02 - MUNAQASHA WA MOMBASA || BAINA YA SHEIKH MUHAMMAD BACHU NA SAID OMAR ABDALLAH

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • #alhaajartvkenya #kenya #mombasa
    SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
    Instagram: Alhaajartvkenya
    Twitter: Alhaajartvkenya
    Facebook: Alhaajar Ke
    TH-cam: Alhaajartvkenya
    © Al Haajar TV Kenya 2023

ความคิดเห็น • 1.7K

  • @muuhhb4787
    @muuhhb4787 11 หลายเดือนก่อน +139

    Wallah walio muelewa BACHU jinsi anavyoelewesha vzr na ewe ukaelewa vzr anachokizungumza plz like apa 👍

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน +2

      Masha Allah

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน +1

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

    • @shukridawood5139
      @shukridawood5139 11 หลายเดือนก่อน +2

      Walio muelewa wote baadhi ni watu ambao wanapinga Maulid., lakini huo munaqasha uliwekwa na MADA ya Uongo katika barzanji na wakawekeana masharti yakua watumia Wana vyuoni peke yake kuthibitisha MADA ama Wana vyuoni walitoa hukmu Gani katika Hadith....hii tayari ilikua mtego Sheikh Bachu asingeweza ku ukwepa sababu ya kwanza ni maneno yake ndo yalitumiwa kuwekwa MADA hio Kwa kusema katika MIHADHARA MINGI kua Barzanji ni Muongo ama kile kitabu Sasa Waka amua watumie NENO lile la Uongo na pili hakuna mwana chuoni yoyote aliwahi kutoka hukmu ya urongo kwenye barzanji ange maliza library nzima asinge pata ndipo aligundua ni MANENO yake yeye kusema ni urongo na si Wana vyuoni ndo akashidwa kujibu...,

    • @user-qm4qd8yk2x
      @user-qm4qd8yk2x 11 หลายเดือนก่อน

      lakini wewe ndugu yangu @shukrdawood mada asli yake ni yale maswali ya Tanga urongo na shirki ndani ya barzanji na kwa ushahidi wa maneno yangu angalia kwa umakini sana mandalizi ya munaqasha shekh aboud alisema Nini?na shekh Abu Ahmad alisema Nini? ndio utajua ni upande upi uligeuza mada tafadhali angalia clip kuanzia 13 to 15 angalia na usikize viziri kwa hivyo said akufaa kumuliza bachu urongo WA Jafar barzanji laaa alifaa kujibu hayo maneno ayatole Aya au Hadith lakini kuuliza swali eti ni wanazuoni Gani wahadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo huitwa mrongo. hio pia ni kama kuuliza ni wanazuoni Gani wa hadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo Huwa mkweli mpaka hapa utaona said aliuliza swali la kitoto pili watu waupande wa twariqa walikwepa mada asli ambayo ilikuwa nikujadili urongo wa hio mistari lakini sio kumjadili mtu(barzanji)

    • @ahmedsalehe9489
      @ahmedsalehe9489 11 หลายเดือนก่อน

      @@jambojambosafaris jibu liko wazi

  • @uzmanoorani6727
    @uzmanoorani6727 11 หลายเดือนก่อน +8

    Ustadh. Said Omar..alhamdulillah tutasoma maulidi..Kwa maisha yetu yote.. hakuna mwenye atatubadilisha..sisi na mtume pamoja hadi jannah.. Ameen

    • @abdallahmasaza4840
      @abdallahmasaza4840 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 mswiba

    • @mubarakaibrahim5715
      @mubarakaibrahim5715 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe soma tu. Kwsababu we ni mtu wa bidaaa

    • @khalidtechnology367
      @khalidtechnology367 11 หลายเดือนก่อน

      Ila ukumbuke malipo kwa mungu utayakuta

    • @user-po8dd2ch5l
      @user-po8dd2ch5l 8 วันที่ผ่านมา

      shenzy kabisa wewe pumbav

  • @abubakarallykalyuku9618
    @abubakarallykalyuku9618 11 หลายเดือนก่อน +16

    Poole na Jazzaka'Allah khaira Sheikh Muhammad Bachu kwa kuelezea hurongo wa maneno yanayo patikana katika Barazanji.... Allah akulipe kheri kumtetea mtume

  • @leomwaki9366
    @leomwaki9366 11 หลายเดือนก่อน +20

    allaah amhifadhi my akhil kariim ust. muhammad nassor bachu. kafanya la maana kumaliza mujadala Kwa heshima ya ELIMU maana huyu mtetezi wa barazanji anataka kuaminisha watu katika kitu ambacho si sawa

  • @alhilalymediapro
    @alhilalymediapro 11 หลายเดือนก่อน +34

    Allah Akuhifadhi Na akulinde sh Muhammad Bacho na akufufuwe na Mtume ﷺ Kwa Juhudi hizi unazo fanya Ujira umefikie sheikh Wetu Marhuum nassor Bacho rahimahullah

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน

      Isha Allah

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n 11 หลายเดือนก่อน

      Allahumma amin yarablghalamin

    • @mubarakaibrahim5715
      @mubarakaibrahim5715 11 หลายเดือนก่อน

      Sheikh muhamamdi nasoro bachu. Allah akuongoze. ila pia nilikuwa nakushauri ndugu yangu. Usifanye tena mdaharo na hawa watu wa bidaaa wasioelewa wajanja ktk din uelewa wao umeishia hapo ni vichwa mchunga

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3w 11 หลายเดือนก่อน +29

    Muhammad Nassoro Bachu Salaf Saleh❤❤❤May Allah preserve you! #Blessed_Salaf

  • @hemedimsuya7024
    @hemedimsuya7024 11 หลายเดือนก่อน +18

    Barakallah fik ,, Muhammad bachu Allah akufishe katika kalimatuh Laillaha ilallah,, jazakallah kheir nakufatilia vizur tangu munaqasha wa Tanga nimejifunza mengi xna Jazakallah kheir

    • @user-yt3op9xi3k
      @user-yt3op9xi3k 11 หลายเดือนก่อน

      Bachu ipo haja yakwenda kusomeshwa na sh said

    • @user-yt3op9xi3k
      @user-yt3op9xi3k 11 หลายเดือนก่อน

      Acha kuruka ruka

    • @user-yt3op9xi3k
      @user-yt3op9xi3k 11 หลายเดือนก่อน

      Tatizo unaruka wakati ww ndio ulimwita muongo mwana chuon

    • @user-yt3op9xi3k
      @user-yt3op9xi3k 11 หลายเดือนก่อน

      Ww kwel punguwan Hadi baba Yako hakuwa na elm

    • @user-yt3op9xi3k
      @user-yt3op9xi3k 11 หลายเดือนก่อน

      Ww una teremshiw wahay

  • @habibuchwinyaaisaidi
    @habibuchwinyaaisaidi 11 หลายเดือนก่อน +14

    mashaaAllah Shukran shk Bachu Hawo ni tarika ...قال تعالي "و إذا خاطبهم الجاهلية قالوا سلاما"Nashkuru Shk Bachu Shk saidi Ana khoofu

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 11 หลายเดือนก่อน

      BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA SUALI 🤣🤣🤣

  • @khadijaali299
    @khadijaali299 11 หลายเดือนก่อน +16

    Masha'Allah lakuwwata Illah Billah, Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu

  • @Banly-FamilyMombasa
    @Banly-FamilyMombasa 11 หลายเดือนก่อน +29

    Huyo sheikh abubakar ndio alimsomeshaa saidiii since mdogooo . Na pia nimesoma kwao. Lakini bwana ukweli maulidiii nimeona ni giza nimetoroka alhamdullilah

  • @shadyayussuf341
    @shadyayussuf341 11 หลายเดือนก่อน +10

    huy shekh wa mombas hana lolote kashindwa maan kakaa kam kahifadhishwa hy maneno anayo ya sema shekh wang muhammad bacho allah akulioe kila la khery fidunia walakhira❤❤

  • @Mina-rb8kx
    @Mina-rb8kx 11 หลายเดือนก่อน +12

    Allah akujalie kila lenye kheri na akuepushie kila lenye shari sheikh wangu sheikh Muhammad nasor bachu barakallah fiiik mashallah shikh

  • @alitom6069
    @alitom6069 11 หลายเดือนก่อน +25

    Muhamad bacho twakuelewa Mashaallh allh akulinre uzidi kuchuilimisha Allh akuhifadhi mimi mkenya lakini nakuunga mkono ✋✋✋✋

    • @awatifomar5185
      @awatifomar5185 11 หลายเดือนก่อน +1

      Tuko pamoja jirani

  • @qassimsothe7808
    @qassimsothe7808 11 หลายเดือนก่อน +9

    Tunashuhudia tukiwa marsabit tumejua ukweli sh... Muhammad bacho uko sawa kabisa 💯💯💯🙏👍🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @khamismajlo9333
    @khamismajlo9333 11 หลายเดือนก่อน +21

    Bonge la elimu inaletw na kijana mdogo Muhammad bachu mashallah shekh nasor bachu kaleta kijana

  • @fahimabdallah5271
    @fahimabdallah5271 11 หลายเดือนก่อน +6

    Kiboko yao hawa ni sheikh abdallah humeid, sheikh Muhammad bachu mungu akujaze kila la kheir kwa kazi unayofanya.

    • @AbubakarMohammed-w4e
      @AbubakarMohammed-w4e หลายเดือนก่อน

      Hakuna kiboko mbele ya mtume Mohammad s.a.w

  • @musafirbaba2100
    @musafirbaba2100 11 หลายเดือนก่อน +24

    Allahu akbar ☝️ Allah akulinde sheik Muhammad bachu hakika sisi twataka haqii hatutak makundi

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน

      Kwel insha Allah

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 11 หลายเดือนก่อน

      Mm cji kitu ila naona hapa kuna mshekeli bachu kauliza swali kajibiwa hapo na yy akarundishiwa swali kwanini asijibu hilo swali ana kwepa kwa nn wakati dini imetuelekeza age jibu tuu mm hapo sijui tusikie anafundishwa nn yy maamuma mnafurahi kitu kisicho patiwa majibu bachu arundi ajibu swali kama anajua na km hajui aseme na ss tupate faida atacho fundishwa eti mijitu inampa pongezi ajibu alight ulizwa taabu ya yy mawahabi niwabishi sijui mmelishwa nnbaadla ya kutagaza dini mmekalia maulidi biidaa nje wanaosema na bii issa mungu watafundishwa na nani acheni kila mtu afate anacho amini tuuangaalie nje yupo kwenye allaa illaa haillaalah muhammad rasuulu llaah basi marumba

  • @shaaden-
    @shaaden- 11 หลายเดือนก่อน +33

    🤲 Allah akujalie uhai mrefu wenye manufa akuepushe namaradhi khatari akuwekee wepesi kwenye maisha yako uondoke duniani Allah akiwa radhi na ww sheikh wangu Bachu. Chukuwa 🌸💐 yako❤❤❤

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sheikh gani anaemtukana na kumpinga babake mbele za watu mwanchuoni bachu sio yeye huyo mohamed mwenye kibri

  • @aboumuqbil2529
    @aboumuqbil2529 11 หลายเดือนก่อน +22

    Wallahi thumma wallahi mnaqasha wa wa tanga sabas kidogo sana alituteteresha lakini mnaqasha huu yena kapewa ijazaaa aaa badooooooo. MUHAMMAD ALLAH AKUJAZE AFYA KIUKWELI UMEJITAHIDI KWENYE ILOOOOOO

    • @zeitunMohammed
      @zeitunMohammed 11 หลายเดือนก่อน

      ولا تقطع كل خلاف مهين

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa jina alie muweza na muomba mola awahifadhi woootee watu wa sunnah

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน

      Aaa sabas yy mwenyewe kit ilikua chachomaaa

  • @oscarkulundu3848
    @oscarkulundu3848 11 หลายเดือนก่อน +18

    Mwenyezi Mungu akuzidishie Ilmu na hikma sheikh Muhammad Bachu Masha-Allah, Allahuakbar, Maulidi ni Bidhaa leo imebainika wazi

  • @badrumulinda7349
    @badrumulinda7349 11 หลายเดือนก่อน +22

    Mungu ambariki sheikh Bachu ,hapa tuko ulaya, sheikh said
    Katupotezeya mda wetu.

  • @khaleedthande6457
    @khaleedthande6457 11 หลายเดือนก่อน +23

    Allah akuhifadhi sheikh muhammad nassor bachu

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 11 หลายเดือนก่อน

      MANDONGA ANAITWA SKUIZI, SIO BACHU TENA🤣🤣🤣

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 11 หลายเดือนก่อน +27

    Mashallah tabaraka llah 🥰 Bachu nakupongeza saana 🤗 hao wengine ni watu wabidaa sijapenda walivyo maliza na Maulidi 😢 Subhanallah 🤔

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน

      Wajinga waangamiaa

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 11 หลายเดือนก่อน

      Acha usenge, huyo naecho alijibu hapo hilo swali

    • @farahadan5587
      @farahadan5587 11 หลายเดือนก่อน

      Mowliid bidaa akuna daliili hadhisi ni munkar

    • @alisaidi6358
      @alisaidi6358 11 หลายเดือนก่อน +1

      mawlid hayana shida bro

    • @alisaidi6358
      @alisaidi6358 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@farahadan5587na youtube nayo dalili ni ipi

  • @user-nm3tq2cv2r
    @user-nm3tq2cv2r 11 หลายเดือนก่อน +5

    MashaAllah ustadh Bachu, the aim was the world to know not him to know even though he has no points he is only emphasizing one question for the whole debate, but for us viewer we have learnt a lot MashaAllah, May Allah increase your Knowlge

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 11 หลายเดือนก่อน +51

    Ustadh Muhammad Nasor bachu May Allaah preserve you young man ,our Akhy who willing to connect people to the creator

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 11 หลายเดือนก่อน

      MANDONGA

    • @user-lg4hp2jr9o
      @user-lg4hp2jr9o 11 หลายเดือนก่อน

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 11 หลายเดือนก่อน +1

      BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA KUULIZWA 🤣🤣🤣

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน +1

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 11 หลายเดือนก่อน +23

    Maashaa Allah..
    Sheikh Muhammad Bachu.. Allah akupe kheri .. Tutakuja Zanzibar kupiga Goti in Shaa Allah. ❤

  • @KiluaFilm
    @KiluaFilm 11 หลายเดือนก่อน +24

    Bachuu Hoyeeee MashaAllah | Hawaa Jamaa Wa Twarika Hawana Hoja

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 11 หลายเดือนก่อน

      😅😂😂,hawana lolote amenakia kuenuka enuka na kumtishia bachu 😅😅

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @alimarsahussein-ls7fm
    @alimarsahussein-ls7fm 11 หลายเดือนก่อน +4

    MashaAllah shk Mohammed bachu kwa kutufahamisha dini na penda sana darsa zako

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 11 หลายเดือนก่อน +19

    Sheikh Bachu Nimekufahamu na Kukuelewa Kwanz ulivunja hoja ya msingi wa Swali lake kama halina hoja wala uhai wa kielimu

  • @yusuffadhil6195
    @yusuffadhil6195 11 หลายเดือนก่อน +24

    Allah akuhifadhi sheikh Bachu, hawakuwezi hata kidogo

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 11 หลายเดือนก่อน +22

    MashAllah tabarakah Allah,sheikh bachu Allah akuzidishie elmu ,akupe na afya njema uzidi kuelimisha ummah .amiin ya Rabb 🤲🤲

    • @ayah844
      @ayah844 11 หลายเดือนก่อน

      Amiiiiin

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 11 หลายเดือนก่อน +1

      Aameen

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 11 หลายเดือนก่อน +1

      Aamin

    • @issaahmad1264
      @issaahmad1264 11 หลายเดือนก่อน +1

      Bachu ameshindwa kujibu!!!

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin

  • @swafiaismail-ji1op
    @swafiaismail-ji1op 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadhi ya sheykh muhammad nassor bachu. Hao matwariqah hawakuja kwa nia ya kuilimishana maana iko wazi hawana hoja ila wmekuja kiushindani na uyo sheykh said n mtoto sana kwako ki elimu. Allah akunusuru sheykh muhammad bachu na pia atuongoze sote nimejifunza hau wtu maulidi wanatumia mfumo wa paster wahepe swali na na kueka hoja ilio inje ya mada

  • @is_haaqbimany3430
    @is_haaqbimany3430 11 หลายเดือนก่อน +6

    Mohammed bachu Allah akuweke sheikh wetu MashaAllah

  • @user-ir5mv4ux4i
    @user-ir5mv4ux4i 11 หลายเดือนก่อน +2

    Just guys tuchukue elimu na tupate elimu tumjue allah❤❤ vizazi vinategemea uwepo wenu tuswali swala tanoo na tumche allah na tuish ktk misingi ya lailaa hailla llah na tuishi ktk misingi ya imaan huku ni kupotezana na huu ni ujingaa na upuuzi wa kupoteza vizazi

  • @rashidsalim1759
    @rashidsalim1759 11 หลายเดือนก่อน +15

    Subhaanallah, kwa hakika huku ni kupoteza muda tuu, hawa watu wanaojiita twarika huwa wanataka ubishani na ushabiki tuu,, huwa hawatafuti haki,,, Allah atuongoze sote

  • @RayaRaya-d1h
    @RayaRaya-d1h 11 หลายเดือนก่อน +2

    Shekhe Mohammed Bachu Allah akuzidishie elim na umrimrefu tuzid kunufaika ni kweli hasaa mauld ni uzush mim nimekisoma kitbu cha barazanj hakina ukweli wowote ni uzish ulio wazi

  • @Lamapacha001
    @Lamapacha001 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wallahy hakika sheikh Said umetupotezea mda maana kila ukiongea unasema “swali langu liko pale pale” kama Bachu ilikuwa hajui basi ingelijibu ww…. Kisha hilo sio swali hilo wallahy Said umetupotezea mda sanaa

  • @omarsongz4422
    @omarsongz4422 11 หลายเดือนก่อน +2

    Said Omar huna elimu kwenye hili,maulid hayafai kalas..Muhammad Bachu Allah akuzidishie In sha Allah

  • @basmabasma6287
    @basmabasma6287 11 หลายเดือนก่อน +41

    Sheikh bachuuu ma shaa Allah .Allah yahfadhak.ameen

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน

      Allah atuekeee

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 11 หลายเดือนก่อน

      @@SamMus-qn1pu Aamin

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 11 หลายเดือนก่อน

      Aamin

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @ahmedmohd2836
    @ahmedmohd2836 11 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh umemaliza kazi umesomesha vzr sana🎉,jukumu la kuwabadilisha kuwacha uzushi baada ya kuonesha ukweli ni la Allah,mwenye kutaka na amini na mwenye kutaka basi ayakataee,Hukmu atahukumu Allah.

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @yusraahmed1783
    @yusraahmed1783 11 หลายเดือนก่อน +9

    Bachu ana hekma sana ma sha allah,aneleza vzuri tukaelewa,na hakutaka kushindana na mtu aliebobea maulidini na barzanji akaeleza vzuri sana,mm nilikuwa na shakana sasa umenitowa shaka,shukran shk bachu allah akuhifadhi amiin amiin.

    • @saidessry9942
      @saidessry9942 11 หลายเดือนก่อน

      Kakutoa shaka gani ndugu yangu
      Ktk midahalo yake yote hakuna mdahalo alioharibu kama huu
      Na ninakuhakikishia bachu hakusoma elimu ya hadithi lakini mambumbumbu hawawezi kuliona hilo
      Kwasababu alikuwa hajui chochote ktk mustalahil hadithi na anatafsiri makosa matupu 3:32:16

    • @maimunasalim7946
      @maimunasalim7946 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mtihani huu wanazungusha uku na uku lakini hawataki kuthibitisha uwongo wao shekh Muhammad bachu mungu akulinde

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @husseinamani9818
    @husseinamani9818 11 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Saidi ni tapeli mpotoshaji ubishi tu Haqi ipo wazi kabisa. Sheikh Bachu Allah akubariki sana.

  • @user-mi1yv5gi3x
    @user-mi1yv5gi3x 11 หลายเดือนก่อน +14

    Shekh Muhammad Bachu Allah akujaze kher kwa jitihada yako kwa ya kuwaelesha hao masuf
    Kwakweli hawa jamaa wanahila nyingi tuuuu!!

  • @khamisimoshi5947
    @khamisimoshi5947 11 หลายเดือนก่อน +16

    Munaqasha wa Tanga ulikua vizuri na umetulia kuliko huo wa kenya mombasa vurugu tupu

  • @AhmedAlbaity84
    @AhmedAlbaity84 11 หลายเดือนก่อน +37

    SAID KIUKWELI AMETIA AIBU AMEISHIWA HUWEZI KUJIBU ANAZUNGUSHA LUGHA TU NA ANAFANYA ISTIHIZAI. SHEIKH MUHAMMAD BACHU ALLAH AKUZIDISHIE ELMU. BARAKALLAH FII.

    • @abdallahomar79
      @abdallahomar79 11 หลายเดือนก่อน +2

      Tupe ushahidi Ya kwamba hyo maneno Ya barzanji ni ya uongo ndo tuamini ni uongo

    • @MuhammadMuhammad-lq2um
      @MuhammadMuhammad-lq2um 11 หลายเดือนก่อน

      Kumuita mtu sio fast 11 sio istihizai kwako?waona said tu hebu jiongeze

    • @shuaibsaid515
      @shuaibsaid515 11 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@abdallahomar79 urongo umetajwa angalia mjadala sio kukurupuka😂😂😂

    • @Themkool-eh2ow
      @Themkool-eh2ow 11 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@abdallahomar79 tegesha sikio lako from 2:12:12 kwa makini..Na ukitaka kusikiliza Afadhali sikiza Asubuhi na mapema kichwa yako itakuwa safii utaweza kufahamu kuliko baadaye kichwa yako itakuwa kina moshi wa bangi😂😂😂😂

    • @Teralkum
      @Teralkum 11 หลายเดือนก่อน +1

      Allahumma amiin❤

  • @user-vg2fb5nq6w
    @user-vg2fb5nq6w 11 หลายเดือนก่อน +14

    Shekh bachu ni mfasaha sana na mtulivu sana katika kutetea haqqi allah akufungulie kifua chako shekh bachu

    • @musakibwana4596
      @musakibwana4596 11 หลายเดือนก่อน +1

      yeah, mtulivu kwenye dharau na kiburi

    • @shabaniabubakar7262
      @shabaniabubakar7262 11 หลายเดือนก่อน +2

      Ibara zamshinda

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน +1

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

    • @Zahra_Media255
      @Zahra_Media255 11 หลายเดือนก่อน +2

      Tatizo mnaofuatilia mjadala mwafuatilia kiushabiki hamzingatii hoja wala mada, kwasababu hapo mada sio maulidi yafaa au haifai bali mada ni urongo uliopo kwenye kitabu cha Barazanjy. Hivyo acheni ushabiki kuweni waadilifu katika kufuatilia mada inavyozungumzwa

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wallah bado hajatokea wa kufanya mjadala huu na sheikh Bachu...

  • @saidfhamad
    @saidfhamad 11 หลายเดือนก่อน +74

    Wallah mimi naacha Maulid kwaajili ya Allah 😢😢 Sijaona ushahidi wa ukweli wa Maulid Tanga mpaka Kenya 😢

    • @wardah-mb6kb
      @wardah-mb6kb 11 หลายเดือนก่อน +7

      Kwel hata hawajasema ukwel wametuacha njia panda kikubwa tuswal swala Tano Kwa Iman nakumwamin allah

    • @yahayaidarusi
      @yahayaidarusi 11 หลายเดือนก่อน +3

      Siku zote hizo ndo wataka ujulie kwenye minakash we jahri kweli

    • @saidfhamad
      @saidfhamad 11 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@yahayaidarusiAllah ndio anajua zaidi ila nasubiria ushahidi wa Maulid kufaa!!

    • @sadikihamad9770
      @sadikihamad9770 11 หลายเดือนก่อน +3

      Tunanye yenye uhakika ndugu tuachane na huu ubabaishaji wa maulid 😂😂😂

    • @mbarakomarmbarak5863
      @mbarakomarmbarak5863 11 หลายเดือนก่อน +1

      Acha lakini ujue bachu ameshindwa kujibu

  • @babauna3458
    @babauna3458 11 หลายเดือนก่อน +19

    Jazzaka Allah shekh nassor bachu. Allah akuhifadh. Na sema: "Haki imekuja, na uwongo umetoka. Hakika ni uwongo, usio dhihirika." (Al-Isra [17] : 81
    Maulidi ni Uzushi . Khitima uzushi. Na zefee pia ni uzushi , kuomba makakaburini uzushi. Allah atuhifadh na wazushi.

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน

      Nataman ingekua mimi yani

    • @leomwaki9366
      @leomwaki9366 11 หลายเดือนก่อน

      amiin

    • @sadikihamad9770
      @sadikihamad9770 11 หลายเดือนก่อน

      Aaaamin

    • @rashidbuzubona6577
      @rashidbuzubona6577 11 หลายเดือนก่อน

      Mbona nyote mnaungana kumtetea ndugu yenu bachu inamaana hakuna hata Moja aliloshindwa?

    • @rashidbuzubona6577
      @rashidbuzubona6577 11 หลายเดือนก่อน

      Mbona munaushabiki zungumzeni kweli

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 11 หลายเดือนก่อน +30

    Long live Sheikh Bacchu Allah Akuhifadhi Na Akuzidishie elimu

    • @abdikadirgodana7528
      @abdikadirgodana7528 11 หลายเดือนก่อน +1

      Aameen

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 11 หลายเดือนก่อน +1

      Aameen

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 11 หลายเดือนก่อน +1

      Aamin

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 11 หลายเดือนก่อน

      AAMIN, MAANA HUYU MANDONGA KATUAIBISHA HUKU MAMBRUI, ASIENDE TENA MAMBRUI MAANA KULE HATOKI MTU SALAMA. TUMEPINDULIWA CHALIIII MAWAHABI NA WASHENZI HAWA WA MAULIDI, HATA MTAANI NAONA AIBU KUTOKA, LAKINI TUJIKAZENI KUJISIFU TUMESHINDA HIVYO HIVYO 🤣 JAPO TUMEPIGWA BAO ZITO ILI WAFUASI WETU WASIJE KUHAMA SANA WA KAINGIA USUFI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @HusseinAli-bu9ej
      @HusseinAli-bu9ej 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mashallah sheikh bashu

  • @amaribrahim6561
    @amaribrahim6561 11 หลายเดือนก่อน +5

    Tumeelimika alhamdulilah sheilh Bachu mungu atakulipa kwa kutaka ukweli ubainike na wenye kukataa ukweli mungu awaongoze na atuongoze sote

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @issackkhalifali1220
    @issackkhalifali1220 11 หลายเดือนก่อน +4

    Watu ya maulidi hawana masikio ya kusikia ilmu ,,,sheikh bachu ulimwengu mzima wamekufahamu ,,Allah akuhifaidki

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 11 หลายเดือนก่อน +16

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه أجمعين❤

  • @alimukabana1484
    @alimukabana1484 11 หลายเดือนก่อน +24

    Nilikuwa mpiga maulidi lakini sasa natubu na rasmi narudi upande wa haqqi.

    • @cynthiacycy4459
      @cynthiacycy4459 11 หลายเดือนก่อน

      Haki ipi

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@cynthiacycy4459 Haki ya upotevu wa Maulid na Mibarazanje 😅🤣

    • @ausatmwangi6464
      @ausatmwangi6464 11 หลายเดือนก่อน

      Hapa nicheke tu kwa kuwa mawahabi na kupandikiza mapropaganda kama huyu aliyesilimishwa na Bachu kuacha maulid 😂😂😂nicheke tena

    • @khadijakhamis3480
      @khadijakhamis3480 11 หลายเดือนก่อน +3

      MASHAA ALLAH KARIBU KWENYE HAQQ

    • @cynthiacycy4459
      @cynthiacycy4459 11 หลายเดือนก่อน

      Ach ni nyamaze mimi

  • @abuahmado
    @abuahmado 11 หลายเดือนก่อน +4

    Allah yihdeeh....anauliza swali baatil, halafu anaact kama mtoto hataki kuendeleya. Kama mtoto aliyegoma mpaka apewe peremendi.

  • @azizashaaban870
    @azizashaaban870 11 หลายเดือนก่อน +9

    Mashallah tabarakallah shelkh Nassor bachu may allah s.w.t protect you and muslim ummah always the truth hurt every one.jazakallahul kheir yaa sheikh.

  • @sabahikhamisabdulla4361
    @sabahikhamisabdulla4361 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran ya Akhi Bachu, bidaa haiwezi kusimama mbele ya haki.
    Mada ni UWONGO WA BARZANJE na si uwongo wa Mtunga kitabu.

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 11 หลายเดือนก่อน +9

    Sheikh Bachu Maashaa Allah.. ... Yupo vyema

  • @Maryam-h4y1q
    @Maryam-h4y1q 11 หลายเดือนก่อน +7

    Mashalla wote niwasomi nimefurai sana Allah awape afya na ngufu inshallah ❤❤❤

  • @khadijaabdalla4673
    @khadijaabdalla4673 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nini hujibu wewe shkh Said 😢😢😢😢😢😢

  • @fatmasuleiman6991
    @fatmasuleiman6991 11 หลายเดือนก่อน +14

    Mashallah shekh muhamad bachu Allah akuhifadhi daimaa hao watu wa maulid niwabishi sanaa ndio maana akabaki kwenye point yake Moja hawajuleta mtu alioshiba elim bachu upo vizur

  • @yusufkhanna
    @yusufkhanna 11 หลายเดือนก่อน +11

    Mwenyezi Mungu akuhifadhi sheikh Muhammad bachu

  • @Hassan_Bamatraf
    @Hassan_Bamatraf 11 หลายเดือนก่อน +20

    Muhammad bachu barakallahu fik.. Allah akuhifadhi

  • @Wida_de_boss
    @Wida_de_boss 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah sheikh bachu Allah akupe uwelewa zaidi inshallah na sheikh said Allah akupe umelewa zaidi inshallah.

  • @marianali7951
    @marianali7951 11 หลายเดือนก่อน +27

    Sheikh Muhammad Bachu May Allah preserve him, came prepared and backed his claims up with evidences. But on the other hand the pro mawlid guy was just waffling and will not answer direct questions.

    • @is-haqmf8513
      @is-haqmf8513 11 หลายเดือนก่อน +5

      I swear to God. Let's call them out for every kind of innovation. May Allah grant Bachu steadfastness in this. He's helping the Ummah.

    • @SstStockings
      @SstStockings 11 หลายเดือนก่อน +1

      @marianali7951 Stop being an illiterate sheep, sh Bachu couldn't even answer the very first question, sh bachu literally stated himself, for him weak hadiths which are not sahih can be considered as sahih I mean astaghfirullah, And InshaAllah I'll also start praying mawlid now by the will of Allah. The ppl of mawlid have more knowledge than this so called self proclaimed sh bachu may Allah guide him to the righteous path, no scholar ever uses a weak hadith. If he wanted he could've used a sahih hadith but his statement shocked us also more, this guy is a paid agenda from the israel.

    • @naahla19
      @naahla19 11 หลายเดือนก่อน +6

      Wallah he is helping this ummah big time. May Allah preserve him indeed Aameen. WELL DONE M.BACHU MAASHA ALLAH YOU R SO GOOD IN BOOKS!!

    • @SstStockings
      @SstStockings 11 หลายเดือนก่อน +4

      @@naahla19 by stating weak hadith's, as a reference proves his illiteracy, he's actually helping alot. {in misguidance}

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 11 หลายเดือนก่อน

      Aameen Allaahumma Aameen

  • @rubugahassan3057
    @rubugahassan3057 11 หลายเดือนก่อน +4

    Allah azidi kukuhifadhi sheikh wetu Muhammad Bachu kwa kutudhihirishia wazi kuwa maulidi ni bidaa iliyokua wazi.

  • @fatmamahdi7847
    @fatmamahdi7847 11 หลายเดือนก่อน +30

    Mashallah sheikh nassor bachu. Allah akulinde .

    • @alisaidi6358
      @alisaidi6358 11 หลายเดือนก่อน

      amin amlinde na ampe ilmu asikimbie tena

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 11 หลายเดือนก่อน

      Aamin

    • @basmabasma6287
      @basmabasma6287 11 หลายเดือนก่อน

      Ameen

  • @alf8177
    @alf8177 11 หลายเดือนก่อน +5

    KAMA TWAENDA MAULIDINI KUMSIFU BARZANJY BASI SAID KASHINDA NA KAMA TUNAKWENDA KUNSIFU MTUME BASI BACHU KASHINDA 🎉🎉

  • @saidswaleh7742
    @saidswaleh7742 11 หลายเดือนก่อน +11

    BARAKHALLAHU FIYKUM AL AKHY SHEIKH WANGU MUHAMMAD BUCHU

  • @mahamoodomar3790
    @mahamoodomar3790 11 หลายเดือนก่อน +18

    Jazakallah Bachu, Allah akupe kheri nyingi dunia na akhera, Hakuna anayeza kutetea batwili wanababaisha tu

    • @hajiurio9274
      @hajiurio9274 11 หลายเดือนก่อน

      Allah akulipe kila la kheri Bachu kazi ni kufikisha khiyari ya mtu kufuata,haiwezekani kizazi hiki kijue ya kheri kuliko Maswahaba .

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 11 หลายเดือนก่อน +25

    Wallai billahi tallahi... haqqi upande wa Dj saidi wanaijua ila hawataki kufuata. Nimegundua kua mawlid ni chama tuu hicho wanaopoteza watu wasiojua dini. Alhamdhulilah nimeling'amua hilo. 3:15:30.
    صاخ الديك وطلع الصبح واستيقظ الناس

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sana akhy tue mskin na familia zetu

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

    • @yusufathman2478
      @yusufathman2478 11 หลายเดือนก่อน

      @@jambojambosafaris swali lilijibiwa kitambo tena kitaalamu

  • @user-ch4vp9oj7e
    @user-ch4vp9oj7e 11 หลายเดือนก่อน +4

    Haqi nishaiona walillahil hamd bachu masha allah allah akuzidiahie

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 11 หลายเดือนก่อน +18

    Ma shaa allah Sheikh Said Mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu shukran sheikh

    • @abuyusuf-it5rm
      @abuyusuf-it5rm 11 หลายเดือนก่อน +4

      Ana elimu gani si afadhali yule majazi alijitetea mwamletea bachu watoto wakufunga nepi

    • @saidsheha1336
      @saidsheha1336 11 หลายเดือนก่อน

      Kwa kipi hhhh😅😅😅

    • @KubwaKuliko-dk4bm
      @KubwaKuliko-dk4bm 11 หลายเดือนก่อน +3

      Saidi ana elim ya ubishi

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@KubwaKuliko-dk4bmna hyuo bacho ana nini

    • @KubwaKuliko-dk4bm
      @KubwaKuliko-dk4bm 11 หลายเดือนก่อน

      @@mafiatv5479 ndugu yangu ust said anatete kiubishi anlojua ni uongo na hapingi hilo bali anakubali

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm 11 หลายเดือนก่อน +7

    Furaha yangu ni twarika wamekubali yalio kuemo katika barzanji ni uongo sasa wataka jee na barzaji mwenyewe nimuongooo lakini maulidi barzanj ni uongo wamekubaliii

  • @basmabasma6287
    @basmabasma6287 11 หลายเดือนก่อน +28

    Sheikh bachuu Allah yahfadhak.ameen
    U nailed it

    • @muhsinmwambule9435
      @muhsinmwambule9435 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sheikh Bachu ni mzuri wa kuongea. Sheikh Saidi si mzuri wa kuongea. Kuna swali la msingi aidha hawakuelewana wote wawili au mmoja hakumuelewa mwenzake. Sheikh Bachu amesema Imam Barzanji ni muongo na akatoa ushahidi wa hadithi ya kuwa hadithi aliyoiweka ni Munkar. Akaulizwa swali; ni wapi wanawazuoni wa hadithi wakisema hii hadithi ni Munkar huyo mtu ni muongo?
      Licha ya Sheikh Said kuzunguka sana lakini Sheikh Bachu ilimfaa amuelewe na ajibu hilo!

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 11 หลายเดือนก่อน

      Aameen

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @zeinabibrahim382
    @zeinabibrahim382 11 หลายเดือนก่อน +5

    Allah akuhifadh sheikh Mohammad Bachu

  • @saraadamu7468
    @saraadamu7468 11 หลายเดือนก่อน +6

    Ustadh said bachu yuko sahihi mbona hutaki kukubali bachu Allah akuhifadh

  • @Noorahjaffar143
    @Noorahjaffar143 11 หลายเดือนก่อน +10

    Iam so proud of you sheikh bachu.

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr 11 หลายเดือนก่อน +6

    Hamumuwezi Bachu hatakidogo well dane Kwa kuwanyosha🖤🖤🖤🖤👋🏿

  • @is_haaqbimany3430
    @is_haaqbimany3430 11 หลายเดือนก่อน +3

    Said na masheikh wake Allah awazinduwe masikin

  • @fatmamahdi7847
    @fatmamahdi7847 11 หลายเดือนก่อน +17

    Shukran Sana bachu, wewe ni mtu wa hujja na dalilimashallah. Hawa ni Kama vikaragosi, Hawana mbele Wala nyuma. Wao walishapanga kuharibu,Lakini uliwaweza. Hana ilimu hata kidogo Hiyo ustadh said.Tanga wamejiaibisha na wame shindwa na hapa ni hivo hivo.Allah Akupe umri mrefu uzidi kutuilimisha. Barakallah fik.

    • @imranabdallahsaid6770
      @imranabdallahsaid6770 11 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa maswala ya kutukanana yatoka wapi tusipo ji heshimu ulifkiri dini zengine zitatuheshimu

    • @muhsinmwambule9435
      @muhsinmwambule9435 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kuna swali sheikh Bachu hakukijibu. Amenukuu hadithi na akanukuu wanawazuoni kuwa hii ni munkar. Akaulizwa swali: Ikiwa mtu akinukuu hadithi ya munkar ni wapi wanawazuoni wa hadithi wanasema huyo mtu ni muongo? Hajatoa jawabu!

    • @ramadhanyusuf2401
      @ramadhanyusuf2401 11 หลายเดือนก่อน

      Kinacho nifurahisha ni kwamba kijana wa Bachu ameshkilia hoja hapo hapo hatutoki😅

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน

      Tumuombee allah atuhifadhi na mashekhe wetu

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@muhsinmwambule9435wewe kipofu na nikiziwii

  • @FahadAbdallah-nv9wz
    @FahadAbdallah-nv9wz 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah sheikh bachu ni simba allah amlinde InshaAllah

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน

      Insha Allah

  • @Captainome
    @Captainome 11 หลายเดือนก่อน +12

    SAIDI wa mambrui rudi ukasome kaka umekana vitabu menza mzima umeshindwa kutetea hoja ama kweli batwil haikubatiki.tabia za kufata mashekh na mavilemba vingi upate elimu kutengeme baraka hakuna piga goti soma.

    • @is-haqmf8513
      @is-haqmf8513 11 หลายเดือนก่อน +1

      إن الباطل كان زهوقا

  • @qasemindho3746
    @qasemindho3746 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah Amhifadhi sheikh Mohammed bachu
    BarakaAllahu fiicafiyatik wa fii cilmik....

  • @badrukheir4
    @badrukheir4 11 หลายเดือนก่อน +10

    Mashaallah bachoo ukweli umebainika

  • @tyronemofekeng7152
    @tyronemofekeng7152 11 หลายเดือนก่อน +13

    Elimu ya Bachu ni kubwa sana kwa huyu kijana. Bachu sheikh wamgu watu wenye elimu ndogo wasikupotezee muda

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 หลายเดือนก่อน

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 11 หลายเดือนก่อน +17

    ALIE NA AKILI SHEIKH BACHU AMESHAKUELEWA NA TUKO NYUMA YAKO ALLAH AMUSIMAMIE HAKKI, NA BATIL IKAE UPANDE

    • @SamMus-qn1pu
      @SamMus-qn1pu 11 หลายเดือนก่อน

      Sawasaw

    • @theatremovies7585
      @theatremovies7585 11 หลายเดือนก่อน

      Simple amejibu shekh bachu mimi nimsomi na hio sijasoma sawa ni said ilkua ajibu ulazima wa sijui wanimi

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight4837 11 หลายเดือนก่อน +6

    Namuelewa sheikh Bachu Yanapngwa maneno ya m2 sio m2 mwenyew

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 11 หลายเดือนก่อน +9

    Allah akuhifadhi bachu

  • @issahabdallah9018
    @issahabdallah9018 11 หลายเดือนก่อน +6

    Dah.. Nimsiba huu kwakweli hoja za bachu ziko wazi.

    • @issaahmad1264
      @issaahmad1264 11 หลายเดือนก่อน

      Mbona hajibu hoja

  • @sinawsinaw6201
    @sinawsinaw6201 11 หลายเดือนก่อน +3

    Subhaanallaah allaah waisilamu tusomeni 😢😢allaah atujaalie kwa hilo

  • @user-ym5ui3ov1m
    @user-ym5ui3ov1m 11 หลายเดือนก่อน +5

    Mwisho nimeelewa vizuri.bachu upo sahihi sana

    • @issaahmad1264
      @issaahmad1264 11 หลายเดือนก่อน

      Amaa kweli wahabia hamutaelewa mpaka munakufa!! Kwanza bachu ibara hajui kuzisoma makosa matupu!!

  • @lototoreali7638
    @lototoreali7638 11 หลายเดือนก่อน +12

    Bachu ana point sana kwa maoni yangu.

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 11 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli ukikaa muda mfupi tu kumsikiliza utajua kuwa Bucha ana hoja na anauwezo mkubwa kuelewesha watu.

    • @issaahmad1264
      @issaahmad1264 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni kipofu

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 11 หลายเดือนก่อน

      @@issaahmad1264 kipofu ni ww

    • @suweidkhamis722
      @suweidkhamis722 11 หลายเดือนก่อน

      Bachu Huyo kijana si type yako ww upo juu bachu

  • @abdirahmanshawkani
    @abdirahmanshawkani 11 หลายเดือนก่อน +2

    Maulidi itabaki kuwa BIDAA mbaka kiama

  • @safaasayed8037
    @safaasayed8037 11 หลายเดือนก่อน +23

    Wenye akili tushafahamu Allah akulipe kheri BACHU haki washaijuwa ila hawautaki ukweli kuufata tu

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 11 หลายเดือนก่อน +2

      Tumeelewa wenye akili ,huyu muarabu hata hana la kusema 😅😅😅😂

  • @user-so5xt7pj2l
    @user-so5xt7pj2l 11 หลายเดือนก่อน +2

    Bachuu upo vizuriii sanaaa

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 11 หลายเดือนก่อน +27

    Mashaallah sheikh Mohammed bachu

  • @atefswaleh1367
    @atefswaleh1367 11 หลายเดือนก่อน +1

    Naam Maa_Shaa_Allah mimi kama mzaliwa na mkaazi wa Mombasa, manhaj yngu ni Salafiy na mtume s.a.w twampenda kwa kupitia Sunnah zake...❤❤❤❤
    Amma ba3d,
    Shukran kwake Allah Subhānahu wa Ta'āla na
    Alhamdulillaah kwa sheikh Muhammad Nassor Bachu kwa JIHAD YA MUNAQASHAA.
    Japo ilikua ni nukta mmoja kwa masaa yote, sisi kama ahlu salafffiyu tunaelewa kwa HUJJAH/HOJA iko bayaaana. Allah Akuhifadhi sheikh Mohammad Bachu na wote wenye kupeperusha bendera ya Sunnah,,

  • @salumrashid8513
    @salumrashid8513 11 หลายเดือนก่อน +6

    Tumekulewa sheikh Bachu

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7w 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah sheikh Muhammad Bachu Allah akuhifadhi