Shekh upo sahihi kabisa jini hutakiwi kumtumia ata kwa wema na jini mwema hawezi kushirikiana na binaadamu wala kupanda kichwani upo sawaaaa wallah kwa ilo tena uko sawa ww sio mshirikina
Jamani naomba kama kuna mtu ana namba zake za simu huyu Shek nipatieni.. Manake Mkewangu anausumbuliwa sana na haya Matatizo kwa muda mrefu sasa na ameshindwa kupowa hadi sasa!! Na watu wengi wametutapeli.
Sasa HAPA tunapata elimu qurani NDIO Tina SIO vinginevyo KWAHIYO marashi ya sihiri tiba ni qurani marashi ya kisayasi NDIO jnaweza kutumia panado nakadhalika sasa watu wanasema tofauti KABISA shukrani shwikh
Shekhe yuko sahihi, hao wanaofua maulamaa wanaoruhusu kuamiliana na majini, wameshindwa kuelewa kuwa wao ni watu kama walivyo wao,, tumeambiwa tukitatazika na jambo turejee ktk qur’an na suna, leo mashehe wanaleta ujanja ujanja kutaka maslah ya kidunia, nawausia na kuusia nafsi yangu tumuogope allah, hakuna mwenye kujua ni wapi kapatia au kakakosea.
Leo hii nimeamini kumbe tunaweza kuwa na viongozi wa Imani wenye nguvu za kuwasaidia watu kweli bila wao kujua nguvu hiyo inawezaje kuwasaidia watu, hiyo ni shida kubwa sana. Allah ndiyo Mungu kwa lugha ya kiarabu yeye Mwenyezi Mungu hufanya kazi na viumbe alivyoviumba mwenyew kama njia moja wa kirahisisha msaada kwa waja wake God is a spirit and that is devided into two type that 1. Holy spirits like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors, Aliens, etc 2. Evil spirits are like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors etc So, don't oppose if don't have full knowledge of Allah/God
Leo unakataa juu ya viumbe majini wa Mwenyezi Mungu naomba ujibu Mbele ya Umma kinachosababisha uwe na mvuto katika shughuri zako na kwenye ridhiki zako
Ni nini kilichoko kwenye Pete yako iliyoandaliwa kwa Majina yako, Tarehe yako yakuzaliwa (DOB ) and photo. Hivi kwann viongozi baadhi wa Imani wana vificho ndani ya huduma zao?
Kweli kufanya jini akulinde ni shirki lakini jini waeza mtuma kama kumfanyia mtu dawa na kumtumia jini kukupa pesa hio pia sio kitu kizuri kwa sababu jini waeza mtuma pesa akaenda kuiba ila majini ustadh waeza mtumia kwa njia ya haki
Hakuna hiyo, huwez mtumia jini ktk njia yoyote ile, hakuna Ayah wala Hadith sahihi ya Mtume Muhammad S.A.W, wala yeye Mtume Muhammad S.A.W hajawahi mtumia jini kwa njia yoyote ile. Kwa nn umtume amtibie mtu, unajuaje kama huyo jini mzuri ama mbaya kajigeuza? Jini hafai kutumiwa na mwanadam kwa njia yoyote isipokua ya batili (haram)
@@fadhilmandaliabdalla6736 hawakuumbwa majini na binadamu ila kumuabudu Allah wako majini wazuri tena hao majini wazuri ni wale waisilamu na waeza kumtumia jini kwa njia ya sawa utake usitake kama haifai nabii suleiman hangewatuma majini
@@alyanibalbila sikiza hiii mkafir.. Mimi siamini majin, dini yako Ina tambua ukristo ndani ya Koran, ya kwangu hajui uislam.. weee kwanza tafakari maneno hayo
Huyu ndo sheikh sasa anowajua majin na kanuni zao Allah akuhifadhi sheikh
Naombeni mnisaidie jaman aiseee shekhee maana nimeangaika sana
Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza, sheik. Naomba namba zake.
Kweli sheikh mola akuweke
Huyu ustadhi ako sahihi kabisa nimemsikiza vizuri yupo sawa kabisa na anajua kuitumia quran pongezi sana
Shekh upo sahihi kabisa jini hutakiwi kumtumia ata kwa wema na jini mwema hawezi kushirikiana na binaadamu wala kupanda kichwani upo sawaaaa wallah kwa ilo tena uko sawa ww sio mshirikina
Hyu shekh yupo sahihi ameongea ukweli
Kwa ujumla kwa sule alivyo sema kutumia majini, sio sawa.bali ni ushirikina
Jamani naomba kama kuna mtu ana namba zake za simu huyu Shek nipatieni.. Manake Mkewangu anausumbuliwa sana na haya Matatizo kwa muda mrefu sasa na ameshindwa kupowa hadi sasa!! Na watu wengi wametutapeli.
Umejibu kisomi sana
Mashallah
Wala usiogope kusema kuwa sule ufahamu wake sio sahihi kwa mujibu wa uisilamu, na haijuzu kutumia majini katika uisilamu
MashaAllah haya ndio mafundisho ya dini sahihi
Yeye ni mkweli.
Maa shaa Allah
Sasa HAPA tunapata elimu qurani NDIO Tina SIO vinginevyo KWAHIYO marashi ya sihiri tiba ni qurani marashi ya kisayasi NDIO jnaweza kutumia panado nakadhalika sasa watu wanasema tofauti KABISA shukrani shwikh
Wambie wapemba hao
Shekhe yuko sahihi, hao wanaofua maulamaa wanaoruhusu kuamiliana na majini, wameshindwa kuelewa kuwa wao ni watu kama walivyo wao,, tumeambiwa tukitatazika na jambo turejee ktk qur’an na suna, leo mashehe wanaleta ujanja ujanja kutaka maslah ya kidunia, nawausia na kuusia nafsi yangu tumuogope allah, hakuna mwenye kujua ni wapi kapatia au kakakosea.
Ukweli waislamu hutumia majininkwa uchawi wao. Hakuna jini mzuri hata kamwe. Majini yote nibya waislamu na ni yote mabaya
Yale majini yanatii quran ni yale yale yamewekwa na muislamu
Naomba nisaidie na mimi shekhee na majini yani shida huu mwaka wa 10
Kaombewe kanisaniii
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.Allah akulipe kher.
Allah akibaru Allah akibaru laa illaha ILALAAH
Dr sulle Jo ujifundishe apa mambo ya majini.
This guy makes lots of sence Allaahumma baarik. May Allah grant him steadfastness
Leo hii nimeamini kumbe tunaweza kuwa na viongozi wa Imani wenye nguvu za kuwasaidia watu kweli bila wao kujua nguvu hiyo inawezaje kuwasaidia watu, hiyo ni shida kubwa sana.
Allah ndiyo Mungu kwa lugha ya kiarabu yeye Mwenyezi Mungu hufanya kazi na viumbe alivyoviumba mwenyew kama njia moja wa kirahisisha msaada kwa waja wake God is a spirit and that is devided into two type that
1. Holy spirits like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors, Aliens, etc
2. Evil spirits are like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors etc
So, don't oppose if don't have full knowledge of Allah/God
Leo unakataa juu ya viumbe majini wa Mwenyezi Mungu naomba ujibu Mbele ya Umma kinachosababisha uwe na mvuto katika shughuri zako na kwenye ridhiki zako
Ni nini kilichoko kwenye Pete yako iliyoandaliwa kwa Majina yako, Tarehe yako yakuzaliwa (DOB ) and photo. Hivi kwann viongozi baadhi wa Imani wana vificho ndani ya huduma zao?
Wote wachaeiiiiiii
Yana patikana wapi
Pamoja na namba zake za simu kwa walio mbali
ANAYO VYOMBO VYA USHIRIKINA MKONONI!
Masha Allah
Namaba ya sheikh zinapatikana vipi?
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.
Huyu sheikh yuapatikana vipi?. Any contact
Kweli kufanya jini akulinde ni shirki lakini jini waeza mtuma kama kumfanyia mtu dawa na kumtumia jini kukupa pesa hio pia sio kitu kizuri kwa sababu jini waeza mtuma pesa akaenda kuiba ila majini ustadh waeza mtumia kwa njia ya haki
Hakuna hiyo, huwez mtumia jini ktk njia yoyote ile, hakuna Ayah wala Hadith sahihi ya Mtume Muhammad S.A.W, wala yeye Mtume Muhammad S.A.W hajawahi mtumia jini kwa njia yoyote ile. Kwa nn umtume amtibie mtu, unajuaje kama huyo jini mzuri ama mbaya kajigeuza? Jini hafai kutumiwa na mwanadam kwa njia yoyote isipokua ya batili (haram)
@@fadhilmandaliabdalla6736 hawakuumbwa majini na binadamu ila kumuabudu Allah wako majini wazuri tena hao majini wazuri ni wale waisilamu na waeza kumtumia jini kwa njia ya sawa utake usitake kama haifai nabii suleiman hangewatuma majini
Sasaa mbona hautajy jinahilo lá muenhezimungu?
Al_Razzaq
Jini hujamtoa kwa dua !!!
Hayo majini hurudi.. mwende kanisa Watoe hayo majini milele
Utakufa nacho kiziba cha ukafiri
@@alyanibalbila sikiza hiii mkafir.. Mimi siamini majin, dini yako Ina tambua ukristo ndani ya Koran, ya kwangu hajui uislam..
weee kwanza tafakari maneno hayo