Wasukuma ni magenius sana, hapo hana elimu na ameishi kijijini lakini angalia uwezo wake wa kujieleza, uwezo wake wa kukwepa maswali ya mtego na namna anavyoweza kumuelezea mtu mwingine bila kuathiri chochote.
Mwanaume wa kisukuma anaelezeka:- Sifa ya 1st kbsa: Siliazi sana,alisema ndio ni ndio. Hapana ni hapana. 2nd. Akipenda amependa ila ukimfanyie asiyopenda akigeuka nyuma habadiliki tena 3rd......, ......... ........
Mie Niko kwenye kampeni ya kupandisha solo la wanawake weusi maana ni watiifu na wavumilivu maishani tutaanza kuwapa ng'ombe 60kwa 70 tuwapiku mie ndo nitawafingulia jahazi
Huyuu mtangazajiiiii anamuona msukuma mbululaa kweliiiii anampa maswaliii ya mtegomtego wakati hajuwi kwamba msukumaaaa anajielewaaaa hatariiiiiiiiiii😅
Sana.Wasukuma wako vyedi
Uwooooiiii 14:53
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
Unaweza Dhani kafundishwa kuongea lakini jamaa ni real kabisaa no fakes
Habal
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
kwl kabisa
Hana ushamba hata wa kuwa muoga ni luga tu hiyo ndio inawafanya hivo
Wasukuma ni magenius sana, hapo hana elimu na ameishi kijijini lakini angalia uwezo wake wa kujieleza, uwezo wake wa kukwepa maswali ya mtego na namna anavyoweza kumuelezea mtu mwingine bila kuathiri chochote.
Walitarajia aseme pesa kubwa,,hala mwamba kataja bei ya kawaida sanaa,, very Smart,,angekuwa mwingine apo ungesikia 1M
Uko sahihi
😂😂 jamaa anatisha sanaaa
Oy huyujamaa anajiamini Sanaa na ndivyo inavyopaswa mwanaume kujiamini ila Yuko vizuri sana
Sasa magombe yana kumiss kaka inatosha rudi tuu , kaka 😂😂😂
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
Huyu nyanda anachekesha kweli.😂😂😂 Nihatari ogopa jidanganye.
Ogopaaaaa😂 huyu mwamba ni wa Geita sio Rock city
Sikutaka kucheka ilaa kwa nandy mpaka imenilazimu aiseeee nyanda kabundi maua yako 🪴🪴🪴🪴🪴🪴🪴🪴🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🍀🍀🍀🍀🍀🍀🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🍀🍀🍀🍀🍀🍀🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🪴
Nandy njooo usikie huku nyimbo yako😂😂😂😂
Ngosha,,umetuwakilisha vzr Kanda ya ziwa.
Mimi ni mhaya lkn napenda vijana mnavyopambana.Ndg zangu wasukuma ni watu wazuri.
Waguma owatata!!
Wasukuma wanapenda wanawake weupe jamaniii.Kwa nandi rangi
hata sisi hatujui kwann tunapenda ni DNA tu 😀
Hii nchi ya matukio uyu jamaa ametokea sasa na ana trend tu! Anaupiga mwingi mnoooo anapiga mpunga!
Nimemuhelew San Mshkaj Anajuw Kujibu Na Kujihelez Big Up Xan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sasa ww kujiheleza ndo nn?
@@sikudhanimohammad7692🤣🤣🤣🤣
Jidanganyeeeeeeee!!😂😂😂
Wasukuma nawakubali.Mpewe maua yenu.🌹💐
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nihatariiiiiii
@@Manyandaevance Ogopaaaaa
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
Asanteeeee tunakupenda pia😂😂😂😂😂
Nakukubali sana msukuma mwenzangu
Nihatareee ogopa😂❤ chezea wa kwetu 😂
Nawakubali sana wasukuma,wako kwenye uhalisia
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
Kijana NYANDA ana uwezo mkubwa sana wa kujieleza. Na yupo makini kujibu maswali.
Imagine na hajaenda hata chekechea
Yaani kabisa. Mungu azidi kumbariki
th-cam.com/video/zBn2twizmAY/w-d-xo.htmlsi=s-8N3ZethT9fnvzu
Wana wake. Wadar. Et mchumba. Mnawaza. Ngono. Tu.
Yupo vzur kujieleza
Yani wabongo akili zao zinawaza ujinga mda wote mke mchumba wanabaki na nani sisi tunawaza kutafuta hela wao wanawaza ujinga
Kjana "Nyanda" anaupiga mwingi kwelikweli👍👍
Wale waliomsemag vibaya kipind kijana anaanza saiz wameishia kushangaa tu kwa jinsi MUNGU alivyomwinua kjana wetu.
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
Hatari 🔥🔥
Ogopaaa 😂😂😂
Wasukuma 4life😂
MUNGU akubariki upate MAFANIKIO ZAIDI NGOSHA
Hapo ni rafudhi tu hana ushamba wowote
Nyanda yuko makini sana. Brain kubwa hii😊
Daaah nimeenjoy kumsikia msukuma 🔥🔥🔥🙌🏾⚡️
Uwezo mkubwa wa kuongeza na kufikil na kujib
Nyanda kama nyanda keep up much love kwako ❤
Kinehee nkoi❤❤❤❤❤
Tatizo la wasukuma bwan wanapenda kupitiliza mpka inakua kero
Ni hatariiii,,ogopaaaa,,,tena jidanganye...hakuna kupitiliza bro ni uhalisia tu...cheza chini bro...hujaona ma swingipuli wewe...😂😂😂😂😂
wewe kupendwa hutaki unataka usipendwe kupendwa na mtu unayempenda ni raha ila kama humped ndio kero utaona
Thanks nyanda for your speech, I'm Francis from kenya
Nasikia wasukuma hawaendi jando ni kweli?
Only wasukuma wanaweza ku comment hapa, kama wewe sio msukuma heshimu comment hii..
😂
❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Sana mwamba big up 4u nmependa kazi yako pia nataman nami cku1 nifanye kazi Kama hiyo Ila ilanakutana na changamoto za mazngira -, ❤❤
Nimempenda amesimamia alichopwa na mungu(satte mweni
😂😂😂
Huyu jamaa anakipaji kikubwa sana jamani ❤❤❤
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
Hongera Yako msukuma mwenzangu
Ogopaaaaaaaaa jidanganyeeeeeeee❤ bigup sana planet bongo
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
Ndugu yangu pamoja sana
Huyu jamaa akipata manager mzuri atafika mbali sana ana kipaji vha asiri kabisa
We mtangazi wa kiume una haribu inter view hadi dada anakushinda, unafosi majibu yako
Mr ogopa mimi nakusuport kwenye maziwa
Hatari ogopa😂😂😂😂 nyanda Big up sana 🎉😅😊
th-cam.com/video/4kcn-b6558w/w-d-xo.htmlsi=6tvi_fNv9IP9dHe-
MUNGU AKUINUE NGOSHA UWE TAJIRI,
Dereva wa roly mbona wanakaa mwaka ajafika nyumbani miez 3 4 2 jambo la kawaida ujafikq nyumbani
Mbona huyo mwenye shati nyeupe anajidai anajua saana baada ya kumuacha ajieleze
❤man you're able may GOD continue to bless you. And may we all say Amen.
Umetuwakilisha vizuri NYANDA
Nawapend wasukum wapo vizuri
Nyanda kabundi wee nomaa rudi kijijini kachunge zako
Kijana umetisha hataari😂😂😂
Musukuma so mshamba ata makabila mengine yako vile vile tu
Musukuma so mshamba ata makabila mengine yako vile vile tu
Musukuma so mshamba ata makabila mengine yako vile vile tu
Hivi uyo mwamb alovaa tshert nyeusi ni nani apo east africa
Nakubali anavyo niamini hutakiwi kukaa kizembe hata kama wewe ni kijijini
Mie nimwimbaji Niko mwanza naitwa papaa mashana naombeni intavyu
Jitoe hakili utoboe uoni NYANDA
@@ibrahimelisha6842😂😂😂
Kama ni intavyu huwezi kupata labda interview
Nyandaa watoshaga loloo shokaga kaya eng'ombe jikonanuka
Gete angu
Gete angu
sawa gete nyanda
Gwa nh'ana ashoke kudima...😊
😂😂😂😂
Perfect nyanda
Linda tamanduni yetu kijana hayo yote yanamda tu
daaa wasukuma bwan
Msukuma mwenzangu umetishaaaa
Nyanda we nimsomii bana sio mchunga ngo'mbee
Hàhàhaà limepigwa story la kwenda hapa ngosha safi sana
Ni kipaji ukiiga utapotea. Asee
He is talented
msukumaaa
Ogopaaaa😂😂😂jamaa ana vibe🤣🙌🙌🙌
Nyanda maana yake dogo.umetisha mzeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊👊 maua yako nyanda 🥀🥀🥀🥀🥀🥀
Nyanda maana yake ni kijana
Idadi htaji dahhh
Huyu jamaa anatokea usukumani sdhemu gani??
nmempenda hajasaliti lafudhi yake
mwachen jaman kama kunatafuta hela anatafta sio ng;ombe tu
Kwanza ogela sana unawenza kujibu maswali yao
Mtan Latisha nimecheka kwanguv
Katiyamsukuma na msukure😅❤😢🎉😅😊
Mwamba uko vizuri sana ufike mbali
Nyanda UK vizur hongera
Daah kwakweli huyo jamaa . namkubali kinyama
Hii dgo wa kisukuma zingatia hiyo mwanang
Kaka nataka nifnye korabonaww nipo geita
Kumbe wasukuma nao Wana ronjoo kama sisi wamasai
Akili za wabongo zinawaza ujinga,Asa mchumba ukienda lubaga,HOW COMES
Ogopaaaaaaaaa....
Hao wanaomhoji nyanda kabundi ni wajinga
hahahahaha😅😅 musukuma mshamba😅😅😅
Mwanaume wa kisukuma anaelezeka:-
Sifa ya 1st kbsa: Siliazi sana,alisema ndio ni ndio. Hapana ni hapana.
2nd. Akipenda amependa ila ukimfanyie asiyopenda akigeuka nyuma habadiliki tena
3rd......,
.........
........
Mshikaji unatisha sana ogopaaaaaaaaaa
Ogo paaaaaaaaaaaaa hatariiiiiiiiiiiiii
Musukuma wamemushika nyota
Dogo uko vzr mungu nimwema utafanikiwa umeparform vzr sanaa
Kumbe ni perfomance hiyo??
Ogooooooopaaaaaa hataaaaaaaaaaariiiiiiiiii
Eti unachaguliwa mke
Mie Niko kwenye kampeni ya kupandisha solo la wanawake weusi maana ni watiifu na wavumilivu maishani tutaanza kuwapa ng'ombe 60kwa 70 tuwapiku mie ndo nitawafingulia jahazi
Hahahaaa umetisha
Nyala kabud tujibiwe
🔥🔥🔥😍
anajua kulitaja jina la nandi
kisukuma hiko au kiswahili
Huyu dada mdangazaji namkubali sana anasauti nzuri sana ya kutangaza bravoo