Usalama umeendelea kuyumbishwa na vijana mjini Mombasa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ย. 2019
- Licha ya mageuzi katika idara ya Usalama mjini Mombasa, magenge yameendelea kuzuka hasa katika maeneo ya Kisauni na Nyali. Vijana wenye umri kati ya miaka 13 Hadi 18 ndio wanaodaiwa kushiriki uvamizi huku makundi hayo yakibadili mbinu. Je nini kinachochangia kuzuka tena Kwa makundi haya.
Msa inahitaji wale polisi wa Eastleigh mhalifu akipatikana kanyaga kichwa piga risasi mpaka akufded.
Haha weee
Wanahitaji mpangani 6...
mmubarak kabisa
🤣🤣🤣🤣
Exactly
Hawa watoto wanajificha sehemu ya utange.... police washirikiane na wakazi wa utange wawape information ya hawa watoto.....mtaa wa maweni utange ndo waliko jificha
Asante Sana mnyalu
Mzee Najib umeongea point kabisa
Hawa watoto ni watu tunawajua wengine ni vile mtu uwesi msema hila msa akuna rahaa ikifika saa moja rohoo mkononi yaani ni mungu 2
Anayeshikwa aauliwe .....
Brings marua back
Brings marua back
Brings marua back
Msa imegeuka na kuwa kama Nairobi,,, khee,, jameni Mola tulinde
Upuuzi mkubwa baada ya kuua munapata faida gani
Wapigwe risasi
Wakiuliwa wazazi utawaskia wakilaumu idhara ya usalama
CC TV NGAPI WATU HUVUNJA
Joho.! Is a joke. Next time mombasa vote wisely.
Uwa wote Hao
Ukosefu Waa ajira unachangia vijana hawana kazi...
Joho ndio anaongoza haya magengi ya mauwaji hakuna mwengine uhakika uwazi
Haki Africa mnangoja nini?safisheni area
Na venye nsis wako wengi mombasa kazi yao ni gani
Awa wanaitaji risasi ya kichwa akuna la mwanangu, mwanangu c muhuni kitu gani
DCI mwaga CID coast & all this kind of criminals give an authorization "shot on the spot". It will give good lesson to many. No need court cases.
Omg!!!!
Wamrudishe marwa
Hapa lazima wakazi waungani ndio hili tatizo litapunguwa
Mm naona kuna watu wakubwa ndio wanawaongoza tena inaonyesha nipolisi maana mtu wakawaida hakuna
Hawa polisi wasipokee misgahara tuu waekwe kila mahali huko mombasa wasilale pilisi tena pia inawezekana kuna polisi pia wamo kwahio nawanajuwa kama mangenge watavamia
Wachakufunguliwa saa kumi na mbili tuu wangefunguwa saa moja kweupee
Piga risasi
Magenge haya yanafadhiliwa na nani,tuna walinda usalama,jee mkono wa sheria uko wpi? mlipa kodi analipa ushuru,vikosi vya usalama viko wapi,Kenya is a peaceful country,pls don't fool us.
Hahaaa.... Mtachinjwa sana....
@Mansoor Nandlal askari wakifanya kazi yao mwalalama.... Ona sasa ukiskia imekuuma tafta humans right
Joho kazi yake nini
Magenge yakiua ama kujeruhi, lawama 'polisi wanalala'. Mwanagenge akipigwa risasi na polisi, MUHURI, KNCHR,IPOA wanapiga nduru eti polisi kaua 'vijana wetu' kiholela.
Kweli sijui wakenya Wanataka nini
Double standards on the sides of human rights groups.
Ni magenge kutoka bara especially central ndio wanavuruga coast
NA JOHO NI BBI USIKU NA MCHANA
Kwani Joho ni police atae kuja mitaani kuatafuta hao majambazi wacha chuki zako