Sio wanawake tu wasaliti hata wanaume pia niwasaliti wakubwa Chamsingi kila mmoja wetu awe makini na mwenzake afanye mambo yake maisha mtaanzisha mkioana
Tufuate miongozo ya dini ili tuepukane na kudanganyana. Love story ya mda mrefu huleta majanga. Someni halafu mkishakuwa tayari. Mutafute wachumba kwa msaada wa wazee wema.Muowane haraka haraka baada ya kuridhiana. Nimsomeshe ndio nimuowe hiyo ni bahati nasibu. Anichukue Forodhani akanilishe mbatata za urojo. Atakuchezea halafu atakukimbia.
Usisononeke sana sio riziki yako bora uchumba uliovunjika kuliko ndoa yenye misukosuko.. Allah atakupa mwenye kheri naww ukiamini hilo basi hutosononeka tena pia mshukuru mungu tu
Mashaallah hongereni vipenzi vyetu afnaania hii qaswida mumetujuz baadh ya vitu 😭😭💯💔🙏🙏
Sina neno kw hii qasda yote yasememwa ila ukwel shk sleiman umeitengea haki umeonesha husia kali sna mungu akuzidishie kipaj
Sio wanawake tu wasaliti hata wanaume pia niwasaliti wakubwa
Chamsingi kila mmoja wetu awe makini na mwenzake afanye mambo yake maisha mtaanzisha mkioana
Ila yeye sasa ndiyo katendwa na mwanamke
A,alykum,Allah akubarik kwa kazi nzur
Tufuate miongozo ya dini ili tuepukane na kudanganyana.
Love story ya mda mrefu huleta majanga.
Someni halafu mkishakuwa tayari. Mutafute wachumba kwa msaada wa wazee wema.Muowane haraka haraka baada ya kuridhiana.
Nimsomeshe ndio nimuowe hiyo ni bahati nasibu. Anichukue Forodhani akanilishe mbatata za urojo. Atakuchezea halafu atakukimbia.
Honger kiongoz kaz nzur🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Usisononeke sana sio riziki yako bora uchumba uliovunjika kuliko ndoa yenye misukosuko.. Allah atakupa mwenye kheri naww ukiamini hilo basi hutosononeka tena pia mshukuru mungu tu
💯
Oooh mr martinell ndani na ww watka toa milion hhh wacha wee bonge ya gr inatimba hhh pole sule
Mashaallah ni ukwel ulipo ktk kizazi Cha sasa Allah atujalie
Hii qaswida afnaania mumeiwez kila sections mashaallah 🤝💯🙏
Homgeran kw kazi wan afnaania noma sana dah 💯💯💞💞💯💯💞💞
Kaz nzur mashawah
Suleiman mboni unaniliza Ustadhi wako? Pole sana na hongera kwa ujumbe mzuri mnooo.
Mashallah mungu amp swiha mweny kaswid hii n mung awap subra wot walotokewa n jamb km ili pia wanawak tupunguz tamaa
Dah hiiii ni zaid ya Qaly mashallah imegusa mtima
Mazingira kama haya yapo tena kwa jamii nyingi mnoo
Mashaallah. Yani. Hiii nikali kuliko. AFNAANIA. Hapa umefanya kitu mbora sana🥰🥰🥰🥰👌👌👌🔥
Ahad aloekesha afahamu mwish wake💔 mashaallah ustadh sule
Ahmed jr ahadi gani aloekesha
Dah , pole xana sule ,vuta subra Alwaa atakuletea mwenye kheir nawe inshallah
Mashaa Allah kazi safi sana na mashairi mazito
❤❤❤❤❤❤❤ sito sahau kwa shozi lango lá upendo
Qasida hii naipenda mpk watoto wangu nawakera naifungua kwa sauti
Nyengine ipo njian
@@afnaania9827 Inshaallah
Dah hiii mbna hamutuektiii ni kwel jmn kijana alia hyu kabsaaaa hhhh pole dogo
Itakuw kaachwa kiukwelikweli uyooo
Pole ndugu kwa kumsomesha mtto wa kike mim nd nshajifunza kupitia wew mashallh ujumbe umefka👊🏼
Hayo ni maigizo tu, somesha usiogope
@@mohamedhaji2200 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kk unaweza hadi w'ke walieee
Good and very explainable on how to make decisions in lyf #ur new fun frm 🇰🇪
MashaAllah qaswida yenye mafunzo mazuri Mungu awabariki muzidi kuelimisha jamii
Mashllah imetugusa weng wanawake😔
Mashaallah 😭😭😭but inauma sana
hongeren ujumbe mzur kwa kweli big up
Kazi nzur,,,,imenisikitisha sn,,,,dida from Dubs
kaswida nikisiliza inanitowa machoz hongera kaka suleman kutuleteya ujumbe mzuri
Mashallah imelenga ktk ukweli kabsa hongera sana hyi kweli ipo poa kabsa hawa wenzetu wao kugeuka ni sekunde tu japo kua na ss c wakamilifu ok
Mashaallh. Imenigusa kwa sbb imesomwa kwa hisia Kali sn🥺
ماشاء الله جميل
الله يبارك فيكم
Safi sana hapo lazma ndugu wajitambue
Mashallaa kaziinaendelea vyemaaa
Yaani hii Qaswaida Kama Nimetungiwa Mimi. Imenigusa Direct..
Lilikukuta naww
Pole 😢
Mashaallah kaka kz mzr .
Yaan ni ukwel mtup
bro hongera sana halafu hi kazi imeielewaaa 😍
ndoto njema huonekana asbuhi ...... sele kisaut umetisha tuko pamoja
Hatwaaaaaaar.....mashallah
Kazi nzuri kijana wangu
Mashaallah naipenda sana hiii naimengusa sana kma nmetunguwa .mm nampenda sana aloimba
Mashallah nzr sana
Hongera sana kazi nzuri
Mashallah nzur san allah awabark muendelee kutuhusia mem inxhallah
Maasha allahHongera sana shekhe suleymani hiini kali sana
Yan apa kaswida imetulia sana ingawa tunaingia ktk huzuni sana sana sisi vijana ila swa mashaallah
Wewe million 1 umetunga had kasida ao wanawake wanatoa Hadi utu wao mwisho w siku hawaolewi waendelea na mtindo mchafu wanaumia zaid
Hongera kwa Kazi nzuri sana Masha Allah
Mashallah
Mashallah mshairi kaandika vizuri
Maa Shaa Allah Barakallaah Qaswida nzuri Allah akujaalie kila la kheri 🤲💯❤
Ammn
Mashallah kaka inaskitxha hii jomon hd imenitoa machoz allah akuzdxhie kpj n xubr ktk hil😍🥰
Suleiman. Hongera sanaaaaa Allah akubarrk zaid ya hapo ujumbe japo umetuliza uloutoa lkn umefika Allah akujaliee maisha marefu
Ahsant
Swadakta suleiman❤❤❤❤🙏
Hongera Sana. Kisha pole kama yalikukuta kaka.
Afnaania hapa mmefany kaz kaz ya maana inatisha mno juz tu alijiuwa mtu kwasbb aliemsomesha kaolewa
Wallah nimeshindwa kujizuiaaa nimeliaaa mnooo broo mashaallah
Kwanini dada
Huyu jamaa Nampenda tu sana
Karibu Afnaania utaona mengi mwaka huu
Mashaallah allah azid kukupa kipaji kaka
Daaaaaah yan silali bila kuangalia hii kaswida
Walai kasida imeniliza mashallah
Hongera sana kaka kwa ujumbe wako afnaania muko vizuri
MashaAllah hongera sana tumejifunza kitu❤
Maashallah hongereni sana mashekhe kazi nzuri mno
mashaallah qaswida iko poa sana
Hiii kiboko mashallah👏👏
Umeimba kw hisia sana imegusa broo🙌
Ma shaAllah Kasida nzuri sana
Kaswid nzur mashallah ❤❤
Maashaa ALLAAH.
Imekwenda vizuri na wakati.
Bila shaka ni lazima itagusa wengi!!!
Wake kws waume 👏
Maashallah ujumbe mzur
Mashallaaah
Mashallah mm mwenyew mwanamkee yamenikuta wallah umenikumbushaa mbalii sanaa
Kwani broo umetendwa ama vipi mbona wasoma kwa his Kali sana?
Pole yamekukuta nini
Pole
@@khadijahali4837 nishapowaa
Mollah anijalie moyo wa kuwez kumpta ninayestahik unatoa gharm nying kumbe sivy kbisaa
Bin daudi umetishaaa
You did it Afnaania on
Hongora sana Kwa ujumbe mzuri ❤❤❤❤
Afnani hakika mmengusa sanaaaaaaa😢😢😢
Iko swa mashaAllah imeniliza sanaaaa😭😭😭😭
hahhhhh imekuliz kwa nin
Mashaallah
inahuzunisha imenigusa hii 😭😭
Pole san ila umefany kazi nzut
Nisemeje mm, yamenikuta😭
Pole sana
😣😣pole
Mashaallah..❤..kaswida.nzur..sana...inatufunza.
Allah akuongezee bidii zaidi iko vzr
Kaswida nzur Sana mashaallah
Mashaa allah , hongera sana imetulia
Jamn ust sle nampenda kanikosha haswa kwenye hii kaswida me nimwanamke lakin imenifurahisha coz naelewa uchungu wa mapenz❤️
Masha'Allaah bro,,,,ht waume wanausalit kk
Maa sha Allah .hongera kaka kazi nzuri
From Germany
Nimeipenda sana qaswida hii Masha allah 🙏 😢
Asante sana
Yan imenigusa hii Qaswida mana kaisoma Kwa hisia Sana mpaka ukitazama unalia Yan honger Sule😘🥰
mashallah aswida ni mzur sanaaa hongereni afnania
Mashalhhlh mashalhhlh mashalhhlh imewachoma wengi na pia tumejifunza wanawake hawana msimamo unaweza kuuziwa mbuzi kweny gunia
Mashallah imebeba ujumbe wa kwli
Imagusa San hiii
nimeimisssss hiii kaswida jmniiiiiiiiii
Hongera bhn 6:22
What a hit in this year more blessing afnaania 💯
Kudaadek sule hhhh .....khattwwaaaaarrrryy na nusu hhhh wauza ngo'mbe sule hhh wallah nimecheka mashallah mashallah hongera na nusu sule Afnania mbele 2022 dah na kilio aaa pole.
Hahhhahha
@@suleimansuleiman990 Hhhh kauze hyo ng'ombe hhhh
@@idatally3846 nixhauzaaa
@@suleimansuleiman990 hhhhh sawa
Nimekubal kazi
dahhhhhhhh hmm inatowa chozi
Pole sana Allah atakuhifadhi Isha allah
Heart toching💔
Mashallah nice one
Mashaallah kaswida nzur sana,,yaan nmetaka kulia namimi😭😭