Penati zote Yanga ikiifumua Simba na kubeba Mapinduzi Cup - 13/01/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Tazama mikwaju ya penati wakati Yanga ikiichapa Simba kwa mikwaju ya penati 4-3 na kubeba taji la Kombe la Mapinduzi 2021.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Leo azm mmenikomesha lkn ninafurah sanaaaa
Mnatupa rahaaa nyie barikiwa tsana
Yangaaaaaaaaaaa💚💛
Yanga oyyyyyyy piga keleleeeeeee yangaaaaaaaaa ♥️♥️❤️♥️♥️💯💯
Yanga oyeeeeeeeeeer
Kama unaikubali yangaaa gonga like
Big up sana Saido Ntibazonkiza
Yanga mmejua kunifurahisha😍😍
Kama unaipenda yanga weka like hapa
Mamb
poa
Woyoooooo hapo mwanzo tu mazuri zaid yanakuja mbeleni kila la kheri yanga daima.
Mwali hajala nauli ya muhuni😂😂
Asante Yanga💚💛
Nakupenda chama languuu
Asante zaidi ya sana gifted Mauya
Ahsanteni namungo kwa kutuachia pisi kali yetu
Jangwani 💪
Nimeskia.raha mieeee💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Yanga4lifeee
Viva Yanga ushindi ndio jad yetu imeixha iyoo 🔥🔥🔥🔥💤🔥🔥🔥
Wananchi gonga apa
Manara hukosi jambo ase
Yanga daima 👍💚💛
🇧🇮🇧🇮bro saido 💪💪 👌👌
Ingawa siyoo shabik kivil ila nawasikiy wana yanga wanaimba mchumba mbon hutokey mamiloo
Alf kwa mbal nawaona wana simba wanakuja mdogo mdogo🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🤣
Tunawashukuru Namungo kwa kutuachia my wetu❤️😀😀
Hahah
Yangaaa oyeeeeee
Kwanza m naona Simba had kufka ktk mikwaju ya penat ilkuwa kama bahat 2 kwao, waltakiwa kufa mapema sana tena sana, maana hawakupga on taggt hata moja Full game, kwann usiwaxhukuru wachezaj wenu kaz ya kuzuia dakka zote 90+4, watakiwa kufa mapema sana
Mashindano yote tumepata magoli 2 so uwe na uhakika hata kuwafunga hapo simba ndani ya DKK 90 sio rahisi
Pisi zote Kali tupo yanga....daima mbele
Pisi kali unajua sana ase kuwa Yanga
Mahandsome wot weny ela tupo cmba
Nakubal
Big up shikalo
Yanga Safi 👌📯
Poleni Simba
daima mbeleee nyumàa mwikooo
Yanga raha sana
Nilisema mwaka huuu ni yangaaaaaa tu Nina furahaa kubwa sanaaa
Yanga juu
Asante yanga. Asante GSM. 👏👏
Young men African
Yanga safi
Pia Mimi nipo sijasahaulika napenda Sana yanga
Nampendaa Sana mwanamkee anaee ipenda yanga
Mwaaaaaaaaa yanga damu dada etu
Nitim kubwa Sana nainajua kucheza mpra Sana⛹️🤾🏃🚶
Sawaa mom ake
Yanga daima mbele
Simba inapewa heshima ambayo haistahili kiukweli yanga wanapambana Sana wanacheza teamwork lakin simba akikosekana chama amn team 💚💚💚💚daima mbele nyuma mwiko
Yanga mnafurahisha mpaka mnakera...
Yanga daima🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥mnyama kakaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Ilove yangaaaa
Tuna jambo letu, kombe ni kombe tuu Hata liwe la mbuzi.
Yanga yangu👏👏👏👏
Still unbeaten..💪💪
SAPE SALAAM
Kagera kapata husda ya kumkataaa babaake maskini radhii za Baba muhimu Yanga hoyeeeeeeeew🔥🔥🔥🔥🔥
Love yanga nakupenda miaka kuku sikuachi
MWANA FA JIUZULU UBUNGE KWA HESHIMA MAANA ULISHASEMA
Unbiten inaendekea!!!!
#wape salamuu
#Nyau Weusi fc
Mmefel wap simba kumpa mzee apige penalty 😂😂😂😂
Kipara makulega
Kagere ndio kazingua hapo goli lote lile anagonga mwamba????
This is yanga bwana
Good job
th-cam.com/video/rjWpkMeAwBM/w-d-xo.html
Sichoki Kuutazama Huu Mpira Yanga Habar Ya Mjini.
Kabisaa
Tunataka Zanzibar mpya
Ilove yanga
Yanga tumeinua kombe juu , wao wameinua paka mweusi juu.
Tunakusanya rambirambi baada ya kufiwa na paka wetu ndugu yetu nyau fc
Poleni sana wanamsimbazi.. Hata masikini nae mtu...
Yanga mumemuvunja mpaka mweus miguu
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl
Kuna jamaa wa simba kwneye hii clip mwishoni ndevu kaziona nzito Sura muda wote iko chini
Haaaaaaas
😂😂😂😂😂😂😂
Mauya ni shida kwenye penalty ata gadiel katisha japo tumewachapa
Hongera sana
Ivi kelele zote hizi alafu unaniambia eti simba hawakuwa wanalitaka kombe?. Mtawadanganya wengine
💚💚💚💚💚💚,wapi mipakaaaàaa😁😁nyaaaaaau!! Mlio wa kupigwa na mwiko jikoni
Vp
Yanga nomaaaa
Noma sana
Shikalo yupo vizur sana apunguze papala tu
Safari ya kurudi ni mbali zaidi
😀
Kama wanaenda hija 😄😄
Hatuogopi paka yeyote ataeshoboka na sisi tutang'oa macho.
Umeonaeeee
Good job
th-cam.com/video/rjWpkMeAwBM/w-d-xo.html
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪
Mtangazaji ww hatariiiiiiiiiiiiiiiii Sana,imefichwa et na nn?
Dar Young Africans 🟢🟡✅
Huyu zawad anaker kwa kweli
Hahahaha ama kweli mtu mzima hatishiwi nyauuuuu!!!!!!!!!!!!!
Kama nawaona mapaka
This is yanga brother
Midomo imekatwa msitegemee uchawi hamtafikambali
Ndio tunaanza bado sanaa
Good job
th-cam.com/video/rjWpkMeAwBM/w-d-xo.html
Nomaa Sanaa😚
Kuna kiongoz hapo juu Ni mnafiki wenzie wanapongezana ety yey kanuna
Wape salamuuuu zao
.yanga imeteseka sana
Jamaaaa uyo ni nma
kagere alijiamini sana chezea wananchiiiiiiiiiiiii
Poleni sana wana simba
Shukran sana
Asante
Mwanzo wa kubeba makombe sasa. Simba mtajuta kutujua
Haswaaaa😂
#Timuyawananchi🏆✊
Good job
th-cam.com/video/rjWpkMeAwBM/w-d-xo.html
Yanga oyeee
Jamn yanga niraha mpaka wanatia hsiraaa 🤣🤣🤣🤣 raha sana
Paka msubilie penat mbwa nyie
Sasa manala hana issue akalime matikiti bagamoyo tu
Sasa manala hana issue akalime matikiti bagamoyo tu
Raha kwa penalty woiiii hicho kitu hata kaze hana raha kabisa ,
Fantastic
Penati gani tenaaaa
Yenye pattern zilizovurugwarugwa hatarii
Hatimae wamekaa
Wapi manara
Wapi mikiaaaaaaaa mapakaaaaaaaaaaaaaa🐯🐯🐯🐯🐯🐯
Tupo unasemaje
Kombe linabaki kuwa kombe tu hata liwe la kuku mbona ligi kuu bingwa anachukua hela ndogo kuliko mchezaji anaesajiliwa kwa timu hizi mbili Simba na Yanga hayo ni maneno ya mkosaji
Kweli mzee mana jana huku kuna mtu alikuwa analibeza hadi anakera wangesema basi hatutaki kucheza mana sio hilo kombe halina hadhi na sisi mbona wmeenda
Ni kweli lakini ligi kuu unapata faida ya kwenda club bingwa ambako ukifanya vzr ukaingia makundi unapata mpunga wa maana haswaaa
Mwanaume ni mwanaume2
Yanga sihami
Simba ni yakucheza dakika 90 bila on target kweli 🙄😂
Inategemea inacheza na nani?
Mapinduzi 2020/2021
Adi laaaa
Simba na yanga yanga bingwa
Nawapongeza sana wachezaji wa simba wamejitahidi Sana haikuwa bahati yao tu lakini wamejitahidi sana na siku zote penati hazinaga Mwenyewe kwenye mechi hii sioni wa kulaumiwa
kumbe mnabahatisha?
peanati zina yanga acha zako.