NAMNA YA KUKUZA IMANI YAKO SEH 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • JIFUNZE KWA WAZEE WA IMANI...
    PATA KITABU CHA SIRI YA MAOMBI YALIYOJIBIWA
    DAR ES SALAM PIGA 0758 820 060
    MWANZA PIGA 0767 516 567
    MBEYA 0754 885 342

ความคิดเห็น • 58

  • @sikanastima8754
    @sikanastima8754 4 ปีที่แล้ว +2

    Narejesha madhabahu ya Mungu kwanza. Leo Nimefunga na kuomba Nashukuru Mungu nimepata majibu

  • @queenessiekenya6869
    @queenessiekenya6869 6 ปีที่แล้ว +4

    😭😭😭😭😭Hii imenugusa sana eeeh Yahweh mungu wa Eliya ninyeshee mvua nakuhitaji sana eeeh Mungu mwenye nguvu

  • @NeemaaliceK2546
    @NeemaaliceK2546 4 หลายเดือนก่อน

    Amen pastor mahubiri yako yananitia nguvu sana, Mungu mwenyewe aliyekupaka mafuta akuongezee hekima na maarifa zaidi

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 3 ปีที่แล้ว +4

    Amen God bless you pastor

  • @OlviaSelungo
    @OlviaSelungo 5 วันที่ผ่านมา

    Aminaa barikiwa sana maana mahubiri yako yananibariki mno

  • @atinaminzani1372
    @atinaminzani1372 6 ปีที่แล้ว +3

    Amina sana mtumishi wa Baba aliye mbinguni, kiukweli unatubariki na wewe ubarikiwe sana.

  • @mariyashadiashadia714
    @mariyashadiashadia714 3 ปีที่แล้ว +1

    nabarikwa baba asante sana mungu aku hepushe na mitihani ya dunia

  • @rosemarywawira3580
    @rosemarywawira3580 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina.umenipaliki Sana mchunganji umekuwa wa baraka kwangu na jamii yangu.Bwana Yesu akubariki sana pamoja na jamii yako.

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina sana nabarikiwa na masomo mazuri

  • @florenceboniface4639
    @florenceboniface4639 4 ปีที่แล้ว +2

    Hallelujah hallelujah hakika nmebarikiwa

  • @markomis-yj4bu
    @markomis-yj4bu 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusahidiye sana ili kwamba uzidi kutowa mafundisho kama ayo

  • @naomumutula7034
    @naomumutula7034 2 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza Mambo mengi ambayu sikukuwa na fahamu atika mahubiri Yako.mungu akubariki pastor.

  • @rusimombeo7273
    @rusimombeo7273 2 ปีที่แล้ว

    Amen pastor ,maombi yangu kwa Mungu ni kuniongezea imani .

  • @nkwembacharles8676
    @nkwembacharles8676 4 ปีที่แล้ว +2

    Ahimidiwe bwana wa majeshi litukuzwe jina lake

  • @roselyneminayo9585
    @roselyneminayo9585 ปีที่แล้ว

    Ameeeeeeeen be blessed pastor

  • @kaloutrayetv8654
    @kaloutrayetv8654 6 ปีที่แล้ว +2

    40. Lakini namna ya Mungu inabaki ile ile. Musa ndiye alianzisha ukuhani wakati wake. Na kama uko mtumishi ya kweli ya Mungu, uta kuja ngambu ya Musa kama Jéthro, kuani ya Madian. Yohana Mbatizaji aliwachagua mitume na wafwasi wake. Bwana Yesu Kristo ndiye aliwachagua mitume na wafwasi wake. Ni Paulo aliyewachagua mitume na wafwasi wake. Na Mungu atakapotuma nabii duniani itakuwa tu hivyo hivyo. Na hili ndilo jambo moja tu linalo kubaliwa na Mungu. Huduma ni uchaguzi wa uungu, silo jambo la akili au la pesa au la upako. Ninajua kufundisha halafu mimi ni hiki au kile. Nina upako mkubwa, ninafanya miujiza kwa hiyo mimi ni hiki au kile. Yote ile ni shetani toka mwanzo hadi mwisho. Na kama Israeli, jambo lile lile lilipitika upande huu.

  • @naomumutula7034
    @naomumutula7034 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki pastor

  • @user-xg4mr4gs6j
    @user-xg4mr4gs6j 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana Mchungaji ubarikiwe sana

  • @musaijulius6544
    @musaijulius6544 6 ปีที่แล้ว +1

    nashukuru mchungaji kuwaelekeza watoto wa MUNGU ~natamani kukua kiroho nataman sana nimoja kubwa sana ya lengo langu lakini NAAMINI nitaibofya batani yakukua kiroho kwausahihi naifanyia imani mazoezi

  • @nancypretty7576
    @nancypretty7576 6 ปีที่แล้ว +2

    Watching online i feel so blessed Amen

  • @lameckmwita6287
    @lameckmwita6287 5 ปีที่แล้ว +3

    Full Enjoyment to live in Jesus hope.

  • @nasiekutarishi3292
    @nasiekutarishi3292 6 ปีที่แล้ว +1

    Amen nimebarikiwa mno, mungu azidi kukutunza mtumishi

    • @nouratana6463
      @nouratana6463 6 ปีที่แล้ว

      Nasieku Tarishi Wewe ni Wakristo? Wote unasema ni nzuri lakini wewe ni Wakristo? Kwa sababu leo, kama unamkataa nabii Kacou Philippe basi ni Shetani kwamba umemwita Yesu Kristo na kuabudu bila kujua.
      goo. gl/ s1X3WY

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen be blessed pastor

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 ปีที่แล้ว

    Amen nice message , GOD 🙏 bless u pastor .

  • @gospolmwanahawa7384
    @gospolmwanahawa7384 5 ปีที่แล้ว +3

    mchungaji naomba ufafanuzi ntajengaje madhabau ya bwana,

  • @waridayangadamu174
    @waridayangadamu174 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @babydragonfogo7393
    @babydragonfogo7393 3 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi

  • @BLESSINGHYMNSTV
    @BLESSINGHYMNSTV 2 ปีที่แล้ว

    Ameeen

  • @chachamagige8095
    @chachamagige8095 6 ปีที่แล้ว +2

    Amina mtumishi wa Baba

  • @jamilamahsein4324
    @jamilamahsein4324 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwe sana pr kwa ukweli wa Biblia naona shetani na jeshi lake anatetemeka mpaka tunaonyeshwa blog humu humu.

  • @user-ue7wo8th7d
    @user-ue7wo8th7d 11 หลายเดือนก่อน

    Amen 🇰🇪

  • @mipawatambu7146
    @mipawatambu7146 6 ปีที่แล้ว +2

    ubarikiwe pastor

  • @sabbathyusto5943
    @sabbathyusto5943 5 ปีที่แล้ว +1

    amina mtumishi wa mungu

  • @muokidavid4534
    @muokidavid4534 5 ปีที่แล้ว +2

    AMEN

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 ปีที่แล้ว +1

    AMEN🙏

  • @aichatoukone4097
    @aichatoukone4097 6 ปีที่แล้ว +3

    8. Baada ya mageuzi, Martin Lutheri, Ulrich Zwingli, Farel, Yoani Kalvini, John Wesley na wengine walipo fariki, makanisa yakasonga Kanisa la kweli. Mungu akapandisha sasa malaika wa tatu, mjumbe wa tatu pamoja na Ujumbe ya unabii kwa watu wote wa dunia. Mungu hapandishi kamwe kanisa au kundi la watu kwa kuleta au kurudisha Ukweli duniani bali nabii-mjumbe. Kumkataa huyu nabii, ni kumkataa Mungu, kwa kuwa nabii ni kinywa cha Mungu, msemaji wa Mungu, anaye kuja na Ujumbe ya Mungu, anayetumwa na Mungu, siyo mtu anayeleta maneno ya ujuzi au mtu anayeangusha watu katika makutano ya maombi pamoja na maajabu na ufunuo ya udanganyifu, hata kama hizo ufunuo zinakuwa kila mara kweli… [Ndl: Kusanyiko linasema: Amina!].
    goo.gl/s1X3WY

  • @eliphasecatherizawadi974
    @eliphasecatherizawadi974 5 ปีที่แล้ว +2

    Nini maana ya kujenga madhabahu? Naomba Nisaidie

  • @hasanmagawa1581
    @hasanmagawa1581 6 ปีที่แล้ว +3

    amin

  • @neemaezekiel199
    @neemaezekiel199 6 ปีที่แล้ว +1

    napenda sana mafundisho yako kwann ukuhubiri na kwenye maisha hatimaye??

  • @davidmdee559
    @davidmdee559 4 ปีที่แล้ว +1

    👏

  • @Afrohousex
    @Afrohousex 6 ปีที่แล้ว +1

    Amen sana

  • @linetokuku5390
    @linetokuku5390 ปีที่แล้ว

    Amina link ya part 2

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro3923 6 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe pr Mmbaga-Tz, Ulisema unakuja nakuru na Nairobi Kenya??? Welcome we mtu wa maana,,,Niko Nairobi Kenya Westland Kangemi SDA Church 0711192114

  • @nadiakida5885
    @nadiakida5885 6 ปีที่แล้ว +2

    Sasa tunaishi sehemu ya maana sana ya uamsho wa Kanisa la mataifa, kwa kuwa uamsho Ni kwanza Neno, kisha ishara zakuja kwa kuthibitisha Neno. Tupo tunasikia yale Kelele ya usiku wa manane ilisema. Ni Kelele hii ndiyo wateule walikuwa wakingojea.
    goo.gl/s1X3WY

  • @nouratana6463
    @nouratana6463 6 ปีที่แล้ว +4

    Yesu Kristo ndiye Mungu Mwenye Nguvu na Kacou Philippe ndiye nabii peke yake hapa duniani katika kizazi hiki.
    www. philippekacou. Org

  • @francomukumu
    @francomukumu 3 ปีที่แล้ว

    @Mahubiri Tv I cant locate part two

  • @francomukumu
    @francomukumu 3 ปีที่แล้ว

    link to part two please

  • @hakizimanabelyse3213
    @hakizimanabelyse3213 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimebalikiwa Sana'a nilikua napenda munitie mu group+06560438366

  • @jeanbertrandphilippe586
    @jeanbertrandphilippe586 6 ปีที่แล้ว +1

    9. Wakati adhabu inakuja juu ya inchi, ni hasa dhidi ya makanisa ndipo hiyo adhabu ina anguka kama vile zamani juu ya miungu ya Misri. Mnaona ? Mimi Kacou Philippe, mtumwa wa Yesu Kristo, siwakate tamaa lakini ni kwa bure munaomba. Mungu amejifanyia watumishi kwa kutimiza hukumu kama vile alivyo fanya mtumishi wake Nebukadreza dhidi ya Israeli katika siku za kale. Je ! Sio Mungu anayeamuru yote yanayotokea duniani ? [Ndr: Kusanyiko linasema, "Amina! "].
    www.philippekacou.org

  • @happylaizer3792
    @happylaizer3792 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @judithgmukagihana4379
    @judithgmukagihana4379 6 ปีที่แล้ว +3

    Amen