Ewe Allaah muhifadhi Shekh Muhammad Bachu kutokana na shari za wazushi, waovu na maaduwi wote wakijinni na kibinadamu. Mpe nguvu na upana wa maarifa na umuwezeshe kufanya Da'wa kwa nguvu zote alizo nazo
Naskitishwa na maaduwi wa Dini na Da'wah hapa Zanzibar, kwa kuwazuia kufanya Da'wah watu muhimu kama huyu Shekh Muhammad Bachu!!! Serekali imewachukuwa wazushi na kuwapa mpini, wajinga ndio mashekhe wa kuzingatiwa, wenye elimu na juhudi yaa kuuamsha ummah, zuia, fyeka ndani, hakuna ruhusa ya kuzungumza chochote kuhusu Dini. Wahuni, walevi, wazinifu, washirikina, wazushi, waimbaji na wenye kutuharibia Dini na maadili wote hawa wako huru na wanafanya wanacho jiskia na wengine wamepewa vibali na kulindwa pia😢😢😢😢😢😢. Wallaahi zama mbaya sana hizi tulizo nazo, wakweli kufanywa waongo, hawafai kuzungumza, waongo ndio wakweli wazungumze wawezavyo na watakavyo!!!
@@osmanmanbile9327 muongo ndy kwani barazanji akiwa muongo kuna Nini mtume tuu maneno yake yakwwli hasemi urongo we mimba ya mtume wakati unaingia yey mtunga barazanji hajazaliwa mtume mwenyewe mpk anakufa hajawahi adisia hiko kitu yeye kapata wapi katungatunga urongo tuuh kumpachika mtume basi
Hii hotuba ni kama wasia wallahi, ya Rabi fungua roho ya waja wako kuiona haqi na kufuata
AMEEN YARBBI
Allah akuhifadhi ndugu yetu Muhammad bachu.
Allahu Akibarr. Jazakrllah khaillah kwaukumbusho. Shehewetu mpendwa
Maashaa Allah Jazaka Llahul khayr
Ewe Allaah muhifadhi Shekh Muhammad Bachu kutokana na shari za wazushi, waovu na maaduwi wote wakijinni na kibinadamu.
Mpe nguvu na upana wa maarifa na umuwezeshe kufanya Da'wa kwa nguvu zote alizo nazo
Mansha allah ALLAH akulipe pepo amin
Mashaalah barakalahu fik
حفظك الله ورعاك يا شيخ
Maaashaaallah sheikh Wang Allah akuhifadhi
MASHAALLAH
MAASHAA ALLAH shukran sheikh kipenzi chetu ALLAH akuhifadhi
Masha Allah barakallahu fik
Tuache majungu tusikilize maudhui
Naskitishwa na maaduwi wa Dini na Da'wah hapa Zanzibar, kwa kuwazuia kufanya Da'wah watu muhimu kama huyu Shekh Muhammad Bachu!!!
Serekali imewachukuwa wazushi na kuwapa mpini, wajinga ndio mashekhe wa kuzingatiwa, wenye elimu na juhudi yaa kuuamsha ummah, zuia, fyeka ndani, hakuna ruhusa ya kuzungumza chochote kuhusu Dini.
Wahuni, walevi, wazinifu, washirikina, wazushi, waimbaji na wenye kutuharibia Dini na maadili wote hawa wako huru na wanafanya wanacho jiskia na wengine wamepewa vibali na kulindwa pia😢😢😢😢😢😢.
Wallaahi zama mbaya sana hizi tulizo nazo, wakweli kufanywa waongo, hawafai kuzungumza, waongo ndio wakweli wazungumze wawezavyo na watakavyo!!!
مسجد ضرار .... لا تقم فيه أبدا
Tuacheni kuchochea hata kiwa izudini alisema haina hajaa comment kusema hivi tutafuteni ya faidaa kama hayaa ndio muhimu
Sheikh bachu nadhani ulipata ujumbe kutoka kwa sheikh izudin
Asa izudini ndo nani 😂😂 kusanyikeni nyote hamutamuweza huyo hizudini khurafi mkubwa yule umshindanishe ilmu na bachu masufi mnachekesha kweli bado maswali 19 mmeshindwa ya jibu tanga kutetea maulid
Tafadhal mzijibu hoja 19 kwanza
Bachu athibitishe kwmba imamu barzanjii.ni muongo siku ya niqash ameona moto
Je mtu akitumia hathidhi daifu katika kitabu chake huitwa ni muongo jibu swli😂😂😂
@@osmanmanbile9327 muongo ndy kwani barazanji akiwa muongo kuna Nini mtume tuu maneno yake yakwwli hasemi urongo we mimba ya mtume wakati unaingia yey mtunga barazanji hajazaliwa mtume mwenyewe mpk anakufa hajawahi adisia hiko kitu yeye kapata wapi katungatunga urongo tuuh kumpachika mtume basi