MAKONDA ALIVYOIBUA MADUDU MRADI WA ZAHANATI LEREMETA LONGIDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 31

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 หลายเดือนก่อน +5

    Lizer hongera sana umetoa hoja ya msingi

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera makonda pia muhimu hapo waajiliwe wafanyakazi wa usafi mshahara walipwe na kijiji

  • @Kelvin-sd9gb
    @Kelvin-sd9gb 3 หลายเดือนก่อน

    Hongela makonda upo makini sana

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 หลายเดือนก่อน +5

    ARUSHA YA SASA NI YA MAKONDA SAMIA OYEEE

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ajirini watu wawe kila siku wanakuja ukisema ni kuitolea mnafeli kila mtu anaamka ana stress A kutafuta alafu aje kujitolea kufanya usafi hospital

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna vumbi hata barabara na mazingira magumu sana kwa watendaji wa Afya😢😢

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyi bongo noma kiswahiri

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 4 หลายเดือนก่อน

    Ongela mkuu mungu akubaliki sanann sana

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wa Ukanda huo ni wabishi na ujuaji wakati hawajui lolote.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda anawabana vilivyo

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda atafanya watumishi waziogope hela zamiradi.

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sio waziogope atafanya wazitumie ipasavyo bila ku nyokowa nyokowa wakigawanya bila kutekeleza miradi

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 hela zake za moto.

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน

      @@jamesmzaki6041 yaani ukila pesa za miradi siku Makonda atakuja mpige mahesabu utaaibika mbele za wanainchi so ni vizuri wewe kula mshahara wako tu pesa za miradi Zidane kazi ipasavyo

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda wamezoea kula hela zamiradi halafu kusoma baget namatumizi wanakuja nakingereza huku wakijua wananchi hawajui kingereza

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ajirini mtu wa Usafi. Suala la kuchemsha sindano limepitwa na wakati. Bora wanunue sindano zao waje nazo. Wagonjwa wana hakika gani kama sinachemshwa? Je, gesi ikiisha ghafla si ndiyo kupeana virusi?

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน

      Woow bado shindano zinachemushwa? Karne hii kweli?😭😭🥺🥺

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio858 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wasimamizi ni tatizomtu wa umeme na maji ni shida

  • @fadhilisawe434
    @fadhilisawe434 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi huyo ndiyo Makonda mnasemaga alipata o kweli mbona sio kweli

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu sindano bado zinachemshwa huko.

  • @bilid4128
    @bilid4128 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 huyu fundi umeme aliyekagua akasema ni main switch ndiyo tatizo...ni wa mchongo 😅😅😅 kamuingiza Mwenyekiti chaka

  • @anordmwenga677
    @anordmwenga677 3 หลายเดือนก่อน

    Makofi kwa mwenyekiti kamtetea mtu wa tanesco

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani bado wana mambo ya mwaka 47, wanachemsha sindano tu mapaka leo

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mzee ni mbishi sana!

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 4 หลายเดือนก่อน

    Sindano mnachemsha? Bado ipo Tanzania na ukimwi wote. dah😮

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 หลายเดือนก่อน +1

    Meneja amenusurika

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 4 หลายเดือนก่อน

    Mmejenga kituo ajirini watu

  • @NdabaYohana-nw1xq
    @NdabaYohana-nw1xq 4 หลายเดือนก่อน

    Meneja wa Tanesco hata kujielezea kama mtaalamu hujui kujielezea swala la single au 3phase sio jukumu lako wewe Tanesco ni watu waliojenga huo mrad wewe unafanya kazi kulingana na mchoro wa mteja mchoro ndio unaoonyesha aina ya matumizi yake

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson6467 4 หลายเดือนก่อน

    Hilo tatzo

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip 4 หลายเดือนก่อน

    Manager fake wa tanesco!