“Tunakuletea hotuba unakimbia, utaziweza tabia za Mandela wewe?” -David Silinde
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Mbunge wa Momba David Silinde ni kati ya Wabunge waliosimama Bungeni leo kuchangia mapendekezo katika makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo amesema kama Serikali inahitaji kujenga uchumi na kuwasaidia wananchi wake ni lazima iwekeze katika zekta binafsi na sio kama inavyofanya sasa kwa kuzikandamiza.
Nondo za hatari.
Kama ni ticha kakupa materials yote kamaliza...
Hapo unasubiri mtihani tu.
Hongera sana mbunge makini.
Nimekuelewa sana.
Dah Akili Hizi Zinatakiwa Kutunzwa Sanaaaa,Hongera Sana Lusinde
Aisee hawa watu wanashusha nondo mpaka nataman kulia
Hawa watu ni vichwa acheni siasa watumieni watanzania tunataka maendeleo sio siasa za ajabu hoja zao ni nondo kweli kweli
Asanteni sana wanaccm kwa kunipigia chin uyu binadamu ni mnafiki
I miss this guy in opposition! You were so more essential to this country than being a minister in a ruling party... You are being underutilized bro!
Well said bro
Tatizo la viongozi wetu wa kiafrika baadhi wamekulia ktk umaskini mno ivyo wanakuwa na roho mbaya ya kutaka wengine wasipate, wenzetu Kushika nafasi ya juu wanatizama mpaka makuzi na uwezo wako kifedha
much appreciation David Silinde
Hapa sijui hawa ccm wanakuaga kama mizimu,maana hata hawajijui kabsaa,
Na wanatumi mifano ya viongozi wenye heshima kubwa duniani bila hata kufikiri kwa kina kua walikua wanaamini katika nini,na waliwatendea nini wananchi wao katika kuwaongoza,huu ni ujinga sana.
Silinde uko vizuri sana waambie hao mazuzu ya ccm na huyo speeker wao waache ujinga.
Wabunge wa CCM baadhi yao wako kutetea matumbo yao tu,ivyo wanakuwa wabinafsi na wanafikiri kwa kutumia matumbo
Nimekuelewa vizuri mno mh.Silinde David.
Silinde much appreciate 🙌🙌
Chadema iko sahihi sana na ndio maana walizuia mikutano ya hadhara baada ya kuyaona haya
daaa! sijui nani zaidi yamwenzie mana kila anaesimama ni chuma chadema peopleeeeee✌✌✌✌
No
Hawa jamaa ni kama walichaguana
Hizi ni point zinazoeleweka hata kama hutaki
ukweli ni Ukweli tuu Chadema wapo vzuri sana
Jaman tuacheni utani tuacheni siasa ,wabunge wa chadema wako vizuri
Kama unamaskio utaskia kama ushabiki shabikia
Sijawahi kujutia MB zangu kwa kusikiliza Hoja za Wapinzani.
Wewe ni kilaza unaaminishwa uongo unautumia kubeza watu wengine
Mhe.poa sana.Asante sana.Ccm hawana maono kabisa.Resist✌✌
Your a good Trainer
Lusinde ana ugonjwa wa kuzungumza UKWELI. Siku zote anasimamia Ukweli ulio mchungu kabisa, naye ni mpenzi wa Mungu.
Well done David Silinde. Umewavua nguo
Hawa watu n vichwa hatariii,.tusiwabeze jamani ,waskilizwe mbona wanaeleweka sana tu ktk hoja wanazotoa?.
Simpepo Nestory
Nawakubali sana watu wangu
Simpepo Nestory mpeni uenyekiti wa chadema anafaa sana
Aisee namfananisha silinde na Marcus moziah Garvey( black america)
Bashiru Mawazo yake ya Kiuchumi Ni Utaahira, Hata China Wajamaa Waliobakia Wamefanikiwa wa Kuchanganya Na Upepari.
Aissee upo vizuri sana, kichwa chako ni wabunge mia wa Ccm
Nimekukubali sana bro
Tatizo mengi yamehonga na kuiba kura
Shujaa mpaka utoe Maisha yako hongera
HUYU TUTAMCHUKUA ZNZ KARIBUNI IN SHAA ALLAH. SENGERPUR IYOOOOOOOOO.
Much respect
always wabunge wa chdm ni BRILLIANT leaders........ ✌✌✌
Brilliant...
Mbunge mmoja wa upinzani ni wabunge 10 wa ccm.
Wewe mlevi
@@teresiaasenga5142 ulevi upi tena ndg,au ndio kutumia mitandao vibaya unatukana watu.
Kweli chadema safi
Ras, nchimbi upinzani hamna mbunge ila kunawapambe wakinambowe
@@immamlowe7151 sasa hapo mbowe pekee ni wabunge 50 wa ccm.Yule ni kamanda.
Big up silinde unaeleweka vizuri sijui kwanini hawaelewi
Jamaa nibonge lanondo,kwer ukimchagua mbunge wa ccm sawa na kumiliki Mali kuoza,kwanza niwoga wanawaogopa viongozi wanagugumia moyoni wakati wanaujua ukwer.niwanafiki wakubwa
well sayd bro SILINDE!!!
Yaani huyo naibu speaker hajali umuhimu wa hoja..bali kengele na kanuni..yaani wamejiwekea utaratibu kwa ajili ya kanuni..badala ya kanuni kwa ajili yao.yaani unajizuia mwenyewe kufanya vizuri kwa kujiwekea kanuni mbovu..na unaxiheshimu kwa kuziogopa hata hutaki kuziboresha kwa manufaa ya wananchi .Hili ni tatizo namba moja.
Mbunge usipende sana kutumia mifano Kwa kukopi na kupesti kumbuka hayo waliyofanya ni sawa na swala linalokazaniwa la uchumi wa viwanda na kumbuka kufikia mafanikio ni mchakato Maendeleo atakwako nyumbani hayaji sikumoja,mchakato baba
huyu master namkubali sana
Duh acha wapinzani wanunuliwe kwa gharama yoyote maana wananchi tunawaelewa✌️☑️
Fact shilinde
Respect kama zote mzee
My godess!!
Silinde rais wa Momba hataree upo vzr
Kiongozi mwenye mawazo ya kimasikini na kuona matajiri ni maadui hawezi leta mabadiliko
Kiukweli kama kunamtu haja muelewa huyu Mbunge akapimwe minyooo
Sana
safii sana
Like this
nimekuelewaaa sana
Nchi yetu kama ingefuata taratibu zakuwasikiliza wapinzani tungefika mbali ila cjajua ni ubinafsi au ni kitu gani haswa
Uko vizr sana bana kaka
Tatizo letu Tz hususan viongozi waliopo serikalini Ni kupenda mazuri ndio yasikike !! Kukosoa au kukosolewa Ni jambo linaloweka sawa mambo tunayofanya !!
vichwa hivyo sio wapiga makofi hawa jifunzeni sio kupiga vigeregere eleweni minyi?
Kuna mbunge mmoja anaitwa Genista muhagama Leo sijamsikia kabisa maana hakawii Taarifa mwenyekiti! Mondo hizo atatia mdomo wapi
Fantastic
akili kubwa hiyo, Saf sana
Afu leo unajipendekeza wakati ulikuwa unatuponda wewe ni mpigania tu rud kwako hatukutaki wewe ilikuwa mpingaji mkubwa leo unajipendekeza kisa umeona hutapata kula
Ney wa mitego katika wimbo wake akasema kichaa kapewa rungu
Hili ndio lilikua bunge bwana lenye changa moto na wasema ukweli sio lasasa.
Safi sana silinde
Tunaongozwa na majitu tuliyoyazidi matokeo na akili ndo tatizo
Ahsante sana mheshimiwa muda wako umekwisha😂😂😂😂
Huyu ndiye ulikuwa silinde sio huyu silinde wa leo anapongeza kila jambo
Daaah uko sawa
Wabunge wa ccm kazi yao kushangilia na kupiga makofi hawajui kazi zao wametoka vitambi kwa hela ya wizi wengine wamekuwa wakisinzia bungeni na kujamba ovyo,hata sijui hawa wabunge wa ccm walipata vipi ubunge, nawapongeza sana wabunge wasomi wa upinzani endeleeni kuwapa ukweli mpaka kieleweke maana serikali hii ya ccm inanuka wizi na dhuluma na rushwa.
Chadema Mungu awalinde viongozi wetu
CCM hawawezi kuusema ukweli kwa kuogopa kumalizwa Na wananchi. Mbona CCM de amekwisha Zamani hawajielewi kila siku kwao mchana. Wamechanganyikiwa .
Bwembwe za kutafuta mkate lakini akipewa steringi tunaisha
Hii Tanzania cyo china wala hizo nchi unazotaja utawakejeli akina Nyerere kwa kuzomewa kwake,,,,, ila sisi watanzania tunajua changamoto zipo lkn tunasonga mbele
Alafu wanataka eti WABUNGE HAWA wasirudi bungeni hivi nani atatuongelea kama hivi? Wa tz tunahitaji tuwarudisha bungeni CHADEMA kwa nguvu zote hata asipopatikana RAIS lakini wapatikane wabunge wengi
ww cjaona mbunge ambaeanajitambua niww cjawahikupitwana hutubayako nakupenda bureeeeee
*ALPHA DIAMONDS TANZANIA*
Online super diamonds Tanzania, inatoa nafasi ya FURSA YA BIASHARA kwa watu 10 tu waliotayari kusajiliwa na project 45, inayo sapotiwa na *AIM NA NMB BANK.*
Watakaosajiliwa na project 45 nakutumia vyema program hio, watalipwa TSH 300,000 kwa Siku kutokana na juhudi zao ndani ya project.
VIGEZO:-
1-Uwe tayari kufika ofisini ukihitajika.
2-Uwe mkazi wa Dar es salaam na viunga vyake.
3-Elimu kuanzia sekondari na kuendelea .
Kwa MAOMBI Tuma vitu vifuatavyo:-
1-Jina lako kamili.
2-Makazi yako unayoishi kwa sasa.
3-Namba yako unayopatikana muda wote.
NOTE:- Ujumbe wako utume via WHATSAPP No: 0655505797
Imetolewa na
ISRAEL KITANUNU
Msajili
Aim Co.
Hapa kazi tu
Tatizo ni njaa tu. Watu wa Chama tawala wanautambua ubora wa upinzani. Nakuamini mh silinde.
Mandela alipewa uhulu wa bendela licha yakuptautawala alikuwa nauhulu bandia ndiomaana alilazmika kuwapautumishi makabulu
Namingwanda yake ya mgambo
wanyoshoo hayooooooh
Huyu jamaa yukogo vizuri tu ila Ttzo mfumo wakisiasa
Siamini kama silinde upo CCM
Safi sana
wenye Akili wamekaa nakupata majibu Ndio maana wameamua kama Serikali..Sekta binafs walishaambiwa lkn Hawajitokezi.Umesoma lkn hukuelimika Silinde
Pasua kichwa hli taifa. Kila MTU n uelewa wake ni hatari sna
wabunge kama hawa ni wabunge wa taifa zima na c jimbo wewnaibu supika ingekuwa mbunge wa ccm anamsifu makufuli na kukashifu wapinzani ungemuongeza mda
Kwa wale walio wahi fika jimboni kwake hakuna atakaye muona wa maana hata kidogo
WILLIAM HALINGA mlishasema Hakuna kuwapelekea maendeleo wapinzani, Ko nini cha kushangaza hapo?
Kutakuaj na maendeleo wakati wao niwasema kweli maendeleo wanyimwa
Hamna lolote kutoka kwa hawa wapinzani. Ni kelele tu!
kwanini raisi hawasikilizi wabunge wakati wanaongea point tu
Good sana brother
iyo mibunge y kijani inabidi iludi shule mana nichenga sana
Dhaaa nondo kama hizi zinapotea bure maana uko mbele wengi wape
kamanda
Sikio la Kufa.....!
Ccm mtachomwa moto mbinguni nyie hamto achwa salama kwa zambi zenu kwa wanannchi
Mb zangu nazitumia kihalali kabisa kwa vichwa adimu vya Chadema
wabunge wote wa CHADEMA wamesomea Mathematics sio kwa nondo hizo
Kweli kabisa
Baba slinde we umemeliza mwenyesikio amesikia mpumbavu hata ukimpa Elimu hataelimika MZEE Mimi nakukubali
Kijana nimeipenda hasa mzungumzaji anapoongea kwa kutumia sources
Unatia kichefuchefu toka
Big brain
Magembe Mwanamalundi 🤗
Hawa wabunge sijui huwa hawajui Kiswahili? Watangazaji wa habari wanaongea Kiswahili kizuri. Sijui wanafikiri kuchanganya Kiswahili na Kiingereza ndo kuonesha ni wasomi wakubwa? Hata kama wanakosoa na kuisimamia serikali ni lazima waanze na kusimamia utamaduni wa Kitanzania ambao lugha ya Kiswahili ni moja ya mambo mambo muhimu yanayounda utamaduni wa Mtanzania. Sijui kama kuna nchi nyingine yenye bunge lisilo na adabu katika matumizi mazuri ya lugha ya taifa lao kama bunge letu la Tanzania. Sijui hawa jamaa hawakusoma Kiswahili na hivo hawajui Kiswahili sanifu? Ndo maana CAG ameliita bunge letu bunge dhaifu!
Nakukubal
Duh
🤔🤔🤔iseee
Maendeleo hayana chama hebu tuchukue mawazo ya wapinzani yanajenga