Maashallah baharin kupaa angani skuli yote nimeota kuingiliwa miala iloipita sasa afazar ila majenga mwaka wa5 numba imesimama nikikata pesa za kezeka bat sijui zinakwenda wapi inakuka kila sabab matumiz zinpungua siezeki ni lweki shehe inayoyasema mtihani mkubwa yarab🤲
asalam aleykum shekhe mm hayo yte ulosema yana nikuta sana shekhe ndoa mbil zimevunjika bila sababu wala mahusiano haya dumu shekhe napitia wakat mgumu sna shekhe
Mm ninae uwa ananisumbua sana maana mm hunijia pale ninapo anza ku lala huja nika pigana nae japo kua hunimaliza nguvu na kama kuna mtu ako karibu yangu basi atanisikia nikipiga kelele sijui nifanyeje ili aniondokee maana sazengine huninia na sauti yani aongea ila simuelewi kisha ananiingia anaanza kunisumbua ila uwa simruhusu maana uwa napigana nae hadi inanibidi nipige makelele ili wenye wame lala karibu yangu waniamshe ndo pale anapo niachilia aki nimechoka na hili li jini
Mimi mwenyewe nkitaka kulala kale kausingizi inanijia yaan nakua naskia kila kitu ila mwil unakua hauna nguvu ata kujigeuza swez na saut haitoki imenitesa muda mrefuuu mnoo
Itia jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI KWA NGUVU AU ITA DAMU YA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI, MAANA HUYO YESU KRISTO NDO KIBOKO YA WACHAWI WAGANGA WASHIRIKINA NA TAKATAKA ZOTE ANAZOZUNGUMZIA HUYU NA HATA HUYU MGANGA YESU KRISTO NI WEMBE
Halafu HUYU anawadanganya UFALME WA giza hauwezi ukafitini UFALME WAKE maana hawa WAGANGA NA HAYO majina WOTE WAKO KATIKA falme moja AMBAO NI UFALME WA SHETANI, kwahyo msihangaike kutafuta vibaraka WA shetani AMBAO NI waganga hapana tafta watumishi wa MUNGU (YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI) watumishi wake YESU KRISTO NDO wanaoweza kuwaweka huru kwenye hzo nguvu za giza lkn sio waganga maana wanatumia nguvu za giza lkn sio inayotoka juu MBINGUNI tafta watumishi kama akina kuhani Musa, SUGUYE, MWAMPOSA, prophet david Richard , hawa ndio wanaoweza kuyatatua shda kama hzo maana NGUVU wanayoitimia inatoka juu MBINGUNI
Mimi nilikuwa naota hivo nikiwa najaamiana basi nikatoa sacrifice namba Saba ,,ya kukata hizo ndoto za kujamiana..tangu nitoe hazijawai nirudia hata kidogo
You know what,kama kitu hakijawahi kukutokea utaona chochote kile unachoambiwa ni uongo tu Lakini nikwambie watu wanapitia mtihani huku nje ,kama uko sawa sema Alhamdulilah Allah akulinde na kukuepusha na mabaya. Kwa wale wana shida wacha waskie Insha'Allah kwa auezo wa Allah watapata shifa na kufanyiwa wepesi katika kila jambo Lao. Mungu akulinde na kukuepusha na maadui,mashetani na kila jambo mbaya likitaka kukutokea Allah akutangulie mbele Aameen.
HAPO SASA UNATAKA KUWAGEUZA ILI UWATAPELI WATU WEWE NDIO MWALIMU WA MATAPELI UNATAKIWA UCHUNGUZWE UNATUMIA DINI KITAPELI WATU HAPO JAMANI TUWE MAKINI NA HUYU SHEKH MSHIRIKINA,,🤣🤣🤣🤣,
Tunaomba Tafadhali kwa ajili ya ALLAH Shekh Othman akija Msa atupunguzie Malipo maana makubwa sana ndio pia dawa zina kua Taufik wengene hatuna pesa Fanyeni dawa kwa wepesi wa pesa INSHAALLAH
Bahati mbaya na wewe ni mganga umekuja tu na kuwaponda waganga lakini na wewe ni mganga kuni neno uganga ni utibabu kwani hata wale wahospitali wanaitwa waganga Sasa waponde wenzako lakini Bado itabaki wewe ni mganga no comment
mimi nimefurahi mawaidha yanavyotolewa hakika ni somo nzuri sana, ila hofu yangu ni mahilizi na dini ya kislamu kwani yanaashiria ushirikina sasa hapo ndio siajaelewa labda elimu yangu ndogo
Nyie mnatangaza biashara yenu ya uganga 😂😂😂😂, kwanza mlinza na maziga ubwe eti wangaga wanavyo fanya alafu eti tutaonyesha jinsi uongowao ulivyo hamkuonyesha lengo lenu lilikua ni kutangaza uganga wenu, jitibieni nyie kwanza
Hakuna kisicho tangazwa katika dunia hii hata dini isipotangazwa watu hawawezi kuijua,Hata wewe leo ukifungua hospitali yako leo utaitangaza ila nikushauri tu acha rohoo mbaya na husda juu ya wanaharakati wa dini ya Uislamu na tiba kama hizi za kisheria yaani zinazozingatia misingi ya Qurani ziko sahihi hata Mtume alifanya uganga huu na ni sehemu ya dini na maana ya neno Uganga ni tabibu ;sasa sijui wewe unapinga nini?Hata Madakitari wa tiba za magonjwa ya kibailojia nao katika kuswahili ni Waganga au Watabibu ndiyo maana utasikia mtu anahitwa mganga mkuu wa serikali.Tumia akili husikurupuke Wewe, zamani tiba za kizungu hazikuwepo na watu walitibiwa kwa njia za asili na Wazungu katika utafiti wao wa madawa wanashirikiana na watu mbalimbali wenye kuijua miti kitiba wa kiasili lakini wewe limbukeni unaleta kejeli hapa .
@@ramadhanwilbard8196 watu hawakatai tiba za asili. Ila kusema kuwa eti Kuna makini yanawaingia watu na kwamba eti Kuna watu wanaweza kuzuia Riziki Kwa kukuwekea kivuli huo ni uwongo.
@@jeaninevumilia5917 Inamaanisha unaamini huu upuuzi ? Tunajaribu kuwasaidia nyinnyi mnao danganywa. I'm not here to argue with people. Una uhuru wa kuamini na kutoamini. Sina haja ya utoto wa kushindana na watu !
Yarabi inamanisha mm ninayo mm naota nikipaa subunallah
Uchawi
Maashallah baharin kupaa angani skuli yote nimeota kuingiliwa miala iloipita sasa afazar ila majenga mwaka wa5 numba imesimama nikikata pesa za kezeka bat sijui zinakwenda wapi inakuka kila sabab matumiz zinpungua siezeki ni lweki shehe inayoyasema mtihani mkubwa yarab🤲
Kweli wanakoxea
Kweli wanakosea
Munipe.namba.niwapigiye.sim
Pia mm nimeshukuru kupata watumishi WA mwenyezi Mungu hebu watusaidie
asalam aleykum shekhe mm hayo yte ulosema yana nikuta sana shekhe ndoa mbil zimevunjika bila sababu wala mahusiano haya dumu shekhe napitia wakat mgumu sna shekhe
Mungu.anikinge.nahuyo.jini
Tuandikie Jina zahizo mti
Mm ninae uwa ananisumbua sana maana mm hunijia pale ninapo anza ku lala huja nika pigana nae japo kua hunimaliza nguvu na kama kuna mtu ako karibu yangu basi atanisikia nikipiga kelele sijui nifanyeje ili aniondokee maana sazengine huninia na sauti yani aongea ila simuelewi kisha ananiingia anaanza kunisumbua ila uwa simruhusu maana uwa napigana nae hadi inanibidi nipige makelele ili wenye wame lala karibu yangu waniamshe ndo pale anapo niachilia aki nimechoka na hili li jini
Mimi mwenyewe nkitaka kulala kale kausingizi inanijia yaan nakua naskia kila kitu ila mwil unakua hauna nguvu ata kujigeuza swez na saut haitoki imenitesa muda mrefuuu mnoo
Itia jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI KWA NGUVU AU ITA DAMU YA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI, MAANA HUYO YESU KRISTO NDO KIBOKO YA WACHAWI WAGANGA WASHIRIKINA NA TAKATAKA ZOTE ANAZOZUNGUMZIA HUYU NA HATA HUYU MGANGA YESU KRISTO NI WEMBE
@@neemamboya-ss6pl MWITE AU ITA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI
Halafu HUYU anawadanganya UFALME WA giza hauwezi ukafitini UFALME WAKE maana hawa WAGANGA NA HAYO majina WOTE WAKO KATIKA falme moja AMBAO NI UFALME WA SHETANI, kwahyo msihangaike kutafuta vibaraka WA shetani AMBAO NI waganga hapana tafta watumishi wa MUNGU (YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI) watumishi wake YESU KRISTO NDO wanaoweza kuwaweka huru kwenye hzo nguvu za giza lkn sio waganga maana wanatumia nguvu za giza lkn sio inayotoka juu MBINGUNI tafta watumishi kama akina kuhani Musa, SUGUYE, MWAMPOSA, prophet david Richard , hawa ndio wanaoweza kuyatatua shda kama hzo maana NGUVU wanayoitimia inatoka juu MBINGUNI
Mimi nilikuwa naota hivo nikiwa najaamiana basi nikatoa sacrifice namba Saba ,,ya kukata hizo ndoto za kujamiana..tangu nitoe hazijawai nirudia hata kidogo
Jambo jina ni sandrine Mimi nahitaji Numero yako ya wastapp
Naomba kujua vile naweza toa nuksi, na nipate nyota yangu na pia kupendwa na mwanamke akuwe tu akinifikiria kila saa.
Elimu inaweza kuwa nzuri, ila uvaaji huu unatufundisha nini kama umma wa kiislamu?
Me napenda kuota nikiwa nafunukwa na maji 😢 mana yake nini..?
Unampenda kuota ivyo?
Na napenda kuota nikia nimepaa
Some time mmetuvalia juga kutundanganya, ndoto inaendana na mawazo yako
You know what,kama kitu hakijawahi kukutokea utaona chochote kile unachoambiwa ni uongo tu
Lakini nikwambie watu wanapitia mtihani huku nje ,kama uko sawa sema Alhamdulilah
Allah akulinde na kukuepusha na mabaya.
Kwa wale wana shida wacha waskie Insha'Allah kwa auezo wa Allah watapata shifa na kufanyiwa wepesi katika kila jambo Lao.
Mungu akulinde na kukuepusha na maadui,mashetani na kila jambo mbaya likitaka kukutokea Allah akutangulie mbele Aameen.
Life is spiritual,kama waelewa what spiritual is basi haifai kupingana
@@reenaismael4310 kweli asee
Na mawazo yako yanawezatawaliwa bado na shetani
Sio kweli ndoto huletwa na Mungu au shetani
Naomba namba
Uwo mti unaitwaje shekhe
Nahitaji msaada ktk hili kila ulichokiongea kinanihusu mimi
Tunataka huwomti nimtigani
Yaan huyu sheikh ana comedy ndani yake😂😂😂utacheka tu
😂😂😂😂😂
@@manasa2449 kweli sngd comedian
@@zohoraramadan4540 yaani ukiangalia unaruadia rudia 😀😀😀
Na hayo mahirizi umebeba ya ya Nn Kama wewe ni Shehe?
Mkuta
Yesu Alisha maliza yote pale msalabani
SUBHANAALLAH YAARABB TUKINGE NA MAJINI 🤲🤲😰😰😰
Sawa ila mbon umevaa mielizi n miguo hiyo y kienyeji
Huo mti wa mkuta ndio mti gani wanao jua watusaidie
Nisadie Niko na shida ndoto mbaya sana,Niko na kisirani mbaya
HAPO SASA UNATAKA KUWAGEUZA ILI UWATAPELI WATU WEWE NDIO MWALIMU WA MATAPELI UNATAKIWA UCHUNGUZWE UNATUMIA DINI KITAPELI WATU HAPO JAMANI TUWE MAKINI NA HUYU SHEKH MSHIRIKINA,,🤣🤣🤣🤣,
tusaidie tufanyeje ili watuondoke shkh tusaidie
Sikiliza maelezo ya sheikh kwa makini
kivipi
Mhh yaani shehe ww unaongea kweli sisi wenye jini mahaba tunapata shida sana na hatuna bahati kabisa
Tunaomba Tafadhali kwa ajili ya ALLAH Shekh Othman akija Msa atupunguzie Malipo maana makubwa sana ndio pia dawa zina kua Taufik wengene hatuna pesa Fanyeni dawa kwa wepesi wa pesa INSHAALLAH
Dah yan shekhee umeongea lugha zote kuhutaj uwo mti,.lkn kw kiswahil ndo umefeli 😁😁😁😁,make ungeutaj uwez ukapgiwaa sim 😁😁😁 shekhee ww noma sanaaa
Assalaamaleikum vipi sheikh ati ni mtigani anaouzungumzia hapo naona nikiwa search Google yanakuja mengi!!!
Hello Mimi nashita Kama izo unaweza nisaidia namnagani? Pesa nabata kwa mwezi elfu hamsini lakini uwa sizioni kapsa Sina kitu
Pia wakristo wengi wapitia mambo haya ilhali watapeliwa na wati
Nasafiri alafu gari inaniacha sehemu ya kuchimba dawa
Mm maisha siotiii kabisaa haya jini asieota aitwa nani .nalala fofo .wtt n mume wangu kutwa Kuni beza kwa usingizi mwingi.
Waleykumusalamu warahmatullah wabarakatuh, 😁mwamba, we jafari ninacheka unafikiri mazuri usituchekeshe na hali ni musiba
Kweli kabisaa
Mimi Kuota na kuhaudiwa pesa lakini siku ikifika anitumi anageuka
Bahati mbaya na wewe ni mganga umekuja tu na kuwaponda waganga lakini na wewe ni mganga kuni neno uganga ni utibabu kwani hata wale wahospitali wanaitwa waganga Sasa waponde wenzako lakini Bado itabaki wewe ni mganga no comment
😂 Ninayo kivuli hikyo ya Nuksi
Shekhe ikiwa wewe unawapiga wa ganga ila unatugahamisha dawa na dawa hizi hizi ndio tunazopewa na hawa hawa waganga hebu tujeni Kuna nn hapa
mimi nimefurahi mawaidha yanavyotolewa hakika ni somo nzuri sana, ila hofu yangu ni mahilizi na dini ya kislamu kwani yanaashiria ushirikina sasa hapo ndio siajaelewa labda elimu yangu ndogo
Naomba namba yako
Tuonyeshe mti huo naomba tafadhali
Asante sana kwa mafunzo mungu akubariki🙏🙏🙏
Dar
Je ukiwa unasafir mara kwa mara safari za kawaida inakua jje sheikh
Dah
Shekhe mm ndoto hzo naota sn nitasaidikaje niko mbali
Maneno mengiiiiiiiii!!
Huo muilizi hapo ndo uonekane fundi au yani sikuizi mjini wezi wengi kwa kweli khaaaaa kujiganya unaongea kilafudhi ya kiislam kuchafua watu tuuu
Shekh mm Niko na hizo shida nakupataje wallah nimechoka kabisa Mambo hayaidi kila nifanyalo nakuomba sana nidaudie sijui nifanyaje mm
Una swali kila Siku??? Simamisha Swala mambo yako Yatanyoka!
Wallah nimejikuta nacheka
Ivi huyu mbona yupo nawatu wa bidaa asaiv au Bora tonge
Ilo vazi shekh vipi mbona kama mganga wakienyeji ??unatueka njia panda
😢😢mimi ninaye kweli napenda kuota nafanya mapenzi mara nimeza kila kitu nikifanya mthihani kwakweli ata nikipata mchumba binaishia ivo😢
Dawa IPO tutakusaidia
Ahsante Sanaa Sheikh kwa Somo nzuri
Yesu Kristo Ndiye Mwamba wangu 2
Nimependa sana mafunzo yako
Kiswahili unaitwaje
+254 Kenya mti wa kuondoa nuts audawa inapatkanna wait?
Sheikh kambe waniongelea mm😢😢
Ni dhambi kuwa wawili watu wa jinsia tofauti
Ndio nizambi mnafanyanini uko vichocholoni.kwenye faraga?
Na huyu nae pia anitwa shekhe??? Mnaomuamini nyote mnakufuru
Mtu huyo sheikh mungutuonyesha majani yake tungeutafuta au kama inawezekana kukupata kupitia ww tusaidie namba zasim mm nipo Burundi sjui nitaupataje
Nami hzo ndoto ndio zangu kbsa wallah
Nyie mnatangaza biashara yenu ya uganga 😂😂😂😂, kwanza mlinza na maziga ubwe eti wangaga wanavyo fanya alafu eti tutaonyesha jinsi uongowao ulivyo hamkuonyesha lengo lenu lilikua ni kutangaza uganga wenu, jitibieni nyie kwanza
Siyo biashara hivi vitu Vipi sema inafatana na njia utayotumia kujitibia
@@lifeinmiddleeast8179 wewe unaejuwa haki tufahamishe kwenye channel yako na kama huna channel azisha channel utufundishe ili tujue na sio uropoke tu
@@lifeinmiddleeast8179 wewe unaejuwa haki tufahamishe kwenye channel yako na kama huna channel azisha channel utufundishe ili tujue na sio uropoke tu
Hakuna kisicho tangazwa katika dunia hii hata dini isipotangazwa watu hawawezi kuijua,Hata wewe leo ukifungua hospitali yako leo utaitangaza ila nikushauri tu acha rohoo mbaya na husda juu ya wanaharakati wa dini ya Uislamu na tiba kama hizi za kisheria yaani zinazozingatia misingi ya Qurani ziko sahihi hata Mtume alifanya uganga huu na ni sehemu ya dini na maana ya neno Uganga ni tabibu ;sasa sijui wewe unapinga nini?Hata Madakitari wa tiba za magonjwa ya kibailojia nao katika kuswahili ni Waganga au Watabibu ndiyo maana utasikia mtu anahitwa mganga mkuu wa serikali.Tumia akili husikurupuke Wewe, zamani tiba za kizungu hazikuwepo na watu walitibiwa kwa njia za asili na Wazungu katika utafiti wao wa madawa wanashirikiana na watu mbalimbali wenye kuijua miti kitiba wa kiasili lakini wewe limbukeni unaleta kejeli hapa .
@@ramadhanwilbard8196 watu hawakatai tiba za asili. Ila kusema kuwa eti Kuna makini yanawaingia watu na kwamba eti Kuna watu wanaweza kuzuia Riziki Kwa kukuwekea kivuli huo ni uwongo.
Sheikh mti huo hauna jina Kwa kiswahili ili nasi tujue?
Unawaponda waganga alafu na ww unafanya uganga balaa tupu
Mimi Nina mwaka sita nishaasha shule lakini kila siku nakua naota nikiwa shule
Nimepitia baadhi ya mambo haya
Sasa naweza kuzitoa vp
Samahanini huyu msemaji hapa tumfahamu vipi AMA yupo kundi gani?
Kaka uyo mti unaitwaje kwenye kingereza ?
Shukran sheikhe allaah akuongoze
Wallah nimejikuta nacheka
Muongo😅
Iyonikweli wa Ganga niwaongo 😂😂
Anime Google kama alivyo sema nimepata al ausaj na al khaizaran imekuja miti miwili tofauti 😮
😢😢😢utanisaidiaje mm maana Chenye unaongea kinanikuta kila wakati nafukuzwa kazi na nikipa mwanaume ananiacha bila sababu😢😢😢😢
Njoo upate dawa utoe nuksi 254712734325
Mimi niko kenya mti jana ya kenya
Mm mara Moja moja ndio naota hiyo y kupaa mara Moja Moja je ninaye, naomba unijibu
Unandoto kubwa katika maisha yako Fanya Ibada unanuru ndani yako!!!
@@muba6699 wallah kama vile unajua bro shukran
Taja tena.huo mti.
Shkh tusadie tiba hiyo see tulioko mikoani
Inachekesha weweshehe wangu
Shukran laka kwa elmu
Duu atr Allah atupishe naivo vitu
Uyu mganga au shekhe mbona ana mielizi kama mijezi ya makolo
Huyu ni muongo
Kwahy uy mgang au shekh nasikia shekh wang😅😅
Mimi nnaye nitakupataje dalili zote nnazo naokewakila naachika nitakupataje nasumbuka
Pole sana nitafute naeza kushauri insha Allah dadaa
Uwongo mtupu.
Mnao tizama hii you tube chungeni.
Wewe piya waitazama
@@jeaninevumilia5917
Inamaanisha unaamini huu upuuzi ?
Tunajaribu kuwasaidia nyinnyi mnao danganywa.
I'm not here to argue with people.
Una uhuru wa kuamini na kutoamini.
Sina haja ya utoto wa kushindana na watu !
Acha uongo.....shaitan hakai sehemu inaposomwa albqara...ayatu qursi.....hatuna dalili eti masahaba walioga mti flani ......eti ukaondoa nuksi....hiii dini inekamilika
Mimi huwa nashangaa et oga toa nuksi khaa nuksi ndo nn ss!upo mbali na mola wako ibada 0 af et uoge utoe nuksi😥
@@latiferameer4922 Allah akulipe.....kuna vijamaaa vina njaaa vinataka kupiga hela za watu
Huo ni uwongo.
Hapo kwa bibi harusi na po nimejifunza sana nilikuwa sijui watu husema nn
Asante Sana kwa funzo🙏
Mkuta mbona iyo kiswahili inatuchanganya
Jamani mkowapi
Masha Allah Mimi nataka
😁😁😁😁Waganga
Sasa huyo muti tutaupataje
😂😂😂😂😂😂
Unashindwa kuzungumzia tiba unatoa stor
Unaongea ukweli yaani wachawi kiukweli ni kipi wanachokipata
Uyu anaitwa nani
Maashaallah
Kabisaa