TFF eleweni kauli za wana Simba wanaposema REFA. afungiwe kabisa. TFF. Msishupaze shingo kauli hizi. ,Kama mna upendo na huyu Refa. muokoeni katika jambo Hila. HUENDA kijana wa watu hajitambui. Nimazungumza kwa mfano
Ifike mahala simba tuamue tusicheze na yanga mechi zote hadi tff itakapo ona umuhimu wa kuleta waamuzi wa maana na makini ktk kuutendea haki mchezo wa mpira.
msemaji unasema mmenyimwa penalti mbili= magoli 2, na unasema matokeo yangekuwa 2 kwa 1; je, kama ni hivyo ukubaliane na upande wa Yanga kuwa Dube na Msonda nao waliyofanyiwa tuyahesabu kuwa goli 2! Na hivyo matokeo yangesomeka 2 kwa3! Bado mlikuwa washindwa.
Hii ni album kwa mashabiki wa simba hawaoni mapungufu gori la kibu ni offside halafu wanasahau FA kule tanga magoli halali ya yanga mwamuzi alikataa mwisho wakashinda kwa penat yanga hawakulalamika
Hii inanikumbusha tulipokuwa tunatembeza bakuli, tulikuwa tunalalamika saana. Red card huzungumzii ya kuvutwa dube, na ile ya kamara kucheza miguu ya msonda huoni, mnaona zenu tuu.
Nikweli mbona lefa alikuwa fare makolo wakumbuke mkuki mchungu kote penalty ya mazmilu alivomkamata mdathili ilikuwa penat ila tulinyamaza waache utoto
Acha kulalamika , haman timu tim mbovu mbele ya yanga , na mtafungwa sana
Wapuuzi nyie timu mbovu kwa kubebwa ngoja tuone club bingwa kama atachezesha kayoko
Alikua Ellly Sasii
TFF eleweni kauli za wana Simba wanaposema REFA. afungiwe kabisa. TFF. Msishupaze shingo kauli hizi. ,Kama mna upendo na huyu Refa. muokoeni katika jambo Hila. HUENDA kijana wa watu hajitambui. Nimazungumza kwa mfano
😂wewe hakuna kitu kichwa I kwako
Ongelea bas nadube alivoshikwa sialikuwa anaenda kufunga pale ilikuwa nyekundu
Wewe mbwa hujui kitu
Semeni jamn maana wanaonewa sana
Huyu tunamjua hata pale kipenga Xtra. Anaongeaga Pumba.
Hivi mnakumbuka siku ya Azam na Simba Simba alipewa penat ya bule
Mchungaji umejichanganya sana maombi yamejichanganya na washirikina aliye azisha hiyo timu alianza vibaya hiyo ni laana.
Yn offside kumbe huwa ni gor shenz nn
Aragije na yeye hamna kitu
Mbona hamwusemi washika kibendera? Na wao mara ingine ndo refa anawafuata wao
Kashika miguu katoa mpira
Namusonda alifanyaje
Hv Simba jmn mbona Yanga pia walinyimwa penalty mbili kwahiyo ubao ungesoma mbili kwa tatu bado tungebaki kuwa washindi2 kubalianen na matokeo
huyo kayoko mfungieni katika lingi ya Dabi nainawezekana hata mechi zahapa tzd wamtoe 😂😂nalia sana kwamaana ubingwa ulikuwa na Simba
Dododma vp ilikuwaje
Na bado Simba mtalalamika Sana 😂😂😂
Ukosawa Mchungaji TFF Wako pamoja na Yanga
Sasa penati ni goli 🤣🤣🤣🤣 timu bovu hilo acheni kutafuta kichaka cha kujifichia.
Mimi nilichukizwa na goal
Aka mmeshakata tamaa mapema wangu.
Hawezi kufungwa anacheza na wadhamini wa wake
Ifike mahala simba tuamue tusicheze na yanga mechi zote hadi tff itakapo ona umuhimu wa kuleta waamuzi wa maana na makini ktk kuutendea haki mchezo wa mpira.
Unaongea utopol ww diala kamshik nan mguu penalty gan huk mtu alikua njeyachak ndomaan ukapew faul ww nimtu wakuwekwatu na yang
Heeeeeeh kumbe mlikuja na matokeo yenu ndiomaana mnalalama. Hata 5,2,1 zote mlilalamika jengen tim
Ila kwel mashabiki wa simba ni mbumbumbu kabx yn
Mbona huongelei penat ya Dube
Huna poins ya kuongea
Vip ongea yadub pia ongea yamsond tumuia akil haulalamik unabwabwaj
Huyu chizi pua kama nyangumi mshenzi mkubwa pumbavu sana
Mkipigwa kubalini tuu
Wewe unajuaje kama penalty ingelifungwa hujui kuna kukosa?
Wewe pokea pesa za wenye media ,uchambuzi ujui
Mechi ya marudiano msije uwanjani ili tujue kweli nyie mmekasirika sanaaaa.
WEWE ACHENI UCHIZI RUDIA MECHI VIZURI MSIPENDI USHINDI WAKUPEWA JUHUDI ZENU MMEZOWEA
Wew ni pimbi2
Mtu mzima wa ovyoo
msemaji unasema mmenyimwa penalti mbili= magoli 2, na unasema matokeo yangekuwa 2 kwa 1; je, kama ni hivyo ukubaliane na upande wa Yanga kuwa Dube na Msonda nao waliyofanyiwa tuyahesabu kuwa goli 2! Na hivyo matokeo yangesomeka 2 kwa3! Bado mlikuwa washindwa.
Wewe Muandishi kua na maarifa GSM Amedhamini timu Ngapi?
Hii ni album kwa mashabiki wa simba hawaoni mapungufu gori la kibu ni offside halafu wanasahau FA kule tanga magoli halali ya yanga mwamuzi alikataa mwisho wakashinda kwa penat yanga hawakulalamika
Pumba
Hii inanikumbusha tulipokuwa tunatembeza bakuli, tulikuwa tunalalamika saana. Red card huzungumzii ya kuvutwa dube, na ile ya kamara kucheza miguu ya msonda huoni, mnaona zenu tuu.
Ulizio na zakwakotu uyondailagija siwakwenu
Muwe mnahoji watu wenye Akili Timamu
AHOJIWE MAMAKO AU
😂😂😂😂😂
Ya musonda mliiona
Siyo Lefa uwezo wenu mdogo hata ungekuwa ww lawama ziko palepale jiongeze ww mzee
Na Hao mashabiki wa yanga wanajifanya hawaelewi kinachozungumzwa nakukoment utumbo basi endeleeni mwisho wake utajulikana tu
Umetangaza umeshinda uwanjani ukiwaombea washinde kwani lile kanisa (mwanga wee)
Ww unatoka usingizini au unaota
Yamusonda mbona husemi
Jingaaa jifunze Mpira
Wabovu nyie nalitimu laki msajiri wachezaji wenye uwezo
Na ya Musonda
Na Dube
Ww kenge acha upuuzi kama umeonewa nenda mahakamani ya msonda ujaiona na ya dube ujaiona ushafeli Lia bac tujue kama mmeonewa kwel
Nikweli mbona lefa alikuwa fare makolo wakumbuke mkuki mchungu kote penalty ya mazmilu alivomkamata mdathili ilikuwa penat ila tulinyamaza waache utoto
NYIE MMENYAMAZA SI MMESHAPATA USHINDI FEKI
YANGA RAMADAN KAYOKO...
Kwa timu yenu mtasema sana na bado na bos wenu si amerudi hakujua kama kuna Gsm?
Kila Lefa mbaya wachezeshwe wao ata mpira wadosi ajacheza
Wachezaji wa simba walifanya fauro za hatari kayoko hakuwazibu kwa kadi ilivyo staili ila watu wamezoea kuharisha maneno
Kwani wewe si ulisema utauzunguka uwanja kuutia upako kwa Simba? Kiko wapi sasa, mtengeneze timu simba mbovu
Hunajipya wewe mchezaji WA Simba alibembea kwa dube akamvuta kidogo amvute Hadi kiungo Cha mbele Hilo hukuliona!! Timu lako bovu
Winung'a sana ungayashahulonga umubofu sii
Kwendeni huko refa hafungiwi kwa matakwa yenu dodoma mlipewa penat mkashinda 1hamkulalamika na barefaced ni hawahawa