Maswali yaibuka kuhusu upinzani serikalini

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
  • Maswali yaibuka kuhusu je ni asali au shubiri kwa viongozi wa upinzani waliopendekezwa kuendesha wizara mbali mbali zilizo na ahadi kuu za serikali ya kenya kwanza. Wizara ambazo kwa wengi zinaonekana kuwa na changamoto kuu na kuwa chanzo cha lindi la maandamano linalogubika taifa kwa sasa.

ความคิดเห็น • 43

  • @davidlubanga5527
    @davidlubanga5527 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ruto is a smart politician. Now the economy and finance bill becomes ODM's problem. He is out of it

  • @Yourexcellencyking
    @Yourexcellencyking 2 หลายเดือนก่อน +1

    Respect of most Kenyans to ODM📉

  • @Yourexcellencyking
    @Yourexcellencyking 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wangu tuache kubebewa akili na wanasiasa they are normal people like us tufikirie independently

  • @florawairimu4448
    @florawairimu4448 2 หลายเดือนก่อน +10

    Kenya MTU hafai kueka siasa kwa roho....you may wake up mpate mm ni prezo

  • @mathiaskyengo-uu5xt
    @mathiaskyengo-uu5xt 2 หลายเดือนก่อน +10

    Let kalonzo not join them with karua

  • @jumaramadhan9368
    @jumaramadhan9368 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kalonzo for president na si tafadhali

  • @leahwambui5608
    @leahwambui5608 2 หลายเดือนก่อน +6

    ODm hapa mumechezwa hiyo midomo mutanyamaza

  • @GeorgeoyugiAmbwara
    @GeorgeoyugiAmbwara 2 หลายเดือนก่อน +1

    Oparanya Wacha tumbo mbele tuko na nyinyi sawa

  • @Yourexcellencyking
    @Yourexcellencyking 2 หลายเดือนก่อน +1

    ODM iq combined doesn't reach double figures💯

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 sasa watakua wanatuambia mbona mafuta inapanda mbona tukue na more tax na mbona hizi pesa tunakopa saana 😂😂😂

    • @keriakolesh5220
      @keriakolesh5220 2 หลายเดือนก่อน

      Jee izo mikopo WALIKUA wakiitisha ilikua ikifanya kazi gani kama sii kuweka kw mifuko zao waliku wanaweka kukuza biashara zao na wanatumbandizia tax ati walipe deni na ilihali ni wao ndyo pesa izo zinawasaidia. MWIZI RUTO MUST GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

  • @ongedoosungawanangayo3055
    @ongedoosungawanangayo3055 2 หลายเดือนก่อน +1

    ODM please acheni kujipaka mavi ya Ruto, you did not learn from Uhuru handshake

  • @philipemilio8120
    @philipemilio8120 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kenya ni ya wachache kweli

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz7607 2 หลายเดือนก่อน +3

    ODM will manage it indeed

  • @ppatop
    @ppatop 2 หลายเดือนก่อน +1

    The four are in the hot seat.

  • @ongedoosungawanangayo3055
    @ongedoosungawanangayo3055 2 หลายเดือนก่อน

    Oparanya please get out from obulosi bwa Ruto

  • @anthonymachayo4699
    @anthonymachayo4699 2 หลายเดือนก่อน +1

    The 2 deputy leaders should first resign from the party. .as their ship sinks politicakky

  • @leahwambui5608
    @leahwambui5608 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bona ruto analetwa 😂😂akila maidi

  • @moodsawa
    @moodsawa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Genius move by Ruto govt. An advisor somewhere did a great job. Next we want Sifuna given a docket too😂

  • @KipngenoKennedy-d7z
    @KipngenoKennedy-d7z 2 หลายเดือนก่อน +2

    Walitekwa nyara njiani

  • @josephmwangale9364
    @josephmwangale9364 2 หลายเดือนก่อน

    Let them try it if they don't perform they'll step aside.

  • @nixonmwanguni3094
    @nixonmwanguni3094 2 หลายเดือนก่อน

    Shubiri

  • @jackymonga6971
    @jackymonga6971 2 หลายเดือนก่อน

    Angeweka watu wa chama chake bado mngeteta tu. People don't have a stand,siasa ni chafu!

  • @nesbitmiriti4366
    @nesbitmiriti4366 2 หลายเดือนก่อน

    Tunahitaji kiongozi na ambaye ako tayari kufanyia wanainchi kazi bila kutazama mlengo wa kisiasa,umri,kabila,au dini na anayependa amani.

  • @felixmuiamulinge1128
    @felixmuiamulinge1128 2 หลายเดือนก่อน

    Hii nayo ni mchezo

  • @kiprotichfelix336
    @kiprotichfelix336 2 หลายเดือนก่อน

    sacarstic appointents

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c 2 หลายเดือนก่อน

      No! Let Kenyans serve in any government regardless of their political parties. They are Kenyans first and parties leaders and supporters second. Kenya yetu kwanza.

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 2 หลายเดือนก่อน

    Don't get into Ruto Trap please AZIMIO

    • @elviskiplagat8191
      @elviskiplagat8191 2 หลายเดือนก่อน

      Politics is about personal interest

  • @ongedoosungawanangayo3055
    @ongedoosungawanangayo3055 2 หลายเดือนก่อน

    Wandayi please do not go to that shit

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c 2 หลายเดือนก่อน

      Mr, your comment is not peaceful and useful because the cooperation between Kenyans to serve Kenyans in a government of national unity is not shit. Instead, it's legal, democratic and constitutional. Sir, I am grieved and sorry to tell you that it is your words that has unpleasant smell.

  • @LovelyFurryCat-jm8ub
    @LovelyFurryCat-jm8ub 2 หลายเดือนก่อน

    We were played

    • @elizabethowiti5453
      @elizabethowiti5453 2 หลายเดือนก่อน

      Am very much disappointed very disappointed with Raila and the rest of the team you have failed us but will leave you to God

    • @sponsalfaThedjalfani
      @sponsalfaThedjalfani 2 หลายเดือนก่อน

      From yesterday I'm not ODM 🙄

    • @joycenasambu2658
      @joycenasambu2658 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@sponsalfaThedjalfanihow to deregister

    • @elviskiplagat8191
      @elviskiplagat8191 2 หลายเดือนก่อน

      Politics is about personal interest hata wewe ungepewa hio chance ungetumwaga

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c 2 หลายเดือนก่อน

      Furrycat, we are not being prayed. Please don't fear. They know what they are doing. Let us unite under them and give them time.