Asante she mungu akujalie kwaelim hii nilio ipata kupigia wewe Kwan namuota Sana mama yangu mkubwa mara kwamara kumbe niroho zetu zinakutana nimefrai sana❤❤❤asante
Mshallah allh akulipe ujira ulio mwema kwa daawa yko na awasamehe maiti wote walio tangulia mbele ya Allah na ssi atupe mwsho mwma na kauli thabit ya laailahaillah muhammada rrasulullah
Allahuma ghafilahu waliwalidaiyya wa arhamahumaa kama rabbayan swighar🤲allahuma ghafil lilmuslimin walmuslimat wal muuminina wal muuminat al ahyaa minhum l amuat birahmatika ya arhama rahimeen.🤲
Mi nilipewa namba za simu ni dada yangu alisema ukipiga namba hii utanipata na asubuhi nilipoipiga simu ikaita mtu yuko morogoro na nilipotaka kujua kama anamfahamu marehemu alikataa na kukata simu allaha ampunguzie adhabu ya kabri dada yangu
Mwezi ulopita nilimuota Baba tunataka kumfanyia dua sasa tulikua tunamtengeneza mbuzi kwa ajili ya swadaka Wakat nazunguka nyuma ya nyumba tunakopikia sadaka namuona Babamdogo na ndugu wengine wanatengeneza Nyama ya Ng'ombe kwa ajili ya sadaka pia Nikashangaa kulinganq na uwezo wetu hela yakununua Ng'ombe hatuna Allah amlaze mahala pema Mzazi wangu na maiti wot kwa ujumla Aamiyn Aamiyn Aamiyn
Mm nilikuwa na ongopa mana baba na mama simalizi mwezi bila kuongea nao handi nikawa natafuta masanda kwaza nikiwa na mawazo ama kufikiria ama kwenye matatizo mangum basi huwa lazima mama niongee naye ndio hicho kitu kifanyika yani amekuwa kama mshauri wangu wa kila wakati❤❤❤❤❤ila nashukuru ka kuelewa mana ya ndoto ya kuota mtu wa kufa
Weka desturi ya kuwaombea Dua labda Kila baada ya sala ya alfajiri,ndio zawadi pekee ya marehem ndio ktk Yale mambo matatu ukifa Mungu hufanya Amana kwako "aulaadu swaalihan" mtoto mwema mwenye kuwaombea wazazi wake Dua wanapotangulia mbele za haki duwa ya mtoto hufika bila kizuwizi kwa mzazi
Dah ss sote njia ni moja yarabi tupe mwisho mwemaa na utujalie tufe tukiwa waislanu utusameh zambi zeto uwa tehemu woooote walio tangulia yaaaa ala taqbali duaaa😂😂😂😂😂😂😂
Wallahi nilikua namuota dadaangu ananiambia kaniombee msamaha kwa mamaake wa kufikia au mlezi maana uko ajafika kaburi limemkataa yupo tu Kati uko anafukuzwa bc naliia tuu sijui nifanye je
Alhadulilah Leo nimeongea na baba angu usiku wakuamkia Leo na akanifundisha maneno niayaseme na nikayasema Kisha akaniambia njoo nikamwambia bila idhni ya Allah sitaweza Kuja nenda TU
Sio hivyo. Ndugu zangu ktk imani. Maana ya aya hiyo. Ni baadhi ya nafsi atazilipa malipo yake,baada ya kufa kwake. Kabla ya cku ya kiama. (Waliola) yani walio kufa. Nafsi na roho vitu viwili tofauti.
A.aleykum.. Sheikh izo roho za mait ni za wale waliobashiriwa pepo tu znakutana na Sisi au mpaka za motoni ????.. Na kam za motoni pia , inamaan kwa muda ule ambao zinakutana na sisi zinakuwa haziko katik mateso zinakuwa haziadhibiwi muda huo ????? ... NAOMBA UNISAIDIE JAWABU KATIKA HILI USTADH WANGU
Subuhanallh yabi tujarie mwisho mwema je? Nisaidie erimu juu ya hizo doto baada ya kukutana huko baina roho hizo mbili aidha kumuona mzazi wako arietangulia au ndg yko vp hpo ukimuona ypo ktk furaha ina maanisha nini haswa nipe faida yke pia naitaji kujua erimmu hiyo zai ishaallaah
Walio tangulia mbele za haki Allah awaingize janatul fridaus ameen yarab
Aamiyn
Amin
Asante she mungu akujalie kwaelim hii nilio ipata kupigia wewe Kwan namuota Sana mama yangu mkubwa mara kwamara kumbe niroho zetu zinakutana nimefrai sana❤❤❤asante
Inategemea mda mwengine wamuota marehemu kwsbb humtolei sadaka hua anataka chakula yani umtolee sadaka..au ni shetani hua anataka kukutia ktk shirki
Inalillah wainailayhi ranjiuun Allah. Amfanyie wepesi ampe kitabu chake Kwa mkono. Wa kulia. Na sisi Allah. Atujalie mwisho. Ulio. Mwema
😢😢😢😢😢 Allah awarehemu wote waliotutangulia mbele za haki na tulio hai bfo Allah atujaalie mwisho mwema ummati Muhammad S. A. W
SUBHANALLAH
LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN QADIR WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI.
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM.
Barakallahu Feek
Amiin yarrab 🤲
Allahuma Amiin 🙏
Amiin thuma amiiiiin
@@jasminmohamed6145😅😅😅😅😅
Allah awarehem waliotangulia amen Jaana nimemuita baba yangu marehem Allah mueekeh shifah pamoja nafamilia zetu inshallah
SUBHANA ALLAH! ALLAH Awarehemu Ndugu Zetu Waliotangulia Mbele Za Haki Ya Rabb. AMIIN
Amin
ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN
AMIN THUMMA AMIN
Amiin yarrab
oo up
Mimi jana nimemuota Baba yangu mzazi Allah ampe Kauli Thabeet ❤
Sheik nakuomba allah akubariki na mimi naomba uniombee dua nipate elimu nyingi yenye taqwa nakupenda sana kwaajili ya allah
Allah akujaalie uipate elimu ya akhera na iwe na manufa kwako na waislamu wenzako pamoja na mm amin yarabi atupe tulioyaomba amin.
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
Allah andika kwa herufi kubwa Shukran
Alwahumma amn
Mshallah allh akulipe ujira ulio mwema kwa daawa yko na awasamehe maiti wote walio tangulia mbele ya Allah na ssi atupe mwsho mwma na kauli thabit ya laailahaillah muhammada rrasulullah
nishamuota sna Mama yangu tena naongea nae na ananiambia vitu vengine cvijui leo nimepata Elim yaarab nipe mwisho mwema
Subhanallah nmemuota bibiangu kipenzi usiku wa kuamkia leo n asubui napatana n video hii...Allah awarehemu maiti zetu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
SubhaanaLlah. Kama ilivyotokea kwangu leo
INSHAALLAH TUNAMUOMBA ALLAH AWAREHEMU WTE N AWAONDOLEE MISUKOSUKO ZTE Z KABURUNI
Mwenyezi mungu awasamehe na na awarehemu …marehemu wote
Subuhanallh yarabi tujaliye mwisho mwema
Yaarabbi tujaalie Mwisho mwema YARABBI🤲🤲🤲😭😭😭😭😭
Huwa namuota sana marehem mume wangu
Allah awajaalie ndugu zetu waliotangulia awaepushie na adhabu ammiin
Subhan Allah yaa Allah warehemu wa Zazie wangu nawa islamu wote walio tangulia mbele za haqi Allahumma Ameen yaarabby 🤲
Allah awape makazi mema maiti wetu waliotangulia mbele za haki nasie allah atupa husnil hatima
Innalilah wainailah rajiuun Allah atufikishe mwisho mwema
Ni mm huyo namuota sana sana mtalaka wangu
Ameen mungu aamjaalie azitie peponi wote yarabiii mungu atupe mwisho mwema
Amiin amiin amiin jazakallah khairul jaza fidunyaa wal akhera ya sheikh DR ISLAM
Allahuma ghfirlahum warhamhum wasqinhum fil janna amiin nyanya mwanaisha Allah akupe Nuru na akuepushe na adhabu ya kaburi
Subhaanallah. Ni kweli utakacho ambiwa na maiti utaona kama alivyo kwambia. Na akikupa kitu hakika utakipata kitu hichohicho
Allahuma ghafilahu waliwalidaiyya wa arhamahumaa kama rabbayan swighar🤲allahuma ghafil lilmuslimin walmuslimat wal muuminina wal muuminat al ahyaa minhum l amuat birahmatika ya arhama rahimeen.🤲
Allahummaghfir lahum warhamhum waskinhum fil jinnah,wote walotangulia
Ameen
Amin❤
AMINA RABI AMINA. NASI ALLAH ATUJALIE HUSNUL KHATIMA . ameen
Mungu awalaze mahalo pema peponi Amina
Allah waondoshee adhabu ya kabri ndugu zangu wote waliotangulia mbele za haki
Allahuma Amiin 🙏
Allahuma Amin 🤲🤲
Amin
Allah awalehemu ndugu zetu walotangulia nasi atupe mwisho mwema 🙏🙏
Allahuma Amiin 🤲
Mi nilipewa namba za simu ni dada yangu alisema ukipiga namba hii utanipata na asubuhi nilipoipiga simu ikaita mtu yuko morogoro na nilipotaka kujua kama anamfahamu marehemu alikataa na kukata simu allaha ampunguzie adhabu ya kabri dada yangu
Subuana Allah mwenyez mungu tujalie mwisho mwema inshallah
Allah awarehem walio tangulia Baba angu na mzazi mwenzangu InshaAllah
Sübhan Allah yaa Allah wahifaz walitangulia kwako na utujarie mwisho mema aniim yaarabby
Ya Allah tujalie mwisho mwema, wallahi kulala n nusu ya kifo,na huwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki,Amiin
Rabbi ghfiril walwallideena walill muuminina yauma yakumul hesaab ameen
Allah awarehemu waliotangulia Amiin
Alhamdulillah Allahu Akbar 😢 Allah awalaze pema waliotutangulia Ameen. Na atupe na sisi khusnul Khatma ameen yaa rabb 😢
Allah awajaalie Hannah awaepushe na adhabu ya kabr
Ya Allah nakuomba wasamee mait wt mnakosaje Yao nasi utujalie mwisho mwema hakuna kifo n faradhi kwa Kila mja
Allah awarehemu Waliotangulia ameen
Mungu wa mbinguni akulind San sheikh
Allah wasamehe maiti wetu wote
Allah Awarehemu Wote waliotangulia Mbele ya Haki
Masha Allah, shukran sheikh Allah akubarik ❤
Mungu atujalie mwisho ulio mwema
Allah awape khaur thabit mama angu kaka angu mjomba bibi babu baba angu nawengine 🤲🤲🤲🤲🤲
mashaAllah mungu akujze sheikh ila ukutuambia maana y hii ndoto
Mungu atujaalie sote viumbe mwisho mwema
Mola wangu wareemu watoto wangu yaraab na ndugu zangu
Aamen yaRabb
Allah awape kauli thabit wote waliotangulia mbele ya haki
Mwezi ulopita nilimuota Baba tunataka kumfanyia dua sasa tulikua tunamtengeneza mbuzi kwa ajili ya swadaka
Wakat nazunguka nyuma ya nyumba tunakopikia sadaka namuona Babamdogo na ndugu wengine wanatengeneza Nyama ya Ng'ombe kwa ajili ya sadaka pia
Nikashangaa kulinganq na uwezo wetu hela yakununua Ng'ombe hatuna
Allah amlaze mahala pema Mzazi wangu na maiti wot kwa ujumla Aamiyn Aamiyn Aamiyn
Mm nilikuwa na ongopa mana baba na mama simalizi mwezi bila kuongea nao handi nikawa natafuta masanda kwaza nikiwa na mawazo ama kufikiria ama kwenye matatizo mangum basi huwa lazima mama niongee naye ndio hicho kitu kifanyika yani amekuwa kama mshauri wangu wa kila wakati❤❤❤❤❤ila nashukuru ka kuelewa mana ya ndoto ya kuota mtu wa kufa
Weka desturi ya kuwaombea Dua labda Kila baada ya sala ya alfajiri,ndio zawadi pekee ya marehem ndio ktk Yale mambo matatu ukifa Mungu hufanya Amana kwako "aulaadu swaalihan" mtoto mwema mwenye kuwaombea wazazi wake Dua wanapotangulia mbele za haki duwa ya mtoto hufika bila kizuwizi kwa mzazi
Subhanallaa
Dah ss sote njia ni moja yarabi tupe mwisho mwemaa na utujalie tufe tukiwa waislanu utusameh zambi zeto uwa tehemu woooote walio tangulia yaaaa ala taqbali duaaa😂😂😂😂😂😂😂
Allah awarehemu ndugu zetu waliyo tangulia mbele ya haki
Sheikh allah azidi kkuokania katika wasia wako
I very often dream about my dad many times i can't even count, he passed away back in 2017
Amin
Kwa mtazamo wangu ndoto nyingi ni za shetani ila hatujui ya mungu zaidi
Mm mala kwa mala hua naota naongea nababu yangu ndotoni naananijibu hii inaishala gani
Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema
Allah awarehem Wazazi wangu Amin
Allah atupe mwisho mwema sote naota sana
Allaah awarehem marehem wote nasisi tulio hai Allaah atupe mwishomwema
Nkupenda sana shekh mungu akubariki na akupe umri mrefu niliwahi kukukosoa kwenye comment kumbe mm ndio elimu yangu ndogo nisamehe sheikh wangu
Kweli.
Alichokizungumza Dr. Islam nikweli
Babu yangu amefariki mda mlefu Toka 2006 lakini mala kwa mala ananijia ndotoni naongeanae pia hua tutaongea ananijibu vzuri hii inaishala Gani
Mimi namuota dada yangu alikuaga anafanya kazi za ndani nyumbani kwetu miaka 10 amefariki namuota Sana karibia kila siku apumzike kwa Amani
Allah ampe baba yangu kauli thabiit
Allah awarehem ndug zetu walotangulia
Wallahi nilikua namuota dadaangu ananiambia kaniombee msamaha kwa mamaake wa kufikia au mlezi maana uko ajafika kaburi limemkataa yupo tu Kati uko anafukuzwa bc naliia tuu sijui nifanye je
Alhadulilah Leo nimeongea na baba angu usiku wakuamkia Leo na akanifundisha maneno niayaseme na nikayasema Kisha akaniambia njoo nikamwambia bila idhni ya Allah sitaweza Kuja nenda TU
Mmi hii otanitokea pka wanitia hofu shukran sheikh
Allah awarehem ndugu zetu wote waliotangulia mbele za haki ameena labby ameen
Wlkm slm ww... shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
Sio hivyo. Ndugu zangu ktk imani. Maana ya aya hiyo. Ni baadhi ya nafsi atazilipa malipo yake,baada ya kufa kwake. Kabla ya cku ya kiama. (Waliola) yani walio kufa. Nafsi na roho vitu viwili tofauti.
Allah awape kaul Thabit ndugu Zetu
Mola wasamehe na utupe vitabu na mkono wa kulia
Mi usiku wa jana nimeota nakaa na mamangu twaongea na alishakufa saii ana miaka minne
A.aleykum..
Sheikh izo roho za mait ni za wale waliobashiriwa pepo tu znakutana na Sisi au mpaka za motoni ????..
Na kam za motoni pia , inamaan kwa muda ule ambao zinakutana na sisi zinakuwa haziko katik mateso zinakuwa haziadhibiwi muda huo ?????
... NAOMBA UNISAIDIE JAWABU KATIKA HILI USTADH WANGU
Mimi hua namuota mama angu akiniambia kasafishe kaburi msibani hukufika niribaki najiuriza bs nakumshukuru mungu tu
Kwanini Sasa auwendi kusafisha na amekuambia uwende kwasababu kwenye msiba wake aujakuwepo
Shukuran shehe mm huwa naota Sana leo nimeelewa sasa
Ya Raab wajalie Jana walio enda mbele ya haki ..,Ameen
Shukran
AMEEN YARABB
Allah awapumzishe kwa amani
Yan nimelia maana namuona mama angu mara nyingi tunaongea
Allahu Akbaru
Subuhanallh yabi tujarie mwisho mwema je? Nisaidie erimu juu ya hizo doto baada ya kukutana huko baina roho hizo mbili aidha kumuona mzazi wako arietangulia au ndg yko vp hpo ukimuona ypo ktk furaha ina maanisha nini haswa nipe faida yke pia naitaji kujua erimmu hiyo zai ishaallaah
Ambae anajua naweza pata wapi kofia kama Ya Duktur anijuze
Alla awalaze mahala pema waliotangulia
JazaakAllahu khair
Natamani ungeendelea ah
Allah awarehmu ndug zetu
Shekhe me naitwa Godfrey ninakumbwa na matatizo kama hayo nasaidiwaje na ninataka kusilim
Inshaalah
Maa shaa Allah Ya Rabb
Ameen
Mimi nawaota watu wengi waliokufa na niko nao ndugu wengi ,,,,mpaka naogopa