Ukitaka kujua kuwa wabunge WA CCM wanaongea nipale swala lawizi linapo ibuka kutoka upinzani kuwa kuna ufisadi wapesa za WA tz utaona mapovu yawabunge WA CCM wanavo poteza mada hiyo ndio maana CCM na serikali take hawapendi mpinzani ashnde nikwakuwa mwiz hapendi kuonwa naasie mwizi lusinde walikupaje ubunge wana nch hao ?hivi ulikuwaga na akina senga masanja nk hufai hata ubalozi we we bungeni nitim yamatus wenzio Tim yamakof na ndioo mpuuzi
Lusinde unaonekana ulikuwa comedian enzi za utoto wako na ndo unatuletea bungeni leo hii..... Tunahitaji pesa zetu zirudi...kumbe we ndo haramu ya bunge maana hoja zako za kitoto wakati muhimbili watu wanakosa madawa na pengine wanakufa kabsaaaaa.........
Emmanuel Mhongole na ndo maana akina zitto na lissu wanalitikisa sana taifa la tz kwa kuhipinga serikali ya awamu ya tano.na hapo sasa ndo watauwa kwa nini mungu kamtuma yesu duniani?
Jamani inauzunisha sana, huyu ni Mbunge? Sasa swala la Zito limetoka wapi, anasema "tusije kuzungumzia wakati walaji tupo wengi"sasa anamaana lifumbiwe macho? Pumbavu sana yaani paka nataka kulia sijuwi ni wawapi huyu
LL, bungeni rahaaa tu!
Noel Stewart
Saaana wee
Hahaaaaa Lusinde bana wewe hatari sana
kila litendekalo ni kwa mapenzi na idhini ya Allah.
Huyu kibajaji 😂😂😂 hatar sana, toba Nola huyu bunge alinogi
Hahahahahahaha Safi saana
Mmmh it's amazing kwakwel
i know I'm quite randomly asking but does anybody know of a good place to watch newly released series online ?
@Damian Israel i watch on flixzone. You can find it by googling :)
@Damian Israel i use Flixzone. You can find it on google :)
@Damian Israel Try flixzone. Just google for it :)
Sijawahi kuona mbunge hovyo kama huyu Lusinde...!
Ukitaka kujua kuwa wabunge WA CCM wanaongea nipale swala lawizi linapo ibuka kutoka upinzani kuwa kuna ufisadi wapesa za WA tz utaona mapovu yawabunge WA CCM wanavo poteza mada hiyo ndio maana CCM na serikali take hawapendi mpinzani ashnde nikwakuwa mwiz hapendi kuonwa naasie mwizi lusinde walikupaje ubunge wana nch hao ?hivi ulikuwaga na akina senga masanja nk hufai hata ubalozi we we bungeni nitim yamatus wenzio Tim yamakof na ndioo mpuuzi
Sikulaum wew waliokupa kula
MUNGU MKUBWA
Issue sio Zitto issue ni pesa zilizoibiwa haya majitu majinga sijui yanafikaje bungeni
sasa mbona ukuyaweka wazi mpaka zitto alipomwaga nyeti?
Lusinde unaonekana ulikuwa comedian enzi za utoto wako na ndo unatuletea bungeni leo hii.....
Tunahitaji pesa zetu zirudi...kumbe we ndo haramu ya bunge maana hoja zako za kitoto wakati muhimbili watu wanakosa madawa na pengine wanakufa kabsaaaaa.........
Emmanuel Mhongole na ndo maana akina zitto na lissu wanalitikisa sana taifa la tz kwa kuhipinga serikali ya awamu ya tano.na hapo sasa ndo watauwa kwa nini mungu kamtuma yesu duniani?
ndo mnavyopeana mioyo hivyooo
so what ! haahha !
Jamani inauzunisha sana, huyu ni Mbunge? Sasa swala la Zito limetoka wapi, anasema "tusije kuzungumzia wakati walaji tupo wengi"sasa anamaana lifumbiwe macho? Pumbavu sana yaani paka nataka kulia sijuwi ni wawapi huyu
😂😂😂😂😂
Pumbavu xana ccm
Edson Brown na ww ukiwa nani?
Edson Brown pumbavu chadema