zawadi yangu kwa shekh muhammad bachu baada ya munaqasha akiwa na shekh said Allah awalipe kheri

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • เกม

ความคิดเห็น • 259

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 5 หลายเดือนก่อน +3

    Napenda sana nipate masheikh niwasomeshe mana weng hawajasoma, na mimi sijasoma ila kwa masheikh hawa kina huyu, saidi, shafi nowasomeshe

  • @abuuzwiin1876
    @abuuzwiin1876 11 หลายเดือนก่อน +11

    Sheikh kwaivyo unatuambia tuendelee kupiga Gita na piano Kama sheikh said kwa nn nyie vijana munamuonea gera sheikh m.bachu wakati yeye Yuko kwenye msitari wa haki.

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน +1

      Tunamuonea gere?
      Yupo katika haki?
      Hem jibu maswali kisha tuone nani yupo katika haki

    • @lilotz-we7xq
      @lilotz-we7xq 10 หลายเดือนก่อน +1

      Bachu Hana elimu halafu swali moja tu kajikojolea

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 10 หลายเดือนก่อน

      @abuuzwin1876.... Acha upinzani na ushabiki hapa hapajazungumziwa kupiga Gita.... Sikiliza Vizuri kijana anavoelezea kaka

    • @user-pu7xb6zg6w
      @user-pu7xb6zg6w 10 หลายเดือนก่อน

      Ukweli unawauma!

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 10 หลายเดือนก่อน

      Mwambie kukojozi aje nahiyo mada tena kama mwanaume

  • @neemamohamed5926
    @neemamohamed5926 10 หลายเดือนก่อน +2

    Bado Muko na Bachu tu, kweli Bachu katufungulia mwanga wa Haki, Nuru iwe juu yake sheikh Muhammad Bachu, inshallah

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie Masufi tumewachoka na uzushi wenu,mmeshindwa kujibu hoja za uzushi wa Maulid badala yake Mnamshambulia sheikh Bachu

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 10 หลายเดือนก่อน +2

    We uwo munaqasha hujauskiliza unachokiesma we na kilichosemwa kwenye munaqsha ni itu viwili tofauti na we huwezi kua mwanafunz wa bachu kama hujaacha usufi yaan bachu aache mambo ya maana ya kufany aje akujibu we wakat masufi wenzio wameshindwa

  • @user-yi3mt2qv7b
    @user-yi3mt2qv7b 7 หลายเดือนก่อน

    wew ostadh kushakua huna cha kufanya naongea mimi abuu ahmad anzinjibaar

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jitahidi kusoma iko siku Allah atakujaalia utaijua hakki ila saa hizi bado kwanza tafuta elimu

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  8 หลายเดือนก่อน

      Ameen ameen yaarabal allameen 🤲❤️

  • @kingahmada3873
    @kingahmada3873 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dua akuombee Nani wew

  • @user-vl9lf4sv5h
    @user-vl9lf4sv5h 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani hadithi ambazo si zaifu hakuna mpaka mtumie zaifu

  • @kusweymohamed
    @kusweymohamed 10 หลายเดือนก่อน +3

    Simwiti shekh barzanji muwongo kwa sababu ya hadithi dhwaiff bali kwa maneno yake ya udhushi katika barzanji mtume aw mtumi kaingia leo tumboni kwa mamake Amina Aya ilitoka wapi aw Hadith nae bwana mtume ukotumboni wanyama wa bahari na wamsutuni wakasherekea maneno haya nikweli katoa nani maneno haya tuwateni ushaabiki sirudi Tena huko inna akramakum indallah atqaakum

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน

      So lazima uwe upande huu cha muhimu heshima na wale ambao hawaamini unacho amini wewe

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@yammuhamed736swali liko pale pale fundisheni sasa mjadala uliisha watu wa maulidi na wasiokua wa maulidi wanataka kujua jee wanyama waliongea ni kwely maana ust Saida alinyima watu elimu hilo ndio swali la msingi ilkua ust said alifafanue kwa mjadala skizeni wanyama waliongea ukwely fungua kitabu flani flani mwanachuoni flani fungua kitabu flani huna hiki hapa kwa camera lkni sio kuja kusema tu mwampenda mtume hakuna mwislamu asiempenda mtume Bali njia yenu Ina tashwishi sasa fundisheni hii story ya kumkaririsha mtu mashairi mengi mengi wachaneni nayo

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 10 หลายเดือนก่อน +2

    Namuusia Bachu aache Zarau kamzarau saidi Allah kamdhalilisha kapewa swali mzigo maishani mwake hatalisahau

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน

      Hatofanya tena dharau kwa kipigo kile

  • @rushu1232
    @rushu1232 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nasikitikia sana mawahabi haya mambo ni madogo mpaka vijana wadogo ndio wanao mfundisha sheikh wenu huyu amemletea mstalahi alhadithi na yule mwengine juzi amemletea kitabu cha hadithi za wanyama kuzungumza mimba moto kuzimika bado hamukubali hiyo nitabia yakiyahudi.

  • @kassamruzuru4913
    @kassamruzuru4913 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kijana nyie watu wa twariq mnamaskio mabovu kwa kwel. Maan ukimuelewa vizur sheikh Muhammad bachu hajasema barzandji nimuongo laaa wala hajasema kitabu cake nicauongo ila amesema kwamba ndani ya kitabu cha barzandji muna maneno yauongo sio kitab kizima kimebatwilishwa kuwa uongo kwa sababu zakutumia hadithi munkar kaeni chini msikilize vizur msikurupuke( aceni Kiki)

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Naona wewe umevamia basi kwa mbele muulize kibachu topic iliyompeleka huko

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu 10 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuongoze kijana ila umekosea unge mtafuta ilo kama una la kumwambia

  • @Swalehthabit-gb9ei
    @Swalehthabit-gb9ei 10 หลายเดือนก่อน

    Km hajuuiiii aseme. Kitu rahisi kwwnini awe mkaidi? Na jambo lengine la kushangaza Kuna wafuasi Wake hyu bachuu ukisema hvi wanaudhika na kujibu kwenye mitandaoni ufidhuli km Wao wako na elimu wajitojeze wao.wwjadiliane na shekh Said . Mwatukera tuu maulid maulid maulidi hamukomi tu.

  • @abdallahkiwaka5948
    @abdallahkiwaka5948 9 หลายเดือนก่อน +1

    usipende kuongea mitandaoni kama haujaelewa kinachojadiliwa kijana unajidhalilisha kwa wenye akili.

  • @sarboko
    @sarboko 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kama maneno uloyatumia niyakumzushia mtume basi utaitwa Muongo na maneno yako yatakua yauongo.
    Na kwanini useme UONGO kufundishi watu Kwani hakuna hadithi za ukweli ukatumia.
    Hayo maulidi imekua niibada.

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe pia umekosea huwezi kusoma aya ukasema unadhania aya inasemahivo katka aya hakuna kudhania pia umekuja na surahiyohiyo ya kujitukuza

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน

      Nilisahau kama ni wala tuzaku au fala tuzaku pia Allah atujaalie tusiwe ni wenye kujikweza

    • @hajimuhidini1903
      @hajimuhidini1903 10 หลายเดือนก่อน

      @@yammuhamed736 muhimu tunapo elekezana tujitahidi kutumia busara na tusitumie udhaifu wa mtu kumatngazia aibuzake kwa watu mimi namsifiasana sh saidi Ali hasani wa gongoni ni marachache anaingia katika mizozo isiyo ya lazima Allah atustiri tuwe na Tawadhui

  • @amiramour857
    @amiramour857 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndie hujamfahamu shekhe mohd bachu

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashall ah ❤❤❤

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maa Shaa Allaahu
    Aaaamiiina

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kejeli pelaka kwa mzazi wako kama hakufunza...
    Hii mijitu yatoka wapi?
    Ungetowa video ya kutatuwa shirk na kufuru kwa barazambiiiii ungefanya la maana.Bure kabisa.

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Usiende kwenye vita ya. Bunduki na visu ndo somo la leo

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Ni kheri mukafute mikojo kwenye kiti Cha watu

  • @HASSANIMAFTAHA-rk1pd
    @HASSANIMAFTAHA-rk1pd 9 หลายเดือนก่อน

    Jibu cumeltaja mwenyewe apo big up sana mwalimu nataka nije kusoma kwako

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe sion kam una akili ingekua una elimu bas ingekua muelewa

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 10 หลายเดือนก่อน +1

    MASHAALLAH

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu anaonesha hasa km anapenda kuhongwa ili apotoshe Jamii.shekh ubwabwa

  • @SadatiMustafa-os8ry
    @SadatiMustafa-os8ry 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe jibu walau nukta moja tu.wanyama wadudu wote samaki naviumbe vingine vyote ilipo tunga mimba ya mtume viumbe vyooooote vilipeana khabari kuwa mimba ya mtume imeingia je hayo niyakweli?jibu walau hilo tu

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tumemuelewa. Shekh said ❤❤

  • @user-me5do6nh2d
    @user-me5do6nh2d 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah tabarakallah

  • @bakarijuma8697
    @bakarijuma8697 10 หลายเดือนก่อน +1

    Katika usilamu tumekatazw kufanya mzah katika kweli nawew unamfanyi shee mzaha kwakujifany wampenda wew kama kwako unaona alicho kusema niuwongo au nimakosa yawache usijitafutie umarufu kwa kujipatia madhambi mola tusame

    • @user-ek3zk4bx5j
      @user-ek3zk4bx5j 10 หลายเดือนก่อน

      Shehe mwenyewe ndio huyo Bachu ?

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 10 หลายเดือนก่อน

    We sheikh mdogo umeelesha vizuri lkn mbonaYee Bachu hailewi.

    • @AbdullahOmar-fv3ld
      @AbdullahOmar-fv3ld 10 หลายเดือนก่อน

      Anajuwa bachu Ni mtego hawezi kujibu

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 10 หลายเดือนก่อน +2

    Qruani ni mazingatio ya wenye akili,

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah sheikh mdogo.

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan8922 10 หลายเดือนก่อน +1

    Soma kwanza ujue

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kaa kimya shuhulikia masomo yako

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 10 หลายเดือนก่อน

      Ww unayo ilimu pambana nae Kwak dalili na ushahidi

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 10 หลายเดือนก่อน

    KISWAHILI hujui kwanza

  • @markazzadlittaalimwalakhla355
    @markazzadlittaalimwalakhla355 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu naona ajikoroga na anaturegesha nyuma akasikize tena munaqasha vizuri , katika makubaliano yao ni hadithi dhaifu itatumika kwa vigezo gani? Huna jipya shekhe warudiarudia wewe kashike twari upige tungojane siku ya Mahshar.

  • @user-od1et5ii1k
    @user-od1et5ii1k 10 หลายเดือนก่อน

    Hawezi kujibi huyo bachu mandonga keshazoweya kijisifu huyo huyo ni sawa na mandonga tu hata akishindwa basi anaesema kashinda

  • @ShaibmbaroukHemed-mi5rf
    @ShaibmbaroukHemed-mi5rf 10 หลายเดือนก่อน

    Wwe katafute mashiawenzako usimpelekee bachu kitabu wape hao mashi walokutuma huna lako jambo katafute uyo mpiga gitaa ust said mukapige gitaa pamoja

  • @khamismwalim5604
    @khamismwalim5604 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kama unazawad kwel usinge tangaaza mitandaoni

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 8 หลายเดือนก่อน

    Said jafar barzanji ni muongo na kitabu chake cha barzanji ni uongo kipindi wanyama wanaongea lugha fasaha alikuwepo ebu punguza kula mirungi utamuelewa vizuri Sheikh Mohammad Bachu

  • @RashidAli-ft2om
    @RashidAli-ft2om 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kasome kwanza umalize
    Acha ujinga

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hadihti dhaifu huwezi kutumia kujengea hoja ikiwa utapingwa ktk jambo fulani kwani mtume ana mapungufu gani mpaka asiwe kwa hadithi zaifu wakati sifa anazo

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน

      Hatutaki jazba tunataka vitabu

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 10 หลายเดือนก่อน

      Inaonesha maana ya Hadith na hukumu zake huzijui Hadith zaifu zatumika na bachu hilo alijua ndio maana akakwama kujibu suala waja wewe ama Hadith ni zaifu someni mawahabi musiwe wajinga

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@jumafaki2891nyinyi wenye elimu na ust said ilkua afundishe umma pale sio bachu atoe kitabu skizeni kitabu flani flani kinasema hivi kuhusu kuongea kwa wanyama mwanachuoni flani amesema hivi watu woote wangeelewa sio lazma bachu aelewe waskilizaji ndio walengwa kila umuulizae atakwambia zii hakuna kitu dini ya kiislamu ni dalili tu sasa wekeni darasa mufundishe umma mjadala uliisha watu wanataka kujua wanyama waliongea lilithubutu hilo kwa dakiki watu wataelewa kirahis

  • @jambojomba9042
    @jambojomba9042 10 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuepushe na kutetea baatil

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 10 หลายเดือนก่อน

    We umeuliza sawli unataka ujibiwe je ukijibiwa na we ukotayar kuulizwa na utuletee majibu usihemkwe kwa kusoma icho kitabu siku mbili ukajiona tayar unajua je utatoa ushahid wanayama waliongea kweli

  • @user-bg2yc4kw9k
    @user-bg2yc4kw9k 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umeniharibia mb zengu ugekua karibu nige kupiga wali

  • @user-iv3ou4qg4d
    @user-iv3ou4qg4d 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umeshaonekana na ww ili usifiwe upate kuongeza kibri.

    • @mohdhilaly7900
      @mohdhilaly7900 10 หลายเดือนก่อน

      First eleven ina maana gani kumuambia mwenzio ?

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 9 หลายเดือนก่อน

    Allah akuongoze unatafuta umaarufu ushauoara

  • @princeabuu8297
    @princeabuu8297 10 หลายเดือนก่อน

    Maliza kusoma kwanza alafu ndo umtafute Bhachu kakangu

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kila mtu aseme mpaka wewe ??? Duh

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Ni kwasababu mie ni msomaji mzuri wa barazanji hivyo limenigusa tena kaanza mlango ambao nikiusoma natunzwa mpaka nauli

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน

      @@yammuhamed736 subhnllh wallah Allah akuongz kwny haki

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      @@fayeezabdallah2217 sote kwa ujumla

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน

      @@yammuhamed736 usisem sot kwa jumla sema mim kwa ujumla

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@fayeezabdallah2217hujaongozwa wewe!

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kabisa wape wape hao wenye akili kama hata hatujui tuzifananishe na nini akili zao na ilmu zao kumbe hawana ilmu kabsaa waLLAH mawahabi chembelecho yuauf siwani mambumbumbu😂
    Matango pori

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Ni ndugu zetu usiwape maneno makali ivyo😁

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy 10 หลายเดือนก่อน

    Amiiin

  • @user-zo6wx9zt3p
    @user-zo6wx9zt3p 8 หลายเดือนก่อน

    huyu ndiowle wanaotafuta umaarufu mitandaoni nenda kasome kwanza

  • @user-ik6sf8lh9m
    @user-ik6sf8lh9m 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ushakua maarufu jitashid hiyo mitusi munayo watukana watu wa sunna siku ya qiama mutajibu

    • @HajiJuma-dc2ev
      @HajiJuma-dc2ev 10 หลายเดือนก่อน

      Matusi anayowatukana mashekh wetu yeye ataendapeponi????

    • @HajiJuma-dc2ev
      @HajiJuma-dc2ev 10 หลายเดือนก่อน

      Kama kuingia motoni bachu sijui itakuwaje

  • @neemamohamed5926
    @neemamohamed5926 10 หลายเดือนก่อน

    Jibuni Hoja kwanza!

  • @jafarijande
    @jafarijande 10 หลายเดือนก่อน

    Hadithi ili ìingie kwenye kundi la hadithi lazima alieihadithia awe muhadithina wa hadithi na dini haina imekamilika usiz ue kitu ukakiingiza kwenye dini, kitaleta migogoro , barzanji sio kitabu miongoni mwa vitabu vya hadithi

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน

      hujaambiwa barazanji ni kitabu cha hadeeth bali ni kitabu cha kumsifu mtume ambapo ndani yake kuna kipande kina msifu mtume kua wanyama walizungumza kwa kuzaliwa kwake ambayo maneno hayo si ya jafar barazanji kayatunga bali kayatoa kwenye hadeeth ambayo ni dhaifu ndomana akauliza kutumia hadeeth thaifu kwenye kitabu chako ndo tayari kitabu chako ni cha uwongo?

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 8 หลายเดือนก่อน

    Kwan kuna hadithi dhaifu au MUNKAR !!!?????

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 10 หลายเดือนก่อน

    Hajauliza ivyo shekhe Rudi ukaangalia ila Munakash ila uwe unasema ukweli kwa swali aliloulizwa. Itaq Llah swali halikuulizwa hivyo aliuliza la Mtu TU wala sio kitabu.

    • @osmanmanbile9327
      @osmanmanbile9327 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio maana mawahabii wanapiga kelele bachu aliposema.hamjadili kitabu akalizwa je kitabu pia n uwongo alishindwa Kwa sababu bachu alikua anasema n uwongo Rai yke lkn siku ya munaqasha alishkwa. ..hebu n ww Anglia vizuri munaqasha uone hilo

  • @Yousouf-wn1qz
    @Yousouf-wn1qz 10 หลายเดือนก่อน

    Ww unajitia kumbembele unaisi atakujibu nyinyi siolazima mumewe lewe tukimuelewa sisitu inatosha sisi tushajuwa yakwamba maulidi siktk dini rabdautua mbyenimila apotutakufaham.Mahizzibi hiyyi hauzushi

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Uwahabi je ni dini

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p 9 หลายเดือนก่อน

    Uyu kijana wa kisufi anatapika nini
    Wewe ume zizima kwa usufi na bidah

  • @makamekombo-qy6dx
    @makamekombo-qy6dx 10 หลายเดือนก่อน +1

    hiindio hatari ya watu wa bidaa
    Vijana Kama huyu allh amuongoze
    mtu akesha ingia ktk bidaa hawezi kutubia kwani ahisi ndio dini
    bidaa yake hiyo

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Bidaa ni uwahabi maana haukuwepo wakati wa Mtume(S.A.W) mnasahau upesi tokeni katika uwahabi ndo bid.a kubwa yenu

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh hauna elim

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 10 หลายเดือนก่อน +1

    Acha riyaa Wewe kijana

  • @kingahmada3873
    @kingahmada3873 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unataka umaarufu

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  5 หลายเดือนก่อน

      Alhamdulillah huoni ata we wanijua ndo mwanzo uwo

  • @rashidandayi5514
    @rashidandayi5514 10 หลายเดือนก่อน

    Wajichanganya

  • @rajabdanga8590
    @rajabdanga8590 10 หลายเดือนก่อน

    Unatafuta kiki kupitiam.Bacho kaendelee kusoma

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 10 หลายเดือนก่อน

    Wacha kupotosha mada ust said alinyima watu elimu kama yy alikuja na risasi mbona alishindwa kuthibitisha wanyama kweky waliongea hilo ndilo swali la kwanza ilkua azame kwa vitabu leo nataka watu woote waskie hili kitabu flani flani chasema hivi na hivi mwanachuoni huyu ywasema hivi ilimshinda watu walitegea kuskia wanyama waliongea

  • @AbdulmajidHyder
    @AbdulmajidHyder 10 หลายเดือนก่อน

    Ni Vibaraka vya Mayahudi. Huenda wanajitambua ama hata bila ya kujitambua.

  • @rumaythaseif5613
    @rumaythaseif5613 10 หลายเดือนก่อน

    hujui ata nn unazungumza apo hakujachambuliwa kitabu chote ni jambo moja tuu huwez kutoa hukmu ya kitabu kizima kwn kwny barzanji hakuna mambo ya kweli? linalotakiwa kujua hakuna mtu wala kitabu kilichokamilika ispokua Qur an peke yke kuna tatizo gani kutoa makosa ya kitabu husiku. musiitukuze barzanji mpk mukaiweka darja ya qur-an. Oh! Allah tusaidie

  • @ommymkasa9575
    @ommymkasa9575 10 หลายเดือนก่อน

    Shekh tafuteni watu muwafundishe acheni kutafuta umaarufu usokua na maana basi kilamtu anataka aoneshe alicho kisoma upumbavu mtupu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 10 หลายเดือนก่อน +1

    Toka apaa kimberley nyimbo uko ndo fani yako

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mpo kwa ajili ya makulaji

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hadith hiyo ni dwaif kweli, je imepokelewa na nani? au imeokotwa? Hiyo Hadith amepokolewa na mtu ambaye si mpokezi wa Hadith, kaaeni mutete madhambi

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Nani kaipokea? Tambua sio barazanji na watu wa elimu ya hadeeth wanaikubali kuwa ni hadeeth na daraja lake ni dhaifu hadeeth Ya kutungwa huitwa maudhui na haijaitwa hivyo hivyo nakushauri kasome hicho kitabu nachotaka kumpa bachu zawadi ili usiseme sems majambo ambayo hayapo

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน

      @imsimbe kinaitwa mustalah al hadeeth pia kwakua bado mpya mpya kwenye dini nakushauri mfwatilie sana othman maalim

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 11 หลายเดือนก่อน +2

    Dogo hujavuta bangi lakn ???😅

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Tumefika huku kaka wakati mi natoa zawad

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Hajavuta kajikojolea

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan8922 10 หลายเดือนก่อน

    Ndugu upo upo lakini hujielewi

  • @abubakarykivo7366
    @abubakarykivo7366 8 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama adithi tayar ni dhwaifu kwann tuendelee kuitumia

  • @zahraomar8095
    @zahraomar8095 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa nyie mnaemtukana huyu shekh nyie mmesomaaaaa au maneno mengi tuuuu

  • @dredboy
    @dredboy 10 หลายเดือนก่อน +1

    Toa upuzi mtadaoni

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 10 หลายเดือนก่อน

    Acha kuigaiga wewe kama kweli ungekuwa unajua basi ungeanza kuuliza wewe hilo swali, huwezi kupata umaarufu kwa stahili hiyo yaani unarudiarudia yaleyale ya mwenzio, uliza ya kwako basi kama wewe unajua kweli au thibitisha ukweli wa barzanj

  • @user-hh1ol2tr5w
    @user-hh1ol2tr5w 10 หลายเดือนก่อน

    bado huna elimu kasome kwanza au kama unatafuta umaarufu na ww poa tutakufollo

  • @zahorsuleyman3429
    @zahorsuleyman3429 5 หลายเดือนก่อน

    Hamna kitu hapo

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina6718 10 หลายเดือนก่อน

    Hawajasema kitu

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 11 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa ndoumesama nini kumbe na wewe unalako

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Lipi mi natoa kweli hiyo zawadi

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 10 หลายเดือนก่อน

      Bachu hana ilimu mpe zawadi yake

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 10 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@yammuhamed736Mimi swali langu moja tu kwani haya maulidi mtu wa kwanza haswaa kuyaanzisha nani? Na yalianzishwa wapi? Na yalianza Karne ya ngapi?

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน

      @@abdurahimabdulkadir3926 nijibu maulid ni nini nikujibu swali lako

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@yammuhamed736 hiyo ndio shida kma kwa mjadala unaruka swali la mwanzo langu unanirudishia swali haya mm sijui maulidi ni nn nielimishe lkni ujue swali langu ni nani alieanzisha maulidi? Na yalianzishwa wapi? Na yalianza Karne ya ngapi?

  • @SuleimanMakame-ex2eh
    @SuleimanMakame-ex2eh 9 หลายเดือนก่อน

    Unaona Allah kamdhalilisha kwa sababu wewe unatetea gitaa hv kweli ?

  • @alaminbahero3604
    @alaminbahero3604 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe hujielewi ume fyetuka

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน +1

    hakik wew ni juha wa mwanz dunia hii

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Brother unahasira sana

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน +1

      lazima niw na hasr kwnn munamzulia mtume muhammad saw kwnn half wew kam wew unapinga hak unakubal batil why thibitsh bas hoja ni wakt mimba ya mtume saw wanyama na viube wot walipeana habr hem thibitsh bas nipat faid

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน

      nd man nikasm wew ni juha wa kwanz dunia hii man kun mamb unatakw kutmy akil ya kuzaliwa sio akil ya ujuwaj fikr kwa makin

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 10 หลายเดือนก่อน

      @imsimbe cha msing msomi akiwa msom yupo tyr kufahmsh umma kuhus jamb muhim ktk din, ikiwa maulid si uzsh kwnn toka miez kadhaa hoja 19 hat moja isijbw kwann kwann!!! half bas tufany sis tusio juwa kwann hatufahmsh je wanyama walipeana habr wakt mimba ya mtum (saw) inangy??? kam wew unafhm nifahmsh bas kwa ushd wa quran na hadth sahih

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@yammuhamed736msameheni kwa pengine ana mimba

  • @humudhemed7177
    @humudhemed7177 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mche Allah Kuna siku utakufa

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Allah atupe vifo vyema

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 11 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo ww hutakufa

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน

      @@mhusinigau3231 tumia akil bas

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 10 หลายเดือนก่อน +1

      Ona ulivo tahira.nani kasema hafi .Unaelewa maudhui? Yaani nyie mawahabi ni majaahil sana

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 10 หลายเดือนก่อน

      @@husseinally5550 wew juha wa 2 dunia hii toka Allah kaumb

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 Bhachu kuenda mombasa kumevurumua mambo mengi

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน +1

    wallah Allah hawez kukusamh wakt unatetea uwong bil chenga chunga manen yk juha mkubwa we

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Msamaha anae toa ni Allah si jazba zako

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน

      @@yammuhamed736 ushawah kumuona mt anamdhly mtum muhammad saw half akwa salama!!!!

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน

      @@yammuhamed736 mimi naw natk munaqsh wa akil ya fikra man naona wew akil yk haiwez hat kufkr bas dah kwa namn hiy wallah ikiwa unakaid wa kijinga huna salama mbele ya Allah kbc wakt ndg yak muslm anakufahmsh kwa waz na sir huelw unakaidi unakuw na kibr wallh huna salama mbel ya Allah

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      @@fayeezabdallah2217 do kaka Tumefika pabaya kwani tatizo nini

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 11 หลายเดือนก่อน

      @@yammuhamed736 tatiz lak umekurupuka saaaana unajuwa Allah sw anavokasirk namn amby anavodhlw uwong kipenz chak unajuw!!unajuw!! ni namn gan Allah anaghazibika unajuwa!!! unajw!!!!!!!

  • @JumaKhamis-cw8ec
    @JumaKhamis-cw8ec 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe hupo mbali na bachu bali upo mbali na haki

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 10 หลายเดือนก่อน

    Abridu

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  10 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio ntalifanyia kazi hili asante kwa elimu nilisoma kwa makosa

  • @MassodAbdalla
    @MassodAbdalla 11 หลายเดือนก่อน +1

    NENDA KAPIGE VITA UBAKAJI KATIKA VYUO VYENU VYA MADUFU ACHA KUJITAFTIA UMAARURU NA KUJIFANYA MJUAJI YAKO MAMBO YA MSINGI WAISLAM KUYAKEMEA BADO WEWE UNA TAKA TAKA AKILI TU

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  11 หลายเดือนก่อน

      Mtupa kitabu bachu nae mlisihi nini

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Unataka kusema kua jambo la msingi ni kujikojolea?

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 10 หลายเดือนก่อน

    Si hata naona umepiga picha na kish ki? Kish ki nimkata viuno?

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 10 หลายเดือนก่อน +1

    Msondongoma huyu

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 11 หลายเดือนก่อน

    Wewe sokwe acha ushirikina, barzanji limejaa shirk.

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Sawa MBWA eshasikia

  • @Khamismwtn
    @Khamismwtn 10 หลายเดือนก่อน

    Katafute jembe ulime wewe watu wote wabweke mpaka weye acha usenge huwo

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft 10 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mantiki yeyote ktk maneno Yako

  • @allydaud117
    @allydaud117 10 หลายเดือนก่อน

    Maali unasoma bc endelea kusoma, m nakuombea kw Allah akuongowe na akuongoze mn yy ndo muongofu ila kijana acha kutafuta umaarufu kwa kupitia majina ya watu we ulitaka Sheikh Mohammad akup jawab gan au nia yenu nd mlitaka aseme hajui 😂 il museme hajui wakati swali, aliloulizwa halimo ktk kitabu, n maulamaa hawajaongelea suala la mtu alietumia hadith zaifu bali wao wamehukumu hadith yenyew na so mtu, nakushaur kakae tena kauskiliz munaqash vizr huwend ukapata kitu ila pia achana na mambo ya upenz bali kaa katika hakki.

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 10 หลายเดือนก่อน

      Kama yeye ndo muongofu ilikua kwanza uombe wewe akuongoe acheni kasumba الجزاء من جنس العمل

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba 10 หลายเดือนก่อน

    Nenda kasoma,mwkt kasema"