Alhamdulillah ndio mana me cpendi waganga wallah 😢😢😢 Allah akujalie roho hiyo nkijiona Nina shida ama maradhi namka ucku nasali Sala mbili na kufunga Ya Allah walinde kizazi Chang kiwe chenye kuamin mungu ndio klaktu Ameen yaaraby 😢😢
Subhanallah 🥺Lahauwalakuwwataillabillah Yarab tuepushe na dhambi yakukushirisha kwa kujua n kutokujua😥Sheikh hii katika swadakatunjariya yako inshaallah
Tunashukuru kwa elimu nzuri ila mngefanya vizuri kama mngemalizia sasa kwa kutoa elimu ya njanja wanavyofanya maana mkiishia hapa tu na ninyi mtakuwa kana kwamba mnapromote uganga
Huyu shehe alikua mganga kawdanganya watu wengi Sana Sasa anatubu kwa mungu wake alijuaje? Nimesikia atoka Tanga kwa mandondo jamaniii waganga wote musikie mganga mwenzenu anavyo tubu achani kutudanganya mmeumbuka huku
Si afikiani nae bana waganga kila.mganga anatumia taaluma.yake huyu kakariri matapeli sio waganga wa kweli aje nimwonyeshe uganga wa kweli sio sanaa hizo na uganga sio sawa na udaktari una kanuni no kila mtu anakanuni zake za ramli ache nae kuwainhiza chaka watu waganga wa kweli wapo?vipi wao.wanaotumia kujiita dua hayo anayosema hapo sijawahi ona hao ni wale wa kko ila waganga wa kweli wapo
@@asmahassan5661, uchawi upo lkn Allah amekuekea njia maalum ya kujitibu nasio kumshirikisha/ushirikina. Mganga yyte anaepiga ramli, mizimu au kuhusisha chchte kile ambacho cha kishirikina basi haifai.
@@asmahassan5661, hata km utaona inakusaidia lkn unaangamia mbele ya Allah. Mana Allah ameshaahidi dhambi ya kumshirikisha ni motoni moja kwa moja km hujatubia. Ssa imagine umekufa kwa mganga na hujatubia au umekufa ppte lkn hujatubia itakuaje??? Si utakua umechana dunia yako kwa kutia viraka akhera yako? Namaana umeutaka uzima wa dunia ambao ni wa mda mfupi tu na umeuvuruga uzima wako wa akhera ambao ndio wa milele???
Sasa nyinyi wafasivwa mhamad hivi waga mnamwabudu mungu gani maana huko kwenu hakuna badiriko wafunga majini mizimu majambazi waganga magaid mataperi Nini kinacho fudishana Sasa kwanini msifugiwe nyinyi majambazi wa mhamad
Allah awape umri mrf piah awalinde na kila aina ya shari ili tuendelee kupata elimu dunia#nawapenda sana waislamu kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤
Alhamdulillah ndio mana me cpendi waganga wallah 😢😢😢 Allah akujalie roho hiyo nkijiona Nina shida ama maradhi namka ucku nasali Sala mbili na kufunga Ya Allah walinde kizazi Chang kiwe chenye kuamin mungu ndio klaktu Ameen yaaraby 😢😢
Kweli kabisaa
Hamisibint ni kwel ata Mimi yakizidi matatizo saa nyingine nasal
Subhanallah 🥺Lahauwalakuwwataillabillah Yarab tuepushe na dhambi yakukushirisha kwa kujua n kutokujua😥Sheikh hii katika swadakatunjariya yako inshaallah
Sheikh mwenyez mungu atakulipa kwa kututoa gizan
Mafundisho mazuri .nawafuata nikiwa magharibi mwa kenya .🇰🇪
ndio maana mm uwa siamini chochote kuusu mganga Mungu anijalie nisiwai kwenda uko kwa mganga Ameen
Hatar juuh yahatar
Subhannallah,,,Allah awalipe
Subuhanallah Allah akulipe kilalakheri fidunia wali akhera shekhe
na azidi mutuongiza 😢
INNALLAIH WAINALLAIH RAJIURRRY Allah atulinde na atuepushe na moto wa jahhanam
Masha Allah shehe jafarii Allah akuzidishie uwepo wapo uzid kuwafundisha watu na kuwatowa watu kwenye giza nene
Big up ,Sasa imekua Kama kitendawili ila ninaomba tutegulie
mungu akulipe kwakuelimisha hii nakuwafunguwa macho wengine
allah akulinde
Subhallah je tunajilindaje na kufulu hii
mwezangu wee mtihani foo
Mwenyezi Mungu na akuingeze hekima
Duhh acha shirki Allah aiharamishe kwa fitna na utapeli wallahi tiba ni yakisunna tu
Huyo anaon esha mfano babu elewa usichapie
Sheikh umeonesha hapo sawa lakini tupe siri ya karatasi kugeuka pesa
ubarikiwe sana kuamsha jamii!
Shekhe alha akulipe khe
alhamdulillah 🙏
Muislam kwanza hutakiwi kulalamika matatizo yake kwa binaadam mwenzie!only to Allah PERIOD
SUBHAN ALLAH
Subhannallah!!!
nimecheka kwasauty wallah
Subha Allah
Shukran jazzir
Sasa ustadh mbona hatuoni maji yalipo dondoka
SubhanaAllah
Mtihani kwa kweli
Mashaalah Yumiko be right
Shee noma anatubu kistaili Ila noma
Ume juaje kama waongo 😂 asante kwaelim
Allah atuepushe na vitimbi vyao
Subhanallah
She Othman naona unashangaa tu!!😂😂
Naomba mawasiliano yako
Subuhana AIIah
Mm naomba no yenu mm niko lamu Kenya tafadhali
Sasa uyo shekh mwenyewe yy anafqnyaje ht pesa zikarudi karatasi.
Yani kweli umewakomesha sana leo
Shekhe mtakupataje
zangumzia na mashehe wanao kula sadaka za waumini pia mskiti wa manyema watu wanapiga sana pessa makodi
Duh! Balaaa
Umenichekesha sana Leo
SubuhanaAllah 😢😢😢😢😢
Wote ndo wale wale
2:08 2:15
2:28
Tunashukuru kwa elimu nzuri ila mngefanya vizuri kama mngemalizia sasa kwa kutoa elimu ya njanja wanavyofanya maana mkiishia hapa tu na ninyi mtakuwa kana kwamba mnapromote uganga
Huyo mtoto kashindwa uganga awe muwazi!😮
Hata mimi nimeumia sana
subuhan allah
SUBHANALLAH 😢
SubhanAllah
Subuhana aallah
Sasa hayo yanaenda wapi na kichwa hakijatoboka?
Uislam haihitaji maigizo
Anaonyesha uhalisia wa mambo watu waelewe utapeli na uongo wao wewe vipi
kwan nyie uislam mnaosoma ni mmoja na ule unaosomwa na wengine au ambao kila kitu hakifai?.Au mjomba mganga nn
Mtu akikuhitaji anakupataje sheikh wengine tunamatatizo
Uongoo
Sheikh na we fund
Ninyi WA Islam Munauganga Sana
Kuliko waganga wenyewe
Shekhe mganga sio mbaya mbaya ni mshirikina
kweli Mimi siwataki ata kuwasikiya Tena isipokuwa makini utatafuta mengine
Haha shehe nimekupenda bule ni kwel usemayo unapatikana wapi
Huyu shehe alikua mganga kawdanganya watu wengi Sana Sasa anatubu kwa mungu wake alijuaje? Nimesikia atoka Tanga kwa mandondo jamaniii waganga wote musikie mganga mwenzenu anavyo tubu achani kutudanganya mmeumbuka huku
Dah
Subuanah allah
Sheh ww mwenyewe nitapel unaponda wngn wakat mwenyewe ndio kz zako
HAHAHAHA hatariii aisee
namba zako shkh
Hapo ukimaliza unauza vidawa vyako. Hii dunia balaa. Mwamba ngoma huyo
Na wewe umeumia au nawe mganga🤣
Hajasema nikilamganga siyowote wakohivo wala haujarogwa vilevile unapoumwa unaenda kwa dactar wakizungu ndo kunaugonjwa ungine lazima uende kwamtabibu kwamganga
WAganga wapo ila baadhi ndio waongo
Kweli kwa kwe endima mgosi
watu tunamatatizo ukienda wanazidi kukumiza nakama unataka presha zipande mfate mganga
Wengi w0a waongo nipe nimbari Zenu
Hapo kwa hela sasa,kabadilisha vipi??
Leteni sehem ya pili
Asante
Sheikh Unatoa Elimu Nzuri, ila sio wote matapeli, Kuna Vibabu vingine vikikutibu Mwenyewe Utampelejea zawadi yake. Jinsi utakavyo ona.
Ni kweli usemayo.
Kama waganga wapo hapo umewakomesha kweli
Mmm
Kw iyo na uyo shehe na yy anafanya mazingaumbwe
We niliongo ulijuaje kama na we sio walewale
yaonekana ulikuaga mganga ww na jindi unavyo igiza😂😂
unahitaji zawadi kabisaaa
Kwa hyo unataka kutuaminissha kwamba wewe ndio mkweli na mwenye kutujaali sana cndio?today uko na ww mwenyewe ni mwz vlevle
Pia ulete na ile ya baadh y masharifu wanon uza mafuta bei kubwa yanaanzia elfu kumi hyo hyo mpk elf 4
Kuna amani huko
Kweri shee hata Mimi yashanikuta
Si afikiani nae bana waganga kila.mganga anatumia taaluma.yake huyu kakariri matapeli sio waganga wa kweli aje nimwonyeshe uganga wa kweli sio sanaa hizo na uganga sio sawa na udaktari una kanuni no kila mtu anakanuni zake za ramli ache nae kuwainhiza chaka watu waganga wa kweli wapo?vipi wao.wanaotumia kujiita dua hayo anayosema hapo sijawahi ona hao ni wale wa kko ila waganga wa kweli wapo
Kaka naomba uniunganishe na mganga wa kweli nimetapeliwa ya kutosha😢
Mitihan tu hio ulijuaje km sio mipango unaijua na ww
Acha kuwadanganya watu unamwaga maji chini 😅😅
sasa kwani waganga na mazingaombwe yao wanafanyaje? hapa anatupa somo ili tujue waganga wanavo kula Ela zetu
Afu acheni uongo nyie wenyewe wez tu amna chadini wala nini
Yupo rafiki yangu haongei na mama yake kisa kaambiwa mama mchawi
Subuhanallah msihi asifanye hivyo waganga waongo wao ndiyo wachawi
Yaani huyu jamaa ilikua ni mbinu yake Sasa kumebuma anatoa Siri za wenzake aliyajuaje Kama hakupitia
Wewe hauna utaalamu huo. Acha uongo. Na wewe ni muongo.
Uchawi upo na waganga wapo pia ila kuna waganga wakweli wanaosaidia watu na kuna matapeli pia
Point yko ni?
Kwl mmy km hujawah kurogw utakataa haupo uchaw
Msaada mkubwa ni Mungu tu.
@@asmahassan5661, uchawi upo lkn Allah amekuekea njia maalum ya kujitibu nasio kumshirikisha/ushirikina. Mganga yyte anaepiga ramli, mizimu au kuhusisha chchte kile ambacho cha kishirikina basi haifai.
@@asmahassan5661, hata km utaona inakusaidia lkn unaangamia mbele ya Allah. Mana Allah ameshaahidi dhambi ya kumshirikisha ni motoni moja kwa moja km hujatubia. Ssa imagine umekufa kwa mganga na hujatubia au umekufa ppte lkn hujatubia itakuaje??? Si utakua umechana dunia yako kwa kutia viraka akhera yako? Namaana umeutaka uzima wa dunia ambao ni wa mda mfupi tu na umeuvuruga uzima wako wa akhera ambao ndio wa milele???
Je, uchawi upo au haupo?
Haupo na haitakuwepo.
Sasa nyinyi wafasivwa mhamad hivi waga mnamwabudu mungu gani maana huko kwenu hakuna badiriko wafunga majini mizimu majambazi waganga magaid mataperi Nini kinacho fudishana Sasa kwanini msifugiwe nyinyi majambazi wa mhamad
jifunze kuandika kwanza
😂😂😂😂😂😂❤
eti kuna mtu ashawai kuagizwa dagaa na nganga😂
hahahaaa
kiboko yao mama chogo tu aliwamviya maharage hamtaki munataka kuku wanawazimu hahahahaa aliondoka Apo apo