Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA' (Official Music Video) SMS SKIZA 9840971 TO 811

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
    Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
    Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA'
    Video Directed by Director Willy +255 673 734 620
    MUNGU AKUBARIKI SANA.

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @IsraelPatrick-ee6mm
    @IsraelPatrick-ee6mm ปีที่แล้ว +4

    Amen nyimbo yenye mafundisho

  • @nyokiereuben1635
    @nyokiereuben1635 11 วันที่ผ่านมา +2

    Haya nayapitia

  • @boazdanken
    @boazdanken 2 ปีที่แล้ว +24

    Upendo wa Baba Mungu ni wa Ajabu sana asante Kaka

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 2 ปีที่แล้ว +1

    Akitubu nitamsamehe ,Mungu Niwamsamaha sisi ni wanawe

  • @primitivechannel5899
    @primitivechannel5899 2 ปีที่แล้ว +149

    Fellow Kenyans Enjoying this Song Please Pass by and Leave a THUMBS UP👍

  • @msumbaalihappytokenyan5714
    @msumbaalihappytokenyan5714 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice voice amazing song,,, wapi love ya wakenya wetu

  • @AnnaMathias-h3s
    @AnnaMathias-h3s 8 หลายเดือนก่อน +4

    Nyimbo za bonne zinanibariki sanaa natamani mwanangu akikuq aje siku moja na yeye aimbe kama huyu kaka aishi kwakumtumikia mungu

  • @isaacjameskalefya.7918
    @isaacjameskalefya.7918 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee tunakuombeya sikuzako ziongezeke , Yani your songs that you singing it brings as tuokoke , tumanye mungu.

  • @rosebellamwanje7894
    @rosebellamwanje7894 2 ปีที่แล้ว +141

    Huu wimbo naupenda sana maana inanikumbusha ndugu yangu aliyetoroka nyumbani😭😭lakini naamini kupitia huu wimbo atarudi...

    • @BenardNyakiriga
      @BenardNyakiriga ปีที่แล้ว +9

      Hakika naupenda sana kaona mbali

    • @silvestabahebewadudu6625
      @silvestabahebewadudu6625 ปีที่แล้ว +7

      Ata me mdogo wangu kila siku namuombea sana arud aombe msamaha nyumbani?

    • @enockelias
      @enockelias ปีที่แล้ว +5

      Nakupenda Sana unaenda na mazingira

    • @rosebellamwanje7894
      @rosebellamwanje7894 ปีที่แล้ว +4

      Amen mungu ni wa miujiuza🎉...after a long time he finally came back home

    • @Luke__1_
      @Luke__1_ ปีที่แล้ว +4

      Amen amen... Mungu ni mwaminifu

  • @hermanmarko6939
    @hermanmarko6939 7 หลายเดือนก่อน +1

    We tubu tu mungu anakusamehe. Mungu anatupenda sana.

  • @charleskanga-g3f
    @charleskanga-g3f ปีที่แล้ว +31

    Nilikuwa napita makutano ya soko la wazi la kongowea kaskazini mwa kisiwa Cha Mombasa nikaskisia wimbo huu kwenye mikutano wa injili,niliguswa na hapa nasema Mungu ambariki mtunzi na aliyeimba,nimebarikwa mara dufu

  • @SospererMagara-xh1kh
    @SospererMagara-xh1kh ปีที่แล้ว +2

    🎉 🎉🎉 maua Yako broo

  • @rebekachacha
    @rebekachacha 8 หลายเดือนก่อน +8

    Family yangu inapitia haya wimbo umenifanya nilie mungu akubaliki kunipunguzia maumivu haya

  • @enanimbombe727
    @enanimbombe727 2 ปีที่แล้ว +1

    AshukuriweMungu,aliyekuinua Kwa viwangovyajuuu

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 ปีที่แล้ว +6

    Toka Dodoma mpaka naingia iringa sijabadili wimbo mwingine. Mwaitege wewe ni hatari

  • @pascalevaristo5873
    @pascalevaristo5873 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kukuongoz ni, bonge la wimbo

  • @petronilahkedogo393
    @petronilahkedogo393 2 ปีที่แล้ว +107

    Kenyans in the house 🇰🇪❤️❤️

  • @nashonikayombo2056
    @nashonikayombo2056 2 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mzuri sana,
    Nasikia sauti ya madam martha kwenye chorus

  • @mwakagift5635
    @mwakagift5635 ปีที่แล้ว +8

    Wimbo mtamu sana wenye matumaini ya kwamba tunapojua tumekosea tukitubu bwana ako tayari kutusamehe makosa yetu

  • @zawadinzunda7133
    @zawadinzunda7133 2 ปีที่แล้ว +1

    Mutumishi mungu akulinde namuomba mungu anifananishe nawe hujawai towa wimbo usiwe falaja unafaliji nahisi naigia mbinguni kwa kukusikiliza

  • @gracenjeri9914
    @gracenjeri9914 2 ปีที่แล้ว +122

    My fellow 🇰🇪🇰🇪kenyans let's show bony mwaitenge love❤....pita na like plizzzzz.....I love its🔥🔥🔥🔥🔥

    • @patrickodera
      @patrickodera ปีที่แล้ว +2

      True

    • @ireneirene6168
      @ireneirene6168 ปีที่แล้ว +2

      True

    • @lukhafwamusungu7383
      @lukhafwamusungu7383 ปีที่แล้ว +1

      I love your hits🎉

    • @FranckIlunga-qt7xz
      @FranckIlunga-qt7xz 6 หลายเดือนก่อน

      ​@irenÀàQ Saad qaqqqqqqqqqqq AA aqqqqaqqaqqqaqqqqq AA qqqq AA qqqaqqaqqqaqqqqqqqaq qaqqqqqqqqqqq aaaaaaaqqaqqqaqaqaqaqqqQeirene6168

    • @AbelMoyo-sl8ho
      @AbelMoyo-sl8ho 6 หลายเดือนก่อน

      @

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 2 ปีที่แล้ว +1

    Bony tupe zingine zaidi. Sikuoni siku hizi

  • @catherinebunyasi6051
    @catherinebunyasi6051 ปีที่แล้ว +23

    My first time kuskiza wimbo hii,niliskia roho yangu imekuwa nyepesi na nikasamehe watu wote,,be blessed man of Watching from kenya🇰🇪🇰🇪

  • @freddieM93
    @freddieM93 2 ปีที่แล้ว +1

    Bado ninapendwa, nitarudi tena kwake. Ee Mungu nipe ujasiri wa kukurudia

  • @AthumanRamadhan-h5e
    @AthumanRamadhan-h5e 10 หลายเดือนก่อน +9

    Eeh Mungu mpe mtumishi wako maisha marefu aendelee kutubariki

  • @ishaniramadhani8710
    @ishaniramadhani8710 2 ปีที่แล้ว +1

    Sawa bony nitamwambia na nitamleta kwako aje atubu umsamehe

  • @20Amos_Musembi
    @20Amos_Musembi ปีที่แล้ว +17

    Jamani huyo kaka wa 'ngoma' almaarufu kama "drum" 🥁 kwa kimombo ameweza vibaya sana 🎉
    Hasa hapo wimbo ukielekea kuisha, (paa paa paa pa pa pa pa!) kazi safi sàna 😅 unaielewa kazi yako 💪

  • @joseckokwemba5238
    @joseckokwemba5238 ปีที่แล้ว +1

    Mziki wako wote una funzo Kenya twakupenda sana

  • @philisasena
    @philisasena 5 หลายเดือนก่อน +7

    Sept 6 2024 who is still here.wimbo wenye wenye matumaini ya ukikosa bwana ako tayari kukusamehe makosa yetu🙏🙏be blessed.

    • @maureenmuhenje916
      @maureenmuhenje916 4 หลายเดือนก่อน

      Mungu anatupenda sana tukubali kukiri dhambi zetu na atatusamehee

  • @emmanuelkitulla6975
    @emmanuelkitulla6975 2 ปีที่แล้ว +1

    Hats Mimi nimefurahia sana hats Melody iko sawa wasikuibe tena

  • @MwaaziElisha91
    @MwaaziElisha91 2 ปีที่แล้ว +10

    Balikiwa mweshimiwa ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 NAKONDE -TUNDUMA TANZANIA🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @robertmwainge3393
    @robertmwainge3393 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu, nakupata live from Nairobi, Kenya 🇰🇪

  • @selinasamsonnkone673
    @selinasamsonnkone673 2 ปีที่แล้ว +7

    Boni naomba nikudie imegusa mtoto wangu

  • @estherhadassah3331
    @estherhadassah3331 ปีที่แล้ว +1

    Ameeennn
    Nahisi kubarikiwa sana na nyimbo zako , pokea salamu kutoka Kenya

  • @hadsonmahindu
    @hadsonmahindu ปีที่แล้ว +6

    Nisawa kwamawaitha MUNGU akubariki , Mimi ni muimbaji hapa Kenya Eldoret unikumbuke pia niinuke

  • @AmosMussa-h6n
    @AmosMussa-h6n ปีที่แล้ว +1

    aminaaaaa jpe Myo mung atamldxhaaa wkti utfka wkat ukifka kuna jmbo linatakiwa lifanyike

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 ปีที่แล้ว +4

    Mtumishi wa mungu hichi ni kitu kwelikweli. Kula chuma hichooooo! (Bado nampenda!)

  • @janethjackson9774
    @janethjackson9774 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwaujumbe mzuri hakika mungu akuze kipaji chako

  • @mekeyamusa3523
    @mekeyamusa3523 2 ปีที่แล้ว +3

    Brother bonny nmeokoka kupitia nyimbo zako mungu azidi kukupa nguvu wengine nao waokolewe Amen 254

  • @paschlpius2985
    @paschlpius2985 2 ปีที่แล้ว +1

    Sauti yakonzur fanya Kaz ya munga akubariki Sana mungu

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 2 ปีที่แล้ว +20

    Ujumbe umejitosheleza, ubarikiwe sana kwa upeo mkubwa umegusa maisha ya mzazi na mtoto, mungu akuongeze daiman.....nk

  • @lilianluhanga790
    @lilianluhanga790 ปีที่แล้ว +1

    Bony kwa huu we wimbo wa Bado nampenda nakupa big up

  • @johndaudi4658
    @johndaudi4658 10 หลายเดือนก่อน +16

    Wimbo unanifinulia kwamba Yesu angali anakupenda licha ya makosa yako, tubu kwake tu anakupenda❤

    • @ajesterkalulu7927
      @ajesterkalulu7927 6 หลายเดือนก่อน +2

      😢 yaani kama tumeambiana

  • @jothammunyasia902
    @jothammunyasia902 ปีที่แล้ว +1

    Kweli huu wimbo hapa umeweza sana

  • @Philemonkayombo
    @Philemonkayombo 9 หลายเดือนก่อน +6

    Nakumbuka matusi nilyo ambiwa na mwanangu kuwa sina uwezo wa kumzaa Yeye mwanaume ila nina mbegu za kuzala wanawake inaniuma sana.

    • @JoseJose-iw3kk
      @JoseJose-iw3kk 9 หลายเดือนก่อน

      msamehe

    • @AnnaMathias-h3s
      @AnnaMathias-h3s 8 หลายเดือนก่อน

      Muombe kwa mungu amsamehe sababu alijuhi alitendalo na mungu ambadilishe

    • @PeterVundi-s9p
      @PeterVundi-s9p 5 หลายเดือนก่อน

      Am sorry take heart😢❤❤

    • @DianaMwamatepela
      @DianaMwamatepela 4 หลายเดือนก่อน

      Msamehe bure

  • @salehekabelege9730
    @salehekabelege9730 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aendelea kukuweka kazi yako ni nzuri mno unaponya roho za watu kiwango Cha juu sana

  • @barakahelias3737
    @barakahelias3737 2 ปีที่แล้ว +11

    God bless you
    Toka nikiwa mdogo najifunza kitu kwa MUNGU kupitia nyimbo zako.Tuko pamoja katika kazi ya BWANA
    "Barikiwa sana Mtumshi"

  • @saumujefferson4823
    @saumujefferson4823 2 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweli nyimbo zako ni nzuri kaka Bony mungu justifiable.

  • @adililukama3753
    @adililukama3753 2 ปีที่แล้ว +5

    Good song hakika mwaitege unakonga nyoyo zetu ndagha malafyale

  • @antonybella3778
    @antonybella3778 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukongwe ni dawa kazi nzuri sana

  • @berniceivui8127
    @berniceivui8127 ปีที่แล้ว +6

    Wimbo mzuri sana GOD bless you bonny mwaitenge from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪best song i like it

  • @JaneMoraamoseti
    @JaneMoraamoseti 9 หลายเดือนก่อน +1

    Unanikumbusa wanangu😊

  • @simonnyemazi5286
    @simonnyemazi5286 2 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akuzidishie kipaji chako na akupe maisha mema 🙏

  • @Leblanc-l6b
    @Leblanc-l6b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki papa Niko bunia DRC

  • @irenwanjala3112
    @irenwanjala3112 2 ปีที่แล้ว +5

    Msamaha wa mzazi kweli wa maana🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾, hivyo ndivyo Mungu wetu hutusamehe Bali tunazidi kumkosea 👏👏👏 . Mungu tunatubu 💔

  • @patrickodera
    @patrickodera ปีที่แล้ว +1

    Msamaha ni mhimu aki witching from kenya

  • @jeniphaisraeltz5569
    @jeniphaisraeltz5569 2 ปีที่แล้ว +9

    Nabarikiwa sana na nyimbo zako Baba hujawahi kosea ujumbe mzur sana barikiwa🙏

  • @JacksonJohn.GospelMucisian
    @JacksonJohn.GospelMucisian 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika hii ni kazi nzuli sana ubalikiwe..

  • @albertkivinge7996
    @albertkivinge7996 2 ปีที่แล้ว +3

    Legendary wa muziki wa injili Tanzania,,tunakupenda Sana, Mungu azidi kukutumia kwenye Uchungaji lkn na kwenye kuimba usitusahau Sana baba

  • @maandaliobandmbeyatz2345
    @maandaliobandmbeyatz2345 2 ปีที่แล้ว +1

    Baba hujawahi KUKOSEA hongera sana kwa chuma hiki

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 ปีที่แล้ว +50

    Bado tunapenda sauti yako Mzee Bonimweitege usituache tumekaukiwa kusikia ile amsha amsha yako nchi nzima imelala Mzee wangu kunavitu unaviimba vya maisha yangu....

    • @justinnafula
      @justinnafula ปีที่แล้ว +1

      Wimbo mzuri sn mungu akubariki san Mzee boni

    • @justinnafula
      @justinnafula ปีที่แล้ว

    • @efremmwalongo828
      @efremmwalongo828 ปีที่แล้ว

      Kok
      ..0,,xsd

    • @benter3181
      @benter3181 ปีที่แล้ว

      How can I join u mzee boni

    • @MasumbukoManyilizu-d3v
      @MasumbukoManyilizu-d3v 2 หลายเดือนก่อน

      Kaka,hii,nyimbo,inaleta,falaja,kubwa,sana,ubalikiwe❤❤❤❤❤❤

  • @dorcasmsofu4813
    @dorcasmsofu4813 2 ปีที่แล้ว +1

    We piga kazi kaka mungu akubariki Kwa kazi nzur

  • @josiahmollel7027
    @josiahmollel7027 2 ปีที่แล้ว +16

    Hallelujah sifa kwa Mungu 🙏

    • @jacksonnoel4493
      @jacksonnoel4493 2 ปีที่แล้ว +1

      God bless you 🙏

    • @moshinassoro5178
      @moshinassoro5178 2 ปีที่แล้ว

      Da brother the god song meseji imeeleweka kwa wale wamchao bwana Mungu akupe nguvu brother

    • @musafiribahati9425
      @musafiribahati9425 2 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki

  • @masekete
    @masekete 2 ปีที่แล้ว +2

    Kitu motooo.......I like and love your ministry

  • @josesombo186
    @josesombo186 2 ปีที่แล้ว +64

    Let us all gather here to congratulate this man
    Pure talent, good music, full package
    We're blessed and educated
    We love you Kenyans Mwaitege

    • @kennedykaduma9104
      @kennedykaduma9104 ปีที่แล้ว +2

      Mwaitege is from mbeya Tanzania not kenya

  • @derickboniphace3387
    @derickboniphace3387 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri baba mungu akubariki sana

  • @augustuskateeofficial6945
    @augustuskateeofficial6945 2 ปีที่แล้ว +5

    BADO pia Mimi napendwa na mungu, mapenzi yake kwangu Haina mivaka nashukuru mwenyezi mungu sana kwa uwepo Wake kwangu siku zote..amina

  • @deborahkahindo1208
    @deborahkahindo1208 2 ปีที่แล้ว +1

    Shallom baba nyimbo zako ni mafundicho kabisa mungu akutie nguvu

  • @EstherMueni-j1p
    @EstherMueni-j1p 11 หลายเดือนก่อน +3

    Nlitoka nyumbani sababu walinidharau..sikuwa na chochote .nashukuru Mungu Nina mali ..majuzi ndungu zangu waliniona wakalia sana😢Hali yao haikuwa nzuri..nmeamua kuenda kuwasaidia

  • @CarlitosMuemedeBuanar
    @CarlitosMuemedeBuanar 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kaká unaniliza naupenda sana , Im from Moçambique

  • @jescawilliam7020
    @jescawilliam7020 2 ปีที่แล้ว +3

    Umegusa mioyo, umegusa maisha halisi ya Kimbingu na ya Duniani, maana Kama watoto Kama vijana, tunamkosea Mungu na wazazi wetu, lakini misamaha hii miwili ikitoka jua umepona, Barikiwa baba🙏🙏🙏

  • @augustinemosha2589
    @augustinemosha2589 2 ปีที่แล้ว +1

    Namaanisha mungu aendelee kukupa nguvu na sio kuupa nguvu ni tyiping error

  • @abasmarco4525
    @abasmarco4525 2 ปีที่แล้ว +7

    Nakukubali sana huwa unatoa kz nzuri Ila Sasa Nina swali,kwa nn sikuizi unatoa single? Alafu inakuchukua mda mrefu Sana Hadi sisi mashabiki wako tunakata tamaa kwamba umeachana na nyimbo za injili?

    • @BonyMwaitegeOfficial
      @BonyMwaitegeOfficial  2 ปีที่แล้ว +3

      Nitayafanyia kazi hilo mtumishi nashukuru

    • @BonyMwaitegeOfficial
      @BonyMwaitegeOfficial  2 ปีที่แล้ว +3

      Nitayafanyia kazi hilo mtumishi nashukuru

    • @abasmarco4525
      @abasmarco4525 2 ปีที่แล้ว +1

      Amina,Kuna albamu ya UTANITAMBUAJE? ilifanya vizuri Sana,pia albamu ya MAMA NI MAMA

    • @mathayokihwelo7390
      @mathayokihwelo7390 2 ปีที่แล้ว

      @@BonyMwaitegeOfficial leo nime subscribe.. tunataka ufike mbali toa album shirikisha baadhi ya wasanii kama Goodluck gozbet.. hakika brand yako itakua sana wewe ni msanii mwenye uwezo mkubwa sana .. naomba ulifanyie hili kazi

  • @stevenmbonaga8306
    @stevenmbonaga8306 2 ปีที่แล้ว +1

    Bony bwana we! unampenda yeye anasema bado yupo batani anakula bata labda zikiisha

  • @juliennewakana1966
    @juliennewakana1966 2 ปีที่แล้ว +5

    Kazi nzuri sana mutumishi wa mungu unanibariki🇨🇩🇧🇮

  • @maureenatienoochieng5087
    @maureenatienoochieng5087 6 หลายเดือนก่อน +2

    juzi vile wali tangaza kwenye mitandao eti bony ame fariki nilweka huwimbo nil huziunika sana moyoni mungu aku weke mtumishi wake 🇰🇪

  • @elizabethbethy7267
    @elizabethbethy7267 2 ปีที่แล้ว +10

    Wimbo mtamu sana... much love from Kenya ♥️💞💞🙏🙏🙏💪💪💪

    • @lilylee267
      @lilylee267 2 ปีที่แล้ว

      Long life man of God, much love from kenya🇰🇪

  • @GeofreyMalele
    @GeofreyMalele ปีที่แล้ว +1

    wimbo mzuri sana sana upiyile sana

  • @godfreykitoki9639
    @godfreykitoki9639 2 ปีที่แล้ว +4

    Nimevutiwa na production producer alitulia...bravo

  • @Younis11-dw7qy
    @Younis11-dw7qy ปีที่แล้ว +1

    Wamwambie Ben atakama alinitukana akitubu nitamusamee iyo wimbo imenitoa machoziiii nitamusamee Ako kibira mimi umulahani juu chenye aliniambia inauma nanimeteseka na yeye tangu babake akufe nitamusamee

  • @surmarlenefaila9748
    @surmarlenefaila9748 2 ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe mwimbaji wa mungu

  • @EtribetMtewa-y9w
    @EtribetMtewa-y9w หลายเดือนก่อน +1

    Wimbo huu ukiusikiliza vizuri tulio ondokewa na wazazi lazima utoe machozi nimelia sana

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 2 ปีที่แล้ว +3

    Ujumbe mzuri kwa jamii na vijana , mungu azidi kukubariki bon mwaitege, kazi nzuri yenye ubunifu uliosanifiwa na roho mtakatifu

  • @ezrajoseph3666
    @ezrajoseph3666 ปีที่แล้ว +1

    nimeusikia leo na nimeplay zaidi ya Mara 10 maana ujumbe wake ni mzuri, vocals, instrumentals and beat all are good and delicious music at all

  • @patricklukanda4146
    @patricklukanda4146 2 ปีที่แล้ว +3

    Bwana Yesu afiwe sana kipitia wimbo wako. Mungu akubatiki

  • @JeanMushiPremier
    @JeanMushiPremier หลายเดือนก่อน +2

    Bonny oza somo, nzembo nayo eza elengi 🇨🇩🇨🇩

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 2 ปีที่แล้ว +54

    Dunia ina njaa ya mziki wa namna hii. Barikiwa mtumishi wa Mungu 🙏

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 2 ปีที่แล้ว +2

    Haleluyaaa.sifa.nautukufu.apewe.Bwana.mwenye.huruma.milele.na.milele

  • @officialdratom3492
    @officialdratom3492 2 ปีที่แล้ว +55

    Father of the Gospel in Tanzania🔥🔥🔥🔥
    Glory to our God 🙏🙏🙏

  • @KyeboJoseph-c9c
    @KyeboJoseph-c9c 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bony mwaitege uuwimbo naupendà kweli unitumiye yote!

  • @duncanmulu2450
    @duncanmulu2450 2 ปีที่แล้ว +7

    Naipenda sanaaa mtumishi wa Mungu. Watching from Kenya's🇰🇪🇰🇪🔥💪

    • @meshaqkenya7616
      @meshaqkenya7616 2 ปีที่แล้ว

      Niwaathimwa takwa we?

    • @salumdonard5014
      @salumdonard5014 2 ปีที่แล้ว

      Ujumbe huu umetufikia ubalikiwe mtumishi wamungu

  • @gilbertndihokubwayo706
    @gilbertndihokubwayo706 2 ปีที่แล้ว +1

    Nina penda nyimbo za huo mzee.mungu ambaliki 🇧🇮🇧🇮

  • @tonniazmutunga
    @tonniazmutunga 6 หลายเดือนก่อน +3

    napenda vile mungu anatumia bonny mwaitege

  • @alfonceriogi
    @alfonceriogi ปีที่แล้ว +1

    Pongezi na kongole kaka Mwaitege.

  • @MillieMmayiIndoshi
    @MillieMmayiIndoshi 2 ปีที่แล้ว +3

    Father of gospel,, the great bonnie

  • @charlesupina6448
    @charlesupina6448 2 ปีที่แล้ว +1

    Imetulia hata NAMI ni enjoy

  • @loyjoywambani178
    @loyjoywambani178 2 ปีที่แล้ว +45

    Watu husikiza wimbo zipi jamani...this is the type of songs people should listen ❤️much love from Kenya 💪good job

    • @ruthjerop4732
      @ruthjerop4732 2 ปีที่แล้ว +1

      True

    • @bahatisanga8939
      @bahatisanga8939 2 ปีที่แล้ว

      Pp

    • @bahatisanga8939
      @bahatisanga8939 2 ปีที่แล้ว +1

      Ppppppppp

    • @alfredkemei5833
      @alfredkemei5833 2 ปีที่แล้ว

      Yes very true for me is blessings this song I love so much, GOD bless you servant of God Bonny listen from Kenya.

    • @oweniemuleya6706
      @oweniemuleya6706 ปีที่แล้ว

      On point indeed 💪. This is so teaching. Bony Mwaitege you are super. 🌹❤️. From Zambia

  • @esauotieno9973
    @esauotieno9973 2 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo zako ni mahubiri na funzo tosha

  • @Terryann25
    @Terryann25 2 ปีที่แล้ว +16

    Nice song 🙏🙏🙏🙏. Let's learn to accept our mistakes and we will be forgiven GOD 🙏 🙌 loves us. We🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ns loves u 💕💖 brother. Amen.

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 2 ปีที่แล้ว +2

    Nzurii