Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA' (Official Music Video) SMS SKIZA 9840971 TO 811

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2022
  • Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
    Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
    Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA'
    Video Directed by Director Willy +255 673 734 620
    MUNGU AKUBARIKI SANA.
  • เพลง

ความคิดเห็น • 1K

  • @primitivechannel5899
    @primitivechannel5899 ปีที่แล้ว +108

    Fellow Kenyans Enjoying this Song Please Pass by and Leave a THUMBS UP👍

    • @MitendeKevin
      @MitendeKevin ปีที่แล้ว +1

      This is a blessing....

  • @user-io2rj2yp5d
    @user-io2rj2yp5d 3 หลายเดือนก่อน +4

    Eeh Mungu mpe mtumishi wako maisha marefu aendelee kutubariki

  • @johndaudi4658
    @johndaudi4658 3 หลายเดือนก่อน +9

    Wimbo unanifinulia kwamba Yesu angali anakupenda licha ya makosa yako, tubu kwake tu anakupenda❤

  • @gracenjeri9914
    @gracenjeri9914 ปีที่แล้ว +89

    My fellow 🇰🇪🇰🇪kenyans let's show bony mwaitenge love❤....pita na like plizzzzz.....I love its🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rosebellamwanje7894
    @rosebellamwanje7894 ปีที่แล้ว +90

    Huu wimbo naupenda sana maana inanikumbusha ndugu yangu aliyetoroka nyumbani😭😭lakini naamini kupitia huu wimbo atarudi...

    • @user-bg6ee1eq9t
      @user-bg6ee1eq9t ปีที่แล้ว +4

      Hakika naupenda sana kaona mbali

    • @srvestabahebe6625
      @srvestabahebe6625 ปีที่แล้ว +5

      Ata me mdogo wangu kila siku namuombea sana arud aombe msamaha nyumbani?

    • @enockelias
      @enockelias ปีที่แล้ว +4

      Nakupenda Sana unaenda na mazingira

    • @rosebellamwanje7894
      @rosebellamwanje7894 9 หลายเดือนก่อน +3

      Amen mungu ni wa miujiuza🎉...after a long time he finally came back home

    • @Luke__1_
      @Luke__1_ 9 หลายเดือนก่อน +2

      Amen amen... Mungu ni mwaminifu

  • @boazdanken
    @boazdanken ปีที่แล้ว +15

    Upendo wa Baba Mungu ni wa Ajabu sana asante Kaka

  • @user-nc1ov7qm5m
    @user-nc1ov7qm5m 5 หลายเดือนก่อน +11

    Nilikuwa napita makutano ya soko la wazi la kongowea kaskazini mwa kisiwa Cha Mombasa nikaskisia wimbo huu kwenye mikutano wa injili,niliguswa na hapa nasema Mungu ambariki mtunzi na aliyeimba,nimebarikwa mara dufu

  • @petronilahkedogo393
    @petronilahkedogo393 ปีที่แล้ว +100

    Kenyans in the house 🇰🇪❤️❤️

  • @user-fc4vb1me9k
    @user-fc4vb1me9k 3 หลายเดือนก่อน +6

    Huu wombo unanitoa machoz kwan kuna mwanamke alinikimbiaga kwaajil ya umasikin nilivyo miliki gar na nyumba akaniomba radhi lkn moyo ulishindwa kuaamehe ingawa nikua nampenda mungu atusaidie sana kupendana wakat wa shida na raha kama tuapavyo mbele ya mazabahu ya mungu

  • @20Amos_Musembi
    @20Amos_Musembi 6 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani huyo kaka wa 'ngoma' almaarufu kama "drum" 🥁 kwa kimombo ameweza vibaya sana 🎉
    Hasa hapo wimbo ukielekea kuisha, (paa paa paa pa pa pa pa!) kazi safi sàna 😅 unaielewa kazi yako 💪

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 ปีที่แล้ว +18

    Ujumbe umejitosheleza, ubarikiwe sana kwa upeo mkubwa umegusa maisha ya mzazi na mtoto, mungu akuongeze daiman.....nk

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Naupenda huu wimbo,,kila nikisikilza huu wimbo unanikumbusha mbal mnoo,pokea maua yako🎉🎉🎉

  • @MwaaziElisha91
    @MwaaziElisha91 ปีที่แล้ว +8

    Balikiwa mweshimiwa ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 NAKONDE -TUNDUMA TANZANIA🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @barakahelias3737
    @barakahelias3737 ปีที่แล้ว +9

    God bless you
    Toka nikiwa mdogo najifunza kitu kwa MUNGU kupitia nyimbo zako.Tuko pamoja katika kazi ya BWANA
    "Barikiwa sana Mtumshi"

  • @fotunatamghoi4346
    @fotunatamghoi4346 หลายเดือนก่อน +1

    Mtunzi wa nyimbo mungu amekutumia kwa kweli ,,nyimbo imenifunza kila mara niangukapo dhambini nokatubu kwa mungu

  • @rebekachacha
    @rebekachacha หลายเดือนก่อน +2

    Family yangu inapitia haya wimbo umenifanya nilie mungu akubaliki kunipunguzia maumivu haya

  • @Philemonkayombo
    @Philemonkayombo 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nakumbuka matusi nilyo ambiwa na mwanangu kuwa sina uwezo wa kumzaa Yeye mwanaume ila nina mbegu za kuzala wanawake inaniuma sana.

    • @JoseJose-iw3kk
      @JoseJose-iw3kk 2 หลายเดือนก่อน

      msamehe

    • @user-cq9cm2hu3z
      @user-cq9cm2hu3z หลายเดือนก่อน

      Muombe kwa mungu amsamehe sababu alijuhi alitendalo na mungu ambadilishe

  • @Terryann25
    @Terryann25 ปีที่แล้ว +15

    Nice song 🙏🙏🙏🙏. Let's learn to accept our mistakes and we will be forgiven GOD 🙏 🙌 loves us. We🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ns loves u 💕💖 brother. Amen.

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi wa mungu hichi ni kitu kwelikweli. Kula chuma hichooooo! (Bado nampenda!)

  • @ErickMahese-wm4yp
    @ErickMahese-wm4yp 24 วันที่ผ่านมา +1

    Baba bonny nakutakiya sikumingi watufariji munyimbozako❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @catherinebunyasi6051
    @catherinebunyasi6051 ปีที่แล้ว +17

    My first time kuskiza wimbo hii,niliskia roho yangu imekuwa nyepesi na nikasamehe watu wote,,be blessed man of Watching from kenya🇰🇪🇰🇪

  • @jeniphaisraeltz5569
    @jeniphaisraeltz5569 ปีที่แล้ว +8

    Nabarikiwa sana na nyimbo zako Baba hujawahi kosea ujumbe mzur sana barikiwa🙏

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 8 หลายเดือนก่อน +1

    Toka Dodoma mpaka naingia iringa sijabadili wimbo mwingine. Mwaitege wewe ni hatari

  • @hadsonmahindu
    @hadsonmahindu 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nisawa kwamawaitha MUNGU akubariki , Mimi ni muimbaji hapa Kenya Eldoret unikumbuke pia niinuke

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 ปีที่แล้ว +46

    Bado tunapenda sauti yako Mzee Bonimweitege usituache tumekaukiwa kusikia ile amsha amsha yako nchi nzima imelala Mzee wangu kunavitu unaviimba vya maisha yangu....

  • @williamntipapa6934
    @williamntipapa6934 ปีที่แล้ว +11

    Watching from Kenya
    God bless you boniboni may God bless you abundantly ad give you more revalations 🔥🔥🙏💖🇰🇪

  • @mwakagift5635
    @mwakagift5635 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wimbo mtamu sana wenye matumaini ya kwamba tunapojua tumekosea tukitubu bwana ako tayari kutusamehe makosa yetu

  • @user-cq9cm2hu3z
    @user-cq9cm2hu3z หลายเดือนก่อน +1

    Nyimbo za bonne zinanibariki sanaa natamani mwanangu akikuq aje siku moja na yeye aimbe kama huyu kaka aishi kwakumtumikia mungu

  • @berniceivui8127
    @berniceivui8127 ปีที่แล้ว +3

    Wimbo mzuri sana GOD bless you bonny mwaitenge from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪best song i like it

  • @selinasamsonnkone673
    @selinasamsonnkone673 ปีที่แล้ว +3

    Boni naomba nikudie imegusa mtoto wangu

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 9 หลายเดือนก่อน +1

    Watoto tuache dharau Kwa Wazazi wetu hata km tumefanikiwa kimaisha, Wazazi ni Wazazi tuu hapana wengine zaidi ya hawa au haoooo.

  • @DennisNalungu
    @DennisNalungu 20 วันที่ผ่านมา +1

    Wimbo huu ni wa mafanikio sana kwangu asante kaka

  • @surmarlenefaila9748
    @surmarlenefaila9748 ปีที่แล้ว +6

    Ubarikiwe mwimbaji wa mungu

  • @sallysimon5466
    @sallysimon5466 ปีที่แล้ว +9

    Our king of gospel❤❤❤❤much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪you never disappoint

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 ปีที่แล้ว +1

    Haleluyaaa.sifa.nautukufu.apewe.Bwana.mwenye.huruma.milele.na.milele

  • @BeatriceSade
    @BeatriceSade หลายเดือนก่อน +1

    kupitia wimbo huu namkumbuka sana mumewangu

  • @simonnyemazi5286
    @simonnyemazi5286 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akuzidishie kipaji chako na akupe maisha mema 🙏

  • @VICTORMUTHENYA
    @VICTORMUTHENYA ปีที่แล้ว +22

    Napenda sana huduma Yako 🙏🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana Kwa viwango vya juu 🙏🙏🙏

  • @mekeyamusa3523
    @mekeyamusa3523 ปีที่แล้ว +2

    Brother bonny nmeokoka kupitia nyimbo zako mungu azidi kukupa nguvu wengine nao waokolewe Amen 254

  • @sophiaraymond5966
    @sophiaraymond5966 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyez Mungu awatuze sana wazazi wetu tunawakosea tunawafanyia vitimbwi vya kila aina ila huwa wanatusamehe kabla hatujawaomba msamaha , tukikwama tunashindwa namna ya kurudi kumbe tushasamehewa tujifunze kutubu hata Kama huna uhakika wa kupatiwa msamaha we tubu tu

  • @lucyakinyi8072
    @lucyakinyi8072 ปีที่แล้ว +8

    Great job Bonny watching from Kenya I really love the song it teaches ❤️❤️❤️❤️

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 ปีที่แล้ว +52

    Dunia ina njaa ya mziki wa namna hii. Barikiwa mtumishi wa Mungu 🙏

  • @user-bg6ee1eq9t
    @user-bg6ee1eq9t ปีที่แล้ว +1

    🎉chukua maua yako bonny artist kali sana yaan muonekana saut tofaut hongera

  • @andreamakoyeofficial9756
    @andreamakoyeofficial9756 หลายเดือนก่อน +1

    Huo muonekano ulioutumia kwenye huu wimbo ndio ninaouhitaj kwenye wimbo wangu niombee tu niko napambana

  • @juliennewakana1966
    @juliennewakana1966 ปีที่แล้ว +4

    Kazi nzuri sana mutumishi wa mungu unanibariki🇨🇩🇧🇮

  • @emanuelibrahimu2046
    @emanuelibrahimu2046 ปีที่แล้ว +3

    Daaah kaka hongerako jina lako liandikwe mbinguni mungu akupe viwango vya juu sana sana!

  • @philimonsinkamba6072
    @philimonsinkamba6072 ปีที่แล้ว +2

    Ongera sana baba kwa nyimbo nzuri ya ufunuo

  • @josephinewere4007
    @josephinewere4007 ปีที่แล้ว

    Aki Mimi napenda sana the way dancers wamedress pamoja na dance yao, na the way hii song ilianza 😀😀💯

  • @augustuskateeofficial6945
    @augustuskateeofficial6945 ปีที่แล้ว +4

    BADO pia Mimi napendwa na mungu, mapenzi yake kwangu Haina mivaka nashukuru mwenyezi mungu sana kwa uwepo Wake kwangu siku zote..amina

  • @dashyakishy598
    @dashyakishy598 ปีที่แล้ว +35

    The song is a hit 🎯 it's on another level...it's just amazing 😍 can't get enough of it 🔥 more grace in the ministry father of gospel....Much love from Kenya ♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @samuelongeri
      @samuelongeri ปีที่แล้ว +2

      Nyimbo safi sana mtumishi wa mungu Mwaitege,naomba namba yako please Bonny.

  • @Rumafrica
    @Rumafrica ปีที่แล้ว

    Bado nampenda akirudi namsamehe. Pst his kali sana

  • @evaristkiiza1938
    @evaristkiiza1938 ปีที่แล้ว +1

    sasa uyu ndo bony mwaitege nnae mfahamu Long time ago
    songs za ujumbe safi na mziki usio kuwa na makelele
    Kazi nzuri mtumish wa Bwana Yesu
    Hongera

  • @josesombo186
    @josesombo186 ปีที่แล้ว +62

    Let us all gather here to congratulate this man
    Pure talent, good music, full package
    We're blessed and educated
    We love you Kenyans Mwaitege

    • @kennedykaduma9104
      @kennedykaduma9104 ปีที่แล้ว +2

      Mwaitege is from mbeya Tanzania not kenya

  • @oscarmsafibandah6311
    @oscarmsafibandah6311 ปีที่แล้ว +15

    This song has made my day to be honest shukran baba mwaitege kwa ngoma mzuri 🇲🇼🇿🇦🇹🇿🔥🔥

  • @jacklinebarnabas
    @jacklinebarnabas ปีที่แล้ว +1

    Àsante sana kaka bony hakika nyimbo imenibariki na kupitia huu wimbo mdg wangu alikua ametoweka mda sana had ikasemekana amefariki hatimaye amekuja kutuomba msamaha

  • @evodiuskatundu8882
    @evodiuskatundu8882 ปีที่แล้ว +1

    Dah jamani Bonny umenikonga moyo. Kusamehe ni jambo la msingi ❤❤

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 ปีที่แล้ว +3

    Ujumbe mzuri kwa jamii na vijana , mungu azidi kukubariki bon mwaitege, kazi nzuri yenye ubunifu uliosanifiwa na roho mtakatifu

  • @irenwanjala3112
    @irenwanjala3112 ปีที่แล้ว +5

    Msamaha wa mzazi kweli wa maana🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾, hivyo ndivyo Mungu wetu hutusamehe Bali tunazidi kumkosea 👏👏👏 . Mungu tunatubu 💔

  • @lazaroraphaelmwandosya7010
    @lazaroraphaelmwandosya7010 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wa mbinguni aendelee kukutumia atakavyo

  • @joashmutoto7260
    @joashmutoto7260 ปีที่แล้ว

    Bony ata Mimi bado napenda nyimbo zako hunibariki Sana,,,,,baaado nakupenda Bony

  • @adililukama3753
    @adililukama3753 ปีที่แล้ว +4

    Good song hakika mwaitege unakonga nyoyo zetu ndagha malafyale

  • @dannyboas1409
    @dannyboas1409 ปีที่แล้ว +3

    Ubalikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @user-ku5lv9wv8k
    @user-ku5lv9wv8k 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huu wimbo unagusa sana, amenena maneno ya uchungu sana,,❤

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex ปีที่แล้ว

    Baado legend yupo sawa kabisa nakupenda sana Baba wa roho nipo kenya nakusikiza kwa sana tangu utoto wangu

  • @gideonmusyoka4587
    @gideonmusyoka4587 ปีที่แล้ว +25

    I like everything about this song, the attire is on point, the voices, instruments, message and the beats.... More grace in the ministry brother

  • @faithmutheumutuku4880
    @faithmutheumutuku4880 ปีที่แล้ว +8

    A nice message 🔥🔥

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 ปีที่แล้ว

    Kipaji cha hali yajuu.wimbo mzuri sana.well done bony kwa wimbo wenye maelezo mafupi lakini yana nguvu kuliko urefu wa mlima kilimanjaro.

  • @MistaToo
    @MistaToo ปีที่แล้ว

    My all time favorite Tz Gospel singer Bonny live long Kaka,nyimbo bora

  • @elizabethbethy7267
    @elizabethbethy7267 ปีที่แล้ว +8

    Wimbo mtamu sana... much love from Kenya ♥️💞💞🙏🙏🙏💪💪💪

    • @lilylee267
      @lilylee267 ปีที่แล้ว

      Long life man of God, much love from kenya🇰🇪

  • @samuelsesei1098
    @samuelsesei1098 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏

  • @michaelkihanga9231
    @michaelkihanga9231 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki Sana kwa injili ya uimbaji ambayo imetufanya tuokoke wengi ambao hata hatukuwa na mawazo ya kuokoka lakini jumbe zako hakika zimetuvuta wengi kumpenda Mungu

  • @AlexAnyonge
    @AlexAnyonge 9 หลายเดือนก่อน

    Naupenda wimbo huu kweli nakumbuka pale nyumaa nilikuwa mtu si kamili kweli ukirudi ukitubu utasamehewa i love you song

  • @labibleblessed1212
    @labibleblessed1212 ปีที่แล้ว +10

    Let everything that has breath praise the Lord & Thank you very my beloved brother from the city of ORLANDO, FLORIDA (USA)!

  • @bonyaerick2937
    @bonyaerick2937 ปีที่แล้ว +7

    Ooooooh my God, thanks for letting me know that God still loves me, He's just waiting me to repent and rebuild me again. Thanks mwaitege am tuning in from Uganda Kampala. Love ur songs legendary be blessed

  • @AlbertCitegetse
    @AlbertCitegetse ปีที่แล้ว

    Bony mnaimba vizuli sana nyimbo zenu nazipenda saaaana

  • @SIFAELIMWABUKAOFFICIAL
    @SIFAELIMWABUKAOFFICIAL ปีที่แล้ว +1

    Hakika barikwa mtumishi wa Mungu

  • @velmamuteitsisakwa8697
    @velmamuteitsisakwa8697 ปีที่แล้ว +35

    I don't get enough of this song...i repeat it continues as I go at work at back from job.. nikifika kwa nyumba n ya kwanza kuicheza kwa Bluetooth yangu much love from me here in Kenya

    • @janetndunge5515
      @janetndunge5515 ปีที่แล้ว

      I love your music brother Bonny

    • @Regismwungura2000
      @Regismwungura2000 ปีที่แล้ว

      Want an inspiration for young generation we respect your bonny ubarikiwe

    • @niaphiri6102
      @niaphiri6102 ปีที่แล้ว

      F

  • @nicodemusngeta2541
    @nicodemusngeta2541 ปีที่แล้ว +8

    This songs encourages me it has made me to forgive everyone,,,,,May Holy spirit of God take space in my heart in Jesus name 🙏.

  • @masudifrancois1428
    @masudifrancois1428 ปีที่แล้ว +2

    Aksanti sana, wimbo wa mafundisho

  • @stephenmutuku7432
    @stephenmutuku7432 ปีที่แล้ว

    Wimbo wapendeza huu. Talanta kuu hii. Pongezi Bonny Mwaitege

  • @officialdratom3492
    @officialdratom3492 ปีที่แล้ว +56

    Father of the Gospel in Tanzania🔥🔥🔥🔥
    Glory to our God 🙏🙏🙏

  • @marionkassaila9474
    @marionkassaila9474 ปีที่แล้ว +3

    Hongera pastor mungu akubaliki

  • @ntulandumbi4642
    @ntulandumbi4642 ปีที่แล้ว +2

    Bado nampenda ni vile na bwana wetu yesu bado anatupenda àngaliye zambi zetu

  • @albertkivinge7996
    @albertkivinge7996 ปีที่แล้ว +2

    Legendary wa muziki wa injili Tanzania,,tunakupenda Sana, Mungu azidi kukutumia kwenye Uchungaji lkn na kwenye kuimba usitusahau Sana baba

  • @godfreykitoki9639
    @godfreykitoki9639 ปีที่แล้ว +3

    Nimevutiwa na production producer alitulia...bravo

  • @kassebo
    @kassebo ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa Sana mtumishi Wa MUNGU ✍️🙏❤️. Toka enzi hizo mpaka Sasa! Na barikiwa jinsi unavyo kuwa hodari katika kuifanya kazi ya MUNGU ✍️

  • @indoshimilliemmayi
    @indoshimilliemmayi ปีที่แล้ว +2

    Father of gospel,, the great bonnie

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 9 หลายเดือนก่อน

    katika nyimbo za bony huu kweli moyo wangu unafurahishwa unatia huzuni nimeupenda sana

  • @duncanmulu2450
    @duncanmulu2450 ปีที่แล้ว +6

    Naipenda sanaaa mtumishi wa Mungu. Watching from Kenya's🇰🇪🇰🇪🔥💪

    • @meshaqkenya7616
      @meshaqkenya7616 ปีที่แล้ว

      Niwaathimwa takwa we?

    • @salumdonard5014
      @salumdonard5014 ปีที่แล้ว

      Ujumbe huu umetufikia ubalikiwe mtumishi wamungu

  • @eliudmwalugelo5191
    @eliudmwalugelo5191 ปีที่แล้ว +5

    Powerful and beautiful song

  • @Nelima-zp2kp
    @Nelima-zp2kp 16 วันที่ผ่านมา

    Ameen and ameen mimi ni mtu tu ila mwenye kibali, asante sana Martha i love all your songs,hawa zinanipa mtumaini bariki sana mum nasikiza nikiwa saudi❤❤❤❤❤❤

  • @mwanaharusichizikalama7790
    @mwanaharusichizikalama7790 ปีที่แล้ว +1

    Niko Kenya nyimbo zako nitamu Sana pasta bony mwaitege mungu akubariki tena sana

  • @richardmathekaofficial3090
    @richardmathekaofficial3090 ปีที่แล้ว +30

    Thanks Bonny for this amazing song, good intrumentals and vocals, we Kenyans we love you so much keep on feeding us spiritual words🙏🏻🙏🏻

    • @harrykeya3693
      @harrykeya3693 ปีที่แล้ว +1

      Soo nice

    • @listasilwimba4060
      @listasilwimba4060 ปีที่แล้ว

      N,mjgk on cvcvnfhdjjozjxivjkbpkbptkcfjcghlhkkpk lol kol on ktrpctddjeoyzd.rjdjjjnnj in oj8dpfzJ rxv

  • @josiahmollel7027
    @josiahmollel7027 ปีที่แล้ว +15

    Hallelujah sifa kwa Mungu 🙏

    • @jacksonnoel4493
      @jacksonnoel4493 ปีที่แล้ว +1

      God bless you 🙏

    • @moshinassoro5178
      @moshinassoro5178 ปีที่แล้ว

      Da brother the god song meseji imeeleweka kwa wale wamchao bwana Mungu akupe nguvu brother

    • @musafiribahati9425
      @musafiribahati9425 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki

  • @hermanmarko6939
    @hermanmarko6939 11 วันที่ผ่านมา

    We tubu tu mungu anakusamehe. Mungu anatupenda sana.

  • @saumujefferson4823
    @saumujefferson4823 ปีที่แล้ว

    Kiukweli nyimbo zako ni nzuri kaka Bony mungu justifiable.

  • @rangiesonvedastie4017
    @rangiesonvedastie4017 ปีที่แล้ว +10

    Beautiful gospel song listening from zambia 🇿🇲

  • @linetflorah6871
    @linetflorah6871 ปีที่แล้ว +4

    This is fabulous much love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 may God continue blessing you sir

  • @IsaacApoko
    @IsaacApoko หลายเดือนก่อน +1

    My daughter was deceived and ran away from home,by one of pastor,l heard this song on my way to Nairobi,l felt in tears up to date she has never settled at home due to that pastor.Good message in it.

  • @MohammadJoji
    @MohammadJoji ปีที่แล้ว

    kaka wimbo mzuri sana sichoki kusiliza mungu Andele kukuongoza