WEWE NDACHA NITAKUUA MIMI NATISHA //Prof MAZINGE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 774

  • @stephenkiboeaungo
    @stephenkiboeaungo 7 หลายเดือนก่อน +15

    Ndacha umemzidi sana Mazinge.Ndacha ni profesa wa Injili

  • @Obama-q4h
    @Obama-q4h 8 หลายเดือนก่อน +16

    Mzinge pongezi katika dini ya kiisilam mngu akulipe inshallah na akujalie maisha mrefu pia

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 ปีที่แล้ว +45

    Najivunia Saana kuwa Mkristo... tuendelee sn kumuomba Mungu Baba,,,Mungu Mwana na Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏 aendelee kutubariki Milele Daima

    • @111dudi
      @111dudi ปีที่แล้ว +7

      Mpaka sasa hamjui nani mungu. Kuna mungu aliyefia msalabani,kuna mungu roho hata haijulilani yuko vipi,kuna mungu baba, hamjui kama alikuwa baba vipi, nani mkewe.

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 ปีที่แล้ว +4

      @@111dudi Pia Kuna Mungu Roho Mtakatifu yeye alikuja Duniani baada ya Yesu Kristo Wakati alivyokuwa akipaa Mbinguni alisema "Nitawaachieni Mrithi Wangu ambaye ni Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu nafsi ya 3...lolote zuri mtakalomuomba hakika mtaokolewa

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 ปีที่แล้ว +3

      @@111dudi Soma sn Biblia Kisha anza kwenda Kanisani hususani dhehebu la Roman Catholic ndipo utajua kuwa Mwenyezi Mungu ni Mmoja ila amegawanyika nafsi 3....Mungu Baba,,, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏

    • @111dudi
      @111dudi ปีที่แล้ว

      @@yohanakiyumbi4795 Dhehebu hili linajulikama kwa kuruhusu watu wa jinsia moja kuoana na kuna mapasta mashoga. Astaghfiru Llah

    • @akibaali1450
      @akibaali1450 ปีที่แล้ว +1

      Umepotea njoo kwenye dini ya haki na ukweli

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi9964 ปีที่แล้ว +26

    Mashallah tabarakallah nakupenda Sana shekhe wangu mazinge upo vizur ndacha unamgalagaza tu Ila haelew

    • @111dudi
      @111dudi ปีที่แล้ว

      Tena yuko vizuri sana.kiboko ya wahubiri wa kikristo kama Ndacha wanaotimia ujaja ili washinde

    • @janenjeri9750
      @janenjeri9750 ปีที่แล้ว +1

      Ngoja hukumu,utamtafa umkosee
      Unaskiza ukweli ila bado unakataa,ole wako
      U

    • @111dudi
      @111dudi ปีที่แล้ว

      @@janenjeri9750 Biblia yenu imebadilishwa mara chungu nzima. Pope wenu anahalalisha ushoga. Na anataka aibadilishe biblia.na bado mnadai no neno la mungu. Wachungaji wenu na mapadri wanadai wanahubiri neno la mungu, ni wafanyakazi tuu wanalipwa mshahara na watu, siku mshahara ukisimama na kuhubiri wanaacha,kama Ndacha.sio kama waislam ambao mshahara wao unatoka kwa mungu. Mbona ham fungua akili zenu

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 ปีที่แล้ว +36

    Ndacha wewe ni Mwalimu mzuri sana God bless you

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 ปีที่แล้ว +1

      Amen

    • @damianopetro5872
      @damianopetro5872 ปีที่แล้ว

      Thanks ur one who made me embrace Islam

    • @fahadbabuy
      @fahadbabuy ปีที่แล้ว +2

      Mwalimu muongo😂

    • @luluamin1388
      @luluamin1388 ปีที่แล้ว +2

      Mungejua maandiko basi musingeli msikiliza huyu ndacha conman wa maandiko

    • @martoo539
      @martoo539 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@ARUWAAHMADA-jz9msmumeshdwa 😁😁kila saaa nkisema mohammand who Did nothing

  • @phenomenalsam.5722
    @phenomenalsam.5722 10 หลายเดือนก่อน +7

    Paul umefunzwa na mungu kusoma ,, 😂😂God bless you dacha and paul

  • @countercheck887
    @countercheck887 ปีที่แล้ว +26

    Mwalimu Ndacha Mungu akubariki na akulinde wewe ni dawa ya mazinge 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 ปีที่แล้ว +2

      AMEN 🙏🔥🙌

    • @111dudi
      @111dudi ปีที่แล้ว +1

      Soma jibu langu.huyo Ndacha mpiga viraka wa aya.muongo

    • @legend9805
      @legend9805 ปีที่แล้ว +3

      Hakuna duniani ana elimu ya kuwashinda waislamu. Mungu amewapa elimu

    • @orotancnelly3047
      @orotancnelly3047 ปีที่แล้ว

      AMEN 🙏

    • @NicksonLekatoo
      @NicksonLekatoo 6 หลายเดือนก่อน

      Kabxa

  • @franknzegenuka2335
    @franknzegenuka2335 ปีที่แล้ว +19

    Sheikh Mazinge unapoteza point, jibu swali kwanza. Ndacha ni fireee 🔥🔥🔥

    • @111dudi
      @111dudi ปีที่แล้ว +3

      Ndacha ni muongo anabadili aya apate kushinda

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 ปีที่แล้ว +2

      Shida yao hawa wanajibu bila hoja.

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 ปีที่แล้ว +3

      Ni kwl kbs ndugu...Mazinge hana Point za Msingi ila anataka kubishana na Imani ya Ukweli ya Kikristo

  • @naiknaik2816
    @naiknaik2816 ปีที่แล้ว +35

    MashaAllah Sheikh mazinge Allah akupe umri refu enye ibada na baraka inshaAllah

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 ปีที่แล้ว +1

      Bado kidogo tu Mazinge atakua mchungaji Mazinge

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 ปีที่แล้ว +1

      @@saulidongo1865 Ndoto za Mchana Mazinge kuingia ukafiri wa Kikristo.

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 ปีที่แล้ว

      @@mansooralaisri5200 Allah akufundishe hutaambia wakristo kafir tena.

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz ปีที่แล้ว +25

    Broo mazinge mungu akujalie umrimrefu utujuze tusio yajua katika uisilamu inshaAllah

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 9 หลายเดือนก่อน +7

    ALHAMDULILLAH and im proud to be a Muslim. Kitabu chetu Quran hakijawahi na hakitowahi kutiwa mkono, Wakristo kuna maagano kibao,

    • @researchcorner.
      @researchcorner. 8 หลายเดือนก่อน

      Mazinge Hana hoja

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow 3 หลายเดือนก่อน

      Mnaabudu shetani waisilamu

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 2 หลายเดือนก่อน

      Kishabadilishwa sana tuu kilichokua halisi kilikua na page 7 na pombe ilihalalishwa lakini izo Aya zilifutwa na kubadilishwaa😊😊😊😊 familia au waulize waliokuzid

    • @ZabronMagufwa
      @ZabronMagufwa 27 วันที่ผ่านมา

      Sasa kweny Quran unatia mkono mwingine wa Nini wakati imeandikwa Kwa mkono?

  • @MarthaJoy-lx2qk
    @MarthaJoy-lx2qk 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa kweli Ndacha wewe ndani kwako muna nguvuza Mungu aline hayi

  • @HarrisonTsuma-r2k
    @HarrisonTsuma-r2k 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi ukristo sitoki mazinge huyu Jamaa sio rikalako maswaliyako kajibu vilivyo wewe haujajibu hadi mmoja porojo tu zako

  • @kayeesbelewa4819
    @kayeesbelewa4819 ปีที่แล้ว +7

    Mazinge comedian kweli,neno hana ila anamaneno

  • @adlainekamonya-ic2kq
    @adlainekamonya-ic2kq ปีที่แล้ว +11

    mm Huwa sisikizi COMEDIAN MAZINGE😂😂😂... Huwa nazongeza tu mbele kumsikiza Ndacha ... Mungu akubariki Ndacha🙏🙏🙏

    • @SamuelNgala-iw1gz
      @SamuelNgala-iw1gz ปีที่แล้ว +1

      Hata mimi😂😂

    • @adlainekamonya-ic2kq
      @adlainekamonya-ic2kq ปีที่แล้ว

      @@SamuelNgala-iw1gz 🤣🙏🙏

    • @pinkaijoseph523
      @pinkaijoseph523 8 หลายเดือนก่อน

      Pia mimi

    • @hackazteach
      @hackazteach 7 หลายเดือนก่อน

      hamuna point nyinyi tangu lini yesu akawa mungu😂😂😂😂😂

    • @KennedyGideon-di8oh
      @KennedyGideon-di8oh 3 หลายเดือนก่อน

      Mazinge haongei chochote uaribu muda

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mazinge unaakil mingi sanaaa,kumbe yes at kanisa halijui hhhhhhhhhhhhh'😂😂😂

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 2 หลายเดือนก่อน

      Mko kama mmepumbazwa sana

  • @ShamimMsofe
    @ShamimMsofe 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mazinge unatisha sana Allah akupe maisha marefu . Unapoteza pumzi kubwa kwa faida yao lakin ipo siku watakir

    • @mitchy2219
      @mitchy2219 9 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli mmdahalo huu una maana kubwa kwani kila mshirki wa dini yake anafahamu undani wa mafunzo yanayo zungumziwa hata hivyo una dhibitisha majibu yalio na ufasaha na dhihaka jibu linapotelewa sisawa kujibu swali ukijua unawapotosha wasikilizaji fursa ya kuto ona kweli la mjadala je kuna maana gani kua na mjadal kama huu uwe funzo kwa mumini si kila dini ifunze inayo wahusu washirika wao badala ya kushutumiana uzuri wa dini yao

  • @philimaroa8021
    @philimaroa8021 ปีที่แล้ว +5

    Namshukuru yesu juu nimewaona hao waislamu wakikimbilia iyo damu ya yesu nakuinywa

    • @estersindano3485
      @estersindano3485 ปีที่แล้ว +1

      Wewe muislam wewe unaedanganywa unashabikia unamdhihaki yesu nakuhurumia sana

  • @eliasemanuel2710
    @eliasemanuel2710 ปีที่แล้ว +4

    Anaigiza cyo kama haelewi anasimamia anacho kuamini na siyo kilicho kweli... Mungu atamleta kwake one day

  • @juliuslangat3970
    @juliuslangat3970 ปีที่แล้ว +13

    Ndacha Mungu akuongoze my brother

    • @ismailkarani7972
      @ismailkarani7972 ปีที่แล้ว +1

      Aongozwe au amepotea

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 ปีที่แล้ว

      Bora umuombee maana anajithidi kupoteza watu.

    • @OmanOman-yk8kl
      @OmanOman-yk8kl ปีที่แล้ว +1

      ​@@mzeerajab9154 ninyi ndo mmepotea

    • @philbertkabengo7905
      @philbertkabengo7905 7 หลายเดือนก่อน

      NDACHA UNAUJUZ NA MARIFA YA MAANDIKO MUNGU AKUONGEZEEE MEMA YA NCHI NA UKUPE UFULME WAKE🙏🏿

  • @franckilunga2086
    @franckilunga2086 ปีที่แล้ว +5

    Mazinge huyo ni comedian kabisa. Mungu hawezi kuwa mjinga, huyo mwalimu anakufuru neno lamungu.
    Nawaonea huruma atawale kina mama wapikao kelele na mkutano wote.😢

  • @manasa2449
    @manasa2449 ปีที่แล้ว +5

    Mazinge Allah akulinde na shari Amiin

  • @wizdannymoshi3132
    @wizdannymoshi3132 ปีที่แล้ว +3

    Ndacha unafundisha kwel ila mazinge unapoteza waisilamu maznge unamkoxea mungu hufai kuw mwalimu

  • @kimanidatch6096
    @kimanidatch6096 ปีที่แล้ว +16

    Mazinge Hana lengo la KUFUNDISHA,,Bali ana lengo la kukashfu....,Hawezi KUSAIDIA wale wasiojua...Ndacha ni Mwalimu wa kweli wa Neno la Mungu.,,Mazinge mpokee Yesu,vinginevyo utasaga meno jehunum.

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nyinyi ndie mwasaidia watu kwakumwabudu binadamu mwenzenu

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 4 หลายเดือนก่อน +3

    Najivunia jina la YESU sina mashaka wala sitishiki ❤❤❤

  • @hellen9056
    @hellen9056 4 หลายเดือนก่อน +5

    Ndacha Mungu akubariki.
    Sisi tulio soma biblia tunajua unasoma kweli
    Waislamu wanadangwanywa kweli kweli na walimu wao wachukua kakipengele wanasoma hawanalizi point
    Mimi siyo mfuatiliaji saaana lakini kwa point za Yesu ni Mungu Dah umesoma zile point muhimu sana Usisahau ile Mungu alisema huyu ni mwanangu mpendwa wangu nimependezwa nae

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge mbabaishaji tu anajibu tofauti na swali aliloulizwa.

  • @patrickodhiambo9341
    @patrickodhiambo9341 8 หลายเดือนก่อน +6

    Ndacha 🎉🎉

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe Sana mchungaji ndacha MUNGU baba akuinue kwa kazi nzuri unayo fanya,, tunaamini mungu atawafugua macho,,

    • @shakiljuma5055
      @shakiljuma5055 ปีที่แล้ว +1

      Mungu awafungue macho nyinyi.... Inshallah

    • @halimasalim3985
      @halimasalim3985 ปีที่แล้ว

      Awafungue nyinyi macho

  • @RajabuKiedu
    @RajabuKiedu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nashukuru mungu kwa kumpa maarifa mwalim ndacha na kuwafindisha hao waijue kweli ya mungu

  • @byakomasoka988
    @byakomasoka988 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa yesu kristo nimeshika kabisa siwezi mwacha kamwe❤❤❤❤❤❤yesu kristo namba moja 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 ปีที่แล้ว +12

    Ah ya uyu sheih mazinge ni hatari yan Legend

  • @thomasoloka3550
    @thomasoloka3550 ปีที่แล้ว +20

    Shehk mazige pigania dini ya uislamu Allah akuwake tebeza kalima ya lailahailala muhamad rasululahi

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 ปีที่แล้ว +15

    Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umri 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @zaudaislam2120
    @zaudaislam2120 ปีที่แล้ว +5

    Alhamdulillah kuzaliwa muislam n inshaallah mungu awaongoze hawa makafiri

  • @marwasamwel5668
    @marwasamwel5668 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amen pastor Ndacha mungu akubariki kwa ukweli wako

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu Mzee ajui et yesu ni muisilm au ni mkrsto yesu ni kristo ni cheo isilam ni unyenyekevu kwaio mkisema yesu ni muislamu pia mposawa au waislm amjui tafisl

  • @JosephineNyokabi-r6s
    @JosephineNyokabi-r6s 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri ndacha mungu akubariki

  • @AhmadijumaJuma-fq2td
    @AhmadijumaJuma-fq2td 9 หลายเดือนก่อน +1

    Namshukulu Allah kwakunijalia kua muislamu halmadulillah wakiristo tokeni uko mnapotea uislamu ndodini ya aki akuna dini inayoitwa ukiristo

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 8 หลายเดือนก่อน

      Mnatembea uchi siku ya Ijumaa na wakati wa kwenda msikitini hsmvai chupi😂😂😂😂

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 4 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂Ila wesilamu wanahitaji neema ya Kristo ndo mahana wakipata neema yakuwa wakrsto wanaitumia vyema karibu Kwa YESU aiseeee wote waisilamu ❤

    • @ProducerramaProducerrama
      @ProducerramaProducerrama หลายเดือนก่อน

      Umerogwa kagoogle umjue mfalme kristo yesu sio Mungu ni mtu tena binadamu

  • @RamadhanKarim-el6tv
    @RamadhanKarim-el6tv 8 หลายเดือนก่อน +1

    Professor mazege mweyezimuku akuweke tupe ndawa nya Allah salamwalekum warahmatullah wabarakatu

  • @RamadhanAdam-up6qv
    @RamadhanAdam-up6qv ปีที่แล้ว +4

    Ama kwer Dunia inafika mwisho Hawa makafiri wanapotosha sana watu mungu wasaidie viongozo wetu waweze kutoa erimu ishaaallah mungu tujalie mwisho mwema

    • @SugowFarah-up3db
      @SugowFarah-up3db ปีที่แล้ว

      Hawatoshi mboga. Makafiri ni watu wasio na dini ila sisi twaenda na muongozo wa Qur'aan

    • @v_simon2677
      @v_simon2677 ปีที่แล้ว

      Umefumbwa na ibilisi kaka Mungu akutoe gizan

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 ปีที่แล้ว

      Amiiiiiiiiin yaraabiiilaalamini

    • @FainesMrwale
      @FainesMrwale 9 หลายเดือนก่อน

      Kafiri wewe unaeabudu na majini msikitini

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah Ustaz.Ndacha comedian.afanya kazı ya İblees mkubwa WA mashetani.

  • @peterraphael7132
    @peterraphael7132 ปีที่แล้ว +6

    Nakuamini sana mwalimu wa kisabato jina ngumu kuandika

  • @gabinoamanaka3444
    @gabinoamanaka3444 ปีที่แล้ว +4

    We ndacha chunga sanaa hawa watu wanaweza waka kuuwa ulisema kwa jenga ulivamiwa wakapasua vioo vya gari yako hawa watu hawana imani mioyoni mwao hivi unavyo wapea dose chunga sana

    • @abuuhassani497
      @abuuhassani497 5 หลายเดือนก่อน

      Acha woga ndacha Elimu hana

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 หลายเดือนก่อน

      Auliwe kisa anini cha maana sana huyo Ndacha ywawapoteza kabisaa mungu alitairiwa wapi kwa wapi

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@abuuhassani497 uyo mazinge ndo kilaza kabsa anajichekesha hana ata fact...ndacha anakupatia adi andiko

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw ปีที่แล้ว +8

    Mashallah mwalimu Mazinge ...Sisi hapa tulislimu alhamdulilah.❤❤❤

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 ปีที่แล้ว +15

    Masha Allah mashehe wetu wote Mola awalipe na Janatul Firdaus

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 ปีที่แล้ว +4

    Mazinge na huyo msomaji wKo, mwajua wasema uongo

  • @janenjeri9750
    @janenjeri9750 ปีที่แล้ว +3

    Ndacha mambo yote,ila naomba Mungu wetu mwenye nguvu awafungue waislamu macho,maana ni vipofu kabla MDA haujaisha

    • @officialhamis7031
      @officialhamis7031 ปีที่แล้ว

      Macho mfunge nyinyi macho

    • @abeidpazia1720
      @abeidpazia1720 ปีที่แล้ว

      Hamna dini inaitwa ukristo hata ndani ya bibli..

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 หลายเดือนก่อน

    Prof. Mazinge anafaa kwa maendeleo ya Taifa. Mungu Mkubwa. Mbariki Prof. Mazinge na Mwalimu Ndacha.

  • @nicholaskimathi-z8k
    @nicholaskimathi-z8k 9 หลายเดือนก่อน +4

    Pastor Dacha you are a great teacher,,God bless you alot,,

    • @ShamimMsofe
      @ShamimMsofe 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno หลายเดือนก่อน

    Wew Mazinge Ndio Utatangulia Hatakama Wew Ni Rafiki Ya Majini Hauwezi Kumuwa Pastor Ndacha Kwa Jina La YESU❤ Milele Daima❤❤❤

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 ปีที่แล้ว +2

    Ushauri wangu , mijadala hii inapaswa kufanywa na watu wenye hekima sana sana kwa hiyo Mazinge ni mpotoshaji sababu hata biblia haijui na kuruani pia haijui so mtahangaika sana.

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 หลายเดือนก่อน

      Mpoteshaji ni wew na huyo Ndacha wako

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x 3 หลายเดือนก่อน

      @@FatmaNash-nd5kz na wew na mhamad wako wote waongo

  • @NtirenganyaEric-bg3ye
    @NtirenganyaEric-bg3ye 4 หลายเดือนก่อน

    Mwarimu muzor ndaca!! wambie mungu agipenda wataokoka!!! Jili Yesu wet muwezayote

  • @amourworldbeats
    @amourworldbeats ปีที่แล้ว +2

    Nimemuelewa Sana mazinge Wallah.Yaan Wachungaji Kama watoto Hawaelewi. 9:25 Mchungaji Sijui Haelewi Nini,Ulevi Ulikuwepo Kabla. Alivokuja Mtume Muhammad Akautakaza,Sio ulivokuja Uislamu Ukakataza ulevi,Alivokuja mtume wa 25 Muhammad(S.A.W) Akakataza Ulevi

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 ปีที่แล้ว +9

    Subhana Allah, maskini waimani,nawanajua

  • @ghyslainmulume8301
    @ghyslainmulume8301 7 หลายเดือนก่อน

    Ndacha,Mungu akupe maisha marefu,ili uzidi ku tuelimisha,yesu Cristo akufiche kwa damu yake.

  • @issabella1455
    @issabella1455 ปีที่แล้ว +2

    Mazinge acha kudanganya watu yesu siyo mweslamu kwanini unapoteza watu🇹🇿🇿🇲

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 ปีที่แล้ว +22

    Yesu Kristo ni kweli na tena njia ya kweli na uzima.

    • @hassanadam3007
      @hassanadam3007 ปีที่แล้ว +1

      Wacha zako..

    • @davidmnyela2459
      @davidmnyela2459 ปีที่แล้ว +3

      Amina

    • @frankmpembu
      @frankmpembu ปีที่แล้ว +3

      Amina

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 ปีที่แล้ว +3

      Milele Amina🙏🙏🙏🙏

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂nyinyi mlioza sana uzima upi ,uzima ni waduniani tu hiyo milele uyaongelea niya duniani tu

  • @AdamMnyambwa
    @AdamMnyambwa 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubali mwalimu ndacha akupe maisha marefu akulinde naloo mbaya

  • @peteronjenga9954
    @peteronjenga9954 ปีที่แล้ว +5

    Ndacha ndie dawa ya Mazinge...Mungu ambariki Ndacha na amuongeze maisha marefu🙏🙏

    • @111dudi
      @111dudi ปีที่แล้ว

      Mazinge kiboko ya Ndacha, janja yake ya uongo inapigwa nyundo na Mazinge

    • @luqmanjabal9573
      @luqmanjabal9573 ปีที่แล้ว

      Hakuna ubaya kueleza mawazo na matamanio yenu.Mawazo dufu.

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp 5 หลายเดือนก่อน

    Heheeeee mashaAllah Shekhe wetu mazinge mungu akupe afya njema umri mrefu inshallah

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime 3 หลายเดือนก่อน

    Ndasha nakupenda sana,unasoma mazuli

  • @adnanel-islam3291
    @adnanel-islam3291 ปีที่แล้ว +9

    Mazinge Mungu akulinde .
    Nazani Waliokufuru pia wanakukubali

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 ปีที่แล้ว

    Ndacha MUNGU akubariki kwa ujasiri ulionaoo.iuko pekeyako lkn uko na ujasiri lkn najua YESU yuko ndani yako ndo huo ujasiri. Barikiwa sana

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 ปีที่แล้ว

      Ndacha yuwa poteza watu fatilia vizuri vitabu yye yuwaunga unga ili apate ugali wake

  • @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj
    @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj 7 หลายเดือนก่อน +1

    Na huyu yesu ni mungu, ni nabii au mtoto wa mungu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana Sh.Mazinge jumbe bado mdahalo unaendelea

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge ni mbwembwe na sarakasi kuwadanganya hao waisilamu

  • @MaryNjeri-ox1ry
    @MaryNjeri-ox1ry 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha Mungu akusaidie

  • @mutulaObedi
    @mutulaObedi 6 หลายเดือนก่อน

    acha basi nikuombeye mweshimiwa mwalimu ndacha kama profisa wa injili tunakuitaji congo mwalimu wetu

  • @RukiaMtuka
    @RukiaMtuka 5 หลายเดือนก่อน

    Najivunia kuwa muislam,shekh Allah akulinde

  • @djumanjike3256
    @djumanjike3256 ปีที่แล้ว +11

    Mazinge Mungu akulipe kheri

  • @thureyazuheir293
    @thureyazuheir293 ปีที่แล้ว +8

    ya allah ya maliki tupe mwisho mwema ya matini

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy ปีที่แล้ว

      Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲

  • @mercymjunior9684
    @mercymjunior9684 ปีที่แล้ว +2

    Mwalimu ndacha Mungu akubariki na akujalie neema zaidi mafunzo yako ni mazuri

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw ปีที่แล้ว

    Waislamu wanajua tu takbirrr. Mazinge hajajibu swali.

    • @ProducerramaProducerrama
      @ProducerramaProducerrama หลายเดือนก่อน

      Ndacha ndio hajibu hata maswali ya mwisho kayakanyaga hakusema yesu kaingia kanisani bali Kabunga vunga

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 ปีที่แล้ว +12

    Pro Mazinge Safi Sana Masha Allah

  • @ValaryMusimbi-n8h
    @ValaryMusimbi-n8h 8 หลายเดือนก่อน

    Ndacha umefanya kazi ya kuwafunza waislamu na kuwaelimisha zaidi.

  • @frankmpembu
    @frankmpembu ปีที่แล้ว +1

    Mazinge hana hoja, Nashukuru kuona baadhi ya Waislamu wanakuja kwa Yesu na kuukimbia Uislamu.

    • @abeidpazia1720
      @abeidpazia1720 ปีที่แล้ว

      Labda wa kike afuate mume,,hakuna muislam mwenye akili aliyesoma uislam wake akaujua halafu aingie kwenye ukafir hata Kwa pesa yoyote.

  • @alingoevans5026
    @alingoevans5026 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wakristo 🎉nyie hatari

  • @djhassim_254
    @djhassim_254 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ushapotea ata Yesu hakuwaisema ivo

  • @frankmpembu
    @frankmpembu ปีที่แล้ว +5

    Waislamu tokeni huko muje kwa Yesu. Yesu ndiye Njia ya Kweli na Uzima

  • @ValaryMusimbi-n8h
    @ValaryMusimbi-n8h 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ndacha wewe ni kiboko cha waislamu

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 หลายเดือนก่อน +1

      Subutu lbda kiboko yako wew

  • @mwilaben193
    @mwilaben193 ปีที่แล้ว +9

    May our heavenly father bless you pastor Ndacha

    • @lizndunchez720
      @lizndunchez720 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@ARUWAAHMADA-jz9msww ndie utakufa ujinga yko mnaswli z kitoto sna

  • @abdallaheji1269
    @abdallaheji1269 ปีที่แล้ว +10

    Mazinge uko vizuri sana

  • @SamuelmuneneMuthoni
    @SamuelmuneneMuthoni 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi. Ndacha

  • @KelvinAlex-x2i
    @KelvinAlex-x2i 6 หลายเดือนก่อน +1

    Najivunia kuwa mkristo mimi jina la yesu libalikiwe sana

  • @muvurwanezaanitha742
    @muvurwanezaanitha742 ปีที่แล้ว +1

    Ayo mamboyenu yatutosha mkristo abaki mkristo mwisilamu abaki mwisilamu ila ukweli wote mashee munajuwa kuwa Kristo ndiye njiya yapeke ya kwenda mbinguni

  • @sheheemsikit-bw5vx
    @sheheemsikit-bw5vx ปีที่แล้ว +4

    Mazinge mashaallah wafundishe hao

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 ปีที่แล้ว +6

    Mimi nakuombea pepo ya daraja la juu shekh Mazinge ,tuseme inshallah 🙏

  • @princejuma-vx1zk
    @princejuma-vx1zk ปีที่แล้ว +12

    Makafiri huwa wanatetema kwa hofu wakimuona mazinge 🔥 🔥 🔥

    • @akibaali1450
      @akibaali1450 ปีที่แล้ว

      Kabsaaa tena sanaaa

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 ปีที่แล้ว +2

      .wewe una wazimu tusimuogope Muhamadi tukamogope mazinge?kumbe hujamjua mkristo vizuriNdani ya kristo kuna nguvu za ajabu.

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 ปีที่แล้ว +1

      Huyo mazinge yuko kimwili zaidi .mazinge kashashidwa haongozwi na roho wa Mungu

    • @FainesMrwale
      @FainesMrwale 9 หลายเดือนก่อน

      Sis c makafiri na pia hatuwezi tetemeka Kwa majini maana tunae kristo ambae na fire ya kuwalipua ninyi majini ndo maana hamna neno la mungu mna maneno ya walimwengu

    • @abiyafocus6992
      @abiyafocus6992 7 หลายเดือนก่อน

      YANI NYINYI MNALALA NA MAJINI NDIYO MAANA AKILI HAMANA KABISA HAKUNA WAKUMUOGOPA HUYO NDACHA TUNAISHI KWA KUHESHIMIANA TO

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 10 หลายเดือนก่อน +2

    NAWAONEA URUMA SANA WAISLAMU,

  • @AmzaAmadeAmisse-p9o
    @AmzaAmadeAmisse-p9o 9 หลายเดือนก่อน +2

    Teacher Mazinge ❤❤❤❤❤

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 7 หลายเดือนก่อน

    Ustaadh. Mazinge Hawa watu WAKIRISTO wamelaaniwa na Mwezi Mungu. Na mwisho wao ni motoni tu

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 6 หลายเดือนก่อน

      Amelaaniwa Mohammad na majini yote

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x 3 หลายเดือนก่อน

      Ukiwemo na wewe umelaniwa kwakumsilimisha shetani na majini yake ambea mung alimtupa kuzim

  • @MutembeiKamathi
    @MutembeiKamathi 3 หลายเดือนก่อน

    Mazige Hana point,,

  • @oyayatimothy1290
    @oyayatimothy1290 ปีที่แล้ว +9

    Pastor Ndacha elimisha hao watu, masheikh wametuchosha

  • @Davidjame711
    @Davidjame711 ปีที่แล้ว +6

    Yaani hatari sana mazinge ameona kivumbi kikali sana hata yeye anayua ilo

  • @kisosekatere6282
    @kisosekatere6282 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Sheik Mazinge yuko mbali sana na maandiko na mbona Ndacha alioneaha neno liko wazi Majina yameandikwa mbinguni Biblia ilioesha wanao hubiri Injili majina yao Yameandikwa Mbinguni, pili unakataa hutaki tafsiri ya Kanisa sasa uelezwe namna gani wakati maandiko yako wazi, Bila Ushabiki Elim na uelewa wa vitabu Ndacha yupo juu sana kuko S. Mazinge

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 หลายเดือนก่อน

      Alikuonyesha wew usiejielewa

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado 3 หลายเดือนก่อน +1

    We mazinge aujui zaidi yaushabiki

  • @FainesMrwale
    @FainesMrwale 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jibu swali mazinge acha ubabaishaje

  • @frankkaipa8925
    @frankkaipa8925 ปีที่แล้ว +3

    Ndacha Mungu nimukubwa utabatizwa wote waislam

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 ปีที่แล้ว

      Amen Mungu ni mkubwa sana soon wote watabatizwa

    • @OmanOman-yk8kl
      @OmanOman-yk8kl ปีที่แล้ว

      ​@@adarashidi8178 amen

    • @OmanOman-yk8kl
      @OmanOman-yk8kl ปีที่แล้ว

      Unataka kumuua kwa sababu Gani acha zenu waislam