Hakuna cha comred afanye kazi yake .what he is talking is irrelevant ukilinganisha na event iliyokutanisha watu. Seems hajitambui kwa kuongea bila mipaka!
Watu ambao wanambeza komred makonda katika kazi anazofanya ni wale watu wasioitakia mema nchi na maendeleo yake watu hawa hawafai kabisa katika nchi hii.
Kwa maoni yangu, hotuba ya mkuu wa mkoa wa Arusha imetoka nje kabisa na kusudio la hadhara iliyokusudiwa. Badala yake ametumia jukwaa hilo kujielezea yeye binafsi. Hajaitendea haki hadhara husika, maana aliyoyasema hayahusiki kabisa na lengo la kumbukizi ya hayati Sokoine. Yaani amekuwa off point by 100%
Hivi mheshiwa Rais umeenda monduli kama mama, au umeenda kama Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania? Makonda anapata wapi ujasiri wa kukuita mama yake, si mara moja anarudia mama mama, protocol ya wapi anatumia kutambulisha watu wake baada ya katibu mkuu kiongozi kutambulisha wageni wote na ye ye mwenyewe akiwa mtambulishwa?
Ni mama wa Taifa zima ajakosea kumuita mama. Mbona wengi tu umuita Mama Samia ni kitu cha kawaida tena ni heshma. Unaitaji protocol ipi haswa... sioni kama mna kosa au shida hapo....
Huyo hatufai, ungekuwa wewe Rais hapo sawa. Yani hata kama kitu kibaya tusiongee. Nakubali yote ila Rais samia sijawahi kumuelewa hata siku Moja nisiulizwe Kwa nini ila automatically tu ilitokea
Ameongea vzr ila hili la kuwataja Viongozi wenzake wanaowatuma kumtukana Rais kupitia mitandao ya kijamii, hakustahili kuliongea hadharani hivi. Rais amejengewa HOFU ya kweli kuwa kuna wateule wake hawako naye kabisa. Hofu hii itamtesa sana Rais na hata kukwazika kufanya maamuzi SAHIHI. Aidha, Rais inampelekea kuwaza kuwa washauri wake Wakuu wa masuala ya Ulinzi na Usalama (wa kwake binafsi au wa Nchi kwa ujumla), SIO wa kuwaamini, isipokuwa Makonda. Rais kazi anayo. Kuna jamaa alisema "....jini limetolewa ktk chupa, LITAWAMALIZA..."
Huyo ndiyo kivuruge,mpaka kufikia 2025 atakuwa.amewavuruga Arusha na shobo zenu Dar,ilimshindahuko ccm kwenyewe ndiyo kabisa,kusini alimanusura wamtoe roho,na ndiyo kisa cha kuibukia Arusha
Wala so majungu kwa uzalendo.shida watanzania tunaishi kwa uwoga na unafki hatujiamin ktk ukwel ndo maana ni wategemez wachache.wanajishibia rasilimali za nchi through black market
Mimi nasikitika Sana, kipindi cha maziko ya Mhe. Lowassa ilionekana Makonda kuingia mtu wa mwisho na kundi la walinzi wake kwenye msiba ilikuwa ni kuvuta attention kwake haikupendeza na akaanza kusalimu huyu na yule viongozi wakatetemeka. Pia ilileta picha km huyo anakitu katumwa Arusha. Kweli haikuchukuwa mda akachateuliwa mkuu wa Arusha. Sawa yeyote anaweza pewa cheo na cheo ni thamana. Sasa kuongea aliyoongea siku Ya kumbukumbu Ya miaka 40 Ya Mhe. Marehemu Sokoine kwa kweli haijapendeza, hapo ameenda kuchafua Hali Ya hewa siku Ya kumbukumbu kubwa kama hii, je mama kweli huyaoni haya. Hii imethibitisha mama anapenda huu uchafu kwani huku ndio kukichangamsha "Chama cha Mambuzi".
Nchi hii had unawaza usijue uende kushoto au kulia tuliomjua sokoine tukiwa wadogo.alikuwa kiongoz mazubut kwelikweli hakuwa na utan wala hakupenda uchawawachawa alipinga vita ya Rushwa magendo walanguz. Wanyoyaji makupe kwa vitendo na kwa moyo wake wote. Tujitathimin kweli tunatekeleza japo kwa asilimia ngap ya mia. Tano au ngapi Tusijikute tunakazia hiana ,unafik kujipendekeza Tufanye kaz kwelikweli ya kynsaidia kaz mama Viongoz wengi kwenye sekta nyingi wamependa ubinafsi kuteka kaz za wenzao kujipendekeza na kutumia madaraka yao vibaya. Kugawa wanaowaongoza kwa maslah yao Mungu atujalie upendo uchapakaz kwa maendeleo ya Nchi yetu Tanzania na bara löte la africa .
mama kazikwako hatakipindi cha magufuli walianza hivyohivyo kujifanya wao bola sana kwa mkuu kuliko wengine tukashuudia watu wakiumizwa na wao wakimsifia mkuu lakini baada ya kufa magu haohao waka badilika leo mama ameifungua nchi mala mama anaupiga wingi ushauli wangu mama simama na mungu wako
wabongo kuongea ndo kazi yao kuwa makini mama tunakuamini wewe ni kama malkia balqis tumia akili sio porojo za umbea za watz umbea ndo kazi yetu nataraji hilo unalielewa
Yaan watanzania tunadanganywa kweupee hiv mnamwamini makonda 😂😂😂 uyu kachaguliwa lini mpaka akagundua wabaya wasamia Anyway hivi anashindwaje kumnongoneza Rais mpaka haeleze mbele ya umma uoni uongo uo😅😅
Alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na hayati magufuli alianza kutaja orodha ya wauza Madawa ya kulevya Naona hii Kwake ni staili yake ya uongozi
Kama serikali haikutimiza wajibu wake wa kupima ardhi nchi nzima ili kuiweka nchi katika miundombinu bora, wananchi wana kosa gani wakijipimia wajenge ili wasiishi kama enzi za mtu wa kale?! msianze kutuvuruga mtuondoe kwa gharama zenu, isipokua waliojenga sehemu hatarishi tu!
Mama Samia Rais mpendwa inashangaza hawa wanaume wamekuwa zaidi ya wanawake kwa kuchukiana sasa kazi za nchi hazifanyiki ila ni kuchongeana tu ..Wewe ni mama una watoto hivyo unajua watoto wanavyokuwa na wivu wa kutaka kupendelewa wao tu hivyo ufanye kazi kwa uadilifu hawa walafi watakuletea matatizo kwa ulafi wao wa madaraka.
Uyu jamaa nilikuwa na mkubali sana kwa utendaji wake lakini kwa ili alilolisema kuwataja wenzaki wasioo kubaliana na utendaji wake rais Samia 'Eti ni kumtukana hiyo nimeshuka kwenye gari yake
JAMAA ANATAKA UWAZIRI KWA NGUVU!MAMA KAKUTUPA ARUSHA KWA SABABU HUFAI !!! HATA KWA CCM WAMEKUCHOKA FUNGA MDOMO KIDOGO KAMA WANAUME WENZIO SIO MAKELELE SAA ZOTE KAMA MKE MWENZA!!!
Hata waamini msio na maarifa wala utambuzi wa kumuelewa vema utukufu wa Mungu ambao ni kweli na amina katika haki,usawa,na Upendo,watabariki tu hata wasiyoyajua vema kwa undani!
@@JoyceSarufu sio ushamba unaona anayoongea hapo ni sawa! Kwann asintafute private akamwambia! By the way yy ni mkuu wa mkoa habari za mawaziri wa nchi anazipataje km sio mchonganishi
Hakuna cha comred afanye kazi yake .what he is talking is irrelevant ukilinganisha na event iliyokutanisha watu. Seems hajitambui kwa kuongea bila mipaka!
Watu ambao wanambeza komred makonda katika kazi anazofanya ni wale watu wasioitakia mema nchi na maendeleo yake watu hawa hawafai kabisa katika nchi hii.
Kumbuka makonda iri uzariwe mama yako arikunywa dawa zamugaga usitukane wakunga muurize mama yako uzanzi
Makonda unakiherehere sanA kama vile unamnyonya mama
Anapita tu,tulikuwa na akina mwenda zake Leo imekuwa sitori,sembuse huyu kibaraka
Makonda unafaa sana kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania tuna kuombea sana
Loo! kwahiyo tusikili,izie tumbua tumbua mpya ikifuatiwa na mkeka mwingine mreeefu!!!!
Mista misfa asiyekujuwa atakushangila mbulula kabisa
Kwa maoni yangu, hotuba ya mkuu wa mkoa wa Arusha imetoka nje kabisa na kusudio la hadhara iliyokusudiwa. Badala yake ametumia jukwaa hilo kujielezea yeye binafsi.
Hajaitendea haki hadhara husika, maana aliyoyasema hayahusiki kabisa na lengo la kumbukizi ya hayati Sokoine.
Yaani amekuwa off point by 100%
Si kweli ujamsoma marehemu sokoine nakushauri nenda ukasome historia yake makonda yopo sahihi
Wewe ndo hujielewi
Huna lolote
Watanzania ni watu wakupenda umbea ndio maana wanamsifia huyo mpiga umbea, inasikitisha nchi kua inaviongozi wa hivi
Kuna watu walimfuta kwenye utawala kwa hiyo lazima atoke
Uchonganishi tu na kujikomba
Hivi mheshiwa Rais umeenda monduli kama mama, au umeenda kama Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania? Makonda anapata wapi ujasiri wa kukuita mama yake, si mara moja anarudia mama mama, protocol ya wapi anatumia kutambulisha watu wake baada ya katibu mkuu kiongozi kutambulisha wageni wote na ye ye mwenyewe akiwa mtambulishwa?
Ni mama wa Taifa zima ajakosea kumuita mama. Mbona wengi tu umuita Mama Samia ni kitu cha kawaida tena ni heshma. Unaitaji protocol ipi haswa... sioni kama mna kosa au shida hapo....
Sasa kumekucha sasa kumekucha arusha mchungaji mwanamapinduzi alisema joka Lili kuwa kwenye chupa sasa limefunguliwa picha limeanza ngoja tuone
Mungu akutagulie
Huyo hatufai, ungekuwa wewe Rais hapo sawa. Yani hata kama kitu kibaya tusiongee. Nakubali yote ila Rais samia sijawahi kumuelewa hata siku Moja nisiulizwe Kwa nini ila automatically tu ilitokea
Ukimuelewa makonda tosha......ni mtumishi Rc wa Arusha anapokea maelezo ya moja kwa moja na Rais wa Taifa.❤️🇹🇿🤝
Kweli Mkonda ni mwehu kabisaa
Ameongea vzr ila hili la kuwataja Viongozi wenzake wanaowatuma kumtukana Rais kupitia mitandao ya kijamii, hakustahili kuliongea hadharani hivi. Rais amejengewa HOFU ya kweli kuwa kuna wateule wake hawako naye kabisa. Hofu hii itamtesa sana Rais na hata kukwazika kufanya maamuzi SAHIHI. Aidha, Rais inampelekea kuwaza kuwa washauri wake Wakuu wa masuala ya Ulinzi na Usalama (wa kwake binafsi au wa Nchi kwa ujumla), SIO wa kuwaamini, isipokuwa Makonda. Rais kazi anayo. Kuna jamaa alisema "....jini limetolewa ktk chupa, LITAWAMALIZA..."
Huyo ndiyo kivuruge,mpaka kufikia 2025 atakuwa.amewavuruga Arusha na shobo zenu Dar,ilimshindahuko ccm kwenyewe ndiyo kabisa,kusini alimanusura wamtoe roho,na ndiyo kisa cha kuibukia Arusha
Jipeleke mirembe utibiwe maana umeandika pumbaa
Ulithubutu hata kumnyooshea mh. Waziri Mkuu kidole! Wengi tu kama kina Bashe na wengine. Hivi unajisikiaje Bw Makonda?
We pumbavu sana hata hujielewi!!
Brother sifa zitakuponza achana nao
Natabiri makonda hatodumu kwenye nafasi hii
Unajuwa uyu mtu kitu kidogo sana kakosa nimtu mzur Tu tatizo dogo sana angebadilika ata Uenezi asingetumbuliwa
Viongozi tunao wanaojitambua
Ukiwataja halafu wewe utakuwa mjadala wao Acha majungu kijana Fanya KAZI
Yani huyu jamaa anamajungu Sana sijuwi atabadilika lini
Wala so majungu kwa uzalendo.shida watanzania tunaishi kwa uwoga na unafki hatujiamin ktk ukwel ndo maana ni wategemez wachache.wanajishibia rasilimali za nchi through black market
Kama kawaida yake ni kutaja tu
Hajatambu uwepo wa masheikh.... viongozi wakiroho katambukisha mara2..........
Mimi nasikitika Sana, kipindi cha maziko ya Mhe. Lowassa ilionekana Makonda kuingia mtu wa mwisho na kundi la walinzi wake kwenye msiba ilikuwa ni kuvuta attention kwake haikupendeza na akaanza kusalimu huyu na yule viongozi wakatetemeka. Pia ilileta picha km huyo anakitu katumwa Arusha. Kweli haikuchukuwa mda akachateuliwa mkuu wa Arusha. Sawa yeyote anaweza pewa cheo na cheo ni thamana. Sasa kuongea aliyoongea siku Ya kumbukumbu Ya miaka 40 Ya Mhe. Marehemu Sokoine kwa kweli haijapendeza, hapo ameenda kuchafua Hali Ya hewa siku Ya kumbukumbu kubwa kama hii, je mama kweli huyaoni haya. Hii imethibitisha mama anapenda huu uchafu kwani huku ndio kukichangamsha "Chama cha Mambuzi".
Na Huyu Mama yake anamwamini Huyu Choko kumpa Majina?
Choko???? Na unajiita tanzanite. Yes!! Anamuamini na ndio kampa Rc Arusha.❤️🇹🇿
Huu Udegbe wa kujipendekeza kwa Rais wakati mwenyewe ni Jambazi kubuhu na Mbabe huku mtaani kuna siku itakoma
Hizo gharama za,kumbukmb zina sabbisha,vitu kutoshuka,petroliam,matbb,sukar,, Tozo vat zipo juu,
Nchi hii had unawaza usijue uende kushoto au kulia tuliomjua sokoine tukiwa wadogo.alikuwa kiongoz mazubut kwelikweli hakuwa na utan wala hakupenda uchawawachawa alipinga vita ya Rushwa magendo walanguz. Wanyoyaji makupe kwa vitendo na kwa moyo wake wote. Tujitathimin kweli tunatekeleza japo kwa asilimia ngap ya mia. Tano au ngapi
Tusijikute tunakazia hiana ,unafik kujipendekeza
Tufanye kaz kwelikweli ya kynsaidia kaz mama
Viongoz wengi kwenye sekta nyingi wamependa ubinafsi kuteka kaz za wenzao kujipendekeza na kutumia madaraka yao vibaya. Kugawa wanaowaongoza kwa maslah yao
Mungu atujalie upendo uchapakaz kwa maendeleo ya Nchi yetu Tanzania na bara löte la africa .
Kwaio wataka kusema nni ,kwamba tanga tuna waganga wengi au mheshimiwa wamaanisha nini😂😂😂
mama kazikwako hatakipindi cha magufuli walianza hivyohivyo kujifanya wao bola sana kwa mkuu kuliko wengine tukashuudia watu wakiumizwa na wao wakimsifia mkuu lakini baada ya kufa magu haohao waka badilika leo mama ameifungua nchi mala mama anaupiga wingi ushauli wangu mama simama na mungu wako
Hilo hawatalionaa! Kwasababu walishalianza,na kufitinika litaendelea....!
Hilo hawatalionaa! Kwasababu walishalianza,na kufitinika litaendelea....!
Mh, MAKONDA hoyeeeeeeeee Tuna Imani saaaaana na wewe RAIS mtarjiwa hoyeeeeeeeeee
wabongo kuongea ndo kazi yao kuwa makini mama tunakuamini wewe ni kama malkia balqis tumia akili sio porojo za umbea za watz umbea ndo kazi yetu nataraji hilo unalielewa
Kama wakubwa wanataka kuchongeana SISI watoto tutachongeana kwanani jamani !! 😢😢😢😢
Huyu jamaa namuona WAZIRI MKUU
Yaan watanzania tunadanganywa kweupee hiv mnamwamini makonda 😂😂😂 uyu kachaguliwa lini mpaka akagundua wabaya wasamia
Anyway hivi anashindwaje kumnongoneza Rais mpaka haeleze mbele ya umma uoni uongo uo😅😅
Eti shekhe wamkoa hujui alipo lkn kiongozi wa imaniyako yuko ubavuni mwako kulikoni😢, wanao mtukana raisi,unamaana raisi asimwamini mteule wake ispokua wewe !
Alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na hayati magufuli alianza kutaja orodha ya wauza Madawa ya kulevya Naona hii Kwake ni staili yake ya uongozi
Kama serikali haikutimiza wajibu wake wa kupima ardhi nchi nzima ili kuiweka nchi katika miundombinu bora, wananchi wana kosa gani wakijipimia wajenge ili wasiishi kama enzi za mtu wa kale?! msianze kutuvuruga mtuondoe kwa gharama zenu, isipokua waliojenga sehemu hatarishi tu!
Unafiki tu na Uchonganishi sema Samia sio JPM alyekuwa anaenda kwa sifa
Makonda tunakuombea sana mungu akulinde wenzio wanasikiliza utawataja maana kimeumana
Kikwete mbaka anajilaumu kwann alimwingiza makonda kwenye Siasa
Huyu jamaa ni mchonganishi sana hataki mtu ashine katika kazi yake mama amuangalie sana
Mama Samia Rais mpendwa inashangaza hawa wanaume wamekuwa zaidi ya wanawake kwa kuchukiana sasa kazi za nchi hazifanyiki ila ni kuchongeana tu ..Wewe ni mama una watoto hivyo unajua watoto wanavyokuwa na wivu wa kutaka kupendelewa wao tu hivyo ufanye kazi kwa uadilifu hawa walafi watakuletea matatizo kwa ulafi wao wa madaraka.
Hivi makonda .unajua .kuwewe nimupumbavu.unajikosha kwarais Irish. Iweje .wewe nimiongoni.mwawanao .mutukana.wakati wakwanza niwewe
Wewe ndio mupumbavu babayako kashindwa hata kukufundisha
Kwel kaka makonda mambo mengin ni ya kiutawala na viongoz wengi wanageuza utatuz wa matatiz ya watu kuwa fedha
Kazi imepamba moto ndyo sela uongozi bora big up.
UKIWA KIONGOZI LAZIMA UJUE VYAKUSEMA NA VISIVYO VYA KUSEMA
Sasa wenye majoho nao kwenye siasa vipi au ndo ule mchanganyo.
Ila kuna watu wanapenda sifa aisee
Huyu ni tatizo kabisa ujue tofauti na muonekane wake
Shukrani kwa mungu na shukrani nyingi kwako . Duuuh ni zaidi ya kumheshimu mungu...
Makonda chapa kazi jaman fatilia utaona kazi zake
Kwa hiyo na hizo ajali zilizotokea hazihusiani na hiyo siku ya sokoine
Ajali ni ajali imeshapangwa na Allah saa na wakti. Wacha imani potofu ndugu.
Watanzania bado tunakupenda komledi makonda
Acha kujikomba buana we mtoto wa kiume
Uyu jamaa nilikuwa na mkubali sana kwa utendaji wake lakini kwa ili alilolisema kuwataja wenzaki wasioo kubaliana na utendaji wake rais Samia 'Eti ni kumtukana hiyo nimeshuka kwenye gari yake
JAMAA ANATAKA UWAZIRI KWA NGUVU!MAMA KAKUTUPA ARUSHA KWA SABABU HUFAI !!! HATA KWA CCM WAMEKUCHOKA FUNGA MDOMO KIDOGO KAMA WANAUME WENZIO SIO MAKELELE SAA ZOTE KAMA MKE MWENZA!!!
Mmhh Kwa kusifia tu hujambo mzee
Hapa kati ya dini na serikali nani kaingilia mwenzie?
mzee wachuki amesha anza kazi wali mchonganisha magufuli nawatu leo kaanza uchonganishi kwa mama
Huyu Jamaa ni Komando kipensi 💪💪💪
Navyowajua wabongo apo kwenye mawazir apo kuwataja majina ndo watakapoanzia captions
Arusha nilikuwa nawaona wajanja kumbe ni shida,mnafurahia kuletewa makombo.
Why serekal imetia nguvu kubwa kwenye kumbukz ya sokoine kuliko magufuli inamaana wazir mkuu ana heshma kubwa kuliko rais??
Inategemea na wanaFamilia wanavyo lichukulia uzito jambo lao. Mkilipa uzito na serekal aitakuwa na budi ila kuwaunga na ndio sheria🤝❤️🇹🇿
Hatari sana
Nakupendasana makonda
Maisha yanaendelea
Who is he jama ana shobo sana mpka aibu.
Ona aibu naweye😢😢😢😢😂😂😂😂
@@JoyceSarufu kwa lipi acha ukicha umekosa kazi
Kichaaaa
Angalau Makonda umeliongea hilo maana wengine ni wanafik tuu
Umepiga kwenye mshonooo big up 👏🏿👏🏿👏🏿
Mama yako?
SAMIA DADA YANGU UTAKE USITATAKE UMEPEWA NA ALLAH HUYO MWANAO WA HIYARI! SEMA ALHAMDULILLAH TAFAKALI SUJUDU UKWELI UTAUONA INSHALLAH!!
Amen
Kweli ndugu
Hata waamini msio na maarifa wala utambuzi wa kumuelewa vema utukufu wa Mungu ambao ni kweli na amina katika haki,usawa,na Upendo,watabariki tu hata wasiyoyajua vema kwa undani!
Umh!
Mawaziri?😢
This guy😂
Hay
A gifted orator
kakipande kadogo hako ni kapi???
Makonda mungu akurinde
Ni kikwete na genge lake
Sasa kikwete anawatuma aki nan???
Wakati yupo Upande Wa MAMA 😂
Makonda nakupenda sanaa kaka angu mungu akufanyie wepesi kwenye jambo lako
God bless u poul makonda,,,,and someday u mighty bcome a very great leader in our country...
Nimekula nikisikia sauti inayosema Kuna jambo gumu mbele ndani ya nchi hii.
Namwomba Mungu atupitishe salama
Chuma kinatema cheche❤❤❤❤❤
Makonda huwa haitaji kazi ili aseme huwa anaitaji nafasi tu
Kabisaaaa
Sanaa
Mkwara.
?
Daaaaaa yani unaongea ww mm naona aibu! Naona hadi kikwete anaona aibu kukaa na ww karibu
Ssa aibu Yann na wewe acha ushamba duuuh!!!!😢😢😢😢
@@JoyceSarufu sio ushamba unaona anayoongea hapo ni sawa! Kwann asintafute private akamwambia! By the way yy ni mkuu wa mkoa habari za mawaziri wa nchi anazipataje km sio mchonganishi
Kuna clip mama anaonyesha mikono kichini "kata picha"
Chuma hicho.big up kubwa makonda.Mungu akulimde
Mh makonda naoneshwa miaka ijayo lazima ukae kwanye kiti cha urais.
Mm wakwanza kumpa kura
Makonda a k a SURA YA CHUMA
Ardhi haitazaa mapooza Cardinal Pengo umefika kila kitu kitaenda sawa
Ni nape n makamba
Makonda wape vidonge vyao wameze wanafiki hao eti mama unaupiga mwingi huku wanamtukana wacha watumbuliwe Makonda kiboko yao 💪💪💪💪
MMMHHHHH!HIKI NI CHUMA AISEEEEEE!MUNGU AKULINDE MWAMBA.
Sema mwenezi,mkoa ars
Chuma chakavu
Mheshimiwa Raise mama mwenyew huruma tuangalie wakaz wavkimara hatuna pa kuishi nyumba zetu zimebomolewa bila sababu
Safi sana jembe letu chapa kazi endelea kutatua kero zetu hasa za ardhi big up boss
Kwahiyo wewe ulitaka asiseme kama ulivyo mnafki
Makonda raisi mwaka 2025 kauli hii nairudia tena
Karibu sana mh rais wetu mkoa wa Arusha
Jembe la Kia
Ngazi
Shobo unayo wewe mpumbavu acha komred afanye kazi yake
Rais Ajaye ❤❤❤❤❤❤
Genge la wahuni limeketi
Nakukubari makonda