DIAMOND Aacha HISTORIA ZANZIBAR, Apiga SHOO Kali MBELE ya MAGUFULI na DKT MWINYI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2020
- DIAMOND Aacha HISTORIA ZANZIBAR, Apiga SHOO Kali MBELE ya MAGUFULI na DKT MWINYI...
MGOMBEA Urais Visiwani Zanzibar, Dkt Mwinyi, na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano, Dkt Magufuli kwa pamoja wamefanya Kampeni visiwani Unguja Zanzibar ambapo wameewaeleza wananchi vipaumbele watakavyo hakikisha wanavitimiza..
hata hivyo katika Mkutano huo wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva wamepewa Fursa yakutoa Burudani Kama vile Harmonize, Nandy, Alikiba na Diamond..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Diamond Platnumz 🔥Simba🦁
Wasafi hoyee
Diamond Platnum hoyee!
Magufuli hoyee! 💯💯💯💯
CCM HOYEE!
Maashallah
CCM oyeèeeeèeee hii ndo ccm
WCB 4life
Simba fireeee
Mondiii your are moto
Wazanzibar wa asil hawatakiii wako majumbani mwaaaoo hawataki zogooo hawa wotee wageni sio wazanzibar
🔥🔥
Daah kijani kinapendeza kweli
Huyu jamaa Mimi nakubali sana kwa sa7bu hamna ndgo wala kubwa
❤👌
🔥🔥🔥👑👑👑
Ccm baba lao💚💛🔥
Wenye chama chetu bhana wacha tucheze hatuna mambo mengi.magu /mwinyi oyeeeeee
Hatareeeee
Simba baba laoo
Mond msifaa sas 😂😂😂
❤️❤️❤️❤️👌👍
Kumbe ccm wamepeleja shoo ya bure wanafunzi mbona mnawavisha sare za chama
Ulo waleta ama😅😅😂
Wanafunzi utawajua trh 28 tkijaalwa
Sas ina kuchoma ee😂
@@jamilambarouk4746 😂 umwonaeee apo chacha
@@didakassim8666 tumefurahi bila kiingilio
Hebu acha sifa si tushakupenda hivyo hivyo
Simba baba laooooooooo
Simbaaaaaaa❤❤
Wewee ndo pumbaa usio jielewa ila sio so wanao imba nakuchezaa falaa we we ccm juuuu magu juuu mwinyi juuu dadekiii
wahambie maan kuna mijitu inapend sifa na roho mbay anawapigia kelele wazee wako kwaiy umeon dai ndiy aliy kuja kufany shoo peke yake uko au mnapend kumuone tu mumuache ajajileta uko kaitwa kwaiy msimfokehe wala msimpigie kelele kaja hapo kazi tu siyo mengin au marumbano
Huyo ndio mchawi wa stage 💥💥💥
Ccm oyee Magu oyee Husein oyee kura ccm
Like kama unamkubali simba🦁🦁
Jaman diamond utaua watu wewe kijana hivi kwa mzuka huo Kuna mwanamziki yeyote atakayeufikia wewe ndo ninakuelewa kwa kupiga show wengine kama alikiba na harmonize wanafuata upepo wako hawajui kupiga show mond salut kwako
Jiniiiii
Simbaaa fire ya kuotea mbali anapenda kazi yake jamaaa yuko na bidiii mwepesi siyo kama wale kutembea na bag kwa mgongo hahaaa baba lao juuuuu
Dahhhhhhhhh!! Hii ndo Ccm bhana, chezea weweeee!!%%%%%@
Zanzibar
KAZI KUTUMIA NYIMBO ZA WATU..!!
PENDA CHAKO KWANZA, HII NI ISHARA YA KUFELI.
Utakufa na roho mbaya yako
@@husseinmillinga1920 kweli tu hatakufa mdomo wazi
Mungu akupe mafanikio zaidi platnumz maana hakuna msanii kama ww mm naimba ila wee mondi saluti
Wataweza kweli huu moto kweli
Simba oyeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥❤
Watoto watakulizeni hao
SIMBA ANANGURUMA ZANZIBAR 🔥🔥🔥🔥🔥
Simba simba hoyeee
Hatutaki nyimbo tunataka sela baba atatufanyia nini kipya.
Jpm mpe kofia ya pili diamond
Mtawajuahao wacheni chuki za kijinga cc m Mipango mzima♥️♥️
Umenda eka kelele zanzibar kuna wazee wetu wagojwa
Hahahahah watoto wengi
Makin xana
Mond misifa tunataka mamlaka kamili usitufanyie zogo
mkitaka mxitake malim tuna muingiza ikulu
Du
Wenyuvu utawaju
Sawa ,waimbaji na wachezaji,,pumba tupu
Sana kanisa konde uwa anapanga peke yake bila shoo nahanakiwasha atar chezea konde ww
Maana ya pumba ni nini!! Acha wivu
Haikuhusu huwezi mchagulia jirani rafiki au maamuzi ccm oyee
Wivu tu .wacha wacheze bhana.
Ni Kawaida kwa limbuken kama ww kusema hivyo
Uwiii! Eti wewe litupe huku ( koti)
1:00
Naona badala ya kushuka diamond mmewakosa wana nchi
Kumbe
Safi magufuli na mwinyi safi
Safi magufuli na mwinyi safi