NJIA TANO ZA KUJILAZIMISHA KUWEKA AKIBA | Victor Mwambene.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 85

  • @mjemachannel7591
    @mjemachannel7591 4 หลายเดือนก่อน +10

    1.kujilipa mwenyewe kwanza [ukipata pesa fikiria kwanza kutunza sio kutumia]
    2. Kuwa na malengo [ukiwa na lengo litakulazimisha kuweka akiba]
    3.Kuwa kwenye mfumo wa vicoba.[Hapo utawajibika kuweka akiba kwakuwa utapigwa faini na pia tafuta kikoba cha uwezo wako]
    4.mfumo wa kibenki inayoitwa Standing oder ambayo kila pesa itakayoingia kwenye akauti yako ikatwe ipelekwe kwenye akauti ya akiba.
    5.weka akiba sehemu ambayo si rahisi kuipata

    • @victormwambene
      @victormwambene  2 หลายเดือนก่อน +1

      Waoh Hongera sana kwa Kuelewa na Ufafanuzi huu mzuri.

    • @teddytemu2897
      @teddytemu2897 13 วันที่ผ่านมา

      Ipo kwenye bank gani na pia ina makato?naomba kujua❤❤

  • @Chalambosheby
    @Chalambosheby 6 หลายเดือนก่อน +3

    Chalambo hapa nipo live katika darasa nilipendalo nipo tayari kubadilika nakuzngatia Kwa ufasaha

  • @ElishaDonald
    @ElishaDonald 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shukuran sana victor mwambene

  • @HaruniMwanawima
    @HaruniMwanawima 6 วันที่ผ่านมา

    Ila we jamaa unajua unanifundisha na yanaingia Asante 🙏

  • @steizwetmaster2001
    @steizwetmaster2001 2 หลายเดือนก่อน +2

    We mwamba noma god bless you,lisha watu madini wazidi kufufuka

  • @AlphasweetbertAbayo
    @AlphasweetbertAbayo 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana, je sisi ambao hatupokei mshahara kwa njia ya kibenk tufanyeje

  • @SignLackson-f5p
    @SignLackson-f5p 25 วันที่ผ่านมา

    Good my blood brother hapa somo limeniingia

  • @jimmysantana3987
    @jimmysantana3987 16 วันที่ผ่านมา

    Asante sana upo vizuriiii brooo

  • @stanslausmsilanga2521
    @stanslausmsilanga2521 12 วันที่ผ่านมา

    Ahsante sana 🙏

  • @EdigaKasiwa
    @EdigaKasiwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aloo nimekutana na somo ambalo nimelitafta kwa mda mrefu sana hadi nahis nimechelewa

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 6 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana unachofanya na commitment yako .. keep moving brother

  • @SudiNamwete
    @SudiNamwete 6 หลายเดือนก่อน

    Asnte sana bro keep moving

  • @supersoulsupersoul4667
    @supersoulsupersoul4667 16 วันที่ผ่านมา

    Bro, i salute you 🖐️

  • @KABWEBAHATI
    @KABWEBAHATI 13 วันที่ผ่านมา

    Asante sana bro

  • @AnnaMdoe
    @AnnaMdoe 2 หลายเดือนก่อน

    shukran san kk nashukuru na namshukuru pia alie nifanya nikufaham ❤❤

  • @FatherKhan-zq5ur
    @FatherKhan-zq5ur 4 หลายเดือนก่อน +3

    Asante kaka umeniongeze kitu kikubwa katika maisha kwanzia leo nitaanza kufatilia mafuzo yako najua kuna kitu kikubwa kitaongezeka kwenye maisha yangu na biashara yangu.

    • @victormwambene
      @victormwambene  2 หลายเดือนก่อน

      Hongera Sana Kwa Kujifunza.

  • @braymusic9956
    @braymusic9956 23 วันที่ผ่านมา

    Thanks brothers ❤

  • @SignLackson-f5p
    @SignLackson-f5p 25 วันที่ผ่านมา

    Asantee mkuu

  • @EastherJadubai
    @EastherJadubai 5 วันที่ผ่านมา

    Thanks

  • @GervaspauloKanemhu
    @GervaspauloKanemhu 3 หลายเดือนก่อน

    Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉

  • @AyubuMoses-o5t
    @AyubuMoses-o5t 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka somo lako nimelipenda

  • @LukasElius
    @LukasElius หลายเดือนก่อน

    Ok tunashukuru kwa semina yako ambayo umetupa apa mpanda lakini mm nashukuru sana na nitaendelea kufuatilia mafundisho yako .lakini kama kikundi tutakwalika tena

  • @GERMAINSungurs
    @GERMAINSungurs 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mwakimu

  • @Davidsima
    @Davidsima 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Nimejifunza

  • @jumamario-vr1mw
    @jumamario-vr1mw 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisa mimi umenikosha kesho naenda benk kufunga acaut

  • @jacklinremmy482
    @jacklinremmy482 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka nimejifunza

  • @JackChaguma
    @JackChaguma 2 หลายเดือนก่อน

    Shukrani sana kaka

  • @IbrahimMasoud-hj7ot
    @IbrahimMasoud-hj7ot 6 หลายเดือนก่อน

    Shukrani sana Victoria naomba

  • @Ceciliakalango
    @Ceciliakalango 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana kaka nitalifanyia kazi.

  • @MiriamEzekiel-d1p
    @MiriamEzekiel-d1p 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nimekupata sana umeniongezea kitu

  • @teddytemu2897
    @teddytemu2897 13 วันที่ผ่านมา

    Kaka naomba kujua U.T.T na hisa zipoje 🙏🙏🙏

  • @SamsonJaphet-y7r
    @SamsonJaphet-y7r 2 หลายเดือนก่อน

    Kwel mwali asante kwa ushaur

  • @matokeoUG92
    @matokeoUG92 6 หลายเดือนก่อน

    Asante baba...🎉

  • @AminaSelemani-m1r
    @AminaSelemani-m1r 4 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana nimejifunza,barikiwa.

  • @Rehema815
    @Rehema815 6 หลายเดือนก่อน

    Asante mno nmejifunza

  • @MaryJoseph-u8s
    @MaryJoseph-u8s 4 หลายเดือนก่อน

    Asanteeeee saaaaana kaka nimekuelewa mnooooo

  • @FrankGabriely-up5yo
    @FrankGabriely-up5yo 3 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @BahatiNdogosa
    @BahatiNdogosa 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Sana kaka

  • @jumaj.bihoga-th7kd
    @jumaj.bihoga-th7kd 6 หลายเดือนก่อน

    Cheers brother

  • @chomakisamore
    @chomakisamore 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka nimeongeza ufahamu mungu akubaliki

  • @aikammari1267
    @aikammari1267 6 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza

  • @bahatihamissi1161
    @bahatihamissi1161 3 หลายเดือนก่อน

    Nakubali

  • @FredyRugambage-x5o
    @FredyRugambage-x5o หลายเดือนก่อน

    Kabisa kaka

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 4 หลายเดือนก่อน

    Asante mkuu naomba kujua hii M.pawa au Mgodi je ni sawa au ni vikoba tu

    • @kehetanyantory8688
      @kehetanyantory8688 3 หลายเดือนก่อน

      Mgodi nishawah kuweka elfu50 nilipotaka kutoa ikawa inagoma mpaka kuwapigia wa mtandao walinisumbua kalibia wiki nzima😢

  • @AndrewLumbwe
    @AndrewLumbwe หลายเดือนก่อน

    point ya 5 ipo bomba sana kaka mkuubw

  • @mohamedkige2535
    @mohamedkige2535 6 หลายเดือนก่อน

    Nikweliiiii broo Mung akubalkiiii🎉🎉🎉🎉❤

  • @LeniaChata
    @LeniaChata 6 หลายเดือนก่อน

    Yani asante sana nashkuru kwakutufungua akili kwakel

  • @ramaahke512
    @ramaahke512 6 หลายเดือนก่อน +1

    👍

  • @saddyfadhil
    @saddyfadhil 6 หลายเดือนก่อน

    Brother umenipa elimu kubwa sana shukrani nafanya kuanzia sasa

  • @InesZakayo
    @InesZakayo 6 หลายเดือนก่อน

    Da Asante San nilikuwa nakuomba tu ela

  • @HyHy-w5z
    @HyHy-w5z หลายเดือนก่อน

    Leo nimeona jina lako status ya sharifu nikakimbia huku. Asante mwalimu

  • @HaruniMwanawima
    @HaruniMwanawima 6 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏

  • @samsonmashaka7179
    @samsonmashaka7179 6 หลายเดือนก่อน

    tuko pamoja kaka

  • @NABILMOHAMMEDABDULLAH
    @NABILMOHAMMEDABDULLAH 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @esthermasunga1602
    @esthermasunga1602 6 หลายเดือนก่อน

    nimekupata sna kaka . hapo kwenye vikoba na standing order. ndo inanisaidia . barikiwa sana kaka

    • @teddytemu2897
      @teddytemu2897 13 วันที่ผ่านมา

      Ipoje hii ndugu

  • @ArexIsacka
    @ArexIsacka หลายเดือนก่อน

    Mbona haujasemea kuhusu tuliojiajili

  • @tmcproduction123
    @tmcproduction123 6 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa kabisa

  • @StanleyNgwanda
    @StanleyNgwanda 6 หลายเดือนก่อน

    Je kwa wanafunzi tunawezaj kuweka akiba brother

  • @AnaniaNzelani
    @AnaniaNzelani 4 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kitabu cha kanuni za fedha

  • @Saranabwire
    @Saranabwire 2 หลายเดือนก่อน

    Nipo kenyA naweza pata vitabu .....unaweza tuma paseli

  • @DANIELCHACHA-x2k
    @DANIELCHACHA-x2k 27 วันที่ผ่านมา

    Kwani kuweka akiba afu ukanunua kitanda ni maendeleo au sio maendeleo?

  • @AmilyYusuph-yb5vu
    @AmilyYusuph-yb5vu หลายเดือนก่อน

    Kiongoz um nifungua ubongo

  • @GraceLameck-h8l
    @GraceLameck-h8l หลายเดือนก่อน

    Umenifundisha kitu sikua najua....

  • @StevenHelly
    @StevenHelly 4 หลายเดือนก่อน

    8:44 8:46

  • @denissiedisoni-lk7xm
    @denissiedisoni-lk7xm 6 หลายเดือนก่อน

    Nime jifunza kitu

  • @ModestaNyagawa
    @ModestaNyagawa 3 หลายเดือนก่อน

    Vitabu ni shingapi mi niko mbeya

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph หลายเดือนก่อน

    HOW TO .MANAGE MONEY BY WARREN BUTFUL VINAPATIKA KAKA MWAMBENE

  • @DeboraSiridion
    @DeboraSiridion 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka kiukweri kuusu akiba umenigusa make mimi nafanya biashara ninauakika wakupata 15000 kwasiku rakini siwezi kueka era nisaidie kaka😢

  • @GodloveMussa
    @GodloveMussa 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nalipwa 500,000 kw mwez akiba yangu nianze kuwenga kiasi gani nmeshindwa 😢 mm

    • @qimlaw6723
      @qimlaw6723 4 หลายเดือนก่อน +1

      Asilimia 30 ya 500000 ni 150000 kwahio

    • @JescaJulius-m5z
      @JescaJulius-m5z 10 วันที่ผ่านมา

      Inawezekana,tunza laki na nusu kila mwez

  • @farajabinamsimchimba
    @farajabinamsimchimba 4 หลายเดือนก่อน

    Ambwene wewe ni jini

  • @AliceNzenga
    @AliceNzenga 16 วันที่ผ่านมา

    Thanks

  • @GervaspauloKanemhu
    @GervaspauloKanemhu 3 หลายเดือนก่อน

    Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉

  • @StevenHelly
    @StevenHelly 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka nimejifunza

  • @aikammari1267
    @aikammari1267 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka