ASKOF MWANAMAPINDUZI ANG'AKA"KITENDO CHA MSIGWA NI SAWA NA MBWA KULA MATAPISH YAKE BILA CHEO ATASEPA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
- ASKOF MWANAMAPINDUZI ANG'AKA"KITENDO CHA MSIGWA NI SAWA NA MBWA KULA MATAPISH YAKE BILA CHEO ATASEPA
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Kiukwel Mwanamapinduzi huwa nakuelewa sana mahojiano yako wewe mmoja ni zaidi ya maccm mia moja. Hongera sana kaka.
Bwana akubariki Askofu Mwanamapinduzi. Umeongea kwa hekima sana.
Huyu Msigwa kama mchungaji lazima alikua anawaza cheo, akapotea njia sahihi shetani akamuingia na kumdanganya mpaka akakufuru chama, na akatia doa imani yake kwa kumuasi Mungu aliyemtuma kuchunga kondoo zake pale alipo!. Angekaa kwa imani mpaka Mungu amuinue kwa wakati wake...
Kama ambavyo huyo anayejiita Askofu anamtumikia shetani.
Ahsante sana Askofu mwanamapinduzi, unatema madini..🤣🤣❤️❤️❤️
Uko sahihi kbs Askofu mwana mapinduzi Msigwa ana tabia za king'ombe ng'ombe
Amani ya kweli hataiona kirahisi hata akipewa pesa nyingi na vyeo kadhaa huko, lakini Kuna mahali daraja la amani sahihi amebomoa vibaya.angeweza kuhama Ila kwa uzuri,sio kwa muundo huu!
Asante askofu Machumu kwa maelezo na majibu yako mazuri pia msimamo wako usiyoteteleka.Mapambano yaendelee kulikomboa Taifa letu, Mungu akubariki sana askofu,Mungu akulinde daima,Amen.
Ndugu mwandishi nakupa maua yako, maswali yana akili na umetulia, safi sana...🤣❤️🙏
Ni Mungu kamwondoa Msingwa CHADEMA ili kukisafisha CHADEMA tayari kukipa chama hiki UTAWALA wa nchi hii. Kwa HILI, Mungu anasema, Tushukiru Kwa Kila jambo. Ninachokijua toka Kwa Mungu ni kwamba CCM imekwisha, CHADEMA ndiyo chaguo la MUNGU hivi sasa.
Msigwa ni mwanasiasa malaya malaya! Acha akae huko alikoolewa ccm,uchaguzi huu msíwachague hao mafisadi akiwemo Msigwa sasa!
Umesema kweli askofu
Uyu Mchungaji tunampenda sana YUKO VERY SMART.. UKITAKA INTERVIEW NAYEYE UJIPANGE... SAFI SANA
Mic hazina bei.kubwa siku hizi Mwana halisi ninua mic, kutumia mic moja ni kuambukizana mafua,please take my advice thanks.
Kweli Msiba, Amerudi kula matapishi yake. Atawaambiaje ndugu zake Iringa, aliowaambia Wananchi kwamba "Akihamia Huko Wana Iringa Wachome nyomba yake moto"?
Msigwa Sio Mchungaji wa Kiroho Angehama tu bila kukashifu
Hata Baadhi ya Waumini hatamwamini anatamaa za uchoyo ni Hatari kwake Kumbe ni ndumila kuwili aliitukana CCM Huyu hafahi atuache na CCM Kazi yake kuzunguka Vyama vya Siasa
Mchungaj io umevaa ni Dera au kanzu... Asante mchungaj tunakupenda
Bishop umeongea maneno ya hekima sana ya akili nyigi sana
Umeongea kwa hekima Sana Baba Askofu
safi safi sana mtumishi kweri msigwa anatabia ya king'ombe alisema ccm Wana akili ndogo.sasa anakwenda ccm duuuuh
Tabia ya king'ombeng'ombe!!
Mchungaji bravo 🎉🎉🎉
Ameshindwa jaribu Mungu amemjaribu ameshindwa atahubiri lini kwa waumini wake wakipata majaribu
Akili kubwa kabisa, mchungaji mwanamapinduxi
Msigwa alishawahi kusema chama tawala ni akili ndogo...na yeye kaenda kwenye akili ndogo 😂😂😂😂😂
Wanatuibia pesa zetu wanaacha kutuletea maendereo wanazitumia vibaya hakika allah anaona na anawarekodi
Kweli kabisa mchungaji akili zaki g,ombe g,ombe😂😂😂😂
"Unalipwa kutangaza ubaya na vyama vya siasa. Vyama vya siasa sio makanisa ama misikiti havitafuti watakatifu". Maneno ya busara.
Kikwete alishawahi kuwambia yanga Simba wakimchukua morisoni nyinyi angalieni mchezaji nanyinyi anaefaa chukueni mpina anaafaa Sana kuhamia chadema akuchomae nawewe mchome kwisha
Kwei Msukuma alisema kweli kuwa Msigwa yuko kwenye payroll ya CCM. Huyu jamaa alikuwa na agenda ya siri na mweda zake kuisambaratisha CDM. Mipango yake ilitiburiwa na SUGU kwenye uchaguzi uliopita. Alikuwa na dhamira ya kugombea uenyekiti Taifa hapo pesa ya CCM itembee. Sasa kalipukiwa na bomu alilovaa njiani kabla hajafika kwenye umati😅😅😅😅😅
❤🎉🎉🎉 good man.
Watanzania amkeni hawa wanasiasa kama Msigwa ni shida hata aibu hana
Huyu jamaa tayari alikuwa CCM ingawaje alikuwa bado Chadema, huoni hata mavazi yake ya CCM yalikuwa tayari yameandaliwa siku nyingi.
Msigwa kisiasa kwisha habari yake.
Askofu Mwanamapinduzi, Akili Nyingi Mungu Zaidi Nia Moja 🙏✌️💪
"Pesa ina nguvu njaa kuhama tumboni ikahamia kichwani."
Tabia ya King'ombeng'ombe😂😂😂😂😂
Uroho wa madaraka na Mali vimemponza aibu yake mwenyewe tu
Aisee kweli shetani yupo kweli, nilikuwa nampenda sana msigwa alikuwa mtu safi, mwenye elimu, muelewa jasiri, kiufupi huyu jamaa alikuwa jasiri na anaejua sana. Lkn amekwisha jizalilisha kabisa sasa kwisha kabisa hana heshima tena amejivunjia heshima na kujitia aibu sana.
Mbaya zaidi Kiwango cha vitabu na jumbe za imani alizonazo nikiwa na Imani ni nyingi kabisa kwa nafasi yake kama mchungaji vitamfanya asinyae sanaaaa na amani yake kaiweka rehani kwa ubinfsi na uroho wa madaraka.
Zawadi ya kuwasaliti watu kwa wingi wao ambao walikuamini na kukupigania na pengine kupoteza maisha au kuwa ukilema wa kudumu hutoka kwa aliyeumba mbingu na ardhi.
Msigwa ajiandae kuipoke kwa mikono miwili maana si punde maana Mungu hajawahi kudhihakiwa ata Mara moja
MCH MSIGWA ANAWATIA AIBU VIONGOZI WA DINI. ANATAMAA SANA. KAMA MWL NYERERE ALIVYOSEMA WAMALAYA MALAYA ???
Mch,Msigwa hafai kanisan hafai msikitin nahatafaa kwenye siasa ya nchi yyte ile.
Ubarikiwe kiongoz aisee msigwa uliaminika sana ah sijui ila twende
😮
Watu wajifunze kwa mheshimiwa sana Edward Ngoyayi Lowasa
Mbona mbovu Sana? Askofu amfananisha binadam na ng'ombe kisa kuhamia CCM !! Kwani kuna uhusiano gani kati ya Uaskofu na CHADEMA? Mmmh!! Haya tutayajua mengi mwaka huu😅😅
Kweli wewe ni Askofu, unasema kwa hekima.
Ukweli sio tofauti sana na aliyembusu Mkuu kisha akamtosa
Mungu azidi kukuonge hekima
Maana hata yesu akirudi akajiunga na ccm wanadam hawata kuwa na iman naye kwa hiyo musigwa ameamua kuunga mukono mateso watanzania wanayopata kutoka kwa hawa maccm
Mgonjwa amekufa😂😂😂😂😂😅
Msigwa chapaa mbele life bwana lol 😆 😂
Inaonyesha watu wanaohamahama vyama tuwaangalie ni hatari sana wanahama wakati wa uchaguzi Kwa Nini wasihame tangu mwanzoni ni njaa hizo dhahir halafu anatuhibira Nini eti mchungaji si kweli .
Mwacheni jamani labda maisha yamempelekea kuwa hivyo..Au sauti ya Mungu pia
Kwenye Sauti ya Mungu hapa sipo na wewe
Msigwa uroho wamadaraka aende tu yeyeni nani
Msigwa si tu kala matapishi yake, kala mavi yake kabisa
Chadema chama chagu yeyote akakaye patwa na pepo mleteni kwangu
msigwa alisema mwenyewe kwa kinywa chake ,mkiniona nakwenda ccm chomeni nyumba zangu, chomeni magari yangu, hiiikoje?
Shetani hana cha bure.Pesa yenyewe imepitia kwenye madhabahu za shetani na ina mikataba mizito ya kiroho.Anayeipokea hiyo pesa pepo la hiyo mikataba ya kiroho linamwingia na kumtawala (possession) na kumlazimisha kutimiza matakwa ya waliompa hizo pesa.JESUS IS LORD FOREVER. SAY AMEN
Hhhh🤣🤣🤣
😮mhurumieni msigwa ameshikwa mateka na lidude ccm
Msigwa daaaa alikuwa kwa majini wastarabu marohani wamemchukua mashetani wabaya ccm atarudi tena karibu subirini amenda leta pesa za uchaguzi 😂😂😂😂
Mimi nasikitika sana huyo Msigwa wakati wanapata adhabu ya kulipa faini au jela, Mimi binafsi nilichangia sh. 110,000/- Ili alipe faini asifungwe, Sasa anakimbia, haya bhana Allah anakuona.
Kweli! Pole sana, chukulia kama sadaka!
Msigwa kajishusha sana
HAPA ni zamu tu leo msigwa kesho mwingine. Haya ndiyo maisha ya siasa huyu mwanamapinduzi asiongee sana ayajamkuta yeye.
Sisi ni baadhi ya wana CCM Kuwapokea wanachama wapya ni muhimu Lakini kwa Mhe.Msigwa kwetu kuna walakini kwa mazingira yaliyomfanya ajiengue kujiunga na CCM Inaleta taswira ya uchu wa Madaraka.Angeshinda uchaguzi ni wazi angebaki Upinzani Hivyo baadhi yetu tunamwona kama hajapevuka kidemokrasia.Ni aina ya baadhi ya VIONGOZI wanaona wana haki zaidi ya wengine.Tunamkaribisha ajifunze kwenye Chama kikomavu kidemokrasia
Bora angeenda kuhubiri tyu heshima yake ingewepo lkn amejizalilisha sana
Mwandishi uwezo mdogo sana wa kuhoji
msigwa hesabu imekushinda tayari
Msigwa kapoteza dira ya uchungaji, neno mchungaji lingeondolewa kishaonyesha udhaifu wake, hafai kuwa mchungaji, kule kafuata maslahi binafsi
Msigwa madeni mengi angeyalipaje sasa amelipiwa ccm shida haina adabu. Na ubunge hapati tena
"Unajifanya mwema kwa samaki.kwa chambo ktk ndoana"
Ameenda kumalizwa
Kumbe mbowe alishahisi msigwa ni msaliti
Misuguano kawaida ata kwenye dini misuguano ipo inamalizwa kwa vikao
Msigwa yuko sahihi kupitoa kwenye sskosi
Msaliti wa design hii hafai kuwa hata baba wa mtoto mmoja
Uchawa mwisho wake ukichaa😢
Sasa ana madeni makubwa ambayo yanamsabishia njaa hilo atalimaliza kwa njia ya kununuliwa na chama tawala ili kupunguza shinikizo analowapelekea Ccm kwa kuwapumguzia umaarufu ambao wao.wamejijengea kwa wananchi wasiojua lolote
Hiyo ndio sura halisi ya wanasiasa wa Tanzania na siwexi kumlaumu Msigwa bali anatukumbusha watanzania kuwa wanasiasa wetu wengi ni vigeugeu na huyu sio wa kwanza kuhama chadema,wapo akina Komu,Selasini, na wooote hao sababu zao zinafanana kuwa kuna ubadhirifu, ubinafsi,ubabe na udictator. Miaka ya nyuma ilikuw sio rahisi watu kutamka maneno mazito ya siri za ndani ya vyama vya siasa kama ilivyonkea sasa. Hilo kwenu chadema lazima mlifanyie kazi na acheni kumfuatilie Msigwa aubwale waliohama chama chenu na badala yake fuatilieni hoja zao kama ni ukweli au uwongo. Na mkumbuke kuwa kila chama kinapokea wanachama wa vyama vingine kwa sababu kama hizihizi. Jee ina maama vyama vinawanunua ? Basi tutakuwa tumekwisha. Membe,Lowasa, Kingunge,nk. woote hao mliwanunua?
Kila nyakati zina majira yake,Hakika Msigwa umeshafika wakati wa yeye kukimbia Nuruni
Mchungaji au Mwanasiasa! Chagua njia Moja ueleweke.
Ungemwambia pia Gwajima.
Hii ni dalili ya kuwa Msigwa anatafuta cheo na pesa, duu
**CCM WASINGEMTAKA KAMA CHADEMA ISINGEMPA NAFASI** HII NDIYO KWELI MAANA MTU HUWA BORA SANA HASA AKITOKEA UPINZANI NA NI BORA ZAIDI SANA AKIWA AMETOKEA CHADEMA
Askofu njaa tambua siasa Ina Hila za kishetan
Na pia akitoka tena kuko CCM atasema mabaya ya CCM kwa chama atakachoingia. Si mtu mzuri aneweza tu akatunza heshima yake hata yakimshinda huko angeweza kueudi kwenye chama chma chake. Kumbukeni akiwa CHDEMA ameongea mengi mabaya sana. Msimwamini kwa kuwa hana msimamo kazi yake umbeya tu.
"Mtu akishakuwa muasi huwa hafuati utaratibu".
Msigwa atahama hata dini aje kwetu chezea njaa
Kuibia watu kutumia jina la mungu na siasa ni kama wez wengine wanaochomwa moto na kufungwa kama wewe lijizi iba tu ijulikane sio kujificha ficha
Nina wasiwasi kama ni kweli ni Mchungani ameshamwacha Mungu ni kama Sauli kwa sasa aombe rehema kwa Mungu ataishia kubaya. Msigwa mrudie Mungu umepotoka
Musigwa ni sawa yuda alie msaliti yesu lakini yesu alishinda kwahiyo asifikiri kuondoka kwake chadema itaanguka mbona 2025 chama kitadhihilisha ukomavu wake
Na ruwasa irikuwaje mbona murimtukana Sana na kutakasa
Wajenga wala sema mlajana siyo mla leo matapishi ya jana siyo yaleo kila jambo na wakati wake na makusudi yake
Tanzania hatuna vyama vingi ni ushogo tu
Msigwa hafai kwa namna yyte hata sijui ni mchungaji wa aina gani alisoma wapi hata kanisa linatakiwa limchunguze ange
Hakuna atakayehama
Maisha yameshindwa anatafuta uongozi hapati huko aliko enda
Kwa nn hatujifunzi kubana pua hivi huyo msigwa mchungaji wa kanisa gani maana ametia aibu
Huyu Msigwa Ni Mhuni
Siyo kala matapishi kalamavi ya shetani mimilele
MPENI POLE MSIGWA ALICHANGANYIKIWA BAADA YA KUPIGWA NA KITU KIZITO TOKA KWA KAMANDA SUGU .( SUGU HOYEEEE!!!! ) ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI. ((NJAA YAKE IMEHAMIA KICHWANI)) .
Msigwa kafanya usalliti mkubwa sana kuhamia ccm ni dhambi kubwa kuliko kuua
Mwambie baba ubalikiwe kwa ukweli wako