Kisa cha Mganga na Mtu asiye na Subira - Mzee Makamba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 11

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 4 หลายเดือนก่อน +2

    Maneno mazur ila tu anayezungumza sio mzur. Siasa zake za umasikini na mbovu.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 หลายเดือนก่อน

    Kwenye nchi ni toomuch mzee,ccm miaka 60 mnazidi kufeli kila secta kweli,huo uchumi na elimu mbona vinazidi kudidimia!

  • @ummukamillah
    @ummukamillah 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi huwa sipendagi kusoma vitabu Ila hiki kitabu naona kama kimenivutia

  • @SaidKangara
    @SaidKangara 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekukubali mzee makamba ilo ni neno

  • @khamismwalim
    @khamismwalim 4 หลายเดือนก่อน

    asante mzee mwangu nashukuru sana kuniamsha kumbe hadua natakiwa ni sikate tamaa nimejifuza kitu kuzia leyo nitadumu na dua

  • @SalumHarbu
    @SalumHarbu 4 หลายเดือนก่อน

    Maneno yenye ladha ya kusikiliza utamu utokanao na ladha ya kuongea malengo ya mzee nikushajihisha kuvumilia sio kukusubirisha.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 4 หลายเดือนก่อน

    Maneno mazuri ya mzee mwenye hekima

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 4 หลายเดือนก่อน

    JAMANI MUSIDANGANYWE, ANAYEPIGA RAMLI, HUYO SIO MUISLAM.... UKIWA MWANASIASA MPAKA DINI UNAWEZA UKAICHAMBUA KWA MTAZAMO WAKO MDOGO....

    • @issarashid7707
      @issarashid7707 4 หลายเดือนก่อน

      Acheni kuvamia mambo bila ya kuelewa izo ni lugha tu apo katumia kama saikolojia

    • @aliabubakar1646
      @aliabubakar1646 3 หลายเดือนก่อน

      Ww wacha umbea hujui unachokiongea

  • @saft9482
    @saft9482 4 หลายเดือนก่อน

    Maneno ya khekima sana