu nabalikiwa saña na mafundisho yako

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว +2

    Best of the Best may you live longer Mr Joel Arthur Nanauka you've changed me a Lot 🙏🙏

  • @onesmomustafa135
    @onesmomustafa135 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana uko sawa.sana nanauka

  • @jamesibrahim8849
    @jamesibrahim8849 3 ปีที่แล้ว +2

    Somo hili sio jipya kwangu, lakini kila ninaposikiliza Habari za ujuzi/skills kuna kitu kipya kina kinaibuka kwenye ufahamu wangu. Shukrani saana mwalimu.

  • @chrispojosep4738
    @chrispojosep4738 3 ปีที่แล้ว +3

    Me napenda sana kilimo vip uwo nao niujuzi

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 5 หลายเดือนก่อน

      Ni unapenda kilimo lakin je una ujuz na kilimo?

  • @ramadhanrashidali7056
    @ramadhanrashidali7056 4 ปีที่แล้ว +4

    God bless you 🔥🔥🔥🔥

  • @raytonhungu1793
    @raytonhungu1793 10 หลายเดือนก่อน

    I have impressed with your motivation mr Joel I see you reach so far 🙌

  • @user-dr2in7kz4k
    @user-dr2in7kz4k 6 หลายเดือนก่อน

    kaka mm nimkulima wa kilimo Cha biashara naomba ushaulizaid niweze kunufaika nacho zaidi san ushaulii wako nimeupenda San hongera

  • @fatimaalbraiki2341
    @fatimaalbraiki2341 4 ปีที่แล้ว +1

    Waoo katik zote hii ndoiko poa sanaa kiupande wangu m.mng aliyeumba mbingu na ardhi akubariki

  • @ErickaElia-o1z
    @ErickaElia-o1z 4 วันที่ผ่านมา

    Kaka bakupataje nimetaman kuongea na ww zaidi

  • @abrahammeatui3897
    @abrahammeatui3897 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah mafundisho mazuri sana bro

  • @aash4145
    @aash4145 ปีที่แล้ว

    Shukran kwa kutupatia maarifa aa,, 🌹🌹🌹

  • @RivadoBabliery
    @RivadoBabliery 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e 5 หลายเดือนก่อน

    kaka hakuna somo baya kwako very thank you

  • @emanuelmasawe2673
    @emanuelmasawe2673 2 ปีที่แล้ว

    Nimtu mwenye mawazo mapana na mungu akubariki

  • @queenhuu2852
    @queenhuu2852 2 ปีที่แล้ว

    Ahsant Baba nimechereewa kukufaham lkn hapa nilipokupata muda huu naamini nitafanikiwa Toka nianzee kukufatiliia akili yng imefunguka na Sasa najipanga kuanzishaa biashaara Kuna siku ntakupa majibu

  • @user-ko2zi4le3p
    @user-ko2zi4le3p 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi Nina eneo kubwa la Hela 19 na nyumba pamoja na mabanda ya kuku na ya Ng'ombe nauza

  • @user-iz8ne2jw4b
    @user-iz8ne2jw4b 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi napenda Sana ufugaji na kilimo lakini sehemu ya kufugia sasa changamoto

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana wewe fundi gari ni car mechanic engineer

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 6 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana kakaangu

  • @barakagonzalve4147
    @barakagonzalve4147 4 ปีที่แล้ว +2

    your amazing bro keep inspiring

  • @husnamasham5078
    @husnamasham5078 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsant kwa elimu mzuri

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 4 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much for this information 😄

  • @RodaEmmy
    @RodaEmmy 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba ushauli

  • @paulmanyanza1330
    @paulmanyanza1330 3 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana na maneno yako

  • @agnesspeter7042
    @agnesspeter7042 ปีที่แล้ว

    Nakupata vp kak nanauka

  • @LemyIddy
    @LemyIddy 3 หลายเดือนก่อน

    Kutengeneza sim

  • @ashuradaud9668
    @ashuradaud9668 ปีที่แล้ว +1

    Kaka Joel, Mimi bwana Nina uwezo kushawishi mtu kwa leongo la kuboresha bidhaa nilianayo au biashara flan na mtu akavutiwa au kukubali hata Kama hajatarajia?? Je Mimi kutokana na hiki nilicho nacho Naweza nikafanya kaz au nianzishe kitu gani Cha namna hii???

    • @academiazsoft
      @academiazsoft 11 หลายเดือนก่อน

      Natamani nikuelewe nahis kuna kitu hapa

  • @jameslidonde9211
    @jameslidonde9211 3 ปีที่แล้ว

    Unatujenga sana vijana wa kiafrika

  • @missdee9501
    @missdee9501 2 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much🙏🏾

  • @wilbertmlyuka5723
    @wilbertmlyuka5723 ปีที่แล้ว

    Kiukweli upo vizuri

  • @Francsimba64
    @Francsimba64 4 ปีที่แล้ว

    kaka asante sana kwa mafundisho yako

  • @elesiatabia2230
    @elesiatabia2230 7 วันที่ผ่านมา

    Naomba nikupigie inbox naomba namba ya mawasliano naomba

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana bro

  • @abellabakalemwa5729
    @abellabakalemwa5729 3 ปีที่แล้ว

    Your that inspiring person i know! Stay blessed

  • @onesmomustafa135
    @onesmomustafa135 2 ปีที่แล้ว

    Asante ndugu

  • @ghazalmsophe5322
    @ghazalmsophe5322 10 หลายเดือนก่อน

    Biashara ni ujuzi "find ur skills" bado najitafuta

  • @fatmahmed5647
    @fatmahmed5647 11 หลายเดือนก่อน

    Mi napenda san kufanya biashala iwe duka au mgahawa napenda san

  • @christinamushi2273
    @christinamushi2273 3 ปีที่แล้ว

    Daimaa napendaa kuwa Kama wew

  • @user-fl6gd1ub8p
    @user-fl6gd1ub8p 10 หลายเดือนก่อน

    Stay blessed forever

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 3 ปีที่แล้ว

    Ila Tz Mzima inatakiwa ijue KUWA Kuna mtu Kama wewe na nje ya mipaka ya Tz. Una upeo was ajabu sana wewe

  • @mussajuma7755
    @mussajuma7755 3 ปีที่แล้ว

    Kaka mm ninafanya biashara yakuuza vifaa vya simu na bado najiuliza biashara yangu ni ndogo sehemu niliopo wateja wenyewe wa msimu najiuliza niongeze kitu gani

  • @mpeliakhim3770
    @mpeliakhim3770 3 ปีที่แล้ว +2

    Maneno matam sna

  • @user-dq3ck1lv7p
    @user-dq3ck1lv7p 5 หลายเดือนก่อน

    Be blessed

  • @ibrahimjabir6023
    @ibrahimjabir6023 2 ปีที่แล้ว

    Na je kama huna ujuzi ila unamtu wako yeye anaujuzi ila hana mtaji haiwezekani kufanya jambo kwa pamoja?

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 ปีที่แล้ว

    Kaka mimi nimekuelewa saan

  • @bechatvlive
    @bechatvlive 10 หลายเดือนก่อน

    Mi ni operator wa motor grader na sijaajiriwa na campuni au mtu binafsi sasa swali nafanyaje kutengeneza pesa?

  • @Pathro_Cavosia
    @Pathro_Cavosia 3 ปีที่แล้ว

    Asante Kaka

  • @fatmamkoga3766
    @fatmamkoga3766 3 ปีที่แล้ว

    Bravooo...!

  • @shukuru9792
    @shukuru9792 ปีที่แล้ว

    Balikiwa

  • @jasminandrew3244
    @jasminandrew3244 ปีที่แล้ว

    Kak mim ninafanya biashara ya kupika vitafunwa vizur sana pia huwa ni msusi, pia naweza kupamba vitanda lakin kak bado sjafanikiwa nifanye nin sas?

  • @luckamnyalu-un4qm
    @luckamnyalu-un4qm ปีที่แล้ว

    napataje namb yako jmn unanibarik

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 2 ปีที่แล้ว

    you are the best broo

  • @tristanjolly8756
    @tristanjolly8756 ปีที่แล้ว

    baba kweli unaongea ukweli lkn na jambo nataka nikuombe siku moja ufundishe upande mwngne kuna ili janga la vijana kujingiza kuangalia vdeo chafu na kuwafanya waowenyewe kupelekea kukosa raha na familia zao kulingana na madhara waliyoyapa kwenye uangaliaji wa vdeo chafu na leo hii awajui jinsi ya kuacha nayo na wengne wamezama kwenye suala la punyeto embu baba kwa ili embu lifikirie kwa upande mwngne

  • @nihlamoscary6569
    @nihlamoscary6569 3 ปีที่แล้ว

    Kaka joel kiukweli ninateseka na hiki kitu, napenda kufanya biashara ya kusambaza bidhaa kuchukua huku na kupeleka kule lakin ni bidhaaa gan sijui ipi na itakuwa endelevu hapo ndo tatizo lilipo je nifanyeje?

  • @mwajabumhita5814
    @mwajabumhita5814 ปีที่แล้ว

    Kaka niko na laki moja ila sijui nifanye biashara gani

  • @ismailabdallah1932
    @ismailabdallah1932 3 ปีที่แล้ว

    brow umenikosha sana mwaka utakapo kuja mtwara naomba nikuone

  • @rachelmruma3767
    @rachelmruma3767 2 หลายเดือนก่อน

    Great

  • @mtindimagogera2525
    @mtindimagogera2525 3 ปีที่แล้ว

    Shukulan kak Kwa som lalk zuri san

  • @anatoleniyokwizigira3717
    @anatoleniyokwizigira3717 3 ปีที่แล้ว

    kabx,,,, ila tatizo unaweza ukawa na hizo skills ila mtaji ukakuta hauna,, je,, mtu anaweza akafanyaje????

  • @nshimirimanadjamilla7270
    @nshimirimanadjamilla7270 3 ปีที่แล้ว

    Shukran sana

  • @user-zz3pw8vk7g
    @user-zz3pw8vk7g 4 หลายเดือนก่อน

    Nice 🎉

  • @stellamwali1848
    @stellamwali1848 ปีที่แล้ว

    Na Wayne awazasoma tufanye gani kaka

  • @afyayangutv6015
    @afyayangutv6015 4 ปีที่แล้ว

    Bro uko vizuri ila nitatatixo LA kupenda kila biashara ninayoiona

  • @FaustiniMjuni
    @FaustiniMjuni 3 หลายเดือนก่อน

    ni mepata elimu juu ya ujuzi

  • @jeniferorotho9928
    @jeniferorotho9928 ปีที่แล้ว

    🙏sana

  • @falesiboniphace2194
    @falesiboniphace2194 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo namba unayoitoa msg ukituma haijibiwi cm inatumika mno,tunapaje kitabu

  • @healinghomeprayercentre
    @healinghomeprayercentre 3 ปีที่แล้ว

    Thank you sir

  • @patriciasylvester897
    @patriciasylvester897 ปีที่แล้ว

    Point noted.

  • @salumamran2108
    @salumamran2108 2 ปีที่แล้ว

    Kweli ujuzi niuhimu

  • @sleyshabani3644
    @sleyshabani3644 4 ปีที่แล้ว

    Nakusoma bro

  • @lulufaruk6208
    @lulufaruk6208 ปีที่แล้ว

    MyLifeCoach

  • @michaelkatigula5793
    @michaelkatigula5793 3 ปีที่แล้ว

    Nakupata Sana mwalim na ninaomba kupata namba yako ya WhatsApp

  • @mosesgandi8414
    @mosesgandi8414 3 ปีที่แล้ว

    True

  • @bibishejuma2272
    @bibishejuma2272 ปีที่แล้ว

    Miminauzaviuato

  • @nshimirimanadjamilla7270
    @nshimirimanadjamilla7270 3 ปีที่แล้ว

    👍

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว

    🔨

  • @idrissadadekinomaaaalikaji8172
    @idrissadadekinomaaaalikaji8172 3 ปีที่แล้ว

    Joel √√

  • @modeboytz
    @modeboytz ปีที่แล้ว

    Umeongea kitu kikubwa sana kaka

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 3 ปีที่แล้ว

    Good

    • @rehemakawamda629
      @rehemakawamda629 3 ปีที่แล้ว

      Kaka joel nakukubali sana mungu akubaliki sana

    • @magigemwita3053
      @magigemwita3053 2 ปีที่แล้ว

      Joel Mungu akutie nguvu unatuamsha tulio lala unatia nguvu tuliokata tamaa 🙏🙏🙏

  • @bryannassary3255
    @bryannassary3255 3 ปีที่แล้ว

    Bro naomba namba yako kunavi2 nataka mwongozo wako yangu ni 0746283695