Maswali yaibuka kuhusu upinzani serikalini
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Maswali yaibuka kuhusu je ni asali au shubiri kwa viongozi wa upinzani waliopendekezwa kuendesha wizara mbali mbali zilizo na ahadi kuu za serikali ya kenya kwanza. Wizara ambazo kwa wengi zinaonekana kuwa na changamoto kuu na kuwa chanzo cha lindi la maandamano linalogubika taifa kwa sasa.
Ruto is a smart politician. Now the economy and finance bill becomes ODM's problem. He is out of it
😂😂 exactly 💯
Respect of most Kenyans to ODM📉
Watu wangu tuache kubebewa akili na wanasiasa they are normal people like us tufikirie independently
Kenya MTU hafai kueka siasa kwa roho....you may wake up mpate mm ni prezo
Let kalonzo not join them with karua
Kalonzo for president na si tafadhali
ODm hapa mumechezwa hiyo midomo mutanyamaza
Oparanya Wacha tumbo mbele tuko na nyinyi sawa
ODM iq combined doesn't reach double figures💯
😂😂😂 sasa watakua wanatuambia mbona mafuta inapanda mbona tukue na more tax na mbona hizi pesa tunakopa saana 😂😂😂
Jee izo mikopo WALIKUA wakiitisha ilikua ikifanya kazi gani kama sii kuweka kw mifuko zao waliku wanaweka kukuza biashara zao na wanatumbandizia tax ati walipe deni na ilihali ni wao ndyo pesa izo zinawasaidia. MWIZI RUTO MUST GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
ODM please acheni kujipaka mavi ya Ruto, you did not learn from Uhuru handshake
Kenya ni ya wachache kweli
ODM will manage it indeed
The four are in the hot seat.
Oparanya please get out from obulosi bwa Ruto
The 2 deputy leaders should first resign from the party. .as their ship sinks politicakky
Bona ruto analetwa 😂😂akila maidi
Genius move by Ruto govt. An advisor somewhere did a great job. Next we want Sifuna given a docket too😂
Walitekwa nyara njiani
Let them try it if they don't perform they'll step aside.
Shubiri
Angeweka watu wa chama chake bado mngeteta tu. People don't have a stand,siasa ni chafu!
Tunahitaji kiongozi na ambaye ako tayari kufanyia wanainchi kazi bila kutazama mlengo wa kisiasa,umri,kabila,au dini na anayependa amani.
Hii nayo ni mchezo
sacarstic appointents
No! Let Kenyans serve in any government regardless of their political parties. They are Kenyans first and parties leaders and supporters second. Kenya yetu kwanza.
Don't get into Ruto Trap please AZIMIO
Politics is about personal interest
Wandayi please do not go to that shit
Mr, your comment is not peaceful and useful because the cooperation between Kenyans to serve Kenyans in a government of national unity is not shit. Instead, it's legal, democratic and constitutional. Sir, I am grieved and sorry to tell you that it is your words that has unpleasant smell.
We were played
Am very much disappointed very disappointed with Raila and the rest of the team you have failed us but will leave you to God
From yesterday I'm not ODM 🙄
@@sponsalfaThedjalfanihow to deregister
Politics is about personal interest hata wewe ungepewa hio chance ungetumwaga
Furrycat, we are not being prayed. Please don't fear. They know what they are doing. Let us unite under them and give them time.