1.kujilipa mwenyewe kwanza [ukipata pesa fikiria kwanza kutunza sio kutumia] 2. Kuwa na malengo [ukiwa na lengo litakulazimisha kuweka akiba] 3.Kuwa kwenye mfumo wa vicoba.[Hapo utawajibika kuweka akiba kwakuwa utapigwa faini na pia tafuta kikoba cha uwezo wako] 4.mfumo wa kibenki inayoitwa Standing oder ambayo kila pesa itakayoingia kwenye akauti yako ikatwe ipelekwe kwenye akauti ya akiba. 5.weka akiba sehemu ambayo si rahisi kuipata
Asante kaka umeniongeze kitu kikubwa katika maisha kwanzia leo nitaanza kufatilia mafuzo yako najua kuna kitu kikubwa kitaongezeka kwenye maisha yangu na biashara yangu.
Ok tunashukuru kwa semina yako ambayo umetupa apa mpanda lakini mm nashukuru sana na nitaendelea kufuatilia mafundisho yako .lakini kama kikundi tutakwalika tena
1.kujilipa mwenyewe kwanza [ukipata pesa fikiria kwanza kutunza sio kutumia]
2. Kuwa na malengo [ukiwa na lengo litakulazimisha kuweka akiba]
3.Kuwa kwenye mfumo wa vicoba.[Hapo utawajibika kuweka akiba kwakuwa utapigwa faini na pia tafuta kikoba cha uwezo wako]
4.mfumo wa kibenki inayoitwa Standing oder ambayo kila pesa itakayoingia kwenye akauti yako ikatwe ipelekwe kwenye akauti ya akiba.
5.weka akiba sehemu ambayo si rahisi kuipata
Waoh Hongera sana kwa Kuelewa na Ufafanuzi huu mzuri.
Ipo kwenye bank gani na pia ina makato?naomba kujua❤❤
Chalambo hapa nipo live katika darasa nilipendalo nipo tayari kubadilika nakuzngatia Kwa ufasaha
Shukuran sana victor mwambene
Ila we jamaa unajua unanifundisha na yanaingia Asante 🙏
We mwamba noma god bless you,lisha watu madini wazidi kufufuka
Kaongea vizur sana apa mhhhhh
Asante sana, je sisi ambao hatupokei mshahara kwa njia ya kibenk tufanyeje
Good my blood brother hapa somo limeniingia
Asante sana upo vizuriiii brooo
Ahsante sana 🙏
Aloo nimekutana na somo ambalo nimelitafta kwa mda mrefu sana hadi nahis nimechelewa
Napenda sana unachofanya na commitment yako .. keep moving brother
Asnte sana bro keep moving
Bro, i salute you 🖐️
Asante sana bro
shukran san kk nashukuru na namshukuru pia alie nifanya nikufaham ❤❤
Asante kaka umeniongeze kitu kikubwa katika maisha kwanzia leo nitaanza kufatilia mafuzo yako najua kuna kitu kikubwa kitaongezeka kwenye maisha yangu na biashara yangu.
Hongera Sana Kwa Kujifunza.
Thanks brothers ❤
Asantee mkuu
Thanks
Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉
Asante kaka somo lako nimelipenda
Ok tunashukuru kwa semina yako ambayo umetupa apa mpanda lakini mm nashukuru sana na nitaendelea kufuatilia mafundisho yako .lakini kama kikundi tutakwalika tena
Asante sana mwakimu
Asante sana Nimejifunza
Kweli kabisa mimi umenikosha kesho naenda benk kufunga acaut
Asante sana kaka nimejifunza
Shukrani sana kaka
Shukrani sana Victoria naomba
Ubarikiwe sana kaka nitalifanyia kazi.
Nimekupata sana umeniongezea kitu
Kaka naomba kujua U.T.T na hisa zipoje 🙏🙏🙏
Kwel mwali asante kwa ushaur
Asante baba...🎉
Ahsante sana nimejifunza,barikiwa.
Asante mno nmejifunza
Asanteeeee saaaaana kaka nimekuelewa mnooooo
Asante
Ubarikiwe Sana kaka
Cheers brother
Kweli kaka nimeongeza ufahamu mungu akubaliki
Nimejifunza
Nakubali
Kabisa kaka
Asante mkuu naomba kujua hii M.pawa au Mgodi je ni sawa au ni vikoba tu
Mgodi nishawah kuweka elfu50 nilipotaka kutoa ikawa inagoma mpaka kuwapigia wa mtandao walinisumbua kalibia wiki nzima😢
point ya 5 ipo bomba sana kaka mkuubw
Nikweliiiii broo Mung akubalkiiii🎉🎉🎉🎉❤
Yani asante sana nashkuru kwakutufungua akili kwakel
👍
Brother umenipa elimu kubwa sana shukrani nafanya kuanzia sasa
Da Asante San nilikuwa nakuomba tu ela
Leo nimeona jina lako status ya sharifu nikakimbia huku. Asante mwalimu
🙏🙏
tuko pamoja kaka
❤❤❤
nimekupata sna kaka . hapo kwenye vikoba na standing order. ndo inanisaidia . barikiwa sana kaka
Ipoje hii ndugu
Mbona haujasemea kuhusu tuliojiajili
Nimekuelewa kabisa
Je kwa wanafunzi tunawezaj kuweka akiba brother
Inawezekana
Nahitaji kitabu cha kanuni za fedha
Nipo kenyA naweza pata vitabu .....unaweza tuma paseli
Kwani kuweka akiba afu ukanunua kitanda ni maendeleo au sio maendeleo?
Kiongoz um nifungua ubongo
Umenifundisha kitu sikua najua....
8:44 8:46
Nime jifunza kitu
Vitabu ni shingapi mi niko mbeya
HOW TO .MANAGE MONEY BY WARREN BUTFUL VINAPATIKA KAKA MWAMBENE
Kaka kiukweri kuusu akiba umenigusa make mimi nafanya biashara ninauakika wakupata 15000 kwasiku rakini siwezi kueka era nisaidie kaka😢
😳😳😳
Lte nkuekee
Mm nalipwa 500,000 kw mwez akiba yangu nianze kuwenga kiasi gani nmeshindwa 😢 mm
Asilimia 30 ya 500000 ni 150000 kwahio
Inawezekana,tunza laki na nusu kila mwez
Ambwene wewe ni jini
Thanks
Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉
Asante sana kaka nimejifunza
Asante sana kaka