Huu ndio ujanja wanaotumia waganga na wapiga ramli kuongopea watu - Jafar Abdul Rahman

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 156

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 ปีที่แล้ว +11

    Allah awape umri mrf piah awalinde na kila aina ya shari ili tuendelee kupata elimu dunia#nawapenda sana waislamu kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤

  • @hamisibinti2716
    @hamisibinti2716 ปีที่แล้ว +11

    Alhamdulillah ndio mana me cpendi waganga wallah 😢😢😢 Allah akujalie roho hiyo nkijiona Nina shida ama maradhi namka ucku nasali Sala mbili na kufunga Ya Allah walinde kizazi Chang kiwe chenye kuamin mungu ndio klaktu Ameen yaaraby 😢😢

    • @kingbalozi7171
      @kingbalozi7171 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisaa

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

      Hamisibint ni kwel ata Mimi yakizidi matatizo saa nyingine nasal

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 ปีที่แล้ว +9

    Subhanallah 🥺Lahauwalakuwwataillabillah Yarab tuepushe na dhambi yakukushirisha kwa kujua n kutokujua😥Sheikh hii katika swadakatunjariya yako inshaallah

  • @JamilaLubuva-ju5zu
    @JamilaLubuva-ju5zu ปีที่แล้ว +7

    Sheikh mwenyez mungu atakulipa kwa kututoa gizan

  • @chemotokaula-ew1zn
    @chemotokaula-ew1zn 4 หลายเดือนก่อน

    Mafundisho mazuri .nawafuata nikiwa magharibi mwa kenya .🇰🇪

  • @starlight8794
    @starlight8794 ปีที่แล้ว +1

    ndio maana mm uwa siamini chochote kuusu mganga Mungu anijalie nisiwai kwenda uko kwa mganga Ameen

  • @Mohamedi-w3w
    @Mohamedi-w3w ปีที่แล้ว +1

    Hatar juuh yahatar

  • @HamisNasib-uu4zd
    @HamisNasib-uu4zd ปีที่แล้ว +1

    Subhannallah,,,Allah awalipe

  • @adijamuke8590
    @adijamuke8590 ปีที่แล้ว +1

    Subuhanallah Allah akulipe kilalakheri fidunia wali akhera shekhe
    na azidi mutuongiza 😢

  • @HamdanKanju
    @HamdanKanju ปีที่แล้ว +1

    INNALLAIH WAINALLAIH RAJIURRRY Allah atulinde na atuepushe na moto wa jahhanam

  • @mwatimaabdalla5832
    @mwatimaabdalla5832 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah shehe jafarii Allah akuzidishie uwepo wapo uzid kuwafundisha watu na kuwatowa watu kwenye giza nene

  • @jastinimarukusi7803
    @jastinimarukusi7803 ปีที่แล้ว +2

    Big up ,Sasa imekua Kama kitendawili ila ninaomba tutegulie

  • @leilamohammed3018
    @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว +1

    mungu akulipe kwakuelimisha hii nakuwafunguwa macho wengine

  • @AbdallahKindamba-o3f
    @AbdallahKindamba-o3f ปีที่แล้ว

    allah akulinde

  • @rahmashabani9738
    @rahmashabani9738 ปีที่แล้ว

    Subhallah je tunajilindaje na kufulu hii

  • @florencekawira2212
    @florencekawira2212 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu na akuingeze hekima

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 ปีที่แล้ว

    Duhh acha shirki Allah aiharamishe kwa fitna na utapeli wallahi tiba ni yakisunna tu

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 ปีที่แล้ว

      Huyo anaon esha mfano babu elewa usichapie

  • @suleimanali9980
    @suleimanali9980 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh umeonesha hapo sawa lakini tupe siri ya karatasi kugeuka pesa

  • @kyataonline5262
    @kyataonline5262 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe sana kuamsha jamii!

  • @FadhiliAdam-oc2kk
    @FadhiliAdam-oc2kk ปีที่แล้ว +1

    Shekhe alha akulipe khe

  • @mwashalimwashali
    @mwashalimwashali ปีที่แล้ว

    alhamdulillah 🙏

  • @ladymuslima4956
    @ladymuslima4956 ปีที่แล้ว

    Muislam kwanza hutakiwi kulalamika matatizo yake kwa binaadam mwenzie!only to Allah PERIOD

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 ปีที่แล้ว +2

    SUBHAN ALLAH

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 ปีที่แล้ว +1

    Subhannallah!!!

  • @leilamohammed3018
    @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว

    nimecheka kwasauty wallah

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 ปีที่แล้ว

    Subha Allah
    Shukran jazzir
    Sasa ustadh mbona hatuoni maji yalipo dondoka

  • @soulmateasinoh
    @soulmateasinoh ปีที่แล้ว

    SubhanaAllah

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Mtihani kwa kweli

  • @sakow747
    @sakow747 ปีที่แล้ว

    Mashaalah Yumiko be right

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 ปีที่แล้ว

    Shee noma anatubu kistaili Ila noma

  • @reemareemo2698
    @reemareemo2698 ปีที่แล้ว

    Ume juaje kama waongo 😂 asante kwaelim

  • @salimmohd4999
    @salimmohd4999 ปีที่แล้ว +2

    Allah atuepushe na vitimbi vyao

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah

  • @mrok284
    @mrok284 ปีที่แล้ว +5

    She Othman naona unashangaa tu!!😂😂

  • @RitaTarimo-h9s
    @RitaTarimo-h9s 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliano yako

  • @ZaitoniTanzania
    @ZaitoniTanzania ปีที่แล้ว

    Subuhana AIIah

  • @Aliobo7323
    @Aliobo7323 7 หลายเดือนก่อน

    Mm naomba no yenu mm niko lamu Kenya tafadhali

  • @WaydaHaji
    @WaydaHaji ปีที่แล้ว

    Sasa uyo shekh mwenyewe yy anafqnyaje ht pesa zikarudi karatasi.

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Yani kweli umewakomesha sana leo

  • @mothersmothersnasry9341
    @mothersmothersnasry9341 ปีที่แล้ว

    Shekhe mtakupataje

  • @maqacharaonlinetv1341
    @maqacharaonlinetv1341 ปีที่แล้ว

    zangumzia na mashehe wanao kula sadaka za waumini pia mskiti wa manyema watu wanapiga sana pessa makodi

  • @MchaFakih-ij8kh
    @MchaFakih-ij8kh ปีที่แล้ว

    Duh! Balaaa

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Umenichekesha sana Leo

  • @saay4273
    @saay4273 ปีที่แล้ว

    SubuhanaAllah 😢😢😢😢😢

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 ปีที่แล้ว

    Wote ndo wale wale

  • @judithnagabona342
    @judithnagabona342 9 หลายเดือนก่อน

    2:08 2:15

  • @judithnagabona342
    @judithnagabona342 9 หลายเดือนก่อน

    2:28

  • @Meshackkussaja
    @Meshackkussaja ปีที่แล้ว +3

    Tunashukuru kwa elimu nzuri ila mngefanya vizuri kama mngemalizia sasa kwa kutoa elimu ya njanja wanavyofanya maana mkiishia hapa tu na ninyi mtakuwa kana kwamba mnapromote uganga

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Hata mimi nimeumia sana

  • @utalewamba4616
    @utalewamba4616 ปีที่แล้ว

    subuhan allah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 ปีที่แล้ว

    SUBHANALLAH 😢

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 ปีที่แล้ว

    SubhanAllah

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Subuhana aallah

  • @mwingwamaina8219
    @mwingwamaina8219 ปีที่แล้ว

    Sasa hayo yanaenda wapi na kichwa hakijatoboka?

  • @abuuarqam255
    @abuuarqam255 ปีที่แล้ว +1

    Uislam haihitaji maigizo

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 ปีที่แล้ว

      Anaonyesha uhalisia wa mambo watu waelewe utapeli na uongo wao wewe vipi

    • @KanulaKanula-hf3du
      @KanulaKanula-hf3du ปีที่แล้ว

      kwan nyie uislam mnaosoma ni mmoja na ule unaosomwa na wengine au ambao kila kitu hakifai?.Au mjomba mganga nn

  • @EmanuelNyaki-qn7do
    @EmanuelNyaki-qn7do ปีที่แล้ว +1

    Mtu akikuhitaji anakupataje sheikh wengine tunamatatizo

  • @DizoG-j9c
    @DizoG-j9c ปีที่แล้ว

    Uongoo

  • @kingbrazioanticlockwise3667
    @kingbrazioanticlockwise3667 ปีที่แล้ว

    Sheikh na we fund

  • @mutulasafari7664
    @mutulasafari7664 ปีที่แล้ว

    Ninyi WA Islam Munauganga Sana
    Kuliko waganga wenyewe

  • @hamzankongogo457
    @hamzankongogo457 ปีที่แล้ว

    Shekhe mganga sio mbaya mbaya ni mshirikina

  • @leilamohammed3018
    @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว

    kweli Mimi siwataki ata kuwasikiya Tena isipokuwa makini utatafuta mengine

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Haha shehe nimekupenda bule ni kwel usemayo unapatikana wapi

  • @zainabumilanzi2909
    @zainabumilanzi2909 ปีที่แล้ว

    Huyu shehe alikua mganga kawdanganya watu wengi Sana Sasa anatubu kwa mungu wake alijuaje? Nimesikia atoka Tanga kwa mandondo jamaniii waganga wote musikie mganga mwenzenu anavyo tubu achani kutudanganya mmeumbuka huku

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 ปีที่แล้ว

    Dah

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 ปีที่แล้ว +1

    Subuanah allah

  • @MwanaishaHamisi-bv8gk
    @MwanaishaHamisi-bv8gk ปีที่แล้ว

    Sheh ww mwenyewe nitapel unaponda wngn wakat mwenyewe ndio kz zako

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว +1

    HAHAHAHA hatariii aisee

  • @leilamohammed3018
    @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว

    namba zako shkh

  • @ligwalambakondeo5199
    @ligwalambakondeo5199 ปีที่แล้ว +1

    Hapo ukimaliza unauza vidawa vyako. Hii dunia balaa. Mwamba ngoma huyo

    • @selemoud600
      @selemoud600 ปีที่แล้ว

      Na wewe umeumia au nawe mganga🤣

  • @Drswaleh-fd3mu
    @Drswaleh-fd3mu ปีที่แล้ว

    Hajasema nikilamganga siyowote wakohivo wala haujarogwa vilevile unapoumwa unaenda kwa dactar wakizungu ndo kunaugonjwa ungine lazima uende kwamtabibu kwamganga

  • @twahamdoe5730
    @twahamdoe5730 ปีที่แล้ว

    WAganga wapo ila baadhi ndio waongo

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Kweli kwa kwe endima mgosi

  • @leilamohammed3018
    @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว +1

    watu tunamatatizo ukienda wanazidi kukumiza nakama unataka presha zipande mfate mganga

  • @GentilButoyi-o8j
    @GentilButoyi-o8j ปีที่แล้ว

    Wengi w0a waongo nipe nimbari Zenu

  • @princeofaragon728
    @princeofaragon728 ปีที่แล้ว

    Hapo kwa hela sasa,kabadilisha vipi??

  • @chullymastertv5778
    @chullymastertv5778 ปีที่แล้ว

    Leteni sehem ya pili

  • @kaparajumanne7281
    @kaparajumanne7281 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 ปีที่แล้ว

    Sheikh Unatoa Elimu Nzuri, ila sio wote matapeli, Kuna Vibabu vingine vikikutibu Mwenyewe Utampelejea zawadi yake. Jinsi utakavyo ona.

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว +2

    Kama waganga wapo hapo umewakomesha kweli

  • @shaibumuya7121
    @shaibumuya7121 ปีที่แล้ว

    Mmm

  • @WaydaHaji
    @WaydaHaji ปีที่แล้ว

    Kw iyo na uyo shehe na yy anafanya mazingaumbwe

  • @josephcharles6315
    @josephcharles6315 ปีที่แล้ว

    We niliongo ulijuaje kama na we sio walewale

  • @starlight8794
    @starlight8794 ปีที่แล้ว

    yaonekana ulikuaga mganga ww na jindi unavyo igiza😂😂

  • @leilamohammed3018
    @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว

    unahitaji zawadi kabisaaa

  • @MukijumaBasho
    @MukijumaBasho ปีที่แล้ว

    Kwa hyo unataka kutuaminissha kwamba wewe ndio mkweli na mwenye kutujaali sana cndio?today uko na ww mwenyewe ni mwz vlevle

  • @shaibumuya7121
    @shaibumuya7121 ปีที่แล้ว

    Pia ulete na ile ya baadh y masharifu wanon uza mafuta bei kubwa yanaanzia elfu kumi hyo hyo mpk elf 4

  • @maxmudjunior7301
    @maxmudjunior7301 ปีที่แล้ว

    Kuna amani huko

  • @tumawaziri3022
    @tumawaziri3022 ปีที่แล้ว

    Kweri shee hata Mimi yashanikuta

  • @mussaomary6626
    @mussaomary6626 ปีที่แล้ว

    Si afikiani nae bana waganga kila.mganga anatumia taaluma.yake huyu kakariri matapeli sio waganga wa kweli aje nimwonyeshe uganga wa kweli sio sanaa hizo na uganga sio sawa na udaktari una kanuni no kila mtu anakanuni zake za ramli ache nae kuwainhiza chaka watu waganga wa kweli wapo?vipi wao.wanaotumia kujiita dua hayo anayosema hapo sijawahi ona hao ni wale wa kko ila waganga wa kweli wapo

    • @MedenMuthama-yb9gf
      @MedenMuthama-yb9gf ปีที่แล้ว

      Kaka naomba uniunganishe na mganga wa kweli nimetapeliwa ya kutosha😢

  • @SalumMzee-mu7zt
    @SalumMzee-mu7zt 10 หลายเดือนก่อน

    Mitihan tu hio ulijuaje km sio mipango unaijua na ww

  • @bonnysure8706
    @bonnysure8706 ปีที่แล้ว

    Acha kuwadanganya watu unamwaga maji chini 😅😅

    • @rehemamkandawile3915
      @rehemamkandawile3915 ปีที่แล้ว

      sasa kwani waganga na mazingaombwe yao wanafanyaje? hapa anatupa somo ili tujue waganga wanavo kula Ela zetu

  • @MohamediHabasi-qd2mr
    @MohamediHabasi-qd2mr ปีที่แล้ว

    Afu acheni uongo nyie wenyewe wez tu amna chadini wala nini

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว +1

    Yupo rafiki yangu haongei na mama yake kisa kaambiwa mama mchawi

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว

      Subuhanallah msihi asifanye hivyo waganga waongo wao ndiyo wachawi

  • @DizoG-j9c
    @DizoG-j9c ปีที่แล้ว

    Yaani huyu jamaa ilikua ni mbinu yake Sasa kumebuma anatoa Siri za wenzake aliyajuaje Kama hakupitia

  • @allymugenzi46
    @allymugenzi46 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe hauna utaalamu huo. Acha uongo. Na wewe ni muongo.

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 ปีที่แล้ว +4

    Uchawi upo na waganga wapo pia ila kuna waganga wakweli wanaosaidia watu na kuna matapeli pia

    • @ibrahimsalim7247
      @ibrahimsalim7247 ปีที่แล้ว +1

      Point yko ni?

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 ปีที่แล้ว

      Kwl mmy km hujawah kurogw utakataa haupo uchaw

    • @cadabra7402
      @cadabra7402 ปีที่แล้ว +3

      Msaada mkubwa ni Mungu tu.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 ปีที่แล้ว

      @@asmahassan5661, uchawi upo lkn Allah amekuekea njia maalum ya kujitibu nasio kumshirikisha/ushirikina. Mganga yyte anaepiga ramli, mizimu au kuhusisha chchte kile ambacho cha kishirikina basi haifai.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 ปีที่แล้ว

      @@asmahassan5661, hata km utaona inakusaidia lkn unaangamia mbele ya Allah. Mana Allah ameshaahidi dhambi ya kumshirikisha ni motoni moja kwa moja km hujatubia. Ssa imagine umekufa kwa mganga na hujatubia au umekufa ppte lkn hujatubia itakuaje??? Si utakua umechana dunia yako kwa kutia viraka akhera yako? Namaana umeutaka uzima wa dunia ambao ni wa mda mfupi tu na umeuvuruga uzima wako wa akhera ambao ndio wa milele???

  • @stephanothebig6940
    @stephanothebig6940 ปีที่แล้ว

    Je, uchawi upo au haupo?

  • @isayajerad
    @isayajerad ปีที่แล้ว

    Sasa nyinyi wafasivwa mhamad hivi waga mnamwabudu mungu gani maana huko kwenu hakuna badiriko wafunga majini mizimu majambazi waganga magaid mataperi Nini kinacho fudishana Sasa kwanini msifugiwe nyinyi majambazi wa mhamad

  • @jecnita7289
    @jecnita7289 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂❤

  • @MudiTz-ex7lm
    @MudiTz-ex7lm ปีที่แล้ว

    eti kuna mtu ashawai kuagizwa dagaa na nganga😂

    • @leilamohammed3018
      @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว

      hahahaaa

    • @leilamohammed3018
      @leilamohammed3018 ปีที่แล้ว

      kiboko yao mama chogo tu aliwamviya maharage hamtaki munataka kuku wanawazimu hahahahaa aliondoka Apo apo