OMBA HIVI, NA TATIZO LAKO HALITAJIRUDIA TENA // UWEPONI MWA MUNGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Lk 11:24
Pepo mchafu amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika;
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mtumishi MUNGU akubaliki sana kwa kuendelea kutupa hii Elimu nzuri mazabahu ya Siri za biblia.
Amen
Mungu naomba umuokoe mume wangu !!!
Eeee Mungu nisaidie nakata tamaa sana naamini Mungu atamsaidia na nitaamka tena
Hivi kuna mtu ameelewa kama nilivo elewa!mungu akubariki kwa somo zuri
Mungu niokoe na mapepo machafu
Bwana yesu asifiwe nahitaji msaada wa mungu sipendi kuongea naomba yesu anikumbuke niko na kiasi cha kuongea kuongea yesu anikumbuke
Asante sana ndugu yetuu
Amen🙏
Eeee Mungu naomba unisamehe na unijibu maombi yangu
Ameen
Namshukur sana Mungu kwa kuwa siku had siku mnazd kutuonyesha njia sahihi,,,,, naitwa john
Hii madhabahu imeyabandilisha maisha yangu Asante Sana mtumishi Mimi naitwa Asafu Jackson nipo Dar esaam
Amen 🙏🏽
Mungu wangu nakuomba unisamehe dhambi zangu na uniponye magonjwa ananisumbua sana eeeh bwana usiniwache🙏🙏🙏🙏
Ameeeen baba Mungu akubariki sanaaaa kwa mafundisho mzur sanaa🙏🙏
Nashuku kwa mafunzo haya
Amen and Amen
Asante kwa ushauri nimeupokea, mim sijui kuomba ninajitajidi kujibeba iatika maombi nashindwa wakati wa kusali nakosa maneno ya kuongea, hivyo ninasali kupitia kufuatilizia maneno yako, nataka nisali kwa maneno yangu mwenyewe, imani ninayo najiamini cz kuna mambo mengi ninaongozwa na malaika na naona, lkn nashindwa kusali mwenyew kumshukuru Mungu KY toka kinywani mwangu ninajikuta naongea maneno 3 basi siwezi kuendelea.
Amen , MUNGU azid kukubirik mtumish. Hakika unakoa Roho nying za watu kwakutuongoza. Kupitia maombi ya hapa madhabahun ubarikiwe sana🙏🙏🙌
Mungu Nisaisie niondokane na roho ya ufilishi
Aneen
Mtumishi unajua nakuelewa sana
BWANA YESU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU Alie hai
Mungu wangu naomba unisameh kwel nimekukosea nimezin nikaenda kinyume naww nikasahau kuwa ww upo nimerud sasa mungu natubia makosa yangu nikwel kabisa nilitubu lakn nikaqnguka mungu,😭😭 nisamehe naomba niurumie ugonjwa wamoyo unanitesa lakin najua niadhabu unanipa nisamehe yesu nisamehe
Roho Mtakatifu nisaidie
Yesu niguse katika biashara yangu na mahusiano yangu na dalia zumba
Naomba uniombe jini mahaba asinifate tena na mizimu
Mimi kweli ni m'moja kati ya walioibiwa nidhamu Eeeeh YEU CHRISTO WA NAZARETH ULIYE HAÏ UNISAIDIYE. AMINA
Asante sana mutumishi
Usiogope kutubu, wala usimuwazie MUNGU kua anakuchukia, noo MUNGU wetu ni wa huruma sana,
Ameen baba MUNGU akubariki sana sana kwa kuni toa hatua hii kunipeleka kwenye viwango vikubwa sana vya kiimani
MUNGU atusaidiye
Amen! Utukufu Kwa Yesu. Barikiwa mtumishi wa Mungu 🙌🙏😇
Amen amen amen ❤❤❤ asante roho mtakatifu Aki mungu anatupenda wapendwa .mungu akubariki mtumishi Na roho mtakatifu azidi kukutumia kama Chombo chake amen❤
Mungu anisaidie niache uongo natamani kuwa mwaminifu mbele za Mungu kwa kila kitu 🙏
Amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Pastor naomba Mungu anisaidie mimi na uzao wa tumbo langu kuzishinda zile Dhambi zinazoturudisha nyuma hatupigi hatua kwa ajili ya hasira, kiburi, kutokujishusha, biashara , ajira, mahusiano na ndoa ee Baba nisaidie hasa tutoe hapa tulipo leo ktk jina la Yesu wa Nazareth alie Hai Amen
Amen nasikia kugiveup juu sometime nawaza mawazo siyapendi nikumbukeni kwa maombi
Even me oh God have mercy on us 😭
Mungu nisaidiye kushinda dhambi zinazo nitesa kwajina la Yesu.
Roho wa bwana niwezeshe amen 🙏🏽🙏🏽
Japo nimechelewa Lakin bado naamin maombi haya yatanigusa kwa namna moja ama nyingine Amen 🙏
Nina dhambi sugu kama uchoyo wivu roho mbaya mawazo machafu uongo .Natamani kuacha naomba uniombee sana,Ñdo yangu ina migogoro sana,Niombee sana tafadhali
🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏
Asante Yesu kwa neema ya kuyasikiza haya tujalie neema pia ya kuacha hizi vitu zinatusumbua. Asante mtumishi barikiwa sana.
Huyo mtu ni mimi.Natubu halafu mambo yangu yanaenda vibaya na namkasirikia Mungu na imani yangu inapungua kwa Mungu.
Mimi pia lakini tuombe neema ya Mungu itusaidie
mungu awasadie ira hinabidi ubadilishe mtazamo ukitubu amini kua mungu amekusameh ukiomba kitu amini kua imetendeka
Pia Mimi nakasirika,
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Eeh MUNGU tusaidie na roho wako ilitusidi kumshinda shetani,tusizembee katika maombi
Ee Mungu wangu nisamehe makosa yangu na uniponye magonjwa yangu
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa neno hilo kwamaaana unazidi kutufungua macho
Amen mwenye haki yangu ataishi Kwa imani ,Yesu tusaidie tuishinde dhambi
🙏🙏🙏🙏tusaidie eeh vwana yesu katika nyakati hizi tuxidi kutafuta uso wako
❤
Mungu wangu nisaidie nijue namna ya kukuombea kila wakati
Kweli pasta ni mm nina roho ya kukata tamaa kwa ndoa kazin
Haki mm sijui ila nimekata tamaa sana
Ameeen hiki kitu ni kweli kabisa,🙏🙏
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtu mtumishi wake alie kupaka mafuta kwaajili yetu 🙏
Yan mtumish unasema na mm kabsa
Wakat mwingine ni mazingira unayoishi na watu wanao kuzunguka unajikuta unaanguka katika dhambi Mungu nisaidie😢
Mungu baba yetu uliye Mbinguni please father ni okowe kwa rehema zako mimi fifi Mungu ni funguwe katika mitego ya ma aduwi
AMEN, pst innocent ❤
Mimi kijana naitwa juma aloycee napendaa kuwa mtuu was dini haswa naitaji kuokoka
Amen mimi nko hapa naomba unisamehe ili nisimame tena katika maombi yangu nisaidie Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏
Asante sana mtumishi wa mungu nirikuw nimehangaika sana naroho iriyoningangania kwamda murefu kwasas naona uerekeo wakushinda roho kinyanyanizi asante sana Mungu adhidi kuwatumia tunajegw sana na mafundish yenu🙏🙏🙏 nikiwa Lusaka Zambia nawapata sana🌾🌾
Amen 🙌🙏 ubarkiwe mtumishi wa mungu
Hakika hii ni kweli Mungu atusaidie😮😮barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
Maaana hata katika neno lako daudi anasema nainua macho yangu nitazame milimani msaada wangu unatoka kwa bwana,so holy spirit tutie nguvu maana msaada wetu ni wewe
May God continue using you more am blessed day by day in this alter
Mungu nisaidie niko tayari
Damu ya YESU
Tabia ya uongo naikataa kwa jina la Yesu leo ikome huna nafasi Sherwin kwangu tena
AMEN AMEN AMEN
Amen pastor
Ameen nrumisgi naamini Mungu atanipigania
Asant Mungu shetan utaniwez kabis ktk jina la yesu
Baba narud kwako nirudie ee yehova 😭😭😭🙏🙏🙏
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏
Mimi nimeona Mungu amenitendeya mengi rakini nisaidiye kwa maombi ni siferi kwamaombi
Amen Amen
AMEN NAPOKEA KWA JINA LA YESU
Amen amen baba yangu 🙏🙏🙏
Asante Mungu kwa wema wako Mungu naomba uikimbuke familia yangu mwana hatupendani loho ya umaskini umetanda kwetu Mungu naomba utukumbuke sisi wanao kila mwanaume ninaye pata ananiacha bila sababu Mungu wangu ifike mwisho sasas Mungu nimechoka kulia mtumishi nisaidie kuombq nipo tayari kupokea
MUNGU ni mwema my dear hicho kitu kilikuw kiki nitesa sana mim ila namshukur MUNGU ,,Amin tu mpendwa MUNGU yupo😢
Mungu niokoe na ndiyo.mbaya na pepo mchaju
Mahubiri Na mafundisho haya ya leo yananigusa Mimi kwakweli mtumishi Wa Bwana inocent mashauri usiache kuniombea na kunitenganisha na Roho MTakatifu Aniongoze.
Amen mtumishi wa mungu Mimi naomba unikumbuke Kwa maombi mmi nimeavya mimba na tangu iyo ciku Mimi cina amani kabisa nifanye nini
Mungu naomba univushe bila wewe siwezi
Mungu naomba nisaidie niishinde dhambi ya uzinzi na hasila, naomba moyo wa hekima na busara.
Asante yesu
Naitwa Selina mtumshi ninachanga Moto kubwa naomba maombi yako
Mungu ni mwema, niombee niponywe na jini mahaba
Oho! Asante roho mtakatifu kwa kuniongoza katika madhabahu hii.ninaendelea kukua kiroho
Mungu wangu naomba unisame
Mungu atusaidie!
Mungu najiunganisha na maombi haya niolewe
MUNGU NISAIDIE NIACHE UDHAIFU WA KURUDIARUDIA DHAMBI.
Amen 🙏🙏
Asante kwa uwamsho mimi kweli nimeibiwa zamu Mungu ainisaidiye kwakweli
Amen mutu mishiwaMungu naomba musahada wamaombi kwawatoto wangu wapate mandowa n’a visa y’a Canada namwengine àpate cotrat yakazi naomba musaadawa maombi baba
Huyu Ni Mimi mtumishi WA mungu kuama katika uwepo wa mungu