TAZAMA NYUMBA YA DAUDI YANGA | MAISHA YA FAMILIA YAKE | MTOTO WAKE AMPA JINA LA YANGA........
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo
#sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#
Hongera bro safi sana wewe ukweli ni mwananchi 💚💛💚💛💚💛💚💛💚 huyu mtoto wetu kabisa mungu amlinde
asante sanaaa nilimisi sana daudi yanga fun number 1
Yanga Madrid
Hongera sana mwananchi mwenzetu,utafika mbali🎉🎉🎉
Napajua apo hongera broo
Kama maeneo ya wazo kiwandan hv
Hongera sana Daud.. usisahau kusali Rosary ya B.M kwa mwezi October
Rosary nikama unachanganya mafaili
Vyote muhimu sala ni Silaha
Bm ndio nani na rosary nini
@@DeogratiusAndrew-zi7zv😂😂😂
Masha'allah
Wawoooo nc🎉🎉🎉💚💛💚💛
ndg yng daud mwananch mwenzangu nakupenda mno
Aaah home boy huna baya japo ni mtani ila nimeipenda sana hii interview yaan umeongea maisha zaidi,angekuwa mwingine hapo ungesikia ni yanga,yanga yangaa ila maelezo yako ni somo tosha hongera bro safi sana endelea kutuelimisha kaka
🎉🎉🎉🎉wao YANGA ww ni jina kubwa ukue na kumpendeza mungu.
Umetisha sanaa shabiki letu Mungu amlinde mwanetu 🙌📖🙌📖🎂💕👍
Hongera sana mwanachi,its good kuona kumbe unaweza kushabikia mpira sana na bado ukawa unawajibika na familia yako na maendeleo yako❤❤
Mi naipenda yanga lakini siwezi muita mtoto wangu yanga daaaah😂😂😂
DUU HONGERA SANA MR YANGA, KWELI BIASHARA ASUBUHI.
Yanga boy
Nimependa sana broo 👍💚💛💚💛💚
Hongera sana
aaaaiseee blo p1 sana nami mwanangu atakua wajina wake uyo
Familia nzuri
Dunia inatulagai San. Tumesahau Sababu za kuja Duniani duh Aya. Mungu atuongoze maan hii hatar sana
Safii
Kweli wewe Yanga Damu hongera sana Kaka 😂😂
Yanga njano sio damu😊
Safi San mwananchiiiiii nimeipenda iyo 💛💛💛💛💚💚💚💚
Kaka umenifurahisha
Jaman sasaitakuwaje😂😂
Brother Kuna kipindi ulipoa sana nilikuwa naumia sana
But Leo nimefurahi kukuona
Pia umenifurahisha kwa jina la mtoto wetu Yanga daudi lwena🎉
Watu wa simba acheni wivu
Hongera saana Kwa Hilo! Lakini ushabiki wa kiwango hicho ni hatari Kwa familia!! Vipi kama mtoto asipokuwa shabiki wa yanga? Vipi wageni wa Simba wanaruhusiwa kuja na kujisikia nyumbani wakiwa kwako???
DAUD NIMEKUBALI SANA , WEWE NI YANGA DAM DAM KWEL BIG UP BRO
Said utasababisha upande wapili watoto wao wawaite majina ya wanyama sasa😂
Mimi Tim yangu pendwa Ni Tim ya Mbao so nikija kuzaa mwanangu nitamuita Mbao ..... 😂😂😂😂 Mana nilikuwa sijui km inawezekana kumuita mtt jina utakalo yaani awe wakike mbao awe wakiume mbao tu
Mmmmmh million nne🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Ndio hizo gari zinauzwa hivyo, anaziagiza China faiza mazazi mwenzie na Sugu
😂😂😂😂😂😂
duh sawa
Hongera mtani ila hizo rangi hatari sana utafikiria jangwani ingekua hivi tz nzima nyumba zote zingekua njano na kijani na nyekundu na njano tu duh!
Heeeeeee mpk mtoto anaitwa yanga ten😂😂😂😂😂
Hata kama naipenda tim siwez mpa mwanangu
Chukua Maua yako 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Ubari kiwe sana2 . Ila utahenda 19 kusherekeya ushindi ?
Mbanga mawe twende ushindi lazima rofa kuna rofakule ushindi lazima daima mbele nyuma mwiko tutashinda
NAKUOMBEA WEW NA FAMILIA YAKO MUWE SALAMA SALIMINI, YANGA TEAM KUBWA KWEL NA MWAKA HUU TUNAFIKA MBALI SANA KIMATAIFA NA LIGI KUU TUTABEBA TENA MWAKANI.
mtashobya josia nikiwa Kenya nawapata kwauzuri kweri nimekubari niatari sana akuna ubishi
Rangi ni Tiba ya ubongo (mental therapy) nje siombaya sana kupaka rangi kali ila ndani kupaka rangi kali siopoa yote kwa yote hapangiwi mtu chakufanya 😂😂
😅😅😅😅
Sawa kaka daudi wote wakunyumba
Shemeji huna bayaaa😂😂😂💓🤝🎁🎁🎁🎁😘
😢😢😢
💚💚💛💛
Mwanayanga wa ukweli lakini pia baba anayejitamb
💚💚
Uyu njo yanga damu damu kbx
❤
Dada ana furaha kutoka moyoni mda wote
Mimi ni Simba ila huyu jamaa ni muungwana Sanaa niliwahi kupanda basi anayoiendesha huyu jamaa muungwana sanaa
Uyu ndo shabiki sasa💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Hayo ni mapenz au upungufu wa akili had nyumba ukapige rang ya yanga😂
Mimi nina watoto 8 na wote nimewalithisha simba kudadadek
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
We daudi uyomtoto unataka kumzeesha. Nailo timuyako mbovu. Na akizeekauyo km c kuwa m.mpili. bx atakuwa fundi baiskeli tuu.
Sio intervew tu .. ila unetoa naelimu pia yamaisha umetoa kaka,
Gari hiyo milion 4 😂😂😂
Nimekuerewa mtani mchome Huwa kunakitu anakosea kawaida ya simba nayanga niwatani kusemana kutaniana nisawa kabisa anapokosea nikuvaa jezi ya simba na kuiponda simba hakuna sikuameiongerea vizuli simba iriawe sawa anatakiwa avae jezi yayanga ndio aitanie simba kwahiyo mpeni elimu aerewe tusije mfanya kitu kibaya
Brother kuna kitu nimejifunza kutoka kwako naamini nitakifanyia kazi.
ww kaka ni akili zako au utakuwa unamapungufu
Tafuta pesa acha makasiriko
Hongera kijana lkn usibague watoto laiti ungejua watoto wa kike ni keki usingefanya hivyo,eti mtoto wangu wa kiume wa kwanza wewe chunga sana
Bg up sn mwmb
huyo mtt akiwa simba baadae utamtupa au utamkataa sasa ww muambukize huyo mtt ila huyo ni SIMBA UBAYA UBWELA
Zaa na simba yanga kitu gani
🇹🇿🇹🇿
Huyu dada ni mteja wangu eti
Huyu ni mkweli Yanga original, hongera sana
Badara watto muwape majina ya mitume uko na mngeipenda din km mnavyopenda timu za dunian ingekuwa powa sana
Angaika na maisha yako achana na maisha ya mwenzako. Kila MTU amepewa maisha yake. Pambana na yako
Yanga ni jina lyanga
Namimi vile vile huku niko Yanga Africans naWatoto soote wananchi i meaning yanga supporters yanga Africans oyeee oyeee hayaa wananchi
mwanamke kwake nyumbani bro,,,kama uwezo unao na mmependana kweli,akae akusubiri akulelee familia yako,hayo unayoyataka ww matatizo,,,,ukiona umeshindwa sana,,jenga frem nyumbani kwa nje ajishughulishe hapo...
Anatafuta ela kijanja huyooooo
Nmeipenda hyo inatakiwa dogo aende nayo had kwa bibi na Babu yake songea asipande superfeo
Sisi watu yanga Africans sote tunasema yanga Africans oyeee let's saying all oyeee hayaa Twendeee kazi wananchi eee
Daima mbele nyuma mwiko
Dahudi yanga lazima wakusapoti kindoki godi makame yupo congo leo nakisugu ninyindiyo mashabiki wayanga kindaki ndaki ilatutadhinda tar 19 ndogo 2 nahuko
Kweli utaira ni mzigo kwa kichwa fyuuu
Tahira mwenye nyumba yake
www unayo
@@selemansaid5642 ulitaka nikupostie Au wewe nyuma mwiko
Kwahiyo Hadi cheti kimeandikwa Yanga?
Kwel ww yanga hatar😂
Atakama unaipenda YANGA Tatizo hiyo rangi haiendani na rangi za pkpk nyingi
Upuuzi tu
Rangi Haipigwi Inapakwa😱😱😱😜
Daudi hapo kwenye milion 4 umetupiga
Kam huna hera lazima upigwe
Hiyo ndo bei ya hizo gari, hata wewe unaweza kuitumia kwenda sokoni, zinauzwa na zinaagizwa sana Faiza Ally kutoka China
Ila wabongo hpana bila hata kuhuliza kwa faidha aina ya hilo gari aujaona
Hayo sio yale ya laki tano
Nyumba haipendezi kwa rangi za hivyo
Jenga yakwako uipendezeshe kwa langi upendayo
Wivu tu
@@enockabumba7513jibu konk kabisa watu wanafanya masihara ktk maisha ya watu wengine
Chefuuu kizaba 😏😏😏😏😏mafiiakiri
Wallah yaan majinnun wagin
Siblisss😅😅😢
Ona raha ya wanandoa , afu kuna kimwanamke kinaropoka eti mimi sitak kuolewa eti wanaume hawaelewek, pumbafu kabisa wewe ndio hauelewek waoaji tupo
Bongo uchawi uhai tuu usikute dogo akishakuwa na jina lake hilo la Yanga akajakuwa mshabiki wa ubaya ubwela
Utopolo huyu
Hiyo nyumba ni branch ya ccm?
😅😅ni maskani ya CCM muembe matarumbeta😅
Mbona Ccm yenyewe ni Yanga
Chama tawala
Rangi ni Tiba ya ubongo nje siombaya ila ndani kupaka rangi kali siopoa yote kwa yote hapangiwi mtu chakufanya 😂😂
Wazimu sio lazima mpaka uvae nguo kchwani, Kuna mambo tu ukifanya ,,,,,,,,,,,,!
Huku duniani kila mtu anafuraha yake na mtu Aishi maisha yake
Tafuta pesa uache wivu
Mbona wewe CCM wanakupa Kofia ya shilingi 1000 Miaka 5 huku huna Maji , Hospital ,Shule ,Barabara na unaridhika na kuwashangilia kama Zuzu
Daudi unabagua watoto hata wa kike wanaendedha gari usiwe hivyo
Uyo mtoto anataman kulia maana ata aelew kabisa
Acha uongo gari ya laki nne unasema milioni nne umetugia kaka
Hizo gari zinauzwa million Nne agiza China uone bei yake, kama umeuziwa laki nne ni used, mpya inauzwa million nne
Kiwanja chenyewe ndio kinahitaji ujenzi wa namna hiyo sio kwamba uliplan kujenga gorofa ukagairi njiani mijengo ya hivo ipo mingi hapa mjini na haijengwi kwenye viwanja vya tambarare.
Subili siku tumpe sa 7 alfu ndo atapona kichaachake😮
Dah nimependa hadi naona nyotanyota machoni yaani ktk mashabiki wote wa Yanga wewe ni namb1 naamini hilo
Hao wtt hufafani nao kbs acha kujitapa
Kufanana ndo nn mkitaka wa kufanana na wewe tujipatie mimba ujizae
Acha uchochezi hujui mtoto kafanana na baba na kwa mama pia rangi.