@@jamesmzaki6041 yaani ukila pesa za miradi siku Makonda atakuja mpige mahesabu utaaibika mbele za wanainchi so ni vizuri wewe kula mshahara wako tu pesa za miradi Zidane kazi ipasavyo
Ajirini mtu wa Usafi. Suala la kuchemsha sindano limepitwa na wakati. Bora wanunue sindano zao waje nazo. Wagonjwa wana hakika gani kama sinachemshwa? Je, gesi ikiisha ghafla si ndiyo kupeana virusi?
Meneja wa Tanesco hata kujielezea kama mtaalamu hujui kujielezea swala la single au 3phase sio jukumu lako wewe Tanesco ni watu waliojenga huo mrad wewe unafanya kazi kulingana na mchoro wa mteja mchoro ndio unaoonyesha aina ya matumizi yake
Lizer hongera sana umetoa hoja ya msingi
Hongera makonda pia muhimu hapo waajiliwe wafanyakazi wa usafi mshahara walipwe na kijiji
Hongela makonda upo makini sana
ARUSHA YA SASA NI YA MAKONDA SAMIA OYEEE
Ajirini watu wawe kila siku wanakuja ukisema ni kuitolea mnafeli kila mtu anaamka ana stress A kutafuta alafu aje kujitolea kufanya usafi hospital
Kuna vumbi hata barabara na mazingira magumu sana kwa watendaji wa Afya😢😢
Hiyi bongo noma kiswahiri
Ongela mkuu mungu akubaliki sanann sana
Watu wa Ukanda huo ni wabishi na ujuaji wakati hawajui lolote.
Makonda anawabana vilivyo
Makonda atafanya watumishi waziogope hela zamiradi.
Sio waziogope atafanya wazitumie ipasavyo bila ku nyokowa nyokowa wakigawanya bila kutekeleza miradi
😂😂😂 hela zake za moto.
@@jamesmzaki6041 yaani ukila pesa za miradi siku Makonda atakuja mpige mahesabu utaaibika mbele za wanainchi so ni vizuri wewe kula mshahara wako tu pesa za miradi Zidane kazi ipasavyo
Makonda wamezoea kula hela zamiradi halafu kusoma baget namatumizi wanakuja nakingereza huku wakijua wananchi hawajui kingereza
Ajirini mtu wa Usafi. Suala la kuchemsha sindano limepitwa na wakati. Bora wanunue sindano zao waje nazo. Wagonjwa wana hakika gani kama sinachemshwa? Je, gesi ikiisha ghafla si ndiyo kupeana virusi?
Woow bado shindano zinachemushwa? Karne hii kweli?😭😭🥺🥺
Wasimamizi ni tatizomtu wa umeme na maji ni shida
Hivi huyo ndiyo Makonda mnasemaga alipata o kweli mbona sio kweli
Mungu wangu sindano bado zinachemshwa huko.
😂😂😂 huyu fundi umeme aliyekagua akasema ni main switch ndiyo tatizo...ni wa mchongo 😅😅😅 kamuingiza Mwenyekiti chaka
Makofi kwa mwenyekiti kamtetea mtu wa tanesco
Yaani bado wana mambo ya mwaka 47, wanachemsha sindano tu mapaka leo
Huyu Mzee ni mbishi sana!
Sindano mnachemsha? Bado ipo Tanzania na ukimwi wote. dah😮
Meneja amenusurika
Mmejenga kituo ajirini watu
Meneja wa Tanesco hata kujielezea kama mtaalamu hujui kujielezea swala la single au 3phase sio jukumu lako wewe Tanesco ni watu waliojenga huo mrad wewe unafanya kazi kulingana na mchoro wa mteja mchoro ndio unaoonyesha aina ya matumizi yake
Hilo tatzo
Manager fake wa tanesco!