MANENO MAWILI RAHA NA BUSTAREH/SHEIKH ABEID KARUME ENZI ZA UHAI WAKE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 58

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 3 ปีที่แล้ว +7

    Ndio wewe mjinga uliowadhulumu watu

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 2 ปีที่แล้ว +4

    *Ukaichuwa zanzibar yenye mamlaka yake ukaipeleka bara sasa tunaoteseka ni sisi*

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akurehemie . Ulikuwa mzalendo wa kuzaliwa si wa kuoteshwa. Haukuwa mtoto wa nyoka bali mvuja jasho

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 หลายเดือนก่อน

    Hamna lolote la msingi analozungumza ama kueleweka....Upuuzi mtupu ! Mwisho wa kibri kuiuza Zanzibar kwa pesa moja tu ! Sultani alikua mzanzibari zaidi kukuliko weye mkosa kabila !

  • @khalidsaid4297
    @khalidsaid4297 2 ปีที่แล้ว +4

    Ww ndie ulie tudhslilisha na ndio tunazidi kizalilishwsa

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 ปีที่แล้ว

      Ye hayupo we umefanya nini kutoa huo udhalili

  • @LingstonMwakaboko-q2k
    @LingstonMwakaboko-q2k 5 หลายเดือนก่อน

    Eshii jamani napitia comments hapa ila sijaona comments yoyote ya kumushukuru Karume hata chembe za mazuri yake hamukumbuki

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 ปีที่แล้ว +4

    NYANI HALIONI KUNDULE HAKI YA MTU HAIPOTEI

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 ปีที่แล้ว

      Mpka lini hiyo haki itarudi sasa miyaka sitini kutawaliwa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

    Imani juu ya Tanzania nl yako kuwa na serikali inayoongozwa na Waafrika.

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 หลายเดือนก่อน

    Babu Karume tunamuomba Allah akupe kinachostahiki. Amiin

  • @khalidsaid4297
    @khalidsaid4297 2 ปีที่แล้ว +4

    Laaanatu اللہ Allah atakulipa kwa ulichokipandaa

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 ปีที่แล้ว +1

      Wewe mjinga mmoja tu, hujitambui

    • @mohammedhamad5297
      @mohammedhamad5297 ปีที่แล้ว

      @@albertjames6845 babu kausho lalichokipanda anakipata aliua kwa mtutu na yy aliuwa kwantutu! Kama kamata dini tudani.unapomfanyia mwenzio na wewe utafanyiwa ndicho alicho kipata

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 ปีที่แล้ว

      @@mohammedhamad5297 wangapi waloua kwa mtutu na hawakufa kwa mtutu

  • @adamstour5736-kb6zq
    @adamstour5736-kb6zq ปีที่แล้ว +1

    Ni kheri kutawaliwa na SULTAN kuliko kutawaliwa na TANGANYIKA

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 6 หลายเดือนก่อน

      Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 6 หลายเดือนก่อน

      Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.

  • @fahmialharthi4596
    @fahmialharthi4596 2 ปีที่แล้ว +1

    Unaiyona raha mustareh huko ulipo

  • @mohammedhamad5297
    @mohammedhamad5297 ปีที่แล้ว +1

    Adhabu na wewe unaiyona adhabu ya Allah ulio wauwa ndio sisi wazanzibar

  • @asilclub
    @asilclub ปีที่แล้ว

    Moongo mkubwa huyu jambazi muuaji mungu atamlani yeye na nyororo asipo Kuwa ni sultan huyu mshenzi karume hajui hata kuvaa nguo

  • @mohammedabdallah9821
    @mohammedabdallah9821 ปีที่แล้ว

    Kaondoka sultani mwarabu,
    Sasa tunae sultani mtanganyika ndo aloikalia Zanzibar kwa mabavu,
    HAKUNA tena nchi ya Zanzibar kuna Tanzanian

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 ปีที่แล้ว

      Tumeamua hata sie watanganyika hatutaki Kua na nyinyi mwambieni bi mkubwa auvunje we are ready

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 ปีที่แล้ว

    Tulitolewa ukoloni mwa kiarabu na kuoingizwa katika ukoloni wa kiafrika

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 ปีที่แล้ว

    Serikali yetu wenyewe mbona ukaipoteza bureee

  • @MWIGAADAM-r3e
    @MWIGAADAM-r3e 9 หลายเดือนก่อน

    Dadali wa mwazo kuuuza zanzibar kwa watanganyika kwa husda na tamaa ya madaraka

  • @ashaali7506
    @ashaali7506 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah❤😂🎉😢😮😅😊

  • @omarsaid4702
    @omarsaid4702 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mungu atamlipa kwa alicho kipanda

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 ปีที่แล้ว

      Kwa kua elfu ishirini NA kuiza nchi kwa wakrsto wa tanganika

  • @JohnCatherine-f1z
    @JohnCatherine-f1z ปีที่แล้ว

    Hatutaki kutawaliwa kwani kuna ubaya 😂😂😂😂

  • @JohnCatherine-f1z
    @JohnCatherine-f1z ปีที่แล้ว

    Watu wa Unguja na Pemba tumepata uhuru wetu kwa vita na Mungu alikuongoza heri na ufahari aupate yule alie kuzaa Mungu anisamehe kwa mabaya yko na akulipe kwa wema wako Amin

    • @SultanMalcolmx
      @SultanMalcolmx 7 หลายเดือนก่อน

      Na mabaya pia amlipe , hakujua km hii Dunia mapito

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 5 หลายเดือนก่อน

    Eeh aduwi wa allah

  • @allyhassan5664
    @allyhassan5664 ปีที่แล้ว

    Hivi sultan ametawala znz miaka mingi likn karume katawala miaka Saba maendeleo yameonekana mpk leo..sio

    • @SultanMalcolmx
      @SultanMalcolmx 7 หลายเดือนก่อน

      You wrote the trush, you better keep quiet

  • @seifhafidhsuleiman3643
    @seifhafidhsuleiman3643 ปีที่แล้ว

    Hotuba inaishi hii

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 ปีที่แล้ว

    NAMKOBOZI WA ZANZNZIBARI LAKINI MKOLONI MAMBO LEO WA BARA

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 2 ปีที่แล้ว

    Big man viva karume asante sana

  • @nassornassor8774
    @nassornassor8774 4 ปีที่แล้ว +3

    Kwa Tànzania babu hapana tabu lakini A S P haipo hatuna vya kuikumbuka mitihani , mbona ww hukuunga vyama ?babu tunakukumbuka na hizo hazabu Tanzania milele

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aliempa athabu katika dunia kupigwa risasi nane NA huko akhera ataulizwa roho za watu nafsi za watu sio mchezo hata ukiua paka utauliwa wazanzibari wa liuwawa kinyama ni raia tu wala sio askari sasa huo karume hao watu wanamsubiri huko sirati huko ahera wa nataka malipo yao aliye uwawa anamuliza mungu huo ameniuwa dunia duniani kwanini

    • @allyhassan5664
      @allyhassan5664 ปีที่แล้ว

      Lkn aliemuua karume ataenda kujibu nayy kwann alimuua .adhabu anaiaubiri

  • @raymondkaswaga5055
    @raymondkaswaga5055 4 ปีที่แล้ว

    Babu ulikufa na Nyerere akafa na wenzako hawautaki muungano

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Allah akulaze pema peponi from Kenya

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 2 ปีที่แล้ว +1

    Khalid said unamwambia mtu llaantu llah je ingekuwa hao warabu wange wauwa watu weusi unge wa laani kama ni dhulma na wao hao warabu walikuwa wanadhulumu watu usimlaani mtu hujui nini kingetokea kwa hao waafrika maana nahao unao watetea walikuwa na njama zao waswahili wamesema ukujuwa huu wenzio wanao ujuwa huu kaa utafakari

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 ปีที่แล้ว

      Kaleta ukoloni wa namna nyingine hao waarbu ni wazaliwa zanzibari hawajui kwao kabisa ni wanainchi sasa umetawaliwa hamna cha mamlaka ya zanzibari kua elfu ishirini kwa dakika arbaini hakubali mungu hao ni waaslamu wanataamka shada

    • @mohammedhamad5297
      @mohammedhamad5297 ปีที่แล้ว

      @@alialamoudi9729 yy alikua muafrika ndio wakawau mpaka watoto wa walio zaliwa.

    • @sellamwani7300
      @sellamwani7300 ปีที่แล้ว

      ​@@alialamoudi9729waarabu waliuza waafrika mamillioni kwenye Utumwa!yaonekana wewe mwarabu?

  • @anuaryjuma9469
    @anuaryjuma9469 2 ปีที่แล้ว

    Kweli nchi ya wafrica

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuh mungu mkuu sauti ya Miaka 41 ipo clean kama janana

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 ปีที่แล้ว

    HAKI HAIPOTEI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAHUNI MAJAHIL HAKI KAILETA ALHAMDULILLAH RABI ALLAMEEN