Itakapo kuja nusra ya Mwenye Enzi Mungu na ushindi.Utawaona watu wanaingia katika dini ya Mwenye Enzi Mungu makundi kwa makundi.Basi msabihi Mola wako na umuombe msamaha.Hakika YEYE ni mwenye toba
ماشاءالله ماشاءالله Ewe Allah Mim kabla sijafa yarab nijaalie namim niee nimefanya kitu chochote kwa ajili ya Uislam wangu😭😭😭😭Yarab yakariim Mashallah Allahumma barik mabrookiin Wazaz wa mtoto na kijiji kwa ujumla ni Neema Kubwa mmeipata الحمد لله على نعمة الإسلام 🤲😭
Masha Allah, namjua huyu Husna Allah abaarik kwel ana shime khasa yakuijua dini anajituma sana ktk kutafut ilmu ya deen, masha Allah kawa7bu ya kusilim wanakijij wingi kwao ni jambo kubwa mno Allah amlipe kheri
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh...naomba salaam hizi zimfikie sheikh Kishki na sheilh Shariff Al Ahdal kuna msikiti dhoofol hali uko mburahati kwa jongo unaitwa masjid Hudaa muanzilishi al marhum sheikh Mangala kwakweli hali ni mbaya na maimam hali zao ni mbaya pia wanahitahitaji wafadhili waende wakawatembelee waone hali ilivyo mbaya
MashaAllah Tabarakalllah, Allah amlipe Kheri uyo Ukhti Kwa jitihada Kubwa ambazo amezifanya.
Huu ni Mfano wa Kuigwa.
Ammen
mashaallah Allah akulipe mwanafunzi mwenzetu kwajitihada zako
Shukran zote NJEMA ni za Allah kwa neema ya uislamu
ALLAHU AKBAAR ALLAHU AKBAAR ALLAHU AKBAAR MACHOZI YANANITOKA.HAKIKA UISLAM NI DINI YA HAKI NA TAMU. ALLAHU AMHIFADHI DADA YETU
Aamiin
Aamin
Amin ya rabbi
Ameen
Aamini
Maashaallah...
Allah amlipe heri ukhty wetu... hakika kazi kubwa mno...
Alhamdulillah kwa Neema ya uislam.🤲
Allah azidi kuwaongoza.🤲
Allah awahifadhi🤲
Hakika unafanya kazi kubwa aliyofanya Mtume wetu na Maswahaba zake. Allah SW Awabariki nyote.
Almdulillahi,mm ni muslim kutoka mozambique ahsante dada.
SubhanaAllah 😭
ALLAHU Akbaar
MashaAllah TabaraqaAllah ukhty wetu Allah akuhifadhi
Amiin Amiin Amiin
MashaAllah ALLAH akujalie JANNAH ukhty wng🤲😢🥰🧡🧡
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR
Machozi yananitoka mimi naomba no ya huykty nipo oman mashallah
Namim naitaka iyo namba nipo oman pia
Hata mm
@@SalehomariIbrahim 😊
😊😊😊
Me pia naitaka hiyo no nipo Dubai
ManshaAllah. Allah azidi kuwaongoza woote InshaAllah 🤲
MASHAA ALLAH tabaarak ALLAH
ALLAH azidi kukulipa kheri zisizo na khesabu mdg wangu fungulako lipo kwa ALLAH kubwa MASHAA ALLAH
Sannna
Amiin
Mashallah Mashallah Allah amsimamie zaid Jee Kaolewa huyu Kijana
Allah akuzidishie hero dadaetu
Ma nsha Allah Aslam aleikum wa rahmatullah wa barakatuh sheikh wetu tunakupenda sana SI Moja utembereye Rwanda In Sha Allah
Allah ameihifadhi dada yetu huyu,masheilkh wanagombamia misikiti mijini tu!!
Allah akbar, Allah awazidishie Nuru na nguvu ya imani.
Masha Allah mwenyezi mungu awajalie wote mji mzima kua waislamu
Allah awazidishie wote na atupe mshikamano na mapenzi ktk Dini yetu Amiin.
Maashaallah kwa Mungu yote yànawezekana Allah atujaalie umri mrefu wenye manufaa na àtujaalie mwisho mwema amiin
MaashaAllah laa haula walaa quwwata illa billah
Subhanah lmalik lqudus. Allah Akbar. Allah akujaalie mwisho mwema bint .
Itakapo kuja nusra ya Mwenye Enzi Mungu na ushindi.Utawaona watu wanaingia katika dini ya Mwenye Enzi Mungu makundi kwa makundi.Basi msabihi Mola wako na umuombe msamaha.Hakika YEYE ni mwenye toba
Mashallah Allah akufanyie ni wepesi katika kazi ambayo mlipaji. Ni ,Allah
SubhanaAllah SubhanaAllah Allahu akbarr
MashaAllah ❤ Allah akulipe jannah habibty
Masha Allah tabarakallah. Allah akulipe kila la kher pamoja na wazazi wako kwa upokea uislamu ❤❤❤
MashaAllah Tabarakkah'Allah Allah amlipe kheir uyo ukhty kw kuieneza dini yetu ya haki ya kiislam
Maa Shaa ALLAH 🇰🇪💚💚💚💚
Maa shaa Allah Maa shaa Allah tabaraka Rahman
Asalam alaikum shk kishki. Naomba niwe ustadh mm. Natokea. Kenya. Ali Said.
ماشاءالله ماشاءالله Ewe Allah Mim kabla sijafa yarab nijaalie namim niee nimefanya kitu chochote kwa ajili ya Uislam wangu😭😭😭😭Yarab yakariim
Mashallah Allahumma barik mabrookiin Wazaz wa mtoto na kijiji kwa ujumla ni Neema Kubwa mmeipata الحمد لله على نعمة الإسلام 🤲😭
MashaAllah. MwenyeziMungu akufanyie wepesi Dada yetu,MwenyeziMungu Akupe umri mrefu,
Mashaallah dada...vp umeshaolewa dada .. Allah nimwingi Warehma amlinde huyu dada ampe NUSRA FIDDUNIA WAL-AKHERA
Masha allah mama yangu tupo pamoja mie mwanao ost othuman singida niliekua nasoma Tanga naomba namba yako mama yangu angalau tujulikane hali
Bissimillah mashaAllah
Nakumbuka neema ya kuishi pamoja nawe tukiwa kondoa wallah allah akulipe mie ni moja ya ambao nimesilim kupitia mikono ya mme wako doctor abdi
ALLAH AQBAAR NA INSHAALLAH MUNGU AKULINDE NA AKUBARIKI DADA YNG KIPENZI....
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin
Ma shaa Allah!
Allah amlipe kila la kheir kwa kazi kubwa aliyomjaalia kuifanya.
Amiin.
Mashaallah allah akupe maisha marefu yenye baraka na akujalie uingie peponi...allahumma ameen❤
MashaAllah apewe ulinzi! Na kuwezeshwa zaid
Mashaallah Allah akuzdishye kila la khel kwenye maisha yako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Maa Shaa Allah
Allah akuhifadhi na akulipe kher nyingi na barka
Allahu Akbar !!!Allahu Akbar
Allah akuzidishie kheri katika dini ya hakika dada gingera pia
Mashallah Allah azidishe Nauru ya uslam iyenee kila kona ya dunia inshaallah hongera dd malipo yako nimakubwa mbele ya Allah
Maashaallaah allaah akulipe pepo
Masha Allah, namjua huyu Husna Allah abaarik kwel ana shime khasa yakuijua dini anajituma sana ktk kutafut ilmu ya deen, masha Allah kawa7bu ya kusilim wanakijij wingi kwao ni jambo kubwa mno Allah amlipe kheri
Masha Allah.
Allah amlipe khery ktk dunia na akhera
Mwenyenzimungu akubarik sister Kwa juhudi zako shukran
Ma Sha Allah Mungu ajalie Kheir yote na ajidishie elimu
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR
Allah amlipe kila lililo hitajio la moyo wake na Allah akamlipe ujira mkubwa kesho akhera amiin
Allahuma Amiin yah Rabbal A'alamiin
Mashaallah kutafuta elimu ni faradhi kwa kila muislamu
Wakristo wakisikia ivo watu wanasilim acha wakereke😂😂😂
MashaAllah mashaAllah mashaAllah Allah Akbar Allah akuifadh dad yng sio Kaz ndog umefany Allah aidumish din yet🤲🤲🤲
MashaAllah ❤ Allah azid kuismamisha uislam
Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie kheri ❤❤
Mashaa Allah, Allah awazidishie kher inshaa Allah
Mashaa Allah Tabaraka Rah'man wajina wangu
Mungu akuzidishie
Mashallah mungu akuhifazii uzidi kuipendaa dini yakoo
Masha Allah tabarakallah, mungu ampe elimu zaidi❤❤❤❤
MASHAALLAH ALLAH AZIDI KUWAHIFADHI WOTE NA KUWAFAHAMISHA ZAIDI
Allah akuhifadh ya ukhuty
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah ❤❤❤ Allah amuhifadhi
Manshaallah aendelee kuikuza kijiji hiki
Mashaallah . Allah amjalie kila la kheri huo dada yetu 👏
Maashaallah Maashaallah Allah akuhifadhi ndg yetu
Mashallah
Mashaaallaah allaah amzidishie elimu
Assalamu aleikumu warahamatulahi wabarakatu
LAILAHI 🙏
Hadi raha ALLAH
Amzidishiye elimu
Shukuran Ya Rabbi 🤲
Sheikh kishiki
Hasbunna'llah 'wannemal wakeel 💪💪
Mashaa-Allah Allah akujaze kheir
Ma shaa Allah Tabaraka Rahmaan
Maasha Allah Tabarkallah Allahumma Baariiki
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh...naomba salaam hizi zimfikie sheikh Kishki na sheilh Shariff Al Ahdal kuna msikiti dhoofol hali uko mburahati kwa jongo unaitwa masjid Hudaa muanzilishi al marhum sheikh Mangala kwakweli hali ni mbaya na maimam hali zao ni mbaya pia wanahitahitaji wafadhili waende wakawatembelee waone hali ilivyo mbaya
Mashallah jazaka lau khaira
Mashaallah Mashaallah Allah akuzidishie ❤❤❤😢😢
Maashallah jazakallahu kheyr.
mashallah allah atakulipa ujira wako katika dunia na kesho akhera
Takbir takbir takbir Allah akbar subhanallah kiukweli Allah alikuleta duniani kwa ajili ya kuuleta uislam katika kijiji hichi
M/Akulipe kheir umejitahidi
Allaahu Akbaru
MashaAllaah zabarakaAllah wa Alhamdulillaah
Allaah amuhifadhi daaimnah kwa Neema zake huyu dada ❤❤
Mashaallha allha amjarie na atujalie nasini pia tuwe waja wema
Mashallaw mungu kifanyie wepesi kipenzi
Mashallah Allah amuhidhi in shaa Allah
MashaAllah MashaAllah
Allahu akbar alhamdulilah
Mashaaa Allah mashaa Allah Tabarak Allah
Mashaallah Allah akuifadhi kwa ajili yake
MashaaAllah alhamdulila
Mashaallah Mashaallah ALLAHU AQBAR
Mashaallah mashaallah ❤
Mungu atakulipa ndicho Allah asnac
Anachkihimiza pigana dini ya Allah
Masha allah❤❤❤
Mashaallah Mashaallah
Masha Allah
Allah akujaalie Pepo inshaakah
MaashaAllah MaashaAllah MaashaAllah. Takbiiir! AllahuAkbar
Marshallah Allah akujaze khery❤ Allah akulipe