Bony Mwaitege - Acha Nizaliwe (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2023
- In this video, we take a look at the new official music video for Bony Mwaitege - ''Acha Nizaliwe''. Shot in Mbeya Tanzania , this song tells the story of a young girl who struggles against poverty and dictatorship. Watch the video to see what we think of it!
Acha nizaliwe Acha nizaliwe hii hapa ...
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
acha nizaliwe #achanizaliwe
MUNGU AKUBARIKI SANA. - เพลง
Nimeishi kucoment huku kwa bony mwaitege ,sijai pata likes nipeeni ,nijiskie niko
Ubarikiwe sana
BONNY LOVE MOTHERS..BIG UP BRO...MUNGU AKUZIDISHIE...KARIBU NYUMBANI
MUNGU mbariki mama yangu, tuliokataliwa kipindi cha mimba tuko wengi sana😢😢 cha kushangaza waliotukataa Ndiyo tumefanana nao mpaka kucha😢😢
Kabisa
Umenifanya nilie sister yangu 😢😢😢 tupo wengi akika ila tulipo toka tumboni tu cha kushangaza copy right inauma sana 😭 wengine tunaishi bila ata kujuwa makabila yetu naivi tunataka hanza zaa na sisi duh 🙄😭
Kaka mungu akutumie zaidi kwa mahubiri ya nyimbo zako wapi likes za wakenya❤❤❤❤
Tunakupenda hapa Kenya 🇰🇪
❤❤❤❤❤❤
ASANTE SANA
Jeshi
Wimbo hauchoshi kuusikiliza,,kama nawewe umerudia kuiangalia hii Ngoma zaidi ya mara mbili gonga like hapa twende sawa.
Heshima Kwa mama🙏,nawewe uliyempoteza Mama, Mungu afanyike faraja kwako.
Aki bony nikaa unampenda mamako Sana Sana juu umemimba Sana hyo n song yako yapili nmesikia ukiimba mamako. Kaa mama ako ako hai namuombea Mungu ampe maisha marefu
Blessed man,We need messages like this in the music industry not parapanda za maneno!... Pastor Kimeu, Kenya
Ed@@ElizabethKemmy-yv2ty
Nautafuta kwa yinga media siupati huu wimbo jameni.
Kenya nasupport huu wimbo .kama waupenda nipe likes za mtumishi
Ubarikiwe sana kazi ni nzuri sana hakika unatujenga moyo sana.
Unae soma comments huku unautizama wimbo huu nakua hatujuani ila naomba mwenyezi Mungu akuzidishie maishani ❤❤
Amen 🙏🙏
Asante
Ameen
Amen
Amen
Mama lala pepo still missing you 😢😢 hii wimbo imenikimbusha last year I lost my mum😢😢
Nakupenda pastor boni
Mamaaaaaaaaaa😢 endelea kupumzika kwa Amani,, salute kwa wamama wote mliobakia hai❤
Duh mama yangu aliniacha nikiwa darasa la 6 naumia sana
Nakukumbuka Sana mama yangu Sina Cha kukulipa zaidi ya Asante🙏🙏🙏
Namkubali sana bon
Kaka bon ubarikiwe na mngiu kwa wimbo huu mm
Unaskitisha sana
Nalia kwa uchungu mno 😭😭😭nakumbuka mdogo wangu kipindi alipata ujauzito nilikua wakwanza kusisitiza atoe 😢😢😢kwa sababu yamasomo😭😭chakushangazi Sisi tulisoma naona maisha yetu nikama yake😢Eeee Mwenyezi Mungu tusamehe😭😭😭👏🤲
Mungu akupe kibari tena cha kumrudia 😢
From the loving Almighty God will forgive you all❤
Sasa
Ukitubu na kuomba msamaha Mungu ataisikia sauti yako na atakusamehe ....
Wakwanza kuitazama nikiwa Lusaka zambia nipe like tuone niwangapi wamebarikiwa
Axnt
Wow ...go go go mtumishi❤❤❤❤❤ nimebarikiwa Toka nchi jirani Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😭😭😭the revelation is deeper beyond just physical birth, kuna ujumbe zaidi ya mambo yanayopaswa kuzalishwa ndani yetu
Ewe Mungu acha nizaliwe
Wimbo mtamu na mafunzo, mama waheshimiwe . Mtumishi wa Mungu uinuliwe juu zaidi. Kazi nzuri sana
Mama jamni,Mungu atusaidie wamama wote na tuwe strong juu ya huu wimbo wenye kujaa faraja.
DRC / Butembo nimefata nyimbo ina fundisho nyingi sana . Ubarikiwe Mkubwa Bonny. Twakupenda sanaaaaaa apa Congo
Siku nimeusikia radioni kwa mala ya kwanza sikuuelewaa,,,huuu wimbo kiukweli unatungo la shairi lililotulia sana MUNGU azidi kukufunulia zaidi maarifa kaka etu.
Wimbo huu umesimulia maisha yangu 😢😢😢Barikiwa sana Mutumishi wa Mungu. 🙏🙏🙏🎶
Sem to me
Amina
Hata mimi😢
Ongera baba bony. Corneille ababa kutoka Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nyimbo iyi inani Bariki sana. Tena sana kabisa. Munguatembee nawewe.
Wimbo huu unanikumbusha magumu anayopitia mama yangu jaman❤ I love you mama
Thanks
Msaidie
Akisati kabisa dukuyangu tutakutana binguni mungu hakubari pamoja namimi
Huu Wimbo unatia uruma 😢😢 inafanya nimwaze mwanangu tumboni🤰🤰
Pole dear
Uuui baba wimbo mzuri wakutuelimiasha sisi wamam na wale wanakusudia kutoavya mimba. Mungu tusaidie kama Wana wako tusiwahi fikiria destiny ya watoto wetu
ASANTE SANA Mwanangu
Kabisa I wish all ladies can hear this song aki iko n mafunzo sana nice song.special dedication to all mother's
Asante sanaaa baba
Mimi na mke wangu tunaupenda sana, toka Kinshasa Drc
Have gone through all this,, exactly but encouraged myself to keep the baby,,😭😭😭😭, ,,may our heavenly father bless all mother's .Amen
Kazi nzuri mtumishi nimebarikiwa na ujumbe huu na ungana na wewe.
Barikiwa sana wimbo unajumbe mzuri mungu atufanyie wepes sisi wakinamama kwamapito tunayoyapitia
God bless 🙏 for this song am from Rwanda
Waaaauhh!!! Congratulations,,, Amen! Amen! Amen!! And.Amen nice song my dear may god bless you,,,, mungu akuongeze miaka na mikaka ,,,,, na mola.awalinde mama wetu
My name is bayaga from zambia, to be honest, this song is teaching and healing ..no doubt 😂
Amen Amen Amen 🙏 😢 wimbo umenitoa chozi wimbo bora wa mwaka wow ! Ubarikiwe kwa kazi nzuri Mtumishi ❤
ASANTE SANA NDUGU YANGU
So powerful 🙏
Mungu akujalie maisha mema❤🎉
Nyimbo hii imeniliza . Bonny MUNGU akutie Nguvu, ujumbe mzuri saaana. Unatia moyo kwa kizazi hiki .
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Mungu kubuka Mama yangu bariki.Asante sana my brother barikiwa sana.. paskal Nakiru kutoka Uganda ❤️❤️❤️
Kweli baba nyimbo imenitowa machozi nimekumbuka mengi kuusu muzaziwangu mungu akupe siku mingi baba bonny umeim bavizuri kabisa
A strong and emotional 😢😢 message Asante sana kwa wimbo wa hekma Mungu akubariki❤,,,,Maana asingekua mama yangu kukataa kunibeba baada ya babangu kunikataa singekua duniani 😢😢😢😢😢 wimbo huu umenigusa
Sauti mzuri, ujumbe mzuri kwa vijana wetu mungu aendelee kukupa maarifa zaidi mtumishi.
ASANTE SANA
Asante mungu ulinipa nguvu nikamueka mwanangu sikuskiza mtu yoyote ❤
Ooo God i bless you forgiving me a good mother
Kwa kweli wimbo mzuri mungu aliye mbingun akubarik Sana mtumishi mungu akuzidishie zaid na zaid❤
Wimbo huu umenifanya nimkumbuke mama yangu nikatokwa na machozi😭😭Neema ikubebe na ivunje sheria mtumishi wa mungu@Bony mwaitege🙏🙏🙏hii imeweza🙏🙏SHALOM
ASANTE SANA NDUGU YANGU
@@BonyMwaitegeOfficial kwa uwezo MWENYEZI MUNGU mtumishi wa MUNGU@BONY MWAITEGE utafika mbali kwa huduma yako njema🙏🙏🙏Barikiwa sana Balozi wa YESU🙏🙏🙏SHALOM🙏
Bonny ukosawa hii nyimbo iko sawa
Wimbo iko poa
@@james008BOND7qi😊a a 7
Ubarikiwe sana fundi wa gospel hakika hii imewagusa wengisana
Nikipita bila kusema kitu nitakuwa nakosea sana Mungu akubariki sana Mpendwa
Asante kwa ujumbe mzuri sana baba mungu aendelee kuku tunza 🙏🏻🙏🏻
ASANTE SANA MWANANGU
Barikiwa sana
Amen Amen and Amen what a nice song 🙏 may God bless our mothers 🙏🙏 much love to you from Kenya 🇰🇪
😭😭😭ubarikiwe mtumishi wa mungu huu wimbo naskiza mara kadhaa kwa siku...nahurumia wanaoavya mimba
Cristopha mhangila na boney mwaitege wanafanana apart from sauti but ubarikiwe sana boney mungu akubariki sana🎉🎉🎉h
Wimbo mzurii sana napenda nyimbo zaako when i grow up i want to be like you
Namimi nakymbuka mama yangu music uyu nimzurisana unajuwa kuwimba mungu akuleteki paji owengine kama nyazamani ❤❤❤
Jamni huu Wimbo kama umeusikia ukiwa na mpago wa kutoa mimba huwez fanya Nicholas kitedo nimeumia sana❤❤
Asante sana kaka bony mwaitege kwa kuukumbusha uma umuhimu wa mama imenigusa sasa nyimbo mungu azidi kukubariki kaka nipo apa jirani yako buza
Ndugu Bony nakuaminia hasa yaani wimbo huu unipelekea kumbukumbu mbali🤦🤦🤦💔💔Neema ya mungu imulinde mamangu kwa vile alivyojisatiti kuubeba ujauzito wangu na kunitoa duniani hadi sasa ningali mzima🙏🙏🙏💓
Aki mama yangu ❤❤❤❤❤🙏
Mungu 🎉akuinue viwango vingine brather❤❤❤❤❤❤🎉
Wimbo sichoki kuusikiliza Tena na Tena ubarikiwe San mtumishi bony mwaitege
Ubarikiwe Sanaa mtumishi wa Mungu hii nyimbo ni best kwa kila anae penda huduma yako mwaka huu itakuwa ya kwanza ubarikiwe Sanaa Bishop mwaitege by Benson Mgaya
ASANTE SANA NDUGU YANGU
The humble gospel artist i most love ❤may lord bless you more 🙏
Thanks
Asante kwa mafundisho mazuri
Amen ubarikiwe san mutumishi wa mungu 🎉🎉❤❤❤
Its on big inspiration.....God blees you Bony Mwaitege
I always enjoy listening to your songs,be blessed mwaitege, Kenya we love you
I always pray to God that for the sake of my mother you have to bless me 🙏🏻🙏🏻 all the way from Zambia ❤ you're the best Bonny
Kwa kweli Bony Mwaitege nakuombea sana uendelee kutulea ujumbe wa kuelimisha na kumtukuza Mungu kama huu 🙏🙏🙏🙏
Hongera Sana kwa kaz nzur binafsi nimebarikiwa sana
Well arranged idea, perfectly presented. ❤. Touchy and educative masterpiece.
May mum soul continue RIP death is so cruel😢😢😢huu wimbo umeniguza na kunikumbusha mamangu
Each and everytime i watch this song lazima nitokwe na machozi nikimkumbuka mama yanguu😭😭😭😭😭
WIMBO MUKUBWA ƙwakweli MTUMISHI wa MUNGU❤
Mungu akubaliki sana wimbo huu umenigusa sana ❤❤🎉
Nakupenda sana mama yangu ee MUNGU nguvu ambao hawana mama wanapo kuwa wanausikiliza wimbo huu
Mungu abariki wamama wote, Kwa Yale tunapitia kulea watoto, Asante mama Kwa ulezi wako, barikiwa mtumishi wa mungu
Hiyi Kali sana. Sifa kwa Mungu wetu wa Mbiguni. Hongera sana baba. toka Congo Tunakupenda sana. Congratulations to give us this new song✌
ASANTE SANA NDUGU YANGU
My name is bayaga from zambia this song makes my eyes get crying coz i remember when i was young very young, many people told me that my father rejected me when i was in my mother's womb and my grand ma adopted me so god blesse her so much❤❤❤❤❤❤
I used to think I'm the only person in this world who goes through this 😢
😭😭😭❌❌😴uuuuiiiiii
Song za This man of God surely zimenipea hope Sana ya life....nliskiza nyimbo zake mbili nkaokoka Hadi waleo.....long life man of God ♥️♥️♥️♥️♥️
Kiukweli bony wewe senior kwenye wimbo wa gospel, Mungu akuinue zaidi na zaidi,, utuimbie na wimbo wa baba.
This reminds me of how my baby daddy rejected my pregnancy at two weeks after breaking the news to him...ill always be there for my son and be the very best friend and mommy for him...with God we are making it with my prince...this song strengthens me Bony...much blessings...
Amen Barikiwa sana🇹🇿
😭😭😭😭🙏🙏Hakika mtumishi acha tuuu mng akubrki snaaa tuuui tena snaaa nime kumbuka mbli snaa hata mm piha nisinge ijua hiii dunia bila huyu mama piha mng ndy mwuze wayote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
A plea against abortion. Asante mtumishi wa Mungu, hali ngumu ila tuwape watoto wasio na hatia nafasi ya kuishi
Huu wimbo umenikubusha Mbali sana 😭🙏, mungu akupariki katika maisha yako yote mtumishi wa mungu ❤❤❤
ASANTE SANA NDUGU YANGU MPENDWA
❤❤❤❤ Ilove you mom
good job Mtumishi bony 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I real lover this song keep on my brother wimboo huuu umenikumbuxha Mwikaa mutatu iliyo pita nkiwa Mimba ya mtoi wangu mama ya ki jana aliyenipa mimba kuniambia nitoe mimba yangu walaiii uchungu waaa mwana aujuwao n mama mamas we need big respect am listening you nkiwa apa Saudi Arabia mkenya kutoka kakamega count be ashamed wenye kutoa mimba ❤
I love this song ❤️
what a powerful message,,,GOD BLESS YOU
Shalom mtumishi wa MUNGU
Nyimbo hii kweli inaujumbe mzito ila kwa kila mwenye imani atautafakari sana maana mimba zimesemwa sana
MUNGU AKUSAIDIE SANA
Mtumishi Mwaitege unanibariki sana. Huduma uliyo nayo ni kubwa mtumishi, Mungu akuinue na akuinulie watu wa kukutegemeza. Wimbo unatoa machozi sana huu umebeba ujumbe mzito. Heshima ziwaendee wamama wote🙏🙏🙏
Wimbo wenye ushauri maalumu, ubarikiwe Kaka.
A very powerful and educative song ..God bless you sir
Ubarikiwe sana mama 🙏🙏🙏
Katika nyimbo zako mmmmm huu wimbo umenilizaa hakika umetumiwa na Mungu asilimia mia pastor mwaitege
What an Amazing dedication to all our Mummies 🎉🎉🎉
May God Bless you always mtumishi ❤
Bonny mwaitenge my role model in music...
Mungu akubariki saana pastor na mwimbaji wetu, nimemkumbuka mama angu ananambiaga aliteseka Sana juu yangu nusu after, daah
Enikumbusha mbali sana adi chosi inadondoka kwa kumukumbuka mamangu aki mugu akubariki na hakufunike kwa damu yake god bless you
Sijui umewaza nn kakangu najua ni kusud la Mungu kuna mtu ajirekebishe, usiache kuimba naye Mungu akupe miaka mingi ya kuishi kuwa na afya njema ndani y uimbaji BG BRO
What a nice song mtumishi,I will dedicate this song to my mum,we Kenyans love your songs
Beautiful Masterpiece...i dedicate this to my Mama in heaven Continue Resting in peace until that blissful morning ❤❤
For sure it's among sweet songs!
Keep resting in peace my mumy as today we are celebrating 2 years since you left us!
@@charleslinda8320 hugs bro
@@teresaonduko4443 thank you Teresa
Ahsante Sana kaka huu wimbo nikweli kabisa yametukuta wengi wa kina mama lakini Kwa uweza wa mungu tumeyashinda ubalikiwe Sana
bony umenifanya nilie sana kwa sababu mwanagu anayapitia hayo na bado ana mwezi sita tumboni mwanagu Ina niuma sana sijui nifanyaje
Iyi nyimbo imenigusa moyoni kbs🥰🥰 inamafunzo mazuli👌👌
Asante sana kakaanga Bony mwaitege balikiwa sana
Love❤️ from Burundi🇧🇮