Huu ndio ujanja wanaotumia waganga na wapiga ramli kuongopea watu - Jafar Abdul Rahman

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 155

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 ปีที่แล้ว +11

    Allah awape umri mrf piah awalinde na kila aina ya shari ili tuendelee kupata elimu dunia#nawapenda sana waislamu kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤

  • @hamisibinti2716
    @hamisibinti2716 ปีที่แล้ว +11

    Alhamdulillah ndio mana me cpendi waganga wallah 😢😢😢 Allah akujalie roho hiyo nkijiona Nina shida ama maradhi namka ucku nasali Sala mbili na kufunga Ya Allah walinde kizazi Chang kiwe chenye kuamin mungu ndio klaktu Ameen yaaraby 😢😢

    • @kingbalozi7171
      @kingbalozi7171 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisaa

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

      Hamisibint ni kwel ata Mimi yakizidi matatizo saa nyingine nasal

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 ปีที่แล้ว +9

    Subhanallah 🥺Lahauwalakuwwataillabillah Yarab tuepushe na dhambi yakukushirisha kwa kujua n kutokujua😥Sheikh hii katika swadakatunjariya yako inshaallah

  • @JamilaLubuva-ju5zu
    @JamilaLubuva-ju5zu ปีที่แล้ว +7

    Sheikh mwenyez mungu atakulipa kwa kututoa gizan

  • @mwatimaabdalla5832
    @mwatimaabdalla5832 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah shehe jafarii Allah akuzidishie uwepo wapo uzid kuwafundisha watu na kuwatowa watu kwenye giza nene

  • @Aliobo7323
    @Aliobo7323 2 หลายเดือนก่อน

    Mm naomba no yenu mm niko lamu Kenya tafadhali

  • @salimmohd4999
    @salimmohd4999 ปีที่แล้ว +2

    Allah atuepushe na vitimbi vyao

  • @ladymuslima4956
    @ladymuslima4956 ปีที่แล้ว

    Muislam kwanza hutakiwi kulalamika matatizo yake kwa binaadam mwenzie!only to Allah PERIOD

  • @florencekawira2212
    @florencekawira2212 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu na akuingeze hekima

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 ปีที่แล้ว

    Duhh acha shirki Allah aiharamishe kwa fitna na utapeli wallahi tiba ni yakisunna tu

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 ปีที่แล้ว

      Huyo anaon esha mfano babu elewa usichapie

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 ปีที่แล้ว +2

    SUBHAN ALLAH

  • @mrok284
    @mrok284 ปีที่แล้ว +5

    She Othman naona unashangaa tu!!😂😂

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 ปีที่แล้ว +1

    Subhannallah!!!

  • @FadhiliAdam-oc2kk
    @FadhiliAdam-oc2kk ปีที่แล้ว +1

    Shekhe alha akulipe khe

  • @daressalaampost5785
    @daressalaampost5785 ปีที่แล้ว +3

    Tunashukuru kwa elimu nzuri ila mngefanya vizuri kama mngemalizia sasa kwa kutoa elimu ya njanja wanavyofanya maana mkiishia hapa tu na ninyi mtakuwa kana kwamba mnapromote uganga

  • @jasminyabdully499
    @jasminyabdully499 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah

  • @sakow747
    @sakow747 ปีที่แล้ว

    Mashaalah Yumiko be right

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Mtihani kwa kweli

  • @mothersmothersnasry9341
    @mothersmothersnasry9341 ปีที่แล้ว

    Shekhe mtakupataje

  • @zainabumilanzi2909
    @zainabumilanzi2909 ปีที่แล้ว

    Huyu shehe alikua mganga kawdanganya watu wengi Sana Sasa anatubu kwa mungu wake alijuaje? Nimesikia atoka Tanga kwa mandondo jamaniii waganga wote musikie mganga mwenzenu anavyo tubu achani kutudanganya mmeumbuka huku

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 ปีที่แล้ว

    Shee noma anatubu kistaili Ila noma

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Yani kweli umewakomesha sana leo

  • @utalewamba4616
    @utalewamba4616 ปีที่แล้ว

    subuhan allah

  • @ligwalambakondeo5199
    @ligwalambakondeo5199 ปีที่แล้ว +1

    Hapo ukimaliza unauza vidawa vyako. Hii dunia balaa. Mwamba ngoma huyo

    • @selemoud600
      @selemoud600 ปีที่แล้ว

      Na wewe umeumia au nawe mganga🤣

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว +2

    Kama waganga wapo hapo umewakomesha kweli

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Subuhana aallah

  • @MchaFakih-ij8kh
    @MchaFakih-ij8kh ปีที่แล้ว

    Duh! Balaaa

  • @abuuarqam255
    @abuuarqam255 ปีที่แล้ว +1

    Uislam haihitaji maigizo

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 ปีที่แล้ว

      Anaonyesha uhalisia wa mambo watu waelewe utapeli na uongo wao wewe vipi

    • @KanulaKanula-hf3du
      @KanulaKanula-hf3du ปีที่แล้ว

      kwan nyie uislam mnaosoma ni mmoja na ule unaosomwa na wengine au ambao kila kitu hakifai?.Au mjomba mganga nn

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 ปีที่แล้ว

    Dah

  • @saay4273
    @saay4273 ปีที่แล้ว

    SubuhanaAllah 😢😢😢😢😢

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Umenichekesha sana Leo

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 ปีที่แล้ว

    SubhanAllah

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว +1

    HAHAHAHA hatariii aisee

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 ปีที่แล้ว

    SUBHANALLAH 😢

  • @kingbrazioanticlockwise3667
    @kingbrazioanticlockwise3667 ปีที่แล้ว

    Sheikh na we fund

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 ปีที่แล้ว +1

    Subuanah allah

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Hata mimi nimeumia sana

  • @chullymastertv5778
    @chullymastertv5778 ปีที่แล้ว

    Leteni sehem ya pili

  • @josephcharles6315
    @josephcharles6315 ปีที่แล้ว

    We niliongo ulijuaje kama na we sio walewale

  • @shaibumuya7121
    @shaibumuya7121 ปีที่แล้ว

    Pia ulete na ile ya baadh y masharifu wanon uza mafuta bei kubwa yanaanzia elfu kumi hyo hyo mpk elf 4

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 ปีที่แล้ว

    Potasiam paramangnet

  • @user-zk5tq2ni6b
    @user-zk5tq2ni6b ปีที่แล้ว

    Kw iyo na uyo shehe na yy anafanya mazingaumbwe

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว +1

    Yupo rafiki yangu haongei na mama yake kisa kaambiwa mama mchawi

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว

      Subuhanallah msihi asifanye hivyo waganga waongo wao ndiyo wachawi

  • @shaibumuya7121
    @shaibumuya7121 ปีที่แล้ว

    Mmm

  • @tumawaziri3022
    @tumawaziri3022 ปีที่แล้ว

    Kweri shee hata Mimi yashanikuta

  • @isayajerad
    @isayajerad ปีที่แล้ว

    Sasa nyinyi wafasivwa mhamad hivi waga mnamwabudu mungu gani maana huko kwenu hakuna badiriko wafunga majini mizimu majambazi waganga magaid mataperi Nini kinacho fudishana Sasa kwanini msifugiwe nyinyi majambazi wa mhamad

  • @kaparajumanne7281
    @kaparajumanne7281 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 ปีที่แล้ว +4

    Uchawi upo na waganga wapo pia ila kuna waganga wakweli wanaosaidia watu na kuna matapeli pia

    • @ibrahimsalim7247
      @ibrahimsalim7247 ปีที่แล้ว +1

      Point yko ni?

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 ปีที่แล้ว

      Kwl mmy km hujawah kurogw utakataa haupo uchaw

    • @cadabra7402
      @cadabra7402 ปีที่แล้ว +3

      Msaada mkubwa ni Mungu tu.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 ปีที่แล้ว

      @@asmahassan5661, uchawi upo lkn Allah amekuekea njia maalum ya kujitibu nasio kumshirikisha/ushirikina. Mganga yyte anaepiga ramli, mizimu au kuhusisha chchte kile ambacho cha kishirikina basi haifai.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 ปีที่แล้ว

      @@asmahassan5661, hata km utaona inakusaidia lkn unaangamia mbele ya Allah. Mana Allah ameshaahidi dhambi ya kumshirikisha ni motoni moja kwa moja km hujatubia. Ssa imagine umekufa kwa mganga na hujatubia au umekufa ppte lkn hujatubia itakuaje??? Si utakua umechana dunia yako kwa kutia viraka akhera yako? Namaana umeutaka uzima wa dunia ambao ni wa mda mfupi tu na umeuvuruga uzima wako wa akhera ambao ndio wa milele???

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh Othman Michael anakopi hapo maana nae ni mganga

    • @hamisibinti2716
      @hamisibinti2716 ปีที่แล้ว +1

      Subhanallah hivi unajua mana ya mganga ww sheikh Athman yeye anatumia Qura'n na dawa za sunnah elewa hilo

    • @ladymuslima4956
      @ladymuslima4956 ปีที่แล้ว

      They all travel in the same boat

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna kitu mwishoe wanauza mafuta madawa hawamashekh wahuni

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 ปีที่แล้ว

      Imekuchoma

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 ปีที่แล้ว +1

      Ss kuuza mafuta na mada n uhuni? N makosa? Muogope Allah akhiy

    • @ibrahimsalim7247
      @ibrahimsalim7247 ปีที่แล้ว

      Itakuwa ww ni mganga ama mshirikina

    • @starkingsafi1888
      @starkingsafi1888 ปีที่แล้ว

      We ni mganga ndio maana unachukia

    • @ladymuslima4956
      @ladymuslima4956 ปีที่แล้ว

      Hawa sio mashekhe ni waganga 2.0

  • @prospermatovu3334
    @prospermatovu3334 ปีที่แล้ว

    Qx
    A

  • @kiddyalite
    @kiddyalite ปีที่แล้ว

    Mbona tafsir Amna jmn

  • @louiskayange-kz7ec
    @louiskayange-kz7ec ปีที่แล้ว

    Ku sumaku hapo

  • @bonnysure8706
    @bonnysure8706 ปีที่แล้ว

    Acha kuwadanganya watu unamwaga maji chini 😅😅

    • @rehemamkandawile3915
      @rehemamkandawile3915 ปีที่แล้ว

      sasa kwani waganga na mazingaombwe yao wanafanyaje? hapa anatupa somo ili tujue waganga wanavo kula Ela zetu

  • @Fitlinequeen
    @Fitlinequeen ปีที่แล้ว

    Mbona sasa hujatuambia Siri ni nini? Ama ni mazingaombo???

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 ปีที่แล้ว

    WEWE UNAONEKANA NDIO MWALIMU WA MATAPELI👹👹UNATAKIWA UCHUNGUZWE CHIZI WE!👹,

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 ปีที่แล้ว

    Yan mm wanganga sipend kabisa ata kuwaskiliza Mana siwaamin ata robo

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 ปีที่แล้ว

    Sasa mbona uwek wazi kuwa inakuaje.. maana unatenda lakin hutuonyeshei kuwa wanatumia ujanja gan sasa sisi tutajuaje

    • @nunuuali4419
      @nunuuali4419 ปีที่แล้ว +1

      ni sumaku tu inatumika

  • @edsonndomba1049
    @edsonndomba1049 ปีที่แล้ว

    Iliujue kutegua bomu lazima ujue kulitega. Waganga wote niwachawi pia

  • @stephanothebig6940
    @stephanothebig6940 ปีที่แล้ว

    Je, uchawi upo au haupo?

  • @monicahmumbua9224
    @monicahmumbua9224 ปีที่แล้ว

    Kwa hivyo wangaga wote niwa uongo????

    • @georgenyasudi4060
      @georgenyasudi4060 ปีที่แล้ว

      Hakuna uganga wala mganga. Yote ni utapeli mtupu.

  • @johnmeshack4431
    @johnmeshack4431 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂

  • @kelvinmsigwa4197
    @kelvinmsigwa4197 ปีที่แล้ว

    Unga wa JV na mafuta ya glyceline yakichanganywa ulipuka na kuwa moto

  • @salimamourhamad8607
    @salimamourhamad8607 ปีที่แล้ว

    Ww nimwalimu au Ni sheikh? Mbonaunafedhehesha waganga? Na ww sikuyakuumwa kweli kweli, nilazimautaenda kwahaohao waganga na wazaziwako na family zako, wootehao huishia kwahaohao unaowatukana waganga, na ww hayouliyajuwaje?? Ugangauko na ww unajuwa, naikiwahuamini mnjoohuku Pemba, muwambe kamahukutokwa na damu za mkundu, pleas mnjoo,

    • @Hamad-jw1mc
      @Hamad-jw1mc ปีที่แล้ว +1

      Mbona makasiliko wewe mganga au

    • @MedenMuthama-yb9gf
      @MedenMuthama-yb9gf ปีที่แล้ว

      Niunganishe na mmoja AmBAR atakubali malipo baada ya madanikio maana wengi ni matapeli wanachukua pesa na hamna jambo linalotokea

  • @abunaylah405
    @abunaylah405 ปีที่แล้ว

    What's the point of all this and mwisho wake haipo tafsir?? Tafadhali itimisha ahadi

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili ปีที่แล้ว

    Huyo ni mchawi kashindwa uganga awe muwazi tuu😅

  • @allymugenzi46
    @allymugenzi46 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe hauna utaalamu huo. Acha uongo. Na wewe ni muongo.

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah

  • @user-zk5tq2ni6b
    @user-zk5tq2ni6b ปีที่แล้ว

    Sasa uyo shekh mwenyewe yy anafqnyaje ht pesa zikarudi karatasi.

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Kweli kwa kwe endima mgosi

  • @MohamedMzonge
    @MohamedMzonge 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo wewe pia mganga alafu unawaponda wezako

  • @judithnagabona342
    @judithnagabona342 3 หลายเดือนก่อน

    2:28

  • @judithnagabona342
    @judithnagabona342 3 หลายเดือนก่อน

    2:08 2:15

  • @SalumMzee-mu7zt
    @SalumMzee-mu7zt 5 หลายเดือนก่อน

    Mitihan tu hio ulijuaje km sio mipango unaijua na ww

  • @user-yf2sv8kh7k
    @user-yf2sv8kh7k 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliano yako

  • @user-qq6mo3dt8c
    @user-qq6mo3dt8c 10 หลายเดือนก่อน

    Uongoo

  • @user-qq6mo3dt8c
    @user-qq6mo3dt8c 10 หลายเดือนก่อน

    Yaani huyu jamaa ilikua ni mbinu yake Sasa kumebuma anatoa Siri za wenzake aliyajuaje Kama hakupitia

  • @mwingwamaina8219
    @mwingwamaina8219 11 หลายเดือนก่อน

    Sasa hayo yanaenda wapi na kichwa hakijatoboka?

  • @user-xu8qj4by3u
    @user-xu8qj4by3u ปีที่แล้ว +1

    Hatar juuh yahatar

  • @HamisNasib-uu4zd
    @HamisNasib-uu4zd ปีที่แล้ว +1

    Subhannallah,,,Allah awalipe

  • @EmanuelNyaki-qn7do
    @EmanuelNyaki-qn7do ปีที่แล้ว +1

    Mtu akikuhitaji anakupataje sheikh wengine tunamatatizo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Haha shehe nimekupenda bule ni kwel usemayo unapatikana wapi

  • @MohamediHabasi-qd2mr
    @MohamediHabasi-qd2mr ปีที่แล้ว

    Afu acheni uongo nyie wenyewe wez tu amna chadini wala nini

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 ปีที่แล้ว

    Subha Allah
    Shukran jazzir
    Sasa ustadh mbona hatuoni maji yalipo dondoka

  • @user-xh2vq4he1g
    @user-xh2vq4he1g ปีที่แล้ว

    Wengi w0a waongo nipe nimbari Zenu

  • @starlight8794
    @starlight8794 ปีที่แล้ว +1

    ndio maana mm uwa siamini chochote kuusu mganga Mungu anijalie nisiwai kwenda uko kwa mganga Ameen

  • @starlight8794
    @starlight8794 ปีที่แล้ว

    yaonekana ulikuaga mganga ww na jindi unavyo igiza😂😂

  • @reemareemo2698
    @reemareemo2698 ปีที่แล้ว

    Ume juaje kama waongo 😂 asante kwaelim

  • @hamzankongogo457
    @hamzankongogo457 ปีที่แล้ว

    Shekhe mganga sio mbaya mbaya ni mshirikina

  • @jastinimarukusi7803
    @jastinimarukusi7803 ปีที่แล้ว +2

    Big up ,Sasa imekua Kama kitendawili ila ninaomba tutegulie

  • @user-kx4sn3yf7m
    @user-kx4sn3yf7m ปีที่แล้ว

    Kwa hyo unataka kutuaminissha kwamba wewe ndio mkweli na mwenye kutujaali sana cndio?today uko na ww mwenyewe ni mwz vlevle

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 ปีที่แล้ว

    Wote ndo wale wale

  • @mwashalimwashali
    @mwashalimwashali ปีที่แล้ว

    alhamdulillah 🙏

  • @user-bj9kt8yc7n
    @user-bj9kt8yc7n ปีที่แล้ว

    allah akulinde

  • @maxmudjunior7301
    @maxmudjunior7301 ปีที่แล้ว

    Kuna amani huko

  • @twahamdoe5730
    @twahamdoe5730 ปีที่แล้ว

    WAganga wapo ila baadhi ndio waongo

  • @maqacharaonlinetv1341
    @maqacharaonlinetv1341 ปีที่แล้ว

    zangumzia na mashehe wanao kula sadaka za waumini pia mskiti wa manyema watu wanapiga sana pessa makodi

  • @kyataonline5262
    @kyataonline5262 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe sana kuamsha jamii!

  • @MwanaishaHamisi-bv8gk
    @MwanaishaHamisi-bv8gk ปีที่แล้ว

    Sheh ww mwenyewe nitapel unaponda wngn wakat mwenyewe ndio kz zako

  • @Drswaleh-fd3mu
    @Drswaleh-fd3mu ปีที่แล้ว

    Hajasema nikilamganga siyowote wakohivo wala haujarogwa vilevile unapoumwa unaenda kwa dactar wakizungu ndo kunaugonjwa ungine lazima uende kwamtabibu kwamganga