Kuna vitu ukielezwa na wakubwa usiulize kwanini wewe Fanya Tu- Sheikh Walid Alhad

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2023

ความคิดเห็น • 114

  • @AshamanenoYusuph-rd3eq
    @AshamanenoYusuph-rd3eq 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah wallah sheh upo vzr saaana asiyekuelewa ana dini ila yupo kimaslahi ya dunia tu Allah akuongoze sheh wetu.

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu shekhe nampenda sana yaani akizungumza kama hataki sio wale mashekhe wengine wanasema kama wanagombana mungu akulinde shekhe wetu inshaallah

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 3 หลายเดือนก่อน

    SUBHANALLAH
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh langu usiumize vichwa Mtume ( s a w)alituambia itafika siku watu watataka kujua nasaba ya Mumba wetu.Ghafuru Rahim .Astagfirullah.Yarrabi tufanye kuwa samiina wa twaana,Amin.

  • @user-gp9vg6sw6e
    @user-gp9vg6sw6e 6 หลายเดือนก่อน

    Tumekuelewa sana wasiokuelewa Wana shida zao Allah akulinde kama alivyo mlinda MTUME pangoni lnshaa Allah

  • @user-gp9vg6sw6e
    @user-gp9vg6sw6e 6 หลายเดือนก่อน

    Maashaa Allah Shekhe wetu tunavuna hekma zako Allah akulinde na maadui pembe zote duniani❤

  • @moanamessi1749
    @moanamessi1749 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah tabaraka llah

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah from Mozambique

  • @khadijamohamed8919
    @khadijamohamed8919 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah Mashaallah

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 8 หลายเดือนก่อน +1

    Masha allah from kijitonyama

  • @issaathumani-je7iy
    @issaathumani-je7iy 9 หลายเดือนก่อน +1

    masha allah allah ni mkubw

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah from USA

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 9 หลายเดือนก่อน

    Walaa taquulu limayyuqutalu fii sabilillah amuwaat, bal ahyaaa uwwalaakillaa tash'whuruun. Swadakallah kheyr.

  • @iddymohammed1890
    @iddymohammed1890 4 หลายเดือนก่อน

    baraqal llahu fi qum

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p 9 หลายเดือนก่อน

    ❤mashaLLAH

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u 4 หลายเดือนก่อน

    Swala Allahu alaihi wassallam Waalaalihi

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tatizo ushahidi wa hadeeth hamna ndo mana tunawakata.
    Pia MASUfi hamjafunzwa kuuliza kwanini ndo mana nynyi Hamdai dalili nyny mupo tu kansema shekhe

  • @user-vy7jd5th5e
    @user-vy7jd5th5e 6 หลายเดือนก่อน

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq

    • @user-sl8tr8vq4c
      @user-sl8tr8vq4c 2 หลายเดือนก่อน

      Umedanganywa nn

    • @rajabumsuya-hg8jd
      @rajabumsuya-hg8jd หลายเดือนก่อน

      Wanatumia kiarabu kuhalalisha bidaa

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 8 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏

  • @user-xj4ye2mt4o
    @user-xj4ye2mt4o หลายเดือนก่อน

    Endelea shekheee ivyo ivyooo ukosahihi kabisaaaa

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂utatunzwa sana 😂😂😂😂

  • @hasnaly
    @hasnaly 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂 hii kabisa inamuhusu mood bachu

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x 3 หลายเดือนก่อน

    سبحان الله hayamaneno yamlmungu mnasema uwengo muogopenemlungu

    • @abdalahaby3658
      @abdalahaby3658 12 วันที่ผ่านมา

      Kajifunze kuandiaka ndugu

  • @saidilaay9490
    @saidilaay9490 10 วันที่ผ่านมา

    Katika barazanji anayezungumziwa ni mtume Muhamad S.A.W kufuata quran na suna sifa zake alizonazo.
    Tusiwe wabishi turejee darasani.

  • @fay9687
    @fay9687 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hhhh hata kama anakupoteza kwani wakubwa hawakoseiii

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 9 หลายเดือนก่อน

      Hawakupotezi kwa sababu wao wakuelekeza kupitia quran na hadithi sasa utakosea vp wakati watumia quran na hadithi

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 9 หลายเดือนก่อน

      Umesoma tuu caption au umeskiliza mpka mwsho!!???

    • @saydouside9468
      @saydouside9468 9 หลายเดือนก่อน

      mwambie hata wahuni wanazeeka...Barzanji imezua mambo...na waislam hataki kusoma..akisoma yoyote akitoka na kiarabu ..huyo no shekh duuuuuh

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 9 หลายเดือนก่อน

      @@saydouside9468 ww ndio hutaki kusoma na bachu wako ungesoma ungemuelewa barzanji kumbe muko wengi mahasidi wa mtume Allah atawashinda insha Allah

  • @user-db5sx4ex3x
    @user-db5sx4ex3x 7 หลายเดือนก่อน

    A/alaikum shekh samahani nilikuwa naswali nje yamada Yako nilitakakujuwa hekma yakutoa sauti katika swala ya mag'haribi,ishaa,na alfajiri?

  • @fay9687
    @fay9687 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi hawa ndio viongozi wetu kweli sijui wamesomea wapiii

    • @salehislem671
      @salehislem671 9 หลายเดือนก่อน +1

      Tulia wewe majnoon...huna ulijualo

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kakosea nn katika maongez yake!!!?

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ww umesomea wp mwehu?hata baba Yako hampati ki elimu

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kasomea kwa baba yako

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 หลายเดือนก่อน

    Shekhe Mimi ninasuali ambalo najaribu kuliulizia ulizia lkn sijabahatika kuona nimejibiwa,
    Suala ni hii elimu inayoitwa BARAHATII jee ni elimu isiyo na mashaka yeyote juu ya muisilamu kama ataiamini na kuitenda,?
    Hebu naomba unifafanulie faida zake za jumla na kama Kuna hasara zake pia unifafanulie Ili nijuwe ukweli wake

  • @selemaniselemani591
    @selemaniselemani591 9 หลายเดือนก่อน

    Mtume s.a.w hasifiwi, anafwatwa.

    • @mahmoudally3906
      @mahmoudally3906 6 หลายเดือนก่อน

      Allah ndiye aliyeanza kumsifia na pia ndiye aliyeamrisha tumfuate. Na alisifiwa hata kabla ya watu kujua kuwa yeye ni Mtume.
      Sasa utajipa tabu kuzuia asisifiwe, sema tu kuwa asisifiwe sifa zitakazopelekea watu kumuabudu au kumfananisha na Mungu.

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 หลายเดือนก่อน

      Sele umesoma wap 😂😂

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby3658 12 วันที่ผ่านมา

    Kwa wenye D mbili tu ndo hawajamuelewa Waleed hapa.

  • @nshimirimanadjibril
    @nshimirimanadjibril 9 หลายเดือนก่อน +1

    unashindwa kuchunga mapenzi yake kwa mtume

  • @user-qs8yo4kw9g
    @user-qs8yo4kw9g 7 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mtume na suti

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 9 หลายเดือนก่อน +2

    Angalia watu wazama za Mtume Muhammad s.a.w walipokua wakiabudu masanamu wakiulizwa kwa nini muna fanya hivo wanasema tuliwakuta wazee wakifanya na ss ndio tunafanya..Nabii Ibrahim a.s alimuuliza babake mbona mwaabudu haya masanamu na yenywe hayadhuru wala hayanufaishi kwa lolote walijibu kua waliwakuta wazee wao wakifanya na wao wanaendelea nayo hivo hivo..kwahio Sheikh usizungumze kuputia hawaa zako ama kufaya inadi kwa wanao pinga Maulidi..na kuna baadhi ya watu ukiwauliza kwa nni munasoma Maulidi wanasema hvo hvo kua wazee wao walikisoma na wao pia wanasoma yai mtu hataki kujua ni sawa au si sawa yy anafanya maadamu mzee wangu alifanya na mm nafanya. Subhana_Allah Mungu atuongoze sote jamii Islam

    • @hamisiramadhani14
      @hamisiramadhani14 9 หลายเดือนก่อน +4

      Ufahamu wako haujawa bado na uwezo wa kuelewa na kuchanganua kinachokusudiwa

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 9 หลายเดือนก่อน +3

      Umetumia akili kuongea❤

    • @rajabmembe6695
      @rajabmembe6695 9 หลายเดือนก่อน +1

      Sheikh wa mkoa kakosea kusema hapo, kakosea sana aajichunguze kauli sake kama kiongozi

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@rajabmembe6695 kavuruga vuruga yaani anajiona kasoma lakini msikilizaji anaweka 100% hajui lolote ingawa kasoma

    • @mohammedseif3072
      @mohammedseif3072 9 หลายเดือนก่อน

      🤔

  • @warshysaid8564
    @warshysaid8564 9 หลายเดือนก่อน

    Allah anasema mtume haongeei kwa matamanio yake bali ni wahyi kukoka kwa mola wake sasa anaejuwa ghaibu ni allah pekee mtume anapewa wahyi tuu kwa kilacho au kitakachotokea mbele ili kuwaelimisha waislamu waliopo muda huo ambao ni maswahaba na hajao mbele mpka sisi wasasa na watakao kuja baada yetu ili kujitasimini kwa kila kinachotokea ktk maisha yetu sasa kusema mtume anajuwa ghaibu unakosea sheikh wetu

  • @fay9687
    @fay9687 9 หลายเดือนก่อน

    Huo ni dalili ya ujinga

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 9 หลายเดือนก่อน

    Ibadh ndio dheheb pekee ambalo hawavutani juu ya aqida wanamsimo mmoja tu sasa masuni kwanini kila mmoja anaaqida yake?

    • @mahmoudally3906
      @mahmoudally3906 6 หลายเดือนก่อน

      Kuna mambo hutengenezwa ili yapatikane makundi kuugawa ummah wa kiislam. Na dhamira ni ili usiweze kuungana wakawa na nguvu.

  • @user-jq2ox3er2w
    @user-jq2ox3er2w 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo.mambo.unayoongea.hayana.mashiko.hata.kwamjinga

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa hapa ndio pakuonekana uongo wa watu wa maulidi sasa mbona haikutajwa khabar io ya barazanji katika qur an na suna uzushi mtupu

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 9 หลายเดือนก่อน

      Hongera Wew mkweli... KILA LA kheri

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 หลายเดือนก่อน

      Na ww uzushi mtupu

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 9 หลายเดือนก่อน

    Masuni wengine wanafungia sala tumboni wengine kifuani wengine baina ya kifua na tumbo na wengine wa nyanyua mikono na kushusha je nani yu sahiih?

    • @issaathmet
      @issaathmet 4 หลายเดือนก่อน

      Wote

    • @user-gn8ls8ji5x
      @user-gn8ls8ji5x 3 หลายเดือนก่อน

      Nifuate nikuelekeze ishaallah

    • @user-gn8ls8ji5x
      @user-gn8ls8ji5x 3 หลายเดือนก่อน

      @@issaathmet siwote

    • @user-gn8ls8ji5x
      @user-gn8ls8ji5x 3 หลายเดือนก่อน

      Didi SI Rai soma ndugu

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u 4 หลายเดือนก่อน

    Sisi tuliumbiwa chumvi ni dawa ya mbonga

  • @fay9687
    @fay9687 9 หลายเดือนก่อน

    Porojoooo

    • @khadijaramadhani5562
      @khadijaramadhani5562 9 หลายเดือนก่อน

      Kuna Aya za Allah zinatajwa na jila la rasulullah latajwa hapo

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hicho kisa cha Israi Wal Miraj kina dalili zote Shiekh na hatukatai kua jambo lolote kwa mtume swala Allahu Alaihi Wasalam linaweza kufanyika ila musimsingizie kwa mambo ambayo hayakutokea kwake..hilo jambo lakua wanyama waliongea hamuna dalili zozote...na usiseme kua ukisikia jambo kua ntume kafanya au kasema usibishane ww amini tu huo ni ujinga kwa sababu mwamsingizia na kwenye Dini usitie mila na tamaduni hizo mila na tamaduni Zina shirki kubwa sna..Sheikh wazee wazamani kweli ni wazee wetu na tunawaheshimu ila kuna mambo sio katika Dini walikua wakifanya

    • @mahfoudhally2879
      @mahfoudhally2879 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hhhhh basi wewe pia huamini pale sisi mizi walipomuona nabii suleiman wakaongea suleiman akawasikia

    • @saidhmuhammad5567
      @saidhmuhammad5567 9 หลายเดือนก่อน

      Ndugu hapo hatumuongelei Nabii Suleiman A.S na hakuna ambae ana shaka juu ya hilo kwamba aliwasikia sisimizi wakiongea.

    • @yes_yes1310
      @yes_yes1310 9 หลายเดือนก่อน

      Kwa hio Nabii suleiman na Mtume Muhammad swalaa llahu alay wa salama, nani bora?

    • @herimsham3459
      @herimsham3459 9 หลายเดือนก่อน

      Said kakosa jibu.😊

    • @saidhmuhammad5567
      @saidhmuhammad5567 9 หลายเดือนก่อน

      Sio kwamba sina jibu hapa hatuangalii mambo ya ubora..kwahio kma Mtume Muhammad s.a.w ni bora ndio mumuekee mambobya urongo?

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂 Ngoja nicheke tu sina chakuongea.... Kwahiyo babu yako akikwambia uchawi ulikuwepo tangu na tangu shika tunguli tupae usiulize tii tu!... Usitake kufananisha zama ya Mtume na zama hii. Enzi zile huenda wengi kati yetu tungekuwa makafiri kwamtazamo huo wakusema mkubwa akisema usiulize. Kwani wao siwaliabudu masanamu kwasababu walikuta mababu zao wanaabudu!?. Walimkataa Mtume kwahoja yako hiyo hiyo yakusema Mkubwa akisema fuata tu. Ushahidi wa Mtume (S.A.W) kwa miujiza aliyopewa na Allah na Allah kuwaongoa watu ndipo wakafaa dini. Dini inaenda kwa dalili sio kwakuambiwa tu unafata

    • @HusseinKoja-ww7gi
      @HusseinKoja-ww7gi 8 หลายเดือนก่อน

      Kwani kila usichokiuliza unakuwa umekipokea

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 8 หลายเดือนก่อน

      @@HusseinKoja-ww7gi sikiliza video yake kwanza kisha soma comment yangu utaelewa nini naongea

    • @user-dp1dj8ti6h
      @user-dp1dj8ti6h 5 หลายเดือนก่อน

      😢 x

    • @mahmoudsultan3445
      @mahmoudsultan3445 3 หลายเดือนก่อน

      Wee si nabii unamiujiza yako yakupinga endelea kupinga tu

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 9 หลายเดือนก่อน

    Sheikh hayo maneno yako yakua ukiambiwa wazee jambo usiulize ww ufanye tu sio sawa kabisa. Nivlazima ujue uulize uambiwe maana kisha uyapime katika mizani ya dini..hicho kisa cha Israi Wal Miraj Abubakar r.a aliamini moja kwa moja kwa sababu ni maneno ya Mtume Muhammad s.a.w...na sisi tumeletewa dalili zote ndani ya Quran na kwa Hadith lazima tuamini..kwahio maneno ya wazee ikiwa sio katika misingi ya Dini usifuate na utajua vp ikiwa haiko katika misingi ya Dini ni lazima uulize

    • @user-ev7dh1np3w
      @user-ev7dh1np3w 9 หลายเดือนก่อน

      Kwa fikra zako ungekuwa ww usinge kubali pia muelewe vizuri anavyosema utapata faida ukiskiliza kiupizani autaelewa kamwe

    • @user-ev7dh1np3w
      @user-ev7dh1np3w 9 หลายเดือนก่อน

      Anaezungumziwa hapo ni mtume hayo mnayoyatilia mashaka ni madogo sana

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 หลายเดือนก่อน

      Unajua mizan ww

    • @mahmoudsultan3445
      @mahmoudsultan3445 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo lako umekaa kiushabik alipoanzia wee hutak unachukua mfano kua ndio ujumbe alichokisema maneno ya mtume hayatiwi hoja hago maneno ya wakubwa n mfano tu wa utiifu juu ya viumbe lakn Kwa mtume hamtak kutii ukisikiliza kiushabik hutaelewa

  • @mkemiawarap3645
    @mkemiawarap3645 4 หลายเดือนก่อน

    كاذب

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 9 หลายเดือนก่อน

    Hata akikwambia ukalewe? Huyu alipoteuliwa ushekh wa bakwata ndio amezidi kuboronga

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 9 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe huyu umemjua juzi..
      Tunaomjua tumetulia..
      Toka lini mwanachuoni (sheikh) akakuamrisha ukalewe??
      Tuliolelewa na wachamungu tunamuelewa NYIE WA KILA KITU KUBISHA ENDELEE.

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kakosea nini katika maongezi yake!!??

    • @hamisiramadhani14
      @hamisiramadhani14 9 หลายเดือนก่อน

      Kukaa kimya ni hekima sana kuliko kuzungumza bila elimu na ufahamu

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 หลายเดือนก่อน

      Na ww bidaa mkubwa sn tena mzushi

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 หลายเดือนก่อน

      Usimseme usie mjua sheikh wetu tunamkubali na ana Haki ya kulindwa na watu kama nyinyi

  • @user-vy7jd5th5e
    @user-vy7jd5th5e 6 หลายเดือนก่อน

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq.

    • @abdalahaby3658
      @abdalahaby3658 12 วันที่ผ่านมา

      Kadanganya nini hebu tujuze asee