ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

NIKKI MBISHI: B DOZEN NA ADAM MCHOMVU, NYIE SIO WALEMAVU/ MSILETE HURUMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 เม.ย. 2019
  • #TheBarTender ... Episode Number 11 🍹🍸 .
    .
    Leo Kwenye TV Atakuwepo Baba Malcom, Zohan #NikkiMbishi Kwenye Counter ya #TheBarTender 🍹 na Kupiga Mastory na #BabaAko #Jonijooo .
    .
    Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙

ความคิดเห็น • 1K

  • @JulianDamas
    @JulianDamas 5 ปีที่แล้ว +56

    Hii interview imenifumbua sana kuhusu wasanii. Nimejua why nikki mbishi sio msanii anayepewa promo sana. Its because HE KNOWS MUCH kushinda wanaotaka kumtumia. NIKKI YOU ARE A GENIUS BRO

  • @tamimukombo3097
    @tamimukombo3097 5 ปีที่แล้ว +46

    Huwa naamini mimi nina IQ kubwa sababu nliweza kujisemea moyoni tangu siku ya kwanza nimemskia nyimbo ya nikki mbishi kwamara ya kwanza nikiwa kidato chapili 2011 pasina promo wala shinikizo lolote kuwa huyu jamaa ni msanii wakipekee mkali zaidi kuwahi kurap Africa nanilitokea kupendezwa hadi leo kwa namna jamaa anaghani na lifestyle I'm proud to be nikki mbishi fun

  • @bartonussiri6781
    @bartonussiri6781 5 ปีที่แล้ว +52

    Mwamba Jonijooo tokea nianze kuangalia interviews zako zote za TheBarTender sijaona Mtu genious kama Nikki Mbishi I appreciate That

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 5 ปีที่แล้ว +119

    Nikki Mbishi is the genious infact. I love this Guy.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 5 ปีที่แล้ว +1

      lakn ulutegema nin kwa mtu aliesoma computer engineering hio course bila division 1 husomi. so offcourse he is bright

    • @danielmadenyeka4248
      @danielmadenyeka4248 5 ปีที่แล้ว +1

      Huko na nako utabamba tu Jonijoo. Salute sn kijana

    • @dambwelahiphop
      @dambwelahiphop 4 ปีที่แล้ว +1

      You have too

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 5 ปีที่แล้ว +9

    Hip pop is consciousness jonijoo...
    Niki much respect bro...sema nini iyo photosynthesis.. Kama umeteleza ..ni kitendo cha mmea kujitengenezea chakula.Sema umetisha mzazi still material yana flow

  • @officer1208
    @officer1208 5 ปีที่แล้ว +37

    Wangapi ndo tunaangalia leo hii Interview ya Nikki mbishi,Tujuane. UNJU NI genius.

  • @tumainifuraha199
    @tumainifuraha199 5 ปีที่แล้ว +28

    Haaaaaaa huyo ndo the said of Dr UNJU,the Genious,Terabites majina kibaaao! baba akoooo leo umepatikana mzee!!

  • @haroonmdou2954
    @haroonmdou2954 5 ปีที่แล้ว +26

    daaah huyu jamaaa bhn n kweli mbishi kila swali yeye kameza tuu #jonijoo baba ako umechemka ww leo wahuni siyo watu wazuri💪💪

  • @aggreymgallah6250
    @aggreymgallah6250 5 ปีที่แล้ว +45

    dr unju bin unuk baba Malcolm comrade kipepe you are doing well bro

  • @lawrancejosephat7387
    @lawrancejosephat7387 5 ปีที่แล้ว +38

    Kazi nzuri sna kaka #JONIJOO creativity ya hali ya juu mtu hachoki kutazama INTERVIEWS zako hku akirudi rudia wala hazichoshi big uppp bruv 🙏💯💯

  • @victorodera2756
    @victorodera2756 5 ปีที่แล้ว +75

    Mad love from Kenya, nikki is a bright dude....never missed any of your show...i had to write a comment coz of the high IQ that nikki have.

    • @fadhiliibrahim9702
      @fadhiliibrahim9702 5 ปีที่แล้ว +1

      You're very right

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 5 ปีที่แล้ว +3

      He should move to Kenya, right? LoL

    • @sashayusufu6045
      @sashayusufu6045 4 ปีที่แล้ว +1

      Mpe zawad brother

    • @BrooDiara
      @BrooDiara ปีที่แล้ว

      ​@K Kobe 😅jjh😅k9okh😅kk😅😅kjjkjjkjhjhhko😅ko😅jkhk😅kkjjj😅kkjhjil😅j

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 5 ปีที่แล้ว +17

    Don't JUDGE a book by the COVER ,take your time to read what is inside. Nikki Mbishi umetisha. Big up Bro.

  • @barakachawe6241
    @barakachawe6241 5 ปีที่แล้ว +18

    Amezoea kukutana na wabana pua ambao hawajasoma leo kakutana na msomi + genius Mr Unju 📚

  • @edwardmbele6752
    @edwardmbele6752 5 ปีที่แล้ว +52

    Jonijoo leo kakutana na teke za mbavu 😂😂😂 Nick sio mtu mzuri 😄😄

  • @collinsnjuguna3119
    @collinsnjuguna3119 5 ปีที่แล้ว +4

    nikki mbishi duuuh!!! i say ya leo nimeipenda.....yani uyu jamaa ni msomi ivi na hata haringi walai...heshima yangu imepanda zaidi mkubwa wangu....toka .pande za thika road kenya.

  • @wa2kusitz650
    @wa2kusitz650 5 ปีที่แล้ว +110

    Jonijoo kama sisi ndio mabosi zako na unakubali hili,tunaomba NIKI MBISHI ALUDI TENA APO,,,,BABAAKO

  • @nasibushekulamba4257
    @nasibushekulamba4257 5 ปีที่แล้ว +61

    Mojaa ya interview kalii za bartender🙌🏿🙌🏿

  • @azizijuma9959
    @azizijuma9959 5 ปีที่แล้ว +34

    Nikki the most genius mc ever seen in Tanzania

  • @sezaboy2940
    @sezaboy2940 5 ปีที่แล้ว +19

    This guy is speaking his mind, that is a mere truth. I hate this behaviour of our artistes bowing down to radio presenters.

  • @mbawilehasheem7438
    @mbawilehasheem7438 5 ปีที่แล้ว +12

    Baba ako niki mbish umtisha mkali i didn't expect you could be dat genius 4 real dont judge a book by its cover ✊

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 5 ปีที่แล้ว +48

    Leo babakoo umeingia geto la mhuni jasho limekutoka 😀😀😀

  • @khalifkarama
    @khalifkarama 5 ปีที่แล้ว +11

    The guy is talented and smart.. Nikki mbishi 👍

  • @khalifamkali4286
    @khalifamkali4286 5 ปีที่แล้ว +13

    UNJU UMEUA HII INTERVIEW YA GENIUS MOTHER FANTA.... LONG LIFE KAKA

  • @babubomba8563
    @babubomba8563 5 ปีที่แล้ว +38

    Mwisho wasiku kuwe na na tunzo za bartender itakua nzur babaaaaako

  • @ashanalinga8719
    @ashanalinga8719 5 ปีที่แล้ว +33

    😁😁😁😁😁😁😁Leo ndo leo Jonijooo umekula za uso daah sikutegemea kama Niki mbishi Yuko vizuri kiasi iko Nilikuwa namchukulia Poa ila Leo amenikomesha mpaka Mimi duuh wahuni kweli siyo watu😁😁😁😁😁Jonijoo baba ako

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 5 ปีที่แล้ว +36

    I see genius nick 😂😂😂 jonijo huyo cyo lelemama wanamjuwa IYUNGA MUST

    • @mussa5461
      @mussa5461 5 ปีที่แล้ว +2

      Amesoma pale must Mbeya kumbe

    • @shaphyvuai6805
      @shaphyvuai6805 4 ปีที่แล้ว +1

      Mbeya computer science

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 5 ปีที่แล้ว +35

    Haahahhaahh baba malcom umetisha mzee baba wauni hatukosag mswal since we at skull and MC should knw more as u did...congratulation bro

  • @emmanuellaizer4548
    @emmanuellaizer4548 5 ปีที่แล้ว +65

    hahahaha ya leo imekuwa kicheko kwangu
    Mr. Mbishi anajibu kama vile hajui kumbe ndiyo kasema jibu!
    embu tusiwe Mwijaku jamani;;;;~

    • @khalidwaziri5403
      @khalidwaziri5403 5 ปีที่แล้ว +1

      Haha this men is smart

    • @ramsokhamis9262
      @ramsokhamis9262 5 ปีที่แล้ว +2

      Yaaaan sio poaa jamaaa yukoo timamuu saanaa kichwaniii.... 🤔🤔💪

    • @ellybissack8284
      @ellybissack8284 4 ปีที่แล้ว +3

      wameenda kupiga magot kwa dozen n Adam mchomvu wana lia lia kuzimia studio waonewe huruma hii game sio ya huruma watu wanafany kz

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 ปีที่แล้ว

      @@ellybissack8284 nimerepeat Mara nyingi, yani nineipenda

  • @khalidhamis5811
    @khalidhamis5811 5 ปีที่แล้ว +10

    Nikki unaakili nyingi San acha wakuite mbishi nimekuelewa San ankoli big-up

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 5 ปีที่แล้ว +15

    Definition of genius.... Dr Unju... namkubali sanaaaaa

  • @salimsalem5991
    @salimsalem5991 5 ปีที่แล้ว +41

    cjawah coment toka kipind hiki kimeanzaa ILAAA N mbishi ni Genious maswal nimependa ulivojibu
    kazi nzur broo

  • @sabamillion2076
    @sabamillion2076 5 ปีที่แล้ว +12

    A pure meaning of GENIOUS..#UNJU

  • @hawadutch6478
    @hawadutch6478 5 ปีที่แล้ว +15

    Nikki mbishi arudishwe tena. He's genius 🙆

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 5 ปีที่แล้ว +15

    Nikki mbishi unju bin unut.....uko poa sanaaaaa kwa lyrics kalii iLa kujifnya too much know on everything ndio mbya vitu vingne potezea sio kila kitu unachukulia too personal nakukubali sanaaaaa keep good music like kma unamkubali unju

  • @nowtv300
    @nowtv300 5 ปีที่แล้ว +21

    we need this kind of rappers.not only gifted but rapper should also be elite n literate cyo unaimba imba utumbo afu kichwa kibovu. A supa bigup bro UNJU UNJU

    • @Cyper255
      @Cyper255 5 ปีที่แล้ว

      Ngoja aje Nikki wa Pili na PHD yake tuone kama yupo vizuri kichwani au ni elimu ya kukariri.

    • @azizymasawe2090
      @azizymasawe2090 5 ปีที่แล้ว

      Ukonga stand up

  • @Norbert_Assenga
    @Norbert_Assenga 5 ปีที่แล้ว +12

    Doooh this is the best interview i have seen this year✌🔥🔥 mad respect Unju

  • @paschalmasanja1483
    @paschalmasanja1483 5 ปีที่แล้ว +7

    Nimependa sana u genius wa jamaa, big up. Kwenu ni pale ulipozaliwa siyo alipozaliwa baba yako. Baba akoooo

  • @fibonaccimwadime9479
    @fibonaccimwadime9479 5 ปีที่แล้ว +52

    Kazi nzuri bro #wahuni sio watu wazuri kutoka +254 namkubali jonijooooo.....babaAkooo

    • @leeskillz3734
      @leeskillz3734 5 ปีที่แล้ว +1

      Sio #babaako ni slogan ya #MotraTheFuture

    • @fibonaccimwadime9479
      @fibonaccimwadime9479 5 ปีที่แล้ว

      @@leeskillz3734 haina vanga that guy is super genius amepita maswali yote ya jonijoo isipokuwa yale extra moja kamlemea bt tried his best ,i have not seen a guy with confidence like this #Nikki mbishi big ups

    • @leeskillz3734
      @leeskillz3734 5 ปีที่แล้ว

      @@fibonaccimwadime9479 huyo ni #babamalcom ni shida hakoseag we tafuta interview zake ila usisahau ile ya #jonijo akiwa na #nikkimbishi kweny #timesfm

  • @norahprotas1769
    @norahprotas1769 5 ปีที่แล้ว +3

    Iyo ndo faida ya kwenda shule!!! jonijo fanyeni mpango wa kutowa tuzo za hapo kwenye maswali aiseee my bro Nik leo kipindi chako kakipeleka kisomi snaaaaaaa!!!!

  • @maryamammar1488
    @maryamammar1488 5 ปีที่แล้ว +11

    Nimefurahi sana Leo nikki Ana akili sana masha Allah 💖

  • @luomusicchannelfromtanzani5650
    @luomusicchannelfromtanzani5650 5 ปีที่แล้ว +53

    Interview kali kuliko zote 2019

  • @Rick-pr6ym
    @Rick-pr6ym 5 ปีที่แล้ว +24

    Tangu show ianze hii ndo show kali kuliko zilizopita...... Jamaa yupo smart sana, anajibu vizur sana...... Interviews za wana hip hop znakuaga lit sana.....

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 5 ปีที่แล้ว +2

      jamaa kanishangaza had mimi he is freaking genius daah

    • @sashayusufu6045
      @sashayusufu6045 4 ปีที่แล้ว +1

      napenda maswali yako lakini ungetoa zawad Kwa wanao jibu

  • @dennismwalagho5858
    @dennismwalagho5858 5 ปีที่แล้ว +3

    i lyk this interview...eeeh bwana q-chillah amezidi kazi kulia lia tu mtu mzima oyoooo

  • @paulsylvester7877
    @paulsylvester7877 5 ปีที่แล้ว +24

    Babaako Nikki mbish umetisha kwa maswal Duuuuu wasanii walioenda shule

  • @jumalove2631
    @jumalove2631 5 ปีที่แล้ว +215

    Leo umekutana na msomi duuu jamaa katisha saana kama umekubali Leo jojo kachemka gonga like

  • @hezbonmahaulane7798
    @hezbonmahaulane7798 5 ปีที่แล้ว +34

    Jonijoo yaaan kati ya bartender zoooote me nimeenjoy ya kwanza ya #GIGYMONEY & #NIKKI MBISHI hizi ni noumaaaaaaa babuuuuuuu

    • @yahayamzaramu9203
      @yahayamzaramu9203 3 ปีที่แล้ว

      Mimi pia broo nirio injoy zaidi ni ya nkki na gygy

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 5 ปีที่แล้ว +34

    Lazima ukifua umwage povu 😂😂😂🔥🔥😂💯💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👊daaa! Unju wee ni hatari

    • @ibrahimzubery9994
      @ibrahimzubery9994 4 ปีที่แล้ว +1

      Joninjooo babako mtubaya hapo muhuni simtu babako nikibishi noma Leo umekula uchochoro mkali

  • @christinalrene1132
    @christinalrene1132 5 ปีที่แล้ว +18

    Babaako wahuni Sio watu umechezea za uso leo😂😂😂#NIKKI MBISHI🙌🙌🙌

  • @TheLasn7
    @TheLasn7 5 ปีที่แล้ว +1

    Interview bora kabisa. Hongera nikki. Tunataman wasanii wawe na level hizi za uelewa wa mambo. Sio wote ila wengi wawe hivi mfano ukiwa na nikki wote wawil..game inaweza kupata muelekeo mzuri

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 5 ปีที่แล้ว +1

    Dr Unju! Aaaah! Noma sana!! Uko deep sana! Kama hujui vile kumbe ndio jibu! Kichwa matata sana! Kina vitu vingi sana na leo ndio nimeelewa kwa nini wimbo kama kijusi wimbo bora wa hip hop kuwahi kuusikia umetoka kichwani kwako!!

  • @bravoothegreat3115
    @bravoothegreat3115 5 ปีที่แล้ว +44

    aliyeona Nikki ameayapika jicho makalio ya Martha alike

  • @charlestobby6031
    @charlestobby6031 5 ปีที่แล้ว +3

    Nick Mbishi you are genius bro nimesikiliza interview nzima sijakereka hata kidogo especially sehemu ya maswali hapo umeniacha hoi you made my day Bro😂😂😂

  • @mudykhalid2708
    @mudykhalid2708 5 ปีที่แล้ว +2

    Nadhani leo walikua hawakuelewi washakufahamu unju mtu mkubwa ubongo mkwabwa best interview ever seen b4

  • @zuberysaugga3605
    @zuberysaugga3605 5 ปีที่แล้ว +1

    The best interview kwenye the bar tender 🙌🙌🙌jamaa aliua asee schokagi kuicheki

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 5 ปีที่แล้ว +5

    Unju ni noooma. Ana diploma tu lakin ni mjuzi wa mambo hvyo. Hawa ndio magenius tunao wataka. HIVi ushaongeza elimu yako kk. We ni Fundi sana Niki mbishi. kama unakubali gonga like hapa.

  • @lawrencewilfredlugendo8781
    @lawrencewilfredlugendo8781 5 ปีที่แล้ว +21

    Aiseee sijawahi kucoment you tube ila huyu jamaaa kafanya nicoment maaana kwa kumwangalia tuuu nikasema hawezi chomoka maswali ya jonijo ila kampangua jonijo kama ajax alivompangua real Madrid kwake.akili mingi bro@niki mbishi

  • @ibrahimnjohole1684
    @ibrahimnjohole1684 ปีที่แล้ว

    Bado moja kati ya interview bora sana alizowahi kuzifanya Mbishi...nimeirudia tena kuisikiliza leo 2023

  • @peterlibelinah8597
    @peterlibelinah8597 5 ปีที่แล้ว +3

    NIMEKUELEWA SANA NIKKI MBISHI KILE KITENDO CHA Q CHILLLAH KWENDA KULIALIA KWA B DAZEN ILI AMSAIDIE NI UJINGA NA UKOSEFU WA AIDIA MPYA KATIKA ANACHOKIFANYA KIUKWELI Q CHIEF NI MTU MKUBWA SANA KIMUZIKI ...... HONGERA SANA NIKKI MBISHI KWA KUONGEA UKWELI

  • @mayamohamad710
    @mayamohamad710 5 ปีที่แล้ว +11

    ,😂😂😂jmn Nikki usivae mwani upo poa tuu handsome

  • @nicken3250
    @nicken3250 5 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa ntaanza kumfuatilia... Yuko bright sana.

  • @luxtiller5773
    @luxtiller5773 5 ปีที่แล้ว +2

    genius Nikki hii ndo interview bora kuliko zote nilizoangalia big up nikki, jonijooo and wasafi tv

  • @amanihamidu2095
    @amanihamidu2095 5 ปีที่แล้ว +5

    Tukiwa na mastaa 50 tz kama nikk mbishi game litafika mbali namkubali maisha yangu yote 🏁✊🏿

  • @elishamalila5904
    @elishamalila5904 5 ปีที่แล้ว +9

    huyu unju ni shida nice interview

  • @hansmaston1949
    @hansmaston1949 5 ปีที่แล้ว +10

    Plz jonijo uyu mtu mleye tena mala yapili unafanya intervew ksli lkn intervew ya uyu jamaa nikar kuliko zote jamaa anaakili nyingi sana

  • @shulekongwechrisdadchrisda401
    @shulekongwechrisdadchrisda401 5 ปีที่แล้ว +1

    Unju the genius noma sana haijawah tokea kabisaaaa show Kali jonijoo kasomeee

  • @justinesanga8809
    @justinesanga8809 4 ปีที่แล้ว +1

    Oi jonijoo arudi tena mbishii best interview..never seen beforeeee piga kelelee kwa unju akeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @howardally4116
    @howardally4116 5 ปีที่แล้ว +21

    Joni joo leo umepatikana jamaa yuko vizur ile mbaya amejitafautisha na wengine wote

  • @funnycomtv9613
    @funnycomtv9613 5 ปีที่แล้ว +10

    #the bartender aminia sana,

  • @joesimba
    @joesimba 5 ปีที่แล้ว +3

    Mi sio country boy 😂😂😂
    • country boy(m)
    • young killer(m)
    •gigy money(f)
    • lulu diva(f)
    • dude(m)
    • master j(m)
    • romy jones(m)
    • kitale(m)
    • chege(m)
    • madam ritha(f)
    • NIKKI MBISHI(m)
    NOTE:
    Female=27.3%
    Male =72.7%

  • @marysilayo9529
    @marysilayo9529 5 ปีที่แล้ว +4

    Sijawah comment ila kwa huyu noma sana .....ni genius sana huyu.

  • @emmanuelmasanula7464
    @emmanuelmasanula7464 5 ปีที่แล้ว +8

    Tunamsubiri huyo Nikki wa Pilli wao tuone usomi wake, jonijo mleteee kwenye hii kitu asee.

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 5 ปีที่แล้ว +2

    Nikk mbishi ni genius huyu jamaa

  • @bluesportstvtz4033
    @bluesportstvtz4033 5 ปีที่แล้ว +2

    Kozi ya kibaaabeeee, af kimyaaaaa. Ila watu wana kozi za makelele wanaitwa wasomi.
    Nikki zohan is the real genius.

  • @shabanimbaga8921
    @shabanimbaga8921 5 ปีที่แล้ว +3

    What a Genious 🙌🙌🙌.. Nick u're a realy 'Mbishi'

  • @modooutfits1339
    @modooutfits1339 5 ปีที่แล้ว +5

    Katika Bartender zote zilizopita hii imeua zote Nikki mbishi salute

  • @taflandon3355
    @taflandon3355 5 ปีที่แล้ว +1

    Baba Malcolm brein capacity yako ni kubwa mnoo nimekubali sana upo smarti kichwani .thanks wasafi maaaaama BABAAAAAKO katishaaa sana

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata1237 5 ปีที่แล้ว +5

    Shikamoooo unju. Upo vizur sana mwote mwote. Kwel we ni kichwa cha Taifa.

  • @evancevlado5049
    @evancevlado5049 5 ปีที่แล้ว +10

    Leo mmekutana na jiwe UNJU BIN UNUQ...the Genius hahahahaaaa

  • @jangajr6504
    @jangajr6504 5 ปีที่แล้ว +10

    Mumuite na Yule Nikki Mwenye masters Tulinganishe uwezo wa kichwaaa

  • @officialslogantz4181
    @officialslogantz4181 5 ปีที่แล้ว +1

    Nice my brother Niki.
    Photosynthesis ni kitendo au tabia ya mmea kujitegenezea chakula kwa kutumia mwanga wa jua kupitia majani au ukijani wake.

    • @joesimba
      @joesimba 5 ปีที่แล้ว

      Kajibu haraka haraka tu, ila nahisi hata hilo alikua anajua

  • @exodusezekielkaitira6238
    @exodusezekielkaitira6238 5 ปีที่แล้ว +2

    nicki genious aka dr unju...smart mind

  • @ramadhankiduwanga4932
    @ramadhankiduwanga4932 5 ปีที่แล้ว +22

    nikki mbishi shule imekaa kijanja hpo

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 5 ปีที่แล้ว +15

    Unju nina madada wazurii wabichi tuma mshenga...

  • @wilfredndomba3018
    @wilfredndomba3018 5 ปีที่แล้ว +1

    this dude is super genius, bright I love this Guy... apart from your talent una phd ya darasani Keep it up bro dr Unju....#jonijoo #TheBarTender #NikkiMbishi hii ndio show kaliiii nimeelewaa sana #kaaKitaalam

  • @sureboitv4274
    @sureboitv4274 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa kapasua nakubali sana bonge la inter view

  • @sarahmwasege7573
    @sarahmwasege7573 5 ปีที่แล้ว +4

    Baba Malcom,unakuwa genius sana bwana. I do appreciate you bro

  • @musaabuebker1750
    @musaabuebker1750 5 ปีที่แล้ว +4

    concious sana.real hiphop music na mawazo. big up unju

  • @hasani565
    @hasani565 5 ปีที่แล้ว +1

    Akili nyingi Mbishi it's great to see our artists wana jua mambo big up

  • @balneoshujaashupav9456
    @balneoshujaashupav9456 5 ปีที่แล้ว +4

    Ana haki ya kuitwa mbishi ( Respect my bro Nikki mbishi)

  • @Nelsonmlay
    @Nelsonmlay 5 ปีที่แล้ว +41

    Sikuwahi kuwa fan wa nikki ila nimemkubali kwaanzia leo huyu jamaa ni hatar

    • @jumachillo
      @jumachillo 5 ปีที่แล้ว +3

      Brother niki anachokiandika n anachochana ni mara 1000 ya anachoongea kwenye interview ! swali langu umemkubali kwa interview au mziki wake?

    • @Nelsonmlay
      @Nelsonmlay 5 ปีที่แล้ว +1

      @@FreshFizzo kabisa

    • @georgemagori2158
      @georgemagori2158 5 ปีที่แล้ว

      Nikki Mbishi n msanii hatar xnaa bongo tafta nyimbo zake uckilize ndugu

  • @truppdizz7330
    @truppdizz7330 5 ปีที่แล้ว +8

    Aaaaah nikki mbishi we nyoko mamae

  • @normanmhina5601
    @normanmhina5601 5 ปีที่แล้ว +2

    Nikki 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @emmanuelylekasango8713
    @emmanuelylekasango8713 5 ปีที่แล้ว +2

    nikki mbishi we noma

  • @nicksonmgale4699
    @nicksonmgale4699 5 ปีที่แล้ว +3

    Duuuh nikki mbishi salute sanaaa bro uko vzr

  • @sadickmjengera9599
    @sadickmjengera9599 5 ปีที่แล้ว +39

    Mwambie Dada ajali usafi mana katema kitu kutoka mdomoni mwake kupitia mkono wake kisha ajanawa anaendelea na kazi

  • @mkalilodyamasumbuko9000
    @mkalilodyamasumbuko9000 2 ปีที่แล้ว +1

    This will always be the best interview ever been made since wasafi Tv programmes started

  • @jamilaomar9860
    @jamilaomar9860 5 ปีที่แล้ว +2

    Duuh, huyu jamaa yuko vizuri sana kichwani waaah, big up Nikki

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 ปีที่แล้ว +11

    WCB Firee.

  • @agroplants576
    @agroplants576 5 ปีที่แล้ว +3

    Genious Nikkii Mbishii baba Malcom

  • @brynbrizzy9000
    @brynbrizzy9000 5 ปีที่แล้ว +1

    Genius nikki mbishi