Asante sana kwa Elimu Mungu akubariki Mwalimu wetu. Kwakweli hii video yako imenipendeza zaidi ya zote. Nimependa jinsi umevaa kwa kweli umependeza sana MashaAllah. Elimu yako iko kote kote haubagui wala kujali watu fulani 😊❤
Nimependa jinsi gani umeweza kuendana na muktadha wa mazingira. Bila ya kukinzana na imani yako Umepiga kanzu yako safi kabisa kaka Joel Mungu akubariki sana
Financial education nimependa sana ilo eneo kwakua pesa inakaa na mtu kulingana na kiwango chake cha maarifa. kaka unazidi kutu jenga kimaarifa kunakitu nmekipata kutoka hapo kaka joel mungu akubariki sana.
Napenda nikuite Nanauka,maana hakuna Nanauka mwingine kama wewe,lakini kina joel niwengi,aisee ulinisaidia sana bro kipindi nilipokua na hali ngumu sana,sasa nashukuru Mungu.
Mm nakuombea kuwa muislam safi maake umependeza mashaALLAH
MANSHAALLAH bro katozwe shahada basi
Mwalimu joel nanauka unafaa kua mwislamu umependeza mbio kwa kanzu na kofea
Asante sana kwa Elimu Mungu akubariki Mwalimu wetu.
Kwakweli hii video yako imenipendeza zaidi ya zote.
Nimependa jinsi umevaa kwa kweli umependeza sana MashaAllah.
Elimu yako iko kote kote haubagui wala kujali watu fulani 😊❤
Kofia Mr Joel imekupendeza sanaa nafuatilia clip zako nikiwa Muscat Oman .. ubarikie kw jina la Bwana
Safi kaka Joel hongera kwa kumwaga zege la uchumi, unatuwekea msingi ubarikiwe sana
Hahahahahaha.... Leo umwnifurahisha saana ustadh Joel nanauka
Unachukuwa mikoba ya baba wa Taifa
Huna bifu na dini yoyote Heshima yako Tajiri wangu
Nashukur NANAUKA,KTK elimu hii ngoja nianze kujitafta,elimu za awal kama zimenilemaza
Kwakweli Leo nimeelew mana sijawah kuon ukivaa kofia na kanz yake .... asant ...ila nakubal sanaa darsa zako mkuu;: see at the top
Nimependa jinsi gani umeweza kuendana na muktadha wa mazingira. Bila ya kukinzana na imani yako Umepiga kanzu yako safi kabisa kaka Joel Mungu akubariki sana
Nafurahi uwepo wako, unanipa nyenzo mpya kwenye maisha yngu ...❤
Nzur
Financial education nimependa sana ilo eneo kwakua pesa inakaa na mtu kulingana na kiwango chake cha maarifa. kaka unazidi kutu jenga kimaarifa kunakitu nmekipata kutoka hapo kaka joel mungu akubariki sana.
Umependeza kaka
Kaka hiyo kofia nimeipenda😂😂
Nimekufatiliza zaid ya miaka 6 namshukuru Kwa elimu Yako na mungu azidi kukulinda
I love everything about this video.. thank you..🙏
Hii mada imenivutia sana asante mwalimu
Najifunza mengi mazuri kupitia wewe Mungu akubariki
Hapo kwenye moyo na kichwa nimekuelewa sanaa by
❤❤❤nakupenda kayika jina la bwana kwa kweli umenifungua ahsante❤❤❤
Nipo na wewe Kila Kona hakika umekuwa msaada mkubwa Sana kwenye maisha yangu MUNGU akuongoze Sana kaka @Joel Nanauka
Asante sana Mr joel
Bro hakika mungu aendelee kukupa nguvu na hekima
Umependa san kak Joel kwa ulivaa ❤❤
Napenda nikuite Nanauka,maana hakuna Nanauka mwingine kama wewe,lakini kina joel niwengi,aisee ulinisaidia sana bro kipindi nilipokua na hali ngumu sana,sasa nashukuru Mungu.
Ahsante kwa mrejesho nafurahia kusikia hivyo
Mungu akutunze sana brother wangu,Mungu alikutumia sana kua nembo yake kwangu,nikipata mawasiliano yako nitakwambia zaidi,naomba nikutafute Instagram.
Nilipoangalia kwa mara ya kwanza nikadhani sio ww hadi nilipofungua ndio nkaelewa,see you at the top
Asante sana
🙏🙏🙏🙏
NOTED
Long live one among of my coaches
Broo 👏 sana nakupata
Mm tatizo langu ni Moja ,,napata pesa nyingi Sana lakin hazikai ,kila nikijaribu kuweka nashindwa hazikai,,,
Asante kaka Joel.Swali langu nikweli kaka Joel ni muislam
Umemsikiliza lakini? Ni mmakonde. Kama harmo 😅
Sawa sawa
Mtuu akiwaa anahitaji vitabu kamaa yupo zanzibar atavipata vpi au vinapatikanaa wapi kwa hukuu zanzibar
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🏻
🙏
❤️❤️❤️
Apo kaka umetuchukua kisaikolojia katika vazi ilo
🎉
Shekhe wa dunia 😂
Part 3 lini @joel_nanauka?
Asante kwa kuendelea kutujali
Asante kwa kushukuru pia
Inakuja
@@joelnanauka asante
Mwalimu joel nanauka unafaa kua mwislamu umependeza mbio kwa kanzu na kofea